Jinsi ya kuacha tabia usiyoipenda.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 353

  • @Humphreymbasha
    @Humphreymbasha 2 หลายเดือนก่อน +3

    Wangap tumeangalia tena 2024😍Be blessed Mr. Joel Nanauka🎉

  • @ShealifuVuai
    @ShealifuVuai 10 หลายเดือนก่อน +4

    Nakukubali sana... Yani hatari mungu akuzidishie naakupe mwisho mwema

  • @damianmakala2913
    @damianmakala2913 4 ปีที่แล้ว +43

    We jamaa unafundisha vitu vikubwa Sana katika maisha ya binadamu ya kila siku ! Ukifuatilia huyu jamaa na kuyaishi yale anayofundisha lazima ufanikiwe na utakuwa mtu wa tofauti Sana

    • @NaomiNgutunyi-r6d
      @NaomiNgutunyi-r6d 4 หลายเดือนก่อน +1

      God bless you man Mungu anakutumia kuimprove na kufungua ,kubadili akili za watu

    • @NaomiNgutunyi-r6d
      @NaomiNgutunyi-r6d 4 หลายเดือนก่อน +1

      God bless you man Mungu anakutumia kuimprove na kufungua ,kubadili akili za watu

    • @ShamimShamy
      @ShamimShamy 2 หลายเดือนก่อน

      Kumwacha Tania Na kuwa Na mbadaka Hilo Nido nikujifunza ndokta Joel 🎉🎉

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 ปีที่แล้ว +14

    This man is a genius ❤❤

  • @twahasuleiman-lo9vl
    @twahasuleiman-lo9vl ปีที่แล้ว +18

    Wangapi tumeangalia tena mwaka 2023.🎉🎉🎉 Upewe maua Yako Mr. Nanauka.

  • @williamandrea7940
    @williamandrea7940 4 ปีที่แล้ว +11

    Joel Nanauka Asante kaka Mafunzo yako yananisaidia sana ktk maisha yangu hususani ya kibiashara Allah akulipe Kheri kaka Amin Amin

  • @joshuankunda5366
    @joshuankunda5366 ปีที่แล้ว +2

    Asante kwa mafundisho yako. Mungu awe mwalimu bora kwako ili akufunze mengi zaidi.

  • @twahaally1969
    @twahaally1969 4 ปีที่แล้ว +6

    Mr. joel tunajifunza mengi ahsante kwa kutuwezesha kuwa na utulivu mindset zetu. from zanzibar island

  • @GEORGEOUMA1
    @GEORGEOUMA1 11 หลายเดือนก่อน +1

    I found myself following most of the video posted. A lot of heavy lessons. Congrats.

  • @rebbecamgana6059
    @rebbecamgana6059 4 ปีที่แล้ว +1

    Nashukuru mno kwa somo lako Mungu akubariki sana naamini nitabadilika sasa nitaanza hatua moja na Mimi kwa kuoitoa somo hili amen

  • @danielgabriel915
    @danielgabriel915 3 ปีที่แล้ว +3

    Asante sana kaka JOEL NANAUKA nimejifunza mengi sana kutoka kwako mpaka naamua kukuita mwalimu Mimi naitwa Daniel Gabriel nilipata ajali iliyopelekea mwili mzima kupooza lakini na ndoto ya kua motivational speaker niweze kuwa inspire wenye ulemavu kama wangu au wanao pitia changamoto mbalimbali naomba nisaidie support yako mwalimu

  • @omarykajembe4385
    @omarykajembe4385 4 ปีที่แล้ว +14

    U don't change the habit,u replace the habit"umegusa hapo

  • @bennyjaahbj7909
    @bennyjaahbj7909 3 ปีที่แล้ว +3

    Iseee nimekupata vzur zaid may God bless u,

  • @mickidadyplanet6476
    @mickidadyplanet6476 3 ปีที่แล้ว +1

    Thanks kwa somo zur nimependa sana point ya mwisho...unapotaka kubadilika anza kwa hatua ndogo....hii ni kweli kabisa hata mm nilijaribu kutakakubadilika kwa hatua kubwa nikashindwa...but today l got good points...!!!🙏🙏

  • @frowinchirwa4963
    @frowinchirwa4963 4 ปีที่แล้ว +11

    🙏hili somo limenipa mwanzo mzuri wa mapambano juu ya tabia sugu inayonifanya nishindwe kuiacha na kuendelea kuwa muhanga kila siku.

