Historia ya Ibilisi Na Adam / Darasa La Tafsiri / Ramadhani ya 14 mwaka 2021 / Sheikh Walid Al had
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ก.ค. 2021
- Historia ya Ibilisi Na Adam / Darasa La Tafsiri / Ramadhani ya 14 mwaka 2021 / Sheikh Walid Al had
Sheikh Walid Alhad Akitoa Darsa Na kuelezea Historia Ya Nabii Adam Na Iblisi
Darsa la tafsiri kichangani 2021 la mwezi kumi na Nne ramadhani mwaka 1442H lilotolewa na sheikh Walid Alhad Omar kwa uzuri na ubora wa hali juu kabisa tiizama na endelea kufatilia darsa zetu na usisahau kushare kwa wingi
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop...
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: /
► LIKE DARSA TV on Facebook: /
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks - บันเทิง
MashaAllah, Allah azidi kukuhifadhi na akupe maisha mame apa duniani na kesho akhera Aamiin akuzidishiye ilmu Aamiin 🤲🏽🤲🏽🤲🏽
Asante kwa Somo
Allah akuifadhi
Maashaallah sheikh wng
MashaAllah darsa nzuri sana
Mashaallah napanda darasa ziko sheikh wangu Allah amuhifad inshaallah
Maashaallah
mashaallah sheikh waliid naomba kusoma kutoka kwako niko Kenya vipi nitakufikia
Alhamulillah
MASHAALLAH shekhe walid.najifunza kupitia ww naherewa pia. natamani niwe mwanafunzi wako siku moja Inshaallah. ALLAH akulipe malipo bora Dunian na Akhera🤲🤲Nakupenda kwa ajili ya Allah ❤
W
😊😊😊
Shukran saana sheik nimejifunza vituvingi ningeomba history Yako utujulishe elmu ya school ulisoma mpaka wapi Mimi napenda sana nanitamani watotowangu wawemasheke.nabado niwadogo wapo shule ya msingi naomba ushauriwako
MashaAllah
It is a nice hadith
Asalam Aleikum Warahmatullah Wabarakatuh . Sheikh napenda kuuliza kitu.. iblis alifikaje peponi
Kabla ya kuumbwa binaadam walikua wanaishi majini sasa wakazid kufanya ufisad ktk ardhi Allah akawa tuma malaika wakawapige vita ktk kukimbia majini wakamuangusha mtt wa kijini ambae ndo huyo ibilis.Kalelewa huko amekua huko na malaika
Ibilsi nijina alilopewa baada kufanya kosa moja lililo mkasirisha mola wake na ndio sababu iliomfukuza kwenye pepo. Alikua mmoja wa majini na kilicho mpandisha daraja kuwa huko juu kuishi na malaika ni kule kuwa mtwiifu kwa mola wake wakati huo alipokua akisujudu kupita kiasi mpaka akawa amebandikwa jina la kwanza aba sijida baba wa kusujudu (mwenye kunyenyekea) lakini alipo umbwa binadamu kulimpa kiburi na kujiona bora hata kuwaliko malaika pale mungu alipo waamrisha wote kwa pamoja wamsujudie mwanadamu malaika walimsujudia ila iblisi alikataa amri hiyo na kuanza mabishano yake na mola wake. Alipo ulizwa mbona hujamsujudia mwanadamu nilipo kuamrisha, akajibu kuwa mimi ni bora kuliko mwanadamu kwalipi? Mimi umeniumba na moto na huyu kwa udongo. Ndipo alipo fukuzwa kwenye pepo na kulaaniwa!
Sasa ibilis anakizazi je mke wake aliumbwa wakati gni