Part 2_USHUHUDA WA MTANZANIA ALIYEKUFA NA KUFIKA MBINGUNI KISHA KUREJEA DUNIANI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
- JIUNGE NA MAGROUP YETU YA WASAP KAMA UNGEPENDA KUWA MCHANGIAJI WA KILA MWEZI KAMA IFUATAVYO:-
1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp....
3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Hatimaye nimekuwa wa kwanza kuccoment part2.ushuhuda mzuri sana. Unamafundisho mazito
Hakika
Hakika Mungu wetu ni mwaminifu sana na huwa na sababu ya maisha yetu tusiishi kwa mazoea
Mungu anisaidie nitembee katika njia zake ahsante ushuhuda mzuri na unatuinua kiimani ubarikiwe sana
Jamani jina la Nyagawa kama baba yangu
Yesu nirehemu sawa sawa nafadhila zako
Amina mtsh hayo yote nikweli mm nime tumika naee na amekaa myumban kwetu kabisa Asante Yesu kwa kupata neema ya kushudia mataifa wa jue Mbingu ipo na jehenamu ipo
Yesu Kristo aliyekuwezesha kurudi na kutupa ushuhuda huu, atusaidie tuweze kuurithi ufalme wake.
Acheni kudanganyika tafadhari, yesu ni DEMONI
Kwa kweli Mungu wetu ni mwema ! Habari za Uwokovu zinaendelea kufunuliwa! Jamani tuendelee kurekebisha njia zetu ili kuona ufalme wa mbinguni!! Amen!
Amen
Amina
Amina
Iv ni kweli kwamba ikiwa mdhambi kubadili matendo yake anasamehewa
@@redemptervictor5006 ndio Kwa Mungu hakuna zito yua sema hata dhambi zako zikiwa nyekundu kama Damu atazisafisha nakua nyeupe pepe
Im sooo blessed. Jacton great is your reward in Heaven. You publish rare content.
Amen,Glory be to God
Nashukuru sana inafundisha saana kabisa
Mungu azidi kimuinua Mtumishi wake
AMINA
Yaani Kuna majitu majinga kweli kwa hiyo unaamin et kaenda mbinguni kweli? Yaani ujinga ni kitu kibaya sana
Usimwache Mungu daima maana daaah
Aisee, shukran sana mtumishi wa Mungu Jactan, ubarikiwe mno, kazi yako Ni njema.
Ameen
Hakika mungu mkubwa atupe Neema kumjua
Ubarikiwe sana mtumishi! Tunaomba mwendelezo wake tafadhali
MTZ ALIYEKWENDA MBINGUNI KISHA KUREJEA DUNIANI: th-cam.com/play/PLXTmPgeqbJ0l65DTil0MH9wpf_y9pQvgn.html
@@PromovertvTz naomba naomba ya huyu ndugu
+255743443230 Au +255 719 024 564
Mungu ana siri kubwa sana
Mungu wetu ni mwema saana
Asante kaka kwa ushuhuda mzuri
Have mercy on me God
Jamani huu ushuhuda ni wa kweli kabisa Namshukuru Mwenyezi Mungu, kaka kwa kushare Mungu nisaidie
Unajuaje ni wa ukweli?? Uongo ndio mnauita Ukweli??
Mungu atusaidie tuyafanye yaliyo yake
Shuhuda hz zinazidi kunijenga kiimani nahitaji kukujua ww BWANA
Amen
Amen
BWANA YESU kristo aturehemu
Amen
Jitahidini.kutomujalibu.mungu.kwakweli.
