UNYAKUO WA KANISA & TAIFA LA ISRAEL - Rabbi Abshalom Longan

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 มิ.ย. 2024

ความคิดเห็น • 43

  • @user-io1tp6nz8m
    @user-io1tp6nz8m 11 วันที่ผ่านมา +1

    Alelluyah alelluyah blessed barikiwa sanaaaana wa Mungu Glory to God

  • @user-io1tp6nz8m
    @user-io1tp6nz8m 7 วันที่ผ่านมา +1

    Ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ❤❤❤

  • @Aggreymbugano
    @Aggreymbugano หลายเดือนก่อน +7

    Nabarikiwa sana na mafundisho ya Neno la Kristo Mungu, akutumie Kwa viwango vya juu sana Ameen

  • @MabelKaaya-hl2je
    @MabelKaaya-hl2je หลายเดือนก่อน +2

    Ubarikiwe mno kwa fundisho Muhimu sana kwetu sote.

  • @narrowgateglobal
    @narrowgateglobal หลายเดือนก่อน +3

    Mungu aendelee kukutunza Rabbi wetu

  • @user-io1tp6nz8m
    @user-io1tp6nz8m 7 วันที่ผ่านมา

    Aminaaaaa aminaaaaa aminaaaaa

  • @user-cg1fj6dh4w
    @user-cg1fj6dh4w หลายเดือนก่อน +1

    Amen men 🙏 Asante sana ubarikiwe mtumishi wa mungu

  • @afredfodogo7857
    @afredfodogo7857 หลายเดือนก่อน

    Ni Bahati sana kwa tanzania kukupata mtumishi wa KWELI ya MUNGUTanzania nisawa na machimbo ya Mema ktk Nchi YASIYO ISHA AMEN

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 หลายเดือนก่อน

    Hakika wewe ni miongoni mwa watumishi wazuri na mhimu sana wa Mungu katika nyakati hizi za mwisho Mungu baba akupe afya njema.

  • @guerinokibiki4314
    @guerinokibiki4314 หลายเดือนก่อน +1

    Barikiwa na Bwana Yesu!

  • @byusaajumapili6750
    @byusaajumapili6750 หลายเดือนก่อน +1

    Bwana akubariki mchungaji

