8. Kuzifungua Siri za Mihuri Saba ( Mystery of the Seven Seals )

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ค. 2018
  • Kitabu cha Ufunuo kinataja habari za Muhuri Saba, ambayo Kristo ndio mwenye mamlaka ya kuifungua, katika somo hili utajifunza ukweli huu wa kushangaza wa Ufunuo wa matukio katika kanisa la Kikristo mpaka wakati wa Mwisho, Mungu akubariki sana.

ความคิดเห็น • 38

  • @davidbedda5007
    @davidbedda5007 5 ปีที่แล้ว +2

    MUNGU na akubariki sana Mwinjilisisti Machota

  • @dasilvajr9647
    @dasilvajr9647 3 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe mno! Mtumishi. 2nabarikiwa Sana katika BWANA 2nazidi kuzijua Siri za unabii na neno la MUNGU

  • @drmpemba5528
    @drmpemba5528 5 ปีที่แล้ว +3

    12 wakisema, Amina; Baraka na utukufu na hekima na shukrani na heshima na uweza na nguvu zina Mungu wetu hata milele na milele. Amina.
    Ufunuo wa Yohana 7 :12

  • @samweltito7200
    @samweltito7200 2 ปีที่แล้ว

    Nakuelewa Sana mungu akutangulie ktk Huduma yako mtumishi

  • @rosemchomvu3711
    @rosemchomvu3711 2 ปีที่แล้ว

    Mungu akujaze roho mtakatifu uzidi kutufundisha

  • @selinasulley6164
    @selinasulley6164 4 ปีที่แล้ว

    Asante mchungaji, Mungu aendelee kukupigania uendelee kutuletea injili takatifu

  • @ezrommussamusssa2540
    @ezrommussamusssa2540 หลายเดือนก่อน

    Nami ni mshindi wa bwana

  • @eliabamayi4344
    @eliabamayi4344 4 ปีที่แล้ว +4

    Ukristo ni raha tupu yaani mafundisho matamu kma haya muislamu haezi elewa na ndio maana tunazidi kumuinua yesu juu Sana kwa neema yake kwetu

    • @amanimwidowe653
      @amanimwidowe653 4 ปีที่แล้ว

      Muislam hakuhusu fata yako imani yako unaweza kuipoteza na ikawa ni bure

  • @rafoursamiol5244
    @rafoursamiol5244 4 ปีที่แล้ว

    Mtumishi Mungu akubariki najifunza mengi

  • @isemavyobibliaonlinetv8327
    @isemavyobibliaonlinetv8327 5 ปีที่แล้ว +1

    Heri wayasikiao na wao wayasomao maneno ya kitabu hiki

  • @deustutu1162
    @deustutu1162 5 ปีที่แล้ว +1

    barikiwa sana mtumishi kutufafanunulia vitu ambavyo imekuwa ngumu kuvijua

    • @MwinjilistiMachota
      @MwinjilistiMachota  5 ปีที่แล้ว

      Mungu ashukuriwe

    • @khairatzinzibar1434
      @khairatzinzibar1434 5 ปีที่แล้ว

      +Mwinjilisti Machota Endelea kutufunulia maandiko na Mungu atakupandisha daraja la juu utafundisha mataifa yote ya dunia endelea tu bila kuchoka maana Mungu ana neno nawe huo ni wito kutoka kwa Mungu endelea jipe moyo Mungu anakuandaa kufundisha mataifa

  • @emmanuelmataba5997
    @emmanuelmataba5997 4 ปีที่แล้ว

    Be blessed man of God.

  • @edwinezawadi4707
    @edwinezawadi4707 3 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe sana

  • @financialloan9818
    @financialloan9818 5 ปีที่แล้ว +3

    Proud to be Christian yesu ndio njia ya uzima na milele kila goti litapigwaa kwakwe kila ndimi utatangaza ukuuu wake uyo ndio simba wa yuda

    • @MwinjilistiMachota
      @MwinjilistiMachota  5 ปีที่แล้ว

      Amen

    • @apolikapilugenge3846
      @apolikapilugenge3846 4 ปีที่แล้ว

      Hyu mtumishi ni muongo sijawah kuona dunian.Tangia aondoke yesu dunian ,haijawahi patwa Giza dunia wala mwezi kuwa mwekundu.Aache uongo kwa kutumia bibilia.Hzi ni siki za mwisho mtatwambia mengi nyie watumish wa shetani

  • @jaredmisiani7801
    @jaredmisiani7801 5 ปีที่แล้ว +1

    Highly praised

  • @davidgundula8786
    @davidgundula8786 5 ปีที่แล้ว +1

    Ameen

  • @sansanddougntersofkings4727
    @sansanddougntersofkings4727 3 ปีที่แล้ว

    waw👏

  • @timothgashagaza5900
    @timothgashagaza5900 5 ปีที่แล้ว

    Nimeelewa God bless you!!

    • @mikaelpeter9343
      @mikaelpeter9343 5 ปีที่แล้ว

      piga kelele usiache wahubili watu Dhabi zao namungu akubaliki sana

  • @eliazaripro5532
    @eliazaripro5532 5 ปีที่แล้ว +1

    Amenn

  • @eliazaripro5532
    @eliazaripro5532 5 ปีที่แล้ว +1

    Lahh sasa tuko wakati upi sasa?

  • @mikekariu1824
    @mikekariu1824 10 หลายเดือนก่อน

    This not true revelations of mihuri saba

  • @jonasjoe3623
    @jonasjoe3623 4 ปีที่แล้ว

    Fafanua mihuri, lini mihuri itatumika?

    • @dasilvajr9647
      @dasilvajr9647 3 ปีที่แล้ว

      Mihuri hiyo ilishaanza kitambo.tu sisi 2ko muhuri wa sita Sasa 2nangoja muhuri wa mwisho ambao Kristo atakapurudi tena

    • @joshuajohn8533
      @joshuajohn8533 หลายเดือนก่อน

      Hawezi hubiri muhiri wa Saba maana hii Ni replenishment theology

    • @joshuajohn8533
      @joshuajohn8533 หลายเดือนก่อน

      Wakati wa muhuri wa 6 Mungu atawatia mhuru waisrela 144,000 baada ya hapo muhuri wa 7 Ni mapigo ya dhiki kuu na hapo kabisa halipo duniani

  • @alanusrespicius1796
    @alanusrespicius1796 5 ปีที่แล้ว

    It is terrible.

  • @barakasanga4010
    @barakasanga4010 4 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe sana