NINI KIMETOKEA KWENYE MITANDAO HII GHAFLA?

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 141

  • @vayaulashedrack5994
    @vayaulashedrack5994 2 ปีที่แล้ว +11

    Pr ubarikiwe sanaaa. NAOMBA watu wa Mungu tutambue nyakati tunazoishi sasa na tutumie mda mwingi kujifunza neno la Mungu na kuomba.

  • @jonathanimdegela1005
    @jonathanimdegela1005 2 ปีที่แล้ว +5

    Nisipo angalia we nitakusikiliza wapi

  • @rhinakiza
    @rhinakiza 2 ปีที่แล้ว +11

    Asante pastor ubarikiwe sana 🙏🏼
    Hii ni break wame tupatia kwamba to focus kwa Mungu

  • @barakafares2234
    @barakafares2234 2 ปีที่แล้ว +2

    Amina pasto hii inaonyesha Kwa Kweli kwamba ipo siku hata Biblia na vtabu vya nyimbo watavifuta ole wao wasio na hard copy za bible na vtabu vya nyimbo

  • @conniemukami127
    @conniemukami127 2 ปีที่แล้ว +2

    Thx pastor for information 🙏🙏Mungu nisaidie nisitawaliwe na mitandao

  • @mussayusuph8696
    @mussayusuph8696 2 ปีที่แล้ว +4

    Asante kwataalifa hii, muhimsana, asiejua, hawezi kukuelewa, kwawenye ufaham, tayali tumepa, pointi muhim MUNGU akujenje.

  • @georgematahimba5242
    @georgematahimba5242 2 ปีที่แล้ว +12

    Huyu mpare huwa nampenda sana. Huwa anaongea point sana

    • @dadapechi
      @dadapechi 2 ปีที่แล้ว +1

      Na wewe u kabila gani.

  • @maureenkemei9254
    @maureenkemei9254 2 ปีที่แล้ว +3

    Amen Asante Sana najifunza kujitawala Mwenyewe.

  • @danieligrangaisanganda1998
    @danieligrangaisanganda1998 2 ปีที่แล้ว +5

    Mchungaji nimeamini kwamba ulichosema ni kweli mitandao hii inayo milikiwa na watu kuna uwezekano mkubwa wa kufutwa sasa hii iwe fundisho kwa wale ambao wanaiamini sana hii mitandao ya kijamii hasa wanao tumia biblia kwenye mitandao na programu mbalimbali za kiroho badala yake watu wa Mungu warejee biblia za kawaida ili siku mitandao ikifungwa tusipate shida ubarikiwe sana binafsi nimejifunza kitu

    • @katakabilhah6619
      @katakabilhah6619 2 ปีที่แล้ว

      🙏🙏🙏Amen
      Tuko katika nyakati za mwisho
      Wacha tuombe bila kukoma

  • @namsifumaduhumwita2495
    @namsifumaduhumwita2495 2 ปีที่แล้ว +3

    Ni mpambano haswaaa. Mungu atusaidie sana

  • @kimusembura9483
    @kimusembura9483 ปีที่แล้ว

    Mwenyezi Mungu akupemaisha marefu

  • @charlesbabag1424
    @charlesbabag1424 2 ปีที่แล้ว +1

    Ahsante Sana Pastor Mungu akupe zaidi hekima uzidi kuisimamia kweli ya neno la Mungu nakuokoa kizazi hiki kilichopotoka

  • @lacksonmwakanema6799
    @lacksonmwakanema6799 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubariki Sana Mchungaji, Mimi nimekuelewa vizuri, nitachukua hatua zaidi, maana Kwa hakika nimekuwa mtumwa Sana wa mitandao hiyo.

  • @bupemwakamela1091
    @bupemwakamela1091 2 ปีที่แล้ว

    Asante sana pastor David...Mungu akulinde daima kwa jinsi unalitumikia kusudi..tutambue namna itupasavyo kama wana wa MUNGU.....

  • @billclintononyimbo_officia
    @billclintononyimbo_officia 2 ปีที่แล้ว +3

    Thanks pastor for information

  • @khaldn7409
    @khaldn7409 2 ปีที่แล้ว +2

    Amen pastor kwa iyo habari

  • @narggdhdv765
    @narggdhdv765 2 ปีที่แล้ว

    Asante. Mungu tusaidiee

  • @christinengola6016
    @christinengola6016 2 ปีที่แล้ว

    Mungu akuongezee hekima na bussra

  • @jimmymarwamatjr491
    @jimmymarwamatjr491 2 ปีที่แล้ว

    Amen pastor... Mungu ni mwema atupiganie tuyashinde ya mitandao.