Tusipo uvaa upendo,, na kupendana sisi kwa sisi na tusipo mpokea yesu Kristo ,, tukaishi kwa njia za Dunia pasipo kumpokea yesu Kristo...tumeangamia...na maana dunia imejaa dhambi...Mungu atusaidi,, tuyatende yaliyo mema yaku mpendeza Mungu...Ameen
Ahsante Mtumishi wa Mungu Kaka yetu...kwa ushuhuda umetutia nguvu Ubarikiwe sana Ameen
Unapoteza miatano unapata elfu ishirini doo mungu nimukubwa kweli
Jamani hivi vitu vipo mm nilifanya dhambi ya kutoa mimba wakati docta ameshafanya hiro tukio nilizimia nasikia naitwa .lakini siwezi kuitika naona.nipo kwenye handaki lefu sana.kuna giza la hatari baada ya kuzinduka kutoka pale hii zambi ilikuwa inanisumbua sana nikaenda kanisanj nikamwambia mchungaji akaniongoza kwa sara ya toba jamani mungu atusaidie sana
Mungu ni mkubwa mno huyo mch Manyama ni mch wangu kwa sasa ni wa TAG Mabibo Sahara
God bless all of you who are learning through this channel
Barikiwa na wew
God bless you too.
Amen Apst am real touched Am born again God looks the heart help me God to guard my heart
Blessings to you too Servant of the Most High GOD 🙏
Ll
00
GOD Bless you bro
Ameen Ameen...Mungu akubariki zaidi kwa kutujenga kiimani zaidi...Hallelujah
Amen ni kwel kabisa Mungu atufumbue macho ya kuona zaid
Yesu Kristo anisaidie na Jamaa zangu ilitupate nafasi katika kuingia ufalme wake
Asemayo ni amina. Mwingine yupo iringa. Alikufa akarudi.
Sehemu gan mumy
😂😂😂😂😂😂😂😂
Kama aliludi huyo alichukuliwa msukule
Balikiwa Sana mtumishi wambie watu wasinganganie dini wamganganie yesu
Siokubatizwa kusilim kitabu cha mungu shetani hawezi kugusa
mungu wangu tupe mwisho mwema dunia inatuchangany sana
Amen
nashukuru Mungu mwenye nguvu na uweza kwa huu ushuhunda
It's better to give than to receive. Thanks alot umenibariki sana na mafunzo mengi napata. God is great. Thank you Jesus
Kwa hiyo we unapona huo ni ukweli ? Watu wangu wannaangamia kwa kukosa maalifa kweli acha ujinga hakuna kitu kama hicho
@@HusseinGabu-wr3xh wewe ndio huna maarifa maana roho wa Mungu hayumo ndani yako. Mtafute mungu na atakuelekeza kujua ulio ukweli na uongo.
@@sheillahwairai4691 ndio mnavotapeliwa hivo we nani kakwambia roho ya mungu ikakaa ndani ya mtu acha ujinga we kila mtu akitoka chooni anawambia katoka mbinguni na mnakubali yaani makristo ni majinga kweli ndio maana wakina mwamposa wanawatapeli kila siku jinga kabisa nyie
Mungu atutie nguvu tufike mbingun
Mungu akusaidie usirud nyuma
Funzo jema sana kwa sis binadamu ambao tunajua dunian tunapita. Ko ni vyema sas tubadilishe njia zetu na kuwa njema machon pa mungu wetu
Braza jactan unanibariki sana
Amen,uzidi kubarikiwa
Mtumishi get to the point, don't divert the message you are so real and God is using you mighty.
Eeeeh Mungu nikumbuke mmi mjaa wako nikikamilisha umri ulio nipa nkufie ndani mwako ewe Mungu nisaidie 🤲🤲🤲🤲😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Sioni shida kulima tumbako maana ni mmea wa kuleta kipato,ndio watu walikuwa wanategemea kule kwetu Sirare,Kuria
Tunaomba utuoneshe kaburi,Cheti cha kifo na ushahidi wwt,note imeandikwa baada ya kifo hukumu
Kama ww ni mkristo soma biblia, anza na Ufunuo wa yohana alafu omba roho mtakatifu akupe uelewa wa kila neno. Mungu akusaidie ndugu pretty, mm pia nilikuwa na moyo mgum saana nashukuru Mungu amenifanya ushuhuda.
Huu ni ufunuo wa siku ya hukumu ndo ameonyeshwa jmn msichanganye mambo.
