Inabidi awaombe msamaha wote alowakosea kisha amuombe msamaha Mungu na atubu kikwelikweli na amtafute Mungu Mola (Allah) Muumba wa kweli na haki; amsome, muaelewe na spate kumuabudu. Hapo alipo Shetani bado anamchezea kwa kum'badilishia mbinu za kumpoteza lakini yupo palepale tu. Ausome Uislamu kwa lengo la kujuwa imaan/Dini uya kweli na haki sio kwa malengo ya kubeza/kupinga au kuamini tu bila ya utafiti.
Mshije wetu hongera kwa kazi but nikuulize ile ndoa ulitangaza kufunga kipindi kile cha cha Danel mbona hata hauna Pete au ndo tuko hapa tuna kuzoom tu hapa
@@godlovem7139 Toba ya kweli kwanza awatake msamaha wote alowakosea na kisha amtake msamaha Mungu na aweke azma/aazimie kuwa hatorudia tena hayo maasi/atubu. Sio touba za kiujanjaujanja za kujitangaza mitandaoni wakti kuna watu/nafsi amezikosea !
@@Mazoea Sio Dini zote, kwanza soma/tafiti na Dini nyengine. Kuna mambo/tabia za kishetani zimeingizwa ktk imaan/Dini zingine za Uwongo ndo hufanyika hayo tunayoyasikia.
Alta Wine naziuza dukani kwangu Pamoja Sana
Story yaweza kua kweli kabisa ila huyu jamaa kuna vitu anazidisha badala ya 1 anaweka 5...usimuliaji tu unaonesha
Ukipenda wanawake ni lazima uwe mwizi ofisini au mtaani
Aibu
Amen
Pamoja saana Mr everything 💪 I
Maskini Bibi wawatu amejiwekea pesa zake huku anaibiwa nahana nguvu zakutafuta zingine
Story nzuri sana
Mmm Yani huyo babako na mpa pongezi kweli Yani alikuvumilia kweli
🤝🙏
Noma sana hahaha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 aaaahhhhha
Enyewe mungu ni mzuri kama alikuokoa waaa mungu ni mkuu
Huyu jamaa ni noma,ngono na waumini wote halafu madhabahuni,dah!
🤣🤣🤣Mungu nisamehe Kwa kucheka
Inabidi awaombe msamaha wote alowakosea kisha amuombe msamaha Mungu na atubu kikwelikweli na amtafute Mungu Mola (Allah) Muumba wa kweli na haki; amsome, muaelewe na spate kumuabudu.
Hapo alipo Shetani bado anamchezea kwa kum'badilishia mbinu za kumpoteza lakini yupo palepale tu.
Ausome Uislamu kwa lengo la kujuwa imaan/Dini uya kweli na haki sio kwa malengo ya kubeza/kupinga au kuamini tu bila ya utafiti.
Mhii wacha nisikilize leo nimechelewa lakini syo sana
Mayo mayo ...iwe niwe mushaija gendelela bojo kutela katerelo ,sasa hezi otele kimya kimya waulila otabileka sasa hezi mbanula muno
Wa piliii leo
Jamani khan umempeleka wapi
Amen amen mungu nimwema
Atari sana 😳
Mbona kama Masanja
MR everything unapretend hujui umiseta na umishumta?
Weka sura tukuone
Mimi ninao ushuhuda wa hao watumishi wakubwa Sana jinsi wanavyotumia makali ya watu
Makali apo mm sjaelewa vizur
Mshije wetu hongera kwa kazi but nikuulize ile ndoa ulitangaza kufunga kipindi kile cha cha Danel mbona hata hauna Pete au ndo tuko hapa tuna kuzoom tu hapa
Sialieleza yalio mkuta hapa hapa ama ulikua huna simu
Aisee jamaa aligongewa demu wake😃😃😃😃 akaamua kuachana nae
@@igurusitv6553 weeeeeeeeeeee acha utani bas 😀😀😀😀
@@shizaarfred4059 ndio Hivyo we tafuta utaona
@@annkim2690 aki naona hapa palinipita aiseeeeeeeeeee duh !
Hakupaswa kuficha sura inampasa afanye Toba ya kwer
unaijua Toba wewe Toba sio kuonesha sura Toba ni moyoni mwako
Duh p0le sn maana roho ya uzinzi usipo ikemea utapata shida sn
@@godlovem7139 Toba ya kweli kwanza awatake msamaha wote alowakosea na kisha amtake msamaha Mungu na aweke azma/aazimie kuwa hatorudia tena hayo maasi/atubu.
Sio touba za kiujanjaujanja za kujitangaza mitandaoni wakti kuna watu/nafsi amezikosea !
Mbona sauti inafanana na yule mchungaji aliye escape kuingizwa kwenye ufrimasoni?
Ni yeye philipo
Lohog jamaa alizichunga
Story zury kama na watch porno
Kkkkkk acha uhuni, MR Abdallah.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mungu akusamehe.yaan wewe🥺
Shumalamu...owo muka....okagira mayo kutera abakazi Bangi ...keep it up
Dini zote miyeyusho ndg zangu
Sio kweli dini sio mbaya ubaya tunao sisi walimwengu hakuna Dini inayo kufundisha ufanye matendo mabaya.
Kitambo sn na davista🤳
Dad's Suzana upo sawa.Dini sio nzuri.na awa wachungaji wanafanya mapenzi na waumini wao ni kafala iyo inatolewa
Sio Dini zote. Usiseme Dini zote bila ya kuwa ushahidi/bila kufanya utafiti !
Hebu Usome/utafiti Uislamu kama utasikia/utayaona hayo !
@@Mazoea Sio Dini zote, kwanza soma/tafiti na Dini nyengine.
Kuna mambo/tabia za kishetani zimeingizwa ktk imaan/Dini zingine za Uwongo ndo hufanyika hayo tunayoyasikia.