  • @Gold_of_hope_Tv
    @Gold_of_hope_Tv 2 ปีที่แล้ว +2

    Asante pastor NA BWANA AKUBARIKI KWA UJUMBE HUU TUKO PAMOJA

  • @gospotv
    @gospotv 2 ปีที่แล้ว +4

    Ubarikiwe

  • @dorothymokua8751
    @dorothymokua8751 2 ปีที่แล้ว +3

    Ahsante Sana Pastor,
    Kweli Mungu atawale akili zetu!

  • @shaniachanceline2751
    @shaniachanceline2751 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana Mungu akubariki 🙏🏼🙏🏼🙏🏼💗🥰❤️

  • @richardomary143
    @richardomary143 2 ปีที่แล้ว +1

    Nimekuelewa mtumishi wa Mungu ubarikiwe

  • @rosemarymwanitega7926
    @rosemarymwanitega7926 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen.Asante Pastor

  • @agostysilver7015
    @agostysilver7015 2 ปีที่แล้ว +2

    sahihi kabisa Pr. dunia ya leo watu wengi wametawaliwa na mitandao ya kijamii

    • @dadapechi
      @dadapechi 2 ปีที่แล้ว

      Tumetawaliwa. Tutachomokaje

  • @niwevyose8147
    @niwevyose8147 2 ปีที่แล้ว

    Amen and be blessed pastor

  • @erickmogere6558
    @erickmogere6558 2 ปีที่แล้ว

    Pastor hapo umenijenga sana huwa nakupenda sana kwa mafundisho ambayo kila siku matazamo wangu unabadilika na kunijengea imani

  • @kemuntojackline2267
    @kemuntojackline2267 2 ปีที่แล้ว

    Thanks pastor Mungu akubariki sana mjungaji sana

  • @malochafrenkmayala260
    @malochafrenkmayala260 2 ปีที่แล้ว +4

    Leo dunia iwahi na kulala😂😂

  • @neemakweli461
    @neemakweli461 2 ปีที่แล้ว

    Asante Sana Mtumishi wa MUNGU ubarikiwe.

  • @shegashega2421
    @shegashega2421 2 ปีที่แล้ว +1

    MUNGU akubariki Sana mtumshi kwa fumbo hili. Nakupenda sana

  • @mossesjoseph2202
    @mossesjoseph2202 2 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe sana Pastor kwa kutufumbulia fumbo hili.

  • @leahmora8019
    @leahmora8019 2 ปีที่แล้ว

    Barikiwa Pr. Kweli tunapaswa kujitawala na sio kutawaliwa na mitandao ya kijamii. Mungu kwanza🙏

  • @sabathlameck9772
    @sabathlameck9772 2 ปีที่แล้ว

    Ubarikiw xan pastor mbaga mungu akulinde

  • @zacharianicodemas184
    @zacharianicodemas184 2 ปีที่แล้ว

    Noted ✊✊✊✊✊

  • @MN-hi8ll
    @MN-hi8ll 2 ปีที่แล้ว

    My favorite pastor!!!

  • @jessikaakinyi8445
    @jessikaakinyi8445 2 ปีที่แล้ว

    Asante sana pastor Mungu akubariki

  • @pendoemmanuel4319
    @pendoemmanuel4319 2 ปีที่แล้ว +2

    Hanna kitu kama hicho,kwa nn wafunge masaa 6? Huyo Dada ni yuleyule,hao watu sku zote ni wanafiki.wanaonyesha kupingana kumbe ni wamoja,hii yote ni Sera ya kuelekea the common good

  • @emmanuelsamuellupiga7630
    @emmanuelsamuellupiga7630 2 ปีที่แล้ว

    Amina pr Mungu akubariki

  • @brendapierre878
    @brendapierre878 2 ปีที่แล้ว

    Namshukuru Mungu alinipa ufahamu kuhusu mitandao mapema..

