Manshallah, sifa zote hizo nimejaliwa. Hapa, umenihakikishia tu kaka. Nilikuwa nikijiuliza kwa nini jamii inanipa heshima, sasa nimekuelewa. Yaani huo mimi Mia fil Mia. Nafurahi, alhamdulilah.
kua wamwisho kuzungumza kitu muhimu sana bro asante.. lakin pia ningependa uzungumzie ufanye nini pale watu wanapokuamin kwamba unaweza kufanya kitu fulani au nafasi fulani na wakati wewe huamin kabisa kama unaweza kufanya au kua kwenye hiyo nafasi
Point nyingine ili wakuheshimu waonyeshe kama unaweza kuishi bila wao *Kupenda sana kuombaomba au kila shida unamwendea mtu na ukashindwa kuitatua mwenyewe labda kukopa inaweza ikashusha heshima ya mtu kwa sababu wengi asilimia kubwa wanaopenda kukopa huwa wanakuwa kulipa ndio chanzo cha heshima kushuka
Asante Sana kwa somo zuri pia ukitaka kueshimiwa epuka kukopa siyo Kira anae kukopesha anania zuri na wewe wegne anakukopesha anataka kukuzaririsha kwahiyo unapo taka kukopa agaria mtu unae mkopa ili akulindie heshima yako Asante.
Ahsante Sana teacher hakika nimelielewa somo hili. Haswa kwenye quote ya Bruce Lee "knowledge will give you power but character will give you respect" pia nmeielewa vizuri quote ya Nelson Mandela "be the last to speak" lakini pia nmeielewa pont ya 3 ambayo ni "kuwa mtu wa vitendo kuliko kuwa mtu wa maneno mengi". Asante Sana kwa somo zuri. MUNGU akubariki.
Hapo kwenye kuwa wa mwisho kuongea ,kunakitu nataka kuongezea .ukiwapa nafasi ya kuongea wote ...kwako itakuwa rahis kuhimisha jambo Kwan utakuwa umejua Kila mmoja kaongea Nini.....!
Si kweli. Ukiwa na pesa utaheshimiwa kinafiki tu hasa kama utakuwa huna tabia hizi zilizotajwa. Watu watakupa heshima bandia mbele ya macho yako lakini watakusema vibaya wakiondoka mbele yako, sasa hiyo si heshima bali ni unafiki. Ni kweli pesa ni muhimu sana lakini ili upate HESHIMA YA KWELI lazima uwe na hekima na hekima inajengwa na tabia njema ambazo baadhi yake zimetajwa hapa. Pesa ni muhimu lakini sifa njema ni muhimu zaidi ili kupata heshima ya kweli na kuishi maisha yanayompendeza Mungu na jamii kiujumla. Ahsante.
Somo zuri sana bro
Unyama sana brrrr umetisha
nashukuru sana ndugu yangu. Tuko pamoja sana
Manshallah, sifa zote hizo nimejaliwa. Hapa, umenihakikishia tu kaka. Nilikuwa nikijiuliza kwa nini jamii inanipa heshima, sasa nimekuelewa. Yaani huo mimi Mia fil Mia. Nafurahi, alhamdulilah.
Hongera sana sana... I wish you all the best
broo mimi nakubaliana na wew lakini nawez kuongezea apo kua kwa zama hizi unapokua n mtu mwenye mafanikio ndo unawez kueshimika zaidi
Nice one brother
Nashukuru Sana Kaka kwa mafundisho yako
Asante Baba
Brother asante mungu akulinde
Nikwel ❤
Unafanya kazi nzuriii Sana kaka MUNGU akubariki
Shukraan bro Ezden🙏
Daah asee we Kaka ang Naqbarii Sana Hadi bando linaisha nkiwa nacheki video zakoo
Nashukuru sana Kinny...pamoja sana
Ukoo vzuria cn ezden nakkbli cn broo
Brother ezden hii nzuri sanaaa
Somo zur bro
kua wamwisho kuzungumza kitu muhimu sana bro asante.. lakin pia ningependa uzungumzie ufanye nini pale watu wanapokuamin kwamba unaweza kufanya kitu fulani au nafasi fulani na wakati wewe huamin kabisa kama unaweza kufanya au kua kwenye hiyo nafasi
Ujumbe mzuri 👏
Shukran sana
Asantee sana nimejifunzaa sana somo hili
Najifunza sana kupitia ww ntakupa mrejesho nikiwin my teacher
Nashukuru sana naendelea kupata elimu
pamoja sana
Point nyingine ili wakuheshimu waonyeshe kama unaweza kuishi bila wao
*Kupenda sana kuombaomba au kila shida unamwendea mtu na ukashindwa kuitatua mwenyewe labda kukopa inaweza ikashusha heshima ya mtu kwa sababu wengi asilimia kubwa wanaopenda kukopa huwa wanakuwa kulipa ndio chanzo cha heshima kushuka
Asante Sana kwa kutujuza
Zote nzuri Kaka Mola akuhifadhi na atujalie tuwe ni wenye kufuata
Ameen
Asante Sana kwa somo zuri pia ukitaka kueshimiwa epuka kukopa siyo Kira anae kukopesha anania zuri na wewe wegne anakukopesha anataka kukuzaririsha kwahiyo unapo taka kukopa agaria mtu unae mkopa ili akulindie heshima yako Asante.