  • @ninjaisma7983
    @ninjaisma7983 3 ปีที่แล้ว +3

    Yupo beste yangu anashindwa kuacha kupiga nyeto😃😃..hii video itamsaidia

  • @mickidadyplanet6476
    @mickidadyplanet6476 3 ปีที่แล้ว +1

    Thanks kwa somo zur ‘’unapotaka kubadilika anza na hatua ‘’...nimeipenda sana...!!!

  • @philipinashine837
    @philipinashine837 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante Sana Kaka Joel na mmi ngoja nitumie hizi kanuni nikifanikiwa nitakujulisha. #seeyouathetop

  • @hashkhantantrasiraji118
    @hashkhantantrasiraji118 2 ปีที่แล้ว

    Ahsante kwa elimu nzuri ngoja niifanyie kazi niziondoe tabia nazoziona ni mbaya kwangu ubarikiwe sana🙏

  • @stephenondieki168
    @stephenondieki168 5 หลายเดือนก่อน +1

    asante Mungu akubariki umenijenga sana tangu niaze kukufuatilia

  • @papymaliro7849
    @papymaliro7849 2 ปีที่แล้ว

    Yani upo sawa kabisa ngudu
    Nime jifunza kitu🙏🙏🙏

  • @DiazPilipili
    @DiazPilipili 8 หลายเดือนก่อน

    Asante saaana mwalimu, Mungu wa mbinguni akulinde

  • @NgasaJohn-s9y
    @NgasaJohn-s9y หลายเดือนก่อน

    Thank's hakika maarifa unayotoa yanasaidia jamii kuishi ktk hali nzuri

  • @othmanshahib1115
    @othmanshahib1115 4 ปีที่แล้ว +2

    Kaka uko vizuri wewe ni jiazi serikali inatakiwa iwape urizi watu kama hawa wanatufundishi vitu vyote vinavyo tuzunguka.

  • @josej9888
    @josej9888 2 ปีที่แล้ว +1

    Ahsante Sana kiongozi.

  • @greatman296
    @greatman296 4 ปีที่แล้ว +6

    Asante Mr Joel!
    Ningependa siku moja utuandalie video ya nivitabu gan vizur MTU anaeweza kuanza navo kuvisoma mbali na vya kwako ambavo nafikiri karibia vote nimevisoma.(hata kama n English au Swahili ni sawa)
    Asante.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  4 ปีที่แล้ว +2

      Ahsante.Ila uzuri wa kitabu inategemea na uhitaji ulionao kwa wakati huo.So naweza kusema hivi ni vizuri ila vikawa sio sahihi kwako kwa wakati huo.Ndio maana huwa napendekeza kitabu kulingana na Topic.Kuhusu kutaja vya waandishi wengine hiwa navitaja,ukinisikiliza nimeshawahi kutaja kadhaa vikiwemo:Richest man in babylon,The millionaire Next Door,5AM Club, The Slight Edge etc

    • @greatman296
      @greatman296 4 ปีที่แล้ว

      @@joelnanauka Asante San!🙏

    • @muslimocho1097
      @muslimocho1097 4 ปีที่แล้ว

      SaldalhzgsdlsjlsllhmamlavksllbAvnzvnahsklagbazmFmaxnlgskdhalgaljldbalalhllaagdladklkvagljllshakaklhajldaadhdgllaaajkagdkahlhlafllksldhkallaalgkakhaagllhajgndhabgaksfsljgkgsdashlgghllagjlgsagkskaklaMllhHdjfslalfsgkjladlhgglsflhflgggzaddlsjagag

  • @MrJuma-in5io
    @MrJuma-in5io 7 หลายเดือนก่อน

    Mada zako unagusa watu mioyo,
    Hongera sana, 👍👍👍
    Kazi nzuri sana✍️

  • @deotv503
    @deotv503 4 ปีที่แล้ว +3

    Hii ndio video yangu bora ya mwaka hongera sanah kaka joel mungu akupe maisha marefu sana naiman ntatimiza ndoto yangu yakukutana na ww kabla xjaondoka dunian amen.