  • @daisybuyantsi5953
    @daisybuyantsi5953 2 ปีที่แล้ว

    Asante Pastor umesema ukweli, Mungu akubariki

  • @saumhamisi7320
    @saumhamisi7320 2 ปีที่แล้ว

    Amen Pastor barikiwa sana

  • @rosemutinda3076
    @rosemutinda3076 2 ปีที่แล้ว +4

    Media ni ulevi kama vile ulevi wa drugs, tunahitaji nguvu za Mungu zituokoe na huu ulevi

    • @sisterdivvana8770
      @sisterdivvana8770 2 ปีที่แล้ว +1

      Kama vile watu wanavyoabudu miungu ndivyo wengine wanavoabudu

  • @grdcgv7ufdwdfghh633
    @grdcgv7ufdwdfghh633 2 ปีที่แล้ว

    Amen mtumishi wa Mungu

  • @edithmakwakwa9489
    @edithmakwakwa9489 2 ปีที่แล้ว

    Ukweli mtupu pastor Mmbaga David

  • @meshackadam1521
    @meshackadam1521 2 ปีที่แล้ว

    Asante sana pastor

  • @leticiakibona7055
    @leticiakibona7055 2 ปีที่แล้ว

    Amen Mungu atusaidie na huu utumwa wa mitandao

  • @shaurirwanika5867
    @shaurirwanika5867 2 ปีที่แล้ว

    Asante sana baba. Shauri toka drc goma

  • @happynessmpaza379
    @happynessmpaza379 2 ปีที่แล้ว +1

    Daah.
    Imagine nilikuwa sijui kuwa mitandao haikuwepo.

  • @Lesley400
    @Lesley400 2 ปีที่แล้ว

    Asante ubarikiwe mchungaji wangu

  • @navokisembo
    @navokisembo 2 ปีที่แล้ว

    Barikiwa mtumishi wa Mungu

  • @mariahaloyce5190
    @mariahaloyce5190 2 ปีที่แล้ว

    Barikiwa sana mtumishi

  • @t7zkc5tpxgim28
    @t7zkc5tpxgim28 2 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki sana pastor

  • @jonacemanyama4858
    @jonacemanyama4858 2 ปีที่แล้ว

    Amina sana mtumishsi wa BABA

  • @elizabethjohn5442
    @elizabethjohn5442 2 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki PR nimepata jambo

  • @sisterdivvana8770
    @sisterdivvana8770 2 ปีที่แล้ว

    Very true serious yani tukae mbali na mitandao

  • @happinessmisana73
    @happinessmisana73 2 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe pastor

  • @anethmasaki5842
    @anethmasaki5842 2 ปีที่แล้ว

    Asante kwa kuniimarisha

  • @malochafrenkmayala260
    @malochafrenkmayala260 2 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe mtumishi.

  • @GibiGene
    @GibiGene 2 ปีที่แล้ว

    Ukweli mtupu.

  • @MN-hi8ll
    @MN-hi8ll 2 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki sana

  • @isaiahstadius2383
    @isaiahstadius2383 2 ปีที่แล้ว

    Asante Pastor.

  • @puritychogoro
    @puritychogoro 2 ปีที่แล้ว

    Hallelujah

  • @priscillaheri6823
    @priscillaheri6823 2 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki mch Mmbaga

  • @noelmbise9157
    @noelmbise9157 2 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe mchungaji

  • @melvinnakhungu2504
    @melvinnakhungu2504 2 ปีที่แล้ว

    Amen its true.

  • @happinessmassageclinic4265
    @happinessmassageclinic4265 2 ปีที่แล้ว

    ASANTE SANA PASTOR

  • @mamatabitha8665
    @mamatabitha8665 2 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe sana

  • @mariamswedi1140
    @mariamswedi1140 2 ปีที่แล้ว

    Namshukuru Mungu hata sikujua tatizo lililotokea mpk hali imebadilika ndio nasikia

  • @joliea2956
    @joliea2956 2 ปีที่แล้ว

    Asante sana mchungaji

  • @alicenyabate8148
    @alicenyabate8148 2 ปีที่แล้ว

    Barikiwa pastor

  • @stephanoleonce5530
    @stephanoleonce5530 2 ปีที่แล้ว

    Amina ubarikiwe

  • @gracejapheth3476
    @gracejapheth3476 2 ปีที่แล้ว

    Barikiwa sana mchungaji.

  • @xmaramoja362
    @xmaramoja362 2 ปีที่แล้ว

    Barikiwa sana Mchungaji.

  • @HabilyTech
    @HabilyTech 2 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki baba

  • @fridafrancis1960
    @fridafrancis1960 2 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @sisterdivvana8770
    @sisterdivvana8770 2 ปีที่แล้ว

    Shetani ndio anamiliki social media ila ukitako kupotea geza na kuamini maisha ya watu wa instangram

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 2 ปีที่แล้ว +1

    Wanapima waone wangapi tutapata 5G ili waongeze mbinu ya Chanjo

  • @rosemarylihawa6547
    @rosemarylihawa6547 2 ปีที่แล้ว

    Point sana Mungu atusaidie na atuponye

  • @fridageorge2809
    @fridageorge2809 2 ปีที่แล้ว

    Pasta mimi ni mfuatiliaji wako mzuri lkn kwenye swala la kusema dunia ilisimama mi siafiki hata kidogo!! Kwasababu mimi binafsi sigundua kama kuna jambo kama hilo na maisha yangu yaliendelea kama kawaida! Nilihadithiwa jambo hili siku ya pili!

    • @perepetuarwabona4178
      @perepetuarwabona4178 2 ปีที่แล้ว

      Kwasababu hutumii labda kla siku ila kweli haikuwepo mda wa masaa kadhaa

  • @dadapechi
    @dadapechi 2 ปีที่แล้ว

    Binafsi nakutakia Kila la kheri. Na Mwenyezi Mungu Awabariki

  • @gudabutondo5966
    @gudabutondo5966 2 ปีที่แล้ว

    title haiendani na ujumbe nilitaka kushangaa Pr. ujiingize kwenye mijadala mfu, ubarikiwe kwa ufafanuzi mzuri na sahihi

  • @eliyahdavid397
    @eliyahdavid397 2 ปีที่แล้ว

    Amen amen 🙏🏻

  • @allanothuman2941
    @allanothuman2941 2 ปีที่แล้ว +1

    ILE VIDEO YA MTUKUF CORONA IPO KWENY CHANEL GAN MBONA SIION MTUMISH WA MUNG.... 👏

  • @allychengula3511
    @allychengula3511 2 ปีที่แล้ว

    Barikiwa canaaa

  • @gracenyamisa8703
    @gracenyamisa8703 2 ปีที่แล้ว

    Amen Amen

  • @bjchamba6452
    @bjchamba6452 2 ปีที่แล้ว

    Kweli tena mwenyezi Mungu atusaidie tu,

  • @benedictojakobo4425
    @benedictojakobo4425 2 ปีที่แล้ว +1

    👍👏👏

  • @ciciandjojo7701
    @ciciandjojo7701 2 ปีที่แล้ว

    Mmmh! Interesting 🤔

  • @isayamgaza7716
    @isayamgaza7716 2 ปีที่แล้ว

    Kwangu mimi naona kuna kitu kipya kimepandikizwa ghafla na kwa siri ili kisichukuliwe taarifa za live au kusiwepo na ushahidi wa mtu yeyote kutambua maana sasa hivi mambo yanafichuka haraka bila mtoa taarifa kuidhinisha jambo hadharani,, tayari kuna singment flani imepandikizwa

  • @bibleministry7175
    @bibleministry7175 2 ปีที่แล้ว

    Nashukuru kwa maelezo ya kutufungua macho

  • @jamiejames6100
    @jamiejames6100 2 ปีที่แล้ว +1

    Social media detox....be blessed pastor 🙏.

  • @GibiGene
    @GibiGene 2 ปีที่แล้ว

    Mitandao inanisumbua now katika mambo mengi kuna time unaapata depression

  • @rehabokaya2232
    @rehabokaya2232 2 ปีที่แล้ว

    Mungu atusaidia kuelewa haya mambo

  • @victoriajames6190
    @victoriajames6190 2 ปีที่แล้ว

    Mungu atusaidie

  • @geraldineirankunda1159
    @geraldineirankunda1159 2 ปีที่แล้ว

    Ansante sana balikia

  • @sumasamwel9081
    @sumasamwel9081 2 ปีที่แล้ว

    Mungu atusaidie kujitawal,, sio kutawliwa

  • @dorahyonah9734
    @dorahyonah9734 2 ปีที่แล้ว

    Ni kweli kabisa

  • @mwanawachapa6866
    @mwanawachapa6866 2 ปีที่แล้ว

    Nimejifunza kitu mchungji ubarikiwe Sana