Ni haki yetu kuuliza kwani biblia imeturuhusu kuzichunguza roho kabla ya kuziamini kwo usitake kila mtu aamini ni lazima tuangalie maandiko yanasemaje Hosea 4:6
Mbona hauhoji ushuuda wa Lazaro ndugu
Mbona alikufa akarudi
Lazaro kabuli lake lipo na alionekana live kk kwo Nina haki ya kuhoji
Barikiwa sana ndg Jackitan tunazidi kubarikiwa! Kazi yako ni njema, Mwenyezi Mungu akufanikishe!
Amen
kuanzia leo mm ninaokoka na apa mbele ya mungu amina|
1
Amen ,
Kwa ushuhuda huu ni mahubiri tosha kwa mtu ambaye hajaokoka
Kiukwer tuzidi kuombeana tuzidi kuombeana wa Tanzania pia ubatizo nimuhimu
Balikiwa sana kaka kwaushuhuda mzur
Ni kweli kuuona Ufalme wa Mbinguni sio lahisi...lakini Yesu Kristo,, Aliye kulejesha Dunia..atutie nguvu na atuwezeshe, tuweze kuuona Ufalme wa Mbinguni...kwa neema yake
😅😅😅😅😅😅😅 ONGOPEANENI WENYEWE ETI KAFA AKAENDA MBINGUNI KISHA AKALUDI 😂😂😂😂😂 SUBUTU WEWE NIMUONGO HUKUFA RAMDA UNGELETA HATA UWONGO WAHIVI RAMDA NILIZIMIA
Mungu nijalie mwisho mwema 😫😫😫😫
Mbn walokole ndio mnaopelekwa mbinguni kila cku hatusikii msabato,kkkt au Roma????
Wameokoka
Usiingilie kazi ya Mungu. Je vikombe alivyovifinyanga mfinyanzi vitamchagulia mfinyanzi matumizi yake? Mungu humtumia apendaye kumtumia sisi ni wanadamu tu mbele za Mungu ni kwa neema tu sisi kuwepo.
Endleeni kujihesabia haki kwn Nani hajaokoka
Sawa vikombe vya wafinyanzi mnaochaguliwa nyie kila siku
Mi mwnyw mluther ila najua mtu akikaa vzr na Mungu hataacha kufunuliwa siri za mbingu.
Mungu tuoneye huruma
Amen 🙏 and I have learned something about the blessing
Wliomzika baada ya kufa hawapo duniani kutupatia ushahidi kuwa ni yeye. Hivyo brother alionyeshwa maruwe ruwe ya mwovu yaliyotabiriwa kuwa yatakuwepo.
I didn't understand this man
same here. I wish i could understand what he is saying.
Eleza ujumbe wa mbinguni unachelewesha
Ameen mungu atabaki kuwa mungu 🙏🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪
Majibu kwako ufunuo 14:16 muhubiri 9:5,6,10 wafu hawajui neno lolote ushuuda huu ni wa maruweruwe bibilia imekataa kabisa kabisa kwa hakuna mfu au mtu aliye kufa Akaendambinguni hata mitume wote wako chini yaani wamekufa hakuna Mahalia tumeambiwa mtume aliye kufa Akaenda mbingu sow napingana na ushuuda kabisa kwa sababu hii 1timoteo6:15,16 muhubiri 12:17 matendo ya mitume 2:29,34 hata David kipezi cha Mungu ako kwa kaburi ww huu Nani uliye kufa ukafufuka!? Bibilia imekataa kabisa kabisa kabisa
Yupo na maneno mazuri lkn bibilia imekataa hayo jabisa
@@tambisamapunda1838 kabisa lakini biblia izo imezitabua kama ishala za shetani ufunuo 14:16 hata shetani ana ishala Kweli 2wakoritho 11:14
@@tambisamapunda1838 shetani ana ishala zake 2wakortho 11:14 ufunuo 14:16
Mungu nisaindia kuku fuata wewe
Akatokea kwa mbelee eejamani huyo wa kwetuuuu kabisa