    • @patrickmugo1288
      @patrickmugo1288 4 ปีที่แล้ว

      Sawa jamani ndug nimeshukur kwa ushaur ya vitabu vyako nitapataj vitabu ixo

  • @SAYIBUNDU
    @SAYIBUNDU 2 หลายเดือนก่อน +5

    Mm Kuna tabia ya kuangalia picha chafu na punyeto ndo napambana sana kuichaa mtumishi wa Mungu

  • @PeterSamwel-g6b
    @PeterSamwel-g6b 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu akupe maalifa Zaid ya hapo uzidi kufundisha.Amen

  • @fabianmshai5789
    @fabianmshai5789 9 หลายเดือนก่อน

    Asante sana Mwalimu umekuwa msaada sana kwangu, Mungu akubariki sana

  • @ShedrackSinyangwe
    @ShedrackSinyangwe 11 หลายเดือนก่อน

    Unani inspire sana kakaa God bless you!!!!!🎉🎉

  • @-zj2zd
    @-zj2zd ปีที่แล้ว

    Dah Asante sana kweli 🎉🎉🎉🎉

  • @ArthurMhagama-z6m
    @ArthurMhagama-z6m ปีที่แล้ว

    Asante rafiki umenifungua akili na kuniongezea maarifa

  • @joshuamollel6993
    @joshuamollel6993 4 ปีที่แล้ว +2

    Asnte sana kaka ubarikiwe Sana Kwa mafundisho yako najua sijanunua bndo langu bure...kabis nimejifunz zaizldi na zaidi...na hapa naendelea kukagua nijfuze zaidi tena

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  4 ปีที่แล้ว +2

      Karibu Joshua, tuendelee kujifunza.

  • @mwesigamgambeki7386
    @mwesigamgambeki7386 ปีที่แล้ว

    LEO NI SIKU YA KWANZA I NAPATA UFAHAMU MPYA AMBAO SIKUWA NAO GOD BLESS YOU

  • @smithjunior9288
    @smithjunior9288 4 ปีที่แล้ว +1

    kiukweli hayo mafundisho yako yamefumbua macho 🙏🙏🙏🙏 kaka joel

  • @fedharmmark6398
    @fedharmmark6398 4 ปีที่แล้ว +3

    Naxhukuru xana umeniongezea maana nilikuwa nacha lakin inarudi , xx nimepata mubadala na xehem zinazo chochea au ktembelea xtafanya , Barikiwa xana Mkuu.

  • @joniajohn4716
    @joniajohn4716 4 ปีที่แล้ว

    Ahsante mtumishi wa Mungu. ..ubarikiwe sana

  • @ronaldomselleronaldomselle6238
    @ronaldomselleronaldomselle6238 4 ปีที่แล้ว +2

    Mwenyenzi mungu ukubarik uzid kutuelimisha nimebarikiwa sana🙏

  • @AshaMasoud-dt9xd
    @AshaMasoud-dt9xd ปีที่แล้ว

    So nice my brother my God bless you

  • @costabreezy374
    @costabreezy374 2 ปีที่แล้ว

    Good Teacher

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 4 ปีที่แล้ว +2

    Mwalimu somo zuri sana hasa kwa vijana, Wakolosai 3:5 imekuwa kipengele sana keep Educating dem

  • @juaupekeewako
    @juaupekeewako 2 ปีที่แล้ว +1

    Nadhani Kuna kazi kubwa Sana ya kuweza kuwaelimisha watu juu ya kujua their real nature and their identities especially in spiritual way hii itaweza kufanya Jambo ingawa ni mchakato mrefu