Asnte sana.. Nimeondoka na hiyo point.. Ukitaka heshima anza kuwaheshimu wengine... 🙏🙏🙏🎉❤️
naam, works always
Heshima kwako kaka
Asante kaka kwaushauri mzuri sana
Nakupenda kwajili Allah 💙💙💙
Nashukuru sana sana sana.... stay blessed
Ahsante sana bro!..unamadini sana mkuu..
Nashukur ...umenipa funzo hapo
Always what goes around comes around
💪
Nzuri hii nimejifunza kitu
Vizuly kak ezy den jumanne nimejifunza mengi kutoka kwako
Shukran Kaka mungu akuzidishiye upeo
Shukran jazllah brother, umenikumbusha tips muhim san
Brother Asante sana Allah akupe afya njema 🙏
Somo zuri
Respect kwako bro
Ahsante Sana teacher hakika nimelielewa somo hili. Haswa kwenye quote ya Bruce Lee "knowledge will give you power but character will give you respect" pia nmeielewa vizuri quote ya Nelson Mandela "be the last to speak" lakini pia nmeielewa pont ya 3 ambayo ni "kuwa mtu wa vitendo kuliko kuwa mtu wa maneno mengi". Asante Sana kwa somo zuri. MUNGU akubariki.
Ama kweli, umeelewa...asante Kwa kufuatilia. Karibu sana
GOD BLESS YOU BROTHER..🙏🙏🙏
Allah akulipe kheer akhy
Alhamdulillah shukran akhy Allah azidi kukutia nguvu nmeipenda hii somo
Hapo hlo group la wasap huniungii
Bless up bro
Waaaaaaaoh
Ata kuto onekana mara Kwa mara inaongeza sana heshima
May ALLAH GIVE YOU REWARD FOR THIS
Allahumma ameen
Apriciate Ila program yetu kimyaaa
Kaka kwema? Ile kitu nataka tuianze rasmi mwisho wa mwezi wa mwezi huu...! Tukiwa wazima
@@successpathnetwork nakuombea mkuu
@@matendoandrewmgeni1135 pamoja sana kaka, tena anz akuandaa kabisa ya january!
Hapo kwenye kuwa wa mwisho kuongea ,kunakitu nataka kuongezea .ukiwapa nafasi ya kuongea wote ...kwako itakuwa rahis kuhimisha jambo Kwan utakuwa umejua Kila mmoja kaongea Nini.....!
Hapo lizima utaeshimika
Naam na ndio lengo... hata sasa ukitoa mawazo yako utakuwa umezingatia na michango ya wengine
Wewe ni hatari
Nakufatilia Kam nini nimetoka kuelewa Yale uyasemajo
Kibongobongo heshima pesa tu
sawa...
Si kweli. Ukiwa na pesa utaheshimiwa kinafiki tu hasa kama utakuwa huna tabia hizi zilizotajwa. Watu watakupa heshima bandia mbele ya macho yako lakini watakusema vibaya wakiondoka mbele yako, sasa hiyo si heshima bali ni unafiki.
Ni kweli pesa ni muhimu sana lakini ili upate HESHIMA YA KWELI lazima uwe na hekima na hekima inajengwa na tabia njema ambazo baadhi yake zimetajwa hapa.
Pesa ni muhimu lakini sifa njema ni muhimu zaidi ili kupata heshima ya kweli na kuishi maisha yanayompendeza Mungu na jamii kiujumla. Ahsante.
Kila siku naweka bando hili nijifunze vutu unavyo towa katika live Yako ya TH-cam ❤
Asante sana