Asante kwa somo nzuri.. -Kwa kiongozi pia uwezo wa kubaini yaliyo muhimu na yasiyo muhimu.. -Pia napenda kiongozi awe na uwezo wa ufanisi wa kutenda kazi. -Napenda kiongozi wangu awe na dhana ya kujifunza kwa kupitia kwenye timu yake anayo ongoza. NOTE: Itakuwa vizuri kama mwisho wa somo lako utaweka jinsi ya kupata vitabu vyako au unaweza kuweka link ya jinsi ya kupata vitabu vyako.
Asante sana ubarikiwe Ungetuba mifano katika maandiko,kwa neno la Mungu hayo mambo Maine jambo la kwanza pekee ndio umetupea mfano wake kuhusu baba mukwe wa Moses aliye mushauria kugawa jukumu kwa watu wengine.
Be blessed 🙏🏾🙏🏾🙏🏾 ... nahitaji tupate mada ya ^life after campus ^ mean college in relation ya kujiajiri na uhaba wa ajira asante Utanisaidia sana boss
Asante kwa funzo nzuri kaka, kuwa na uwezo wa kusikiliza wengine ni muhimu sana kama kiongozi manake ndipo unapo jifunza maombi mapya kwa wadogo wako, huu umenisaidia sana kupata suluhisho katika mambo mengi maishani na katika mahali pangu pa kazi👍👍
Ni vigumu ku handle people Because there more you add your value may higher education more than them. Automatically issues gonna be planned for you to make sure you drop for any means
mawasiliano mazuri na pia motivate huwa haipo kabisa,mm kwa sasa nimejiajili Mara nyingi huwa nafanya motivate kwa vijana wenzangu Mara kwa Mara.Kupitia masomo yako Joel nanauka
mm kaka joeli napenda sana niwe kiongozi mzuri ila kuna kitu kina mfano ume mpa kazi mtu maelekezo umesha mpa lakini anafanya ile kazi avyo jisikia yeye ukiuliza ana onaona una muonea kwa hapo una fanyaje kaka
Naam kwa kukosa elimu hii kuna viongozi wanafanya watu hawafurahii kazi yani kila mtu anataka ahame na hata wengine kuacha kazi na viongoz wa namna hii mwisho wao unakuaga mbaya sana... Ahsante sana
Kama unamkubali koching wetu konga like kwangu.
Kaka asante sana, your the best life coach and public speaker in this country, God bless you, Your future is Good
Asante kwa somo nzuri..
-Kwa kiongozi pia uwezo wa kubaini yaliyo muhimu na yasiyo muhimu..
-Pia napenda kiongozi awe na uwezo wa ufanisi wa kutenda kazi.
-Napenda kiongozi wangu awe na dhana ya kujifunza kwa kupitia kwenye timu yake anayo ongoza.
NOTE: Itakuwa vizuri kama mwisho wa somo lako utaweka jinsi ya kupata vitabu vyako au unaweza kuweka link ya jinsi ya kupata vitabu vyako.
Ahsante sana kwa somo zuri
SEE U AT THE TOP!
Asante sana ubarikiwe
Ungetuba mifano katika maandiko,kwa neno la Mungu hayo mambo Maine jambo la kwanza pekee ndio umetupea mfano wake kuhusu baba mukwe wa Moses aliye mushauria kugawa jukumu kwa watu wengine.
Be blessed 🙏🏾🙏🏾🙏🏾 ... nahitaji tupate mada ya ^life after campus ^ mean college in relation ya kujiajiri na uhaba wa ajira asante
Utanisaidia sana boss
Asante kwa funzo nzuri kaka, kuwa na uwezo wa kusikiliza wengine ni muhimu sana kama kiongozi manake ndipo unapo jifunza maombi mapya kwa wadogo wako, huu umenisaidia sana kupata suluhisho katika mambo mengi maishani na katika mahali pangu pa kazi👍👍
Ahsante sana kaka Joel kwa kunipatia elimu kubwa kama hii ,katika maisha yangu ninayo ndoto ya kua kiongozi bora na si bora kiongozi
Asante be blessed
Ni kweli hiyo tabia IPO MTU anaweza kuekwa kiongozi katika kazi akajisifu Sana na kusema boss kaniweka niwe kiongozi coz najua kumbe anajiharibia
Mr. Joel N, i appriciate your commitment.you see what others do not see, keep moving🏃🏃
Safi sana kaka kwa ELIMU ya uongozi me pia ni kiongozi
Hahaha maagizo nusu nusu....taarifa nusu/nusu!!! Imenijenga Sana 💚🍂
Nabarikiwa
thank you for you to educate us continue to help us may Almighty God bless you and your ministry Amen.
