Moja kati ya maudhui mazuri Sana katika namna ya kuweza kufaham mambo lukuki ambayo yamedadavuliwa vema Sana. Hongera sana Kwa mtayarishaji wa kipindi, watangazaji lakini kongole za kipekee kwa Mr.John Ulanga kwa kutoa darasa lenye manufaa mengi Sana kwa wenye uhitaji wa kujifunza vitu mbalimbali. 👏🏽👏🏽👏🏽
Moja kati ya maudhui mazuri Sana katika namna ya kuweza kufaham mambo lukuki ambayo yamedadavuliwa vema Sana.
Hongera sana Kwa mtayarishaji wa kipindi, watangazaji lakini kongole za kipekee kwa Mr.John Ulanga kwa kutoa darasa lenye manufaa mengi Sana kwa wenye uhitaji wa kujifunza vitu mbalimbali. 👏🏽👏🏽👏🏽
Nimejifunza mengi kwa muda mfup...!!! Mungu wabariki
Very powerful talkings.Youth should take time for this....
Great!!
A see naomba namba ya huyu ndugu yakwangu0714146268
Great class!
67
Kazi ya kiongozi ni
1. Kutoa DIRA/VISION
2. Kutoa Muelekeo DIRECTION/Tunaendaje.
3. Kutoa HOPE/Matumaini