Amina pasto hii inaonyesha Kwa Kweli kwamba ipo siku hata Biblia na vtabu vya nyimbo watavifuta ole wao wasio na hard copy za bible na vtabu vya nyimbo
Mchungaji nimeamini kwamba ulichosema ni kweli mitandao hii inayo milikiwa na watu kuna uwezekano mkubwa wa kufutwa sasa hii iwe fundisho kwa wale ambao wanaiamini sana hii mitandao ya kijamii hasa wanao tumia biblia kwenye mitandao na programu mbalimbali za kiroho badala yake watu wa Mungu warejee biblia za kawaida ili siku mitandao ikifungwa tusipate shida ubarikiwe sana binafsi nimejifunza kitu
Hanna kitu kama hicho,kwa nn wafunge masaa 6? Huyo Dada ni yuleyule,hao watu sku zote ni wanafiki.wanaonyesha kupingana kumbe ni wamoja,hii yote ni Sera ya kuelekea the common good
Pasta mimi ni mfuatiliaji wako mzuri lkn kwenye swala la kusema dunia ilisimama mi siafiki hata kidogo!! Kwasababu mimi binafsi sigundua kama kuna jambo kama hilo na maisha yangu yaliendelea kama kawaida! Nilihadithiwa jambo hili siku ya pili!
Kwangu mimi naona kuna kitu kipya kimepandikizwa ghafla na kwa siri ili kisichukuliwe taarifa za live au kusiwepo na ushahidi wa mtu yeyote kutambua maana sasa hivi mambo yanafichuka haraka bila mtoa taarifa kuidhinisha jambo hadharani,, tayari kuna singment flani imepandikizwa
Pr ubarikiwe sanaaa. NAOMBA watu wa Mungu tutambue nyakati tunazoishi sasa na tutumie mda mwingi kujifunza neno la Mungu na kuomba.
Nisipo angalia we nitakusikiliza wapi
Asante pastor ubarikiwe sana 🙏🏼
Hii ni break wame tupatia kwamba to focus kwa Mungu
Kabisa
Sauti iko chini PR
Amina pasto hii inaonyesha Kwa Kweli kwamba ipo siku hata Biblia na vtabu vya nyimbo watavifuta ole wao wasio na hard copy za bible na vtabu vya nyimbo
Thx pastor for information 🙏🙏Mungu nisaidie nisitawaliwe na mitandao
Asante kwataalifa hii, muhimsana, asiejua, hawezi kukuelewa, kwawenye ufaham, tayali tumepa, pointi muhim MUNGU akujenje.
Huyu mpare huwa nampenda sana. Huwa anaongea point sana
Na wewe u kabila gani.
Amen Asante Sana najifunza kujitawala Mwenyewe.
Mchungaji nimeamini kwamba ulichosema ni kweli mitandao hii inayo milikiwa na watu kuna uwezekano mkubwa wa kufutwa sasa hii iwe fundisho kwa wale ambao wanaiamini sana hii mitandao ya kijamii hasa wanao tumia biblia kwenye mitandao na programu mbalimbali za kiroho badala yake watu wa Mungu warejee biblia za kawaida ili siku mitandao ikifungwa tusipate shida ubarikiwe sana binafsi nimejifunza kitu
🙏🙏🙏Amen
Tuko katika nyakati za mwisho
Wacha tuombe bila kukoma
Ni mpambano haswaaa. Mungu atusaidie sana
Kweli kabisa
Mwenyezi Mungu akupemaisha marefu
Ahsante Sana Pastor Mungu akupe zaidi hekima uzidi kuisimamia kweli ya neno la Mungu nakuokoa kizazi hiki kilichopotoka
Mungu akubariki Sana Mchungaji, Mimi nimekuelewa vizuri, nitachukua hatua zaidi, maana Kwa hakika nimekuwa mtumwa Sana wa mitandao hiyo.
Asante sana pastor David...Mungu akulinde daima kwa jinsi unalitumikia kusudi..tutambue namna itupasavyo kama wana wa MUNGU.....
Thanks pastor for information
Amen pastor kwa iyo habari
Asante. Mungu tusaidiee
Mungu akuongezee hekima na bussra
Amen pastor... Mungu ni mwema atupiganie tuyashinde ya mitandao.
Asante pastor NA BWANA AKUBARIKI KWA UJUMBE HUU TUKO PAMOJA
Ubarikiwe
Ahsante Sana Pastor,
Kweli Mungu atawale akili zetu!
Asante sana Mungu akubariki 🙏🏼🙏🏼🙏🏼💗🥰❤️
Nimekuelewa mtumishi wa Mungu ubarikiwe
Amen.Asante Pastor
sahihi kabisa Pr. dunia ya leo watu wengi wametawaliwa na mitandao ya kijamii
Tumetawaliwa. Tutachomokaje
Amen and be blessed pastor
Pastor hapo umenijenga sana huwa nakupenda sana kwa mafundisho ambayo kila siku matazamo wangu unabadilika na kunijengea imani
Thanks pastor Mungu akubariki sana mjungaji sana
Leo dunia iwahi na kulala😂😂
Asante Sana Mtumishi wa MUNGU ubarikiwe.