  • @lovenesslukas5360
    @lovenesslukas5360 2 ปีที่แล้ว

    Ahsantee sana ubarikiwe

  • @husseinomary6304
    @husseinomary6304 4 ปีที่แล้ว +1

    JOEL NANAUKA RESPECT BROO

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 4 ปีที่แล้ว +8

    My all time mentor live longer my brother Joel 🙏🙏

  • @salehali4saleh19
    @salehali4saleh19 4 ปีที่แล้ว +10

    Nitakuwa mchoyo wa fadhila km sitosema ahsante mwalim

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  4 ปีที่แล้ว +1

      Ahsante snaa Salehe🙏🏻

    • @joachimlema
      @joachimlema 8 หลายเดือนก่อน

      ​sio vibaya ukitengeneza utaratibu wa watu kukushukuru yaan kutoa sadaka ili uendelee kukusanya matirio

  • @tarbiyah1027
    @tarbiyah1027 4 ปีที่แล้ว +2

    Asante Joel
    Nimegundua Kitabu "Ishinde Tabia ya Ghairisha Mambo"
    Kinamchango mkubwa.
    Nimeona mafundisho yako Mengi Huachi kukitaja kitabu hicho.
    Mm ninacho na ninaendelea kukitumia kimsingi kitabu hiki nikitabu cha kuanzia ktk vitabu vyako.
    Hongera sana kwa Maono Mapana

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  4 ปีที่แล้ว +2

      Ni kweli,kinasaidia sana kwa mtu anaytaka kubadilika hasa katika tabiap

    • @perisiverympwenku139
      @perisiverympwenku139 2 ปีที่แล้ว

      Kitabu kinapatikana wap?

    • @johnmaduhu9435
      @johnmaduhu9435 หลายเดือนก่อน

      Nisaidie basi soft copy ya kitabu Cha ishinde tabia ya kughairisha mambo"

  • @inviolataluena8713
    @inviolataluena8713 2 ปีที่แล้ว

    Joel vizuri sana MUNGU BABA anakutumia

  • @Mosesyona-t9j
    @Mosesyona-t9j ปีที่แล้ว +1

    Kiukweli mwalim Joel ananibarik sana mpaka kuna mda najiuliza haya mambo anayatoaga wapi? Mana ni ukweli mtupu, kiukweli miongoni ya tabia ambayo inawatafuna watu wengi na mimi nikiwemo ni upuuzi wa kufanya mambo yaani unakuta jambo ni la muhimu na unajuwa namna ya kulifanya unajikuta hulifanyi unapuuza, mfano pesa unapata unjuwa njia ya kuziweka lakini unazitumia kwa mabo yaliyo nje ya ratiba au bajeti yako, nadhani kwa somo hili kwanz nakubali upuuzi wangu na nadhani kwa imani nimeushinda tayari kutokana na somo hili asante san mwalim joel

  • @dodokindamba
    @dodokindamba 4 ปีที่แล้ว +7

    Kwa kweli umekuwa msaada mkubwa kwangu, kabla ya kuanza majukumu yangu lazima nisikilize kipande cha ujumbe kutoka kwako imekuwa tabia yangu sasa..! Kwa kweli mtu anayekufatilia lazima atakuwa mtu wa tofauti.

  • @wakayakaya6
    @wakayakaya6 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe mie nikajua nimepigwa jini yaan nimelogwa kumbe

  • @samohazakwani6899
    @samohazakwani6899 4 ปีที่แล้ว +3

    Habari za leo. Shkrn sana kwa somo zuri sana. Mazingira ni tatizo kubwa sana, na wakati mwengine ni vigumu kuyaepuka, inabidi uwe nao watu ambao wanaosababisha tabia isio nzuri.