Ahsante
Nataman viongoz wang wangepata huu ujumbe
Thankx Sir #Joel
Uongozi,Uongozi, Hi ni sehemu muhimu sana ya kujua uongozi katika ngazi zote, blcd
Good topic
Nimeweza kusema kwamba your my modal Mungu azidi kukuweka ili tuzid kujifunza mengi kutoka kwako
Ni vigumu ku handle people
Because there more you add your value may higher education more than them. Automatically issues gonna be planned for you to make sure you drop for any means
Asante
Thank you for morning rising knowledge
Inabidi niamke saa 11:00 ili niweze kujifunza mengi toka kwako..Naamini nimeweza..
Asante sanaa Mwalimu
Barikiwa
Uongozi Ni Jambo muhimu Sana , ahsante bro kwa somo zuri
Thnkz Doct Urther kuna kiongoz wetu lazma nimwambie ukweli kwenye briefng leo...
Asante sna kwasomo zuri ubarikiwe sna bro,napataje vitabu vyako
Ahsante kwa Elimu yako @Joel nanauka
Well done brother I love you're talking from first I know u up to date
Be blessed Joel
Great stuff Joel. Be blessed always!
Asante sana brother Joel, nimejifunza sana leo 🙏🙏🙏
Nakukubali sana kka ww ni mentor wa maisha yangu
Somo zuri limeeleweka, utekelezaji ufuate. Ahsante kaka
nakufatilia sana Bro nashukuru najifunza mambo mapya kila day
Asante sana Kaka kwa kunielimisha hakika nimeelimika
thank you Joel
Thanks alot
mawasiliano mazuri na pia motivate huwa haipo kabisa,mm kwa sasa nimejiajili Mara nyingi huwa nafanya motivate kwa vijana wenzangu Mara kwa Mara.Kupitia masomo yako Joel nanauka
Many thanks
Joel stay blessed.
Ahsante kwa chakula cha ubongo bro
God bless brother joel
Asant sana bado najifunza Elimu kubwa kwako
Asante kaka "nijifunze kusikiliza"
See you too at the top brother..
learn to listen hii imekuwa changamoto sana especially kwa maboss
Asate koching wetu wa life
Tunajivunia uwepo wako ktk maisha allah akupe maisha yenye afia mzuri.
Asante kaka
🙏🙏
Thanks
Hiro mi linatesa kwenye familia Mara nyingi naraumu sana!
#seeuatthetop#
kutoa motivet & ushawishi
Kaka Nanauka hakika umebadilisha Maisha yangu tangu nianze kukufatilia nakuelewa sana
aiseeeh umenibadili sana kaka ukiwa na semina yoyote please tuarifu nitakuwa wa kwanza kununua tiketi
Nc
Umenijenga sana
Poa sana
Asnte sana
KWENYE motisha
mm kaka joeli napenda sana niwe kiongozi mzuri ila kuna kitu kina mfano ume mpa kazi mtu maelekezo umesha mpa lakini anafanya ile kazi avyo jisikia yeye ukiuliza ana onaona una muonea kwa hapo una fanyaje kaka
Natamani hii video aisikie nimetumia
kupita masomo yako tangu mwaka Jana nimeachana na kuajiliwa.Nataka kuwa kiongozi mzuri zaidi
🙏🙏🙏🙏💕💕
Je mtui atajitambuaje Kama yeye anakarama ya ungozi
nakuerewa uchambuzi wako mzuli uliokaa kiplofessa
ila na Shauri ufungue group la watsaap Bro
Naam kwa kukosa elimu hii kuna viongozi wanafanya watu hawafurahii kazi yani kila mtu anataka ahame na hata wengine kuacha kazi na viongoz wa namna hii mwisho wao unakuaga mbaya sana... Ahsante sana
ahsante sana kwasomozuri
Kaka naona nimechekewa sana kuku faamu ,ningekua mbali sana ,ahsante sana kwa somo hilo
Esa
Misma wea digo yo
Ninaweza kupata namba yako kaka ninaitaji concelng
Mimi ni kiongozi alakini kanisa ninao ongoza bado ni kidogo sijagawa nazi niko DRC
Gawa Kazi hata kwa mtu mmoja kwanza au wawili hata km mko 10
Nabarikiwa
Asante
Asante
ila na Shauri ufungue group la watsaap Bro
Nani atamlipa huko!!!! Hapa analipwa.