MUNGU akubariki Sana mtumshi kwa fumbo hili. Nakupenda sana
Ubarikiwe sana Pastor kwa kutufumbulia fumbo hili.
God bless u
Barikiwa Pr. Kweli tunapaswa kujitawala na sio kutawaliwa na mitandao ya kijamii. Mungu kwanza🙏
Brikiwa pr
Ubarikiw xan pastor mbaga mungu akulinde
Noted ✊✊✊✊✊
My favorite pastor!!!
Asante sana pastor Mungu akubariki
Hanna kitu kama hicho,kwa nn wafunge masaa 6? Huyo Dada ni yuleyule,hao watu sku zote ni wanafiki.wanaonyesha kupingana kumbe ni wamoja,hii yote ni Sera ya kuelekea the common good
Amina pr Mungu akubariki
Namshukuru Mungu alinipa ufahamu kuhusu mitandao mapema..
Asante Pastor umesema ukweli, Mungu akubariki
Amen Pastor barikiwa sana
Media ni ulevi kama vile ulevi wa drugs, tunahitaji nguvu za Mungu zituokoe na huu ulevi
Kama vile watu wanavyoabudu miungu ndivyo wengine wanavoabudu
Amen mtumishi wa Mungu
Ukweli mtupu pastor Mmbaga David
Asante sana pastor
Amen Mungu atusaidie na huu utumwa wa mitandao
Asante sana baba. Shauri toka drc goma
Daah.
Imagine nilikuwa sijui kuwa mitandao haikuwepo.
Asante ubarikiwe mchungaji wangu
Barikiwa mtumishi wa Mungu
Barikiwa sana mtumishi
Mungu akubariki sana pastor
Amina sana mtumishsi wa BABA
Mungu akubariki PR nimepata jambo
Very true serious yani tukae mbali na mitandao
Ubarikiwe pastor
Asante kwa kuniimarisha
Ubarikiwe mtumishi.
Ukweli mtupu.
Mungu akubariki sana
Asante Pastor.
Hallelujah
Mungu akubariki mch Mmbaga
Ubarikiwe mchungaji
Amen its true.
ASANTE SANA PASTOR
Ubarikiwe sana
Namshukuru Mungu hata sikujua tatizo lililotokea mpk hali imebadilika ndio nasikia
Asante sana mchungaji
Barikiwa pastor
Amina ubarikiwe
Barikiwa sana mchungaji.
Barikiwa sana Mchungaji.
Mungu akubariki baba
Amen
Shetani ndio anamiliki social media ila ukitako kupotea geza na kuamini maisha ya watu wa instangram
Wanapima waone wangapi tutapata 5G ili waongeze mbinu ya Chanjo
Point sana Mungu atusaidie na atuponye
Pasta mimi ni mfuatiliaji wako mzuri lkn kwenye swala la kusema dunia ilisimama mi siafiki hata kidogo!! Kwasababu mimi binafsi sigundua kama kuna jambo kama hilo na maisha yangu yaliendelea kama kawaida! Nilihadithiwa jambo hili siku ya pili!
Kwasababu hutumii labda kla siku ila kweli haikuwepo mda wa masaa kadhaa
Binafsi nakutakia Kila la kheri. Na Mwenyezi Mungu Awabariki
title haiendani na ujumbe nilitaka kushangaa Pr. ujiingize kwenye mijadala mfu, ubarikiwe kwa ufafanuzi mzuri na sahihi
Amen amen 🙏🏻
ILE VIDEO YA MTUKUF CORONA IPO KWENY CHANEL GAN MBONA SIION MTUMISH WA MUNG.... 👏
Barikiwa canaaa
Amen Amen
Kweli tena mwenyezi Mungu atusaidie tu,
👍👏👏
Mmmh! Interesting 🤔
Kwangu mimi naona kuna kitu kipya kimepandikizwa ghafla na kwa siri ili kisichukuliwe taarifa za live au kusiwepo na ushahidi wa mtu yeyote kutambua maana sasa hivi mambo yanafichuka haraka bila mtoa taarifa kuidhinisha jambo hadharani,, tayari kuna singment flani imepandikizwa
Nashukuru kwa maelezo ya kutufungua macho
Social media detox....be blessed pastor 🙏.
Mitandao inanisumbua now katika mambo mengi kuna time unaapata depression
Mungu atusaidia kuelewa haya mambo
Mungu atusaidie
Ansante sana balikia
Mungu atusaidie kujitawal,, sio kutawliwa
Ni kweli kabisa
Nimejifunza kitu mchungji ubarikiwe Sana