  • @emmanuelmwandu.3126
    @emmanuelmwandu.3126 2 ปีที่แล้ว +1

    Mambo mazuri sana. Mungu akubariki

  • @Peterpetro-gj1gn
    @Peterpetro-gj1gn ปีที่แล้ว

    God ukubleas maana unatufulia njinsi ya kuishi good

  • @joaneslaurent5896
    @joaneslaurent5896 2 ปีที่แล้ว +1

    Good inspiration

  • @rajaburamadhan8187
    @rajaburamadhan8187 2 ปีที่แล้ว

    Uko vizuri akubaliki

  • @reginamkuti7615
    @reginamkuti7615 2 ปีที่แล้ว

    Mazingira ndo changamoto ila nashukuruu God bless you

  • @veronamayange7017
    @veronamayange7017 2 ปีที่แล้ว

    Daaah umenigusa sana kaka angu,hasa pale pa kipengele cha kushindwa kiacha jambo kutokana na mazingira,yan utafikili umenipoint mimi aisee

  • @jaxxjoo1973
    @jaxxjoo1973 3 ปีที่แล้ว

    Duu leo umenigusa best video

  • @jumahamadkali4683
    @jumahamadkali4683 11 หลายเดือนก่อน

    We jamaa genius..😂🎉😊😊 jamani kama utafata haya alioyasema uhakika utaacha tabia mbaya yako mtu!!!

  • @joshuajohn6997
    @joshuajohn6997 4 ปีที่แล้ว +1

    Brother umenifanyia niangushe machozi on this video.... Kila ulichokielezea ni kama vile unanisema mm umenifungua kweny kifungo kikubwa sanaa kaka shukran sanaa kaka ubarikiwe milele kaka GOD bless you alot am free now i believe am going to stop these behaviors i gat

  • @joycemoshi-zc7ie
    @joycemoshi-zc7ie ปีที่แล้ว

    Nashukuru sana boss nondo zako zinatuvushae

  • @nainahlaizer3956
    @nainahlaizer3956 2 ปีที่แล้ว +1

    Umenisaidia Sana broo✌️

  • @mondulielliwai657
    @mondulielliwai657 2 ปีที่แล้ว

    Nimekupata kijana Mungu akubariki sana

  • @abdulisalim798
    @abdulisalim798 หลายเดือนก่อน

    Shukran kaka joel leo na acha kila tabia mbaya

  • @shedrackbarnabas2471
    @shedrackbarnabas2471 2 ปีที่แล้ว

    Thank you,God bless you

  • @samymdundu
    @samymdundu 4 ปีที่แล้ว +1

    Asante kaka mim niliamua kuwa was tofauti na wengine . na pia kwa upande wa kubadili tabia pia nipo kwenye process za kushinda ingawa sometimes izo tabia zinapotea alafu zinakuja tena ... BT naamini nitazishinda sana tuuu .. See you at the upppp

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  4 ปีที่แล้ว +1

      Hongera sana,endelea mbele na naamini utaishinda.

  • @rahabpeules2830
    @rahabpeules2830 4 ปีที่แล้ว +1

    Ahsante kaka mafunzo yako yananiponya

  • @RashidiSeifu-hh2rk
    @RashidiSeifu-hh2rk ปีที่แล้ว

    Unaokoa maisha yetu

  • @Magreth-uk2fq
    @Magreth-uk2fq ปีที่แล้ว

    Asante sana kaka. mimi ninatabia yakutokutima malengo.naanzisha biashara zinakuwa hazina mwendelezo

  • @DanboyDarangey
    @DanboyDarangey 10 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwee mwalm nakupend kak

  • @musayajoshua6002
    @musayajoshua6002 ปีที่แล้ว

    Good advice

  • @veronicacharles9993
    @veronicacharles9993 4 ปีที่แล้ว +1

    Nilikua nakungoja video mpya , basi nikawa nasikiliza video za nyuma Asante kwa masomo mazuri na Mungu akubariki sana

