Amen, Amen. Neema ya KRISTO YESU na Roho wake anipe uwezo wa kumkili KRISTO YESU kila wakati Mimi na Uzao wangu. Asante Sana Kwa Mafundisho mazuri Rabbi. Barikiwa
NAMSHUKURU MUNGU KWA KUIJUA HII CHANEL HAYA NDIO MAFUNDISHO NAPENDA KUSIKILIZA HUWA SICHOKI KUSIKIA HABARI ZA SIKU ZA MWISHO KWASABABU NDIO TUNAISHI.BARIKIWA SANA MTUMISHI WA MUNGU
Baba asante sanaaaaana ukweli ndo uo namimi mungu alinifunulia ktk ndoto nanikaona mashoga wanaimba nyimbo za dini nao wanakuwa wanajifanya kumuibia yesu na wote walikuwa wamevaa uchi na kucheza kwao kulionekana wanashika sehemu zao za siri walikuwa wanamdhiaki bwana yesu.
Nîmes mubariki uyuu mungu kwa Ku nipa nehema ya kuku fwata Rabbi,Niko muchristo ni Ku ona Mara kwanza Butembo Congo,n'a pale mungu Ali dji Tuliza sanza kupitaaa wewe. N'a pile Kwa kanisa Sukisa Bunia Congo,n'a Léo kwa ligne, mungu aku bariki sanaaaaaà,Nina amini mafundisho uli leta kwetu: Divin connections.
Asante sana Namuchukuru Mungu Baba ,kupitia Yesu Kristo kwa tumia wa yaudi kuwa waalimu wa injili... Bwana Yesu Kristo asifiwe Sana.mimi niko Congo nampenda Yesu Kristo.
Upone kwa jina la YESU dawa chukua asali, kijiko kimoja cha chai, tafuna carrot moja kila siku, na pia mbegu za maboga kijiko kimoja kila siku mpaka utaona maumivu yatapona,
Powerful message
Amen 🙏
Amina
Amen, Amen. Neema ya KRISTO YESU na Roho wake anipe uwezo wa kumkili KRISTO YESU kila wakati Mimi na Uzao wangu. Asante Sana Kwa Mafundisho mazuri Rabbi. Barikiwa
NAMSHUKURU MUNGU KWA KUIJUA HII CHANEL HAYA NDIO MAFUNDISHO NAPENDA KUSIKILIZA HUWA SICHOKI KUSIKIA HABARI ZA SIKU ZA MWISHO KWASABABU NDIO TUNAISHI.BARIKIWA SANA MTUMISHI WA MUNGU
Baba asante sanaaaaana ukweli ndo uo namimi mungu alinifunulia ktk ndoto nanikaona mashoga wanaimba nyimbo za dini nao wanakuwa wanajifanya kumuibia yesu na wote walikuwa wamevaa uchi na kucheza kwao kulionekana wanashika sehemu zao za siri walikuwa wanamdhiaki bwana yesu.
UWE unaandika Mungu iyo m iwe herufii kubwa SAWA mpendwa Katika Kristo
Mungu azidi kukutunza Rabbi, you were brought in this word for such a time as this! Mwenye masikio na asikie Neno Roho anayaambia mataifa!
Amen amen mtumishi wa Yesu Kristo. Ujumbe huu ni mzito na mzuri sana. Asante sana, Mungu akutie nguvu uwafikie wengi.
Baba ubarikiwe sana hakika huhitaji kuhubiri mali haya ndio YATUPASA wakati huu Asante na ubarikiwe sana
Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU kwa mafundisho yanayotufanya waamini tuelewe nyakati tulizonazo na tujiandae kwa unyakuo wa kanisa
Mafundisho yenye uzima mno,tuamke kanisa tuamke Yesu ni kama sasa amesogea kweli!!wewe ni mwalimu
Amina mtumishi barikiwe sana
GOD bless you servant of our lORDJESUS,for your unique anointed teachings on the current season we are in, waiting for the rapture of the church
Amen Gob bless you
Amen mtumishi tupo pamoja
Ubarikiwe Sana mutumishi wa Mungu endelea mbele na injili
Mungu nisadie niokolewe na wewe Baba
Nakuelewa sana baba amina na mungu akubariki naakufunurie mengi zaidi
Asante Mungu akubariki Sana kwa mafundisho nabarikiwa sana
Amen
Amena God bless you
Barikiwa mtumishi
Amen my pastor
Ubarikiwe sana mtumishi
Niombee baba nahisi kuwa na roho ya kukataliwa na mikosi
Ameni
Shalom ubarikiwe kwa ujumbe mzuri
Nîmes mubariki uyuu mungu kwa Ku nipa nehema ya kuku fwata Rabbi,Niko muchristo ni Ku ona Mara kwanza Butembo Congo,n'a pale mungu Ali dji Tuliza sanza kupitaaa wewe. N'a pile Kwa kanisa Sukisa Bunia Congo,n'a Léo kwa ligne, mungu aku bariki sanaaaaaà,Nina amini mafundisho uli leta kwetu: Divin connections.
UWE unaandika Mungu sio mungi
sio mungu kwa herufii ndogo iyo M iwe kubwa
Barikiwa man of God
Bwana utusaidie tupe maarifa tupone.
Ameen!!
Hiyo background music inasumbua. Je inawezekana anayepiga akanyamaza?
Asante sana Namuchukuru Mungu Baba ,kupitia Yesu Kristo kwa tumia wa yaudi kuwa waalimu wa injili... Bwana Yesu Kristo asifiwe Sana.mimi niko Congo nampenda Yesu Kristo.
MUNGU AKUBARIKI AKUJIDISHIYE VIPAWA
Amen Amen mtumishi ubarikiwe sana
Eeeeh MUNGU WA MBINGUNI tusaidie tusikukane wala tusikuache
Naomba maombi nina maumivu ya mgongo yameanza gafla sijawahi kupata shida hii maumivu yalianza usiku
Upone kwa jina la YESU dawa chukua asali, kijiko kimoja cha chai, tafuna carrot moja kila siku, na pia mbegu za maboga kijiko kimoja kila siku mpaka utaona maumivu yatapona,
Amen
Ubarikiwe Sana mutumishi wa Mungu endelea mbele na injili