Yani nashanga waislamu pia wanaingiah box n mwanadamu nani anaweza kufa akafika mbngni kisha akarudi Allahakbar wanusuru waja wko wsiokua n elmu
How can I get you people I have such kind of testimony nikokenya
Kuna mawasiliano yetu hapo tafadhali wasiliana nasi
Aya sasa
Mwajuma mpokee YESU kristo ,mfanye kuwa BWANA na mwokozi wako
Mwajuma jina la mama mimi tayari nipo kwa Bwana Yesu
@@mwajumamasumbuko2170 Amina BWANA YESU akutie nguvu uzidi kusimama ktk njia zake pia kusahau usikose kuzishika amri za Mungu BABA
Ame
Huyu jamaa namjua milikua na sali nae katika kanisa la EAGT kagera sugar ni mpole sana
Waah kweli kuna funzo hapa siuongo kakande asante kwa ushuhuda wako
Maswali yako yanamtoa kwenye reli jarbu kumuacha amalze alaf ajb kwa ufupi ndo aendelee
Kiukwer ni neema ya pekee wote tuzidi kuombeana
ooh i need the mercy of our lord jesus
Mungu akubariki sana Asante sana kwa .mafunzo
Mmh hapa kwenye umeme cjui
Mungu muache aitwe mungu!
acha urongo kaka
Balikia san
Mungu atusaidie mwisho mwema amen
Mbalikiwe sanaaaa
Yesuaokoa
Nahitaji nmba ya huyu kka anisadie kiroho
Mm Mwenyew aseeeh
Kijaana umetoka mbari.
Hi
Nabarikiwa Kila siku na baba yangu uyu
Nimejufunza kitu kikubwa sana
Ujui kutoa ushuuda unababaisha tu unaeleza Mambo mengi ya ajabu ajabu tu unaacha lengo
Kweli nimebarikiwa sana
Ndiyo maana wanasema kutoa ni moyo siyo utajiri ulitoa kidogo ikarejea maraduvu
Bibulia nyoko wee
Imani ni nzuri lakini angalia isikuponze watu wanatumia imani hiyo ulionayo kukupotosha tumia akili imaninnaelimu ni muhimu sana
Mm nina swali,ukiokoka je ni lazima ubatizwe kwa maji mengi ndiyo sahihi ama ubatiz wote ni sawa wa maji mengi na haw wa makanisa kma Luther
Batizwa kwa maji mengi boss ndio sahihi
Swali zuri kabisa nimelipenda asante
Tafadhali Jacktan usitucheleweshe
Sawa,tunaimaliza leo hii
@@PromovertvTz nami ninacho kitabu kinaitwa wengi watatamani kuingia lakini hawataweza ni ushuhuda wangu mwenyewe by Adam Joseph
@@PromovertvTz na kimewafunguwa watu wengi sana na nimehubiri makanisa 93
Mungu atusaidie lkn kiukweli mnatuchanganya nyie hamjui tu maana mpaka muda huu sijui nimuamini nani nisimuamini nani kuna mtu mmoja anasema ni nabii alienda mbinguni kama ww lkn yeye anasema shetani hana pembe ni kijana mzuri tu tofauti na vile ulivyosema ww sasa ukweli ni upi Kyala gwakumwanya tutule
Ana mionekano mingi.. anaweza kujigeuza Kwa namna yeyote
uyo jamaa in mlundi
Kuto kuamini ni dhambi , pia Imani ni daraja
Powerful testimony glory to God.
Ameeen good testimony im so blessed
Amen jina la bwana libarikiwe
nikweli wema wowote ule hauozi nakila Jambo unalifanya linaledodiwa nakabula kufa unakumbushwa kila kitu ulichofanya hapa duniani kwa mtu ambae hajawahi kukutana namatukio Kama haya utasema niuongo ila huyu Mimi simpingi kuna matukio yalinikuta Mimi binafisi naamini kabisa kwaasilikia zote Moto ipo pepo ipo Yuko sahihi kabisa
Heaven is real