    • @soniimedia2440
      @soniimedia2440 4 ปีที่แล้ว

      th-cam.com/video/eh8k61D_NRs/w-d-xo.html

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  4 ปีที่แล้ว +1

      Ameen Veronica,nashukuru sana.Tusiache kuwashirikisha wengine pia🙏🏻

  • @jackisonagost125
    @jackisonagost125 4 ปีที่แล้ว +1

    Aisee umekua na mchango mkubwa San kuikuza furaha yangu asante sana bro na nimeshea mafundisho yako na yanapendwa san kazi nzuri

  • @MaryErnest-k3h
    @MaryErnest-k3h 4 หลายเดือนก่อน

    Asante joel nahisi kusonga mbele kila ninapokusikiliza ubarikiwe broo

  • @citymaxbookshoptanzania2924
    @citymaxbookshoptanzania2924 3 ปีที่แล้ว

    Umemaliza mkuu Joel Nanauka

  • @jackiemuhiri23
    @jackiemuhiri23 2 ปีที่แล้ว

    Thenk you my brother

  • @MeryMartin-n7k
    @MeryMartin-n7k 5 หลายเดือนก่อน

    Amen kiongoz Hakika Naelimika

  • @janghyuk9435
    @janghyuk9435 3 ปีที่แล้ว

    Barikiwa mno

  • @dominicemanuel748
    @dominicemanuel748 4 ปีที่แล้ว +1

    Mhhh kaka uko vzuri sanaaaaaa

  • @GentilBamporikiEmmanuel
    @GentilBamporikiEmmanuel 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki

  • @NelsonAlfredNgoma
    @NelsonAlfredNgoma 4 หลายเดือนก่อน

    Thanks brother nafata nyendo zako your amazing

  • @Giliad-eab
    @Giliad-eab ปีที่แล้ว

    Thanks for ushauri mzuri

  • @justinmsigwa1791
    @justinmsigwa1791 3 ปีที่แล้ว

    Asante Sana kwa somo

  • @juvinalisanatus8964
    @juvinalisanatus8964 2 ปีที่แล้ว

    Hii video ilisababisha nikaacha kunywa pombe asante sana kaka

  • @emanuelifredi5436
    @emanuelifredi5436 ปีที่แล้ว

    Nakubali sana kaka,uko sahihi

  • @gloryshalua4500
    @gloryshalua4500 4 หลายเดือนก่อน

    Thanks a lot🙏

  • @hagailema5366
    @hagailema5366 ปีที่แล้ว

    Very informative, thanks for sharing

  • @AndrewDafa
    @AndrewDafa 11 หลายเดือนก่อน

    I love you Broo nakueelw can❤

  • @liberatussylvanus5477
    @liberatussylvanus5477 4 ปีที่แล้ว

    Asante sana kaka joeli nanauka kwaelimu unayoitoa

  • @ibrahimarzad140
    @ibrahimarzad140 3 ปีที่แล้ว

    Ahsante sana nimejifunza kitu

  • @yothampetro5097
    @yothampetro5097 7 หลายเดือนก่อน

    Aiseee thanks for all you toking about

  • @starlight100-o2l
    @starlight100-o2l 9 หลายเดือนก่อน

    Yaani mimi kaka Nanauka nikiwa na stress natumia hela kwaajili ya kula sana... Eee Mungu turehemu

  • @christinakomba3524
    @christinakomba3524 4 ปีที่แล้ว

    Shikamo Mwl joel nimeelewa Sana somo asante natamani ungeipata historia yangu nazani unge nisaidie sijui nifanyeje

  • @safaribukukuru5660
    @safaribukukuru5660 4 ปีที่แล้ว +2

    Safi bro,kazi nzur!

  • @paulaloyce1352
    @paulaloyce1352 3 ปีที่แล้ว

    U ar genius bro..upo right na umetugusa sana honger brother

  • @mathiasijaphet6348
    @mathiasijaphet6348 4 ปีที่แล้ว

    Uko sahihi Brother Good🙏🙏🙏

  • @macvoice8557
    @macvoice8557 3 ปีที่แล้ว

    Unajua sana kaka