Nimefikisha miezi mitatu sasa tokea nimeanza committment kubwa sana maishani mwangu. Bila shaka kwa kipindi kilichobakia cha miezi mitatu naona ni kifupi zaidi maana hapa ndipo palipokuwa na changamoto sana.!
Nimeghairi sana mambo na majuto ikawa mjuku bali nashukuru nina mabadiliko, ninamatumai kufanya vema zaidi, zote uliyoyasema ni kweli mwalimu wangu 😍😍❤🙏
Nimejifunza kitu muhimu sana kupitia mafundisho yako! Really I'm unique! Maoni ya watu hayapaswi Ku dictate my destiny! Barikiwa sana mtumishi wa Mungu!
Joel mm tatizo langu nataka vitabu shida yangu kubwa sana
Daa umebadirisha maisha yangu asanteeee
kwakweli njinsi ya kusevu pesa nashidwa kabisa naeza tunza mwezi mmoja badae nazitumia unanisaidiaje
Hongera kwa somo
Nimefikisha miezi mitatu sasa tokea nimeanza committment kubwa sana maishani mwangu. Bila shaka kwa kipindi kilichobakia cha miezi mitatu naona ni kifupi zaidi maana hapa ndipo palipokuwa na changamoto sana.!
Nani anaiangalia hii tena leo 15/04/2024..?
Thanx bro.....umenibadilisha sana kifikra....Mungu akubariki.
Bro umenisaidia sana najiona mbali kutoka kuuza mahindi ya kuchoma mpaka kumili daladala hiace si mchezo maana kuna watu wanakatisha tamaa.
Asante sana kiongozi kwa masomo nimeyatumia nianza kuona mabadiliko mabo 10 malizia sehem ya pili asante sana.
Nimeghairi sana mambo na majuto ikawa mjuku bali nashukuru nina mabadiliko, ninamatumai kufanya vema zaidi, zote uliyoyasema ni kweli mwalimu wangu 😍😍❤🙏
Nimejifunza kitu muhimu sana kupitia mafundisho yako! Really I'm unique! Maoni ya watu hayapaswi Ku dictate my destiny! Barikiwa sana mtumishi wa Mungu!
No word
Asante kwa elimu nzuri uliyoitoa.
Life changer!!😘😘shukraaan
Asante bro, kwa mafundisho yako
Barikiwa sana kaka Joel mungu akupe hekima ya kufundisha watu bureee
asante sana kaka Joel umenibadilisha kifikira mungu azidi kukubariki
Thanks so much. Umenifanya. Nijitambue nzaidi
Safi sana Joel kuna mambo mengi umenigusa. Napenda sana presentation zako kweli unajiandaa na zina mantiki. Mungu akubariki sana
Ni jinsi gani mtu anaweza kuepuka kujutia makosa ya zaman.Asante sana kwa msomo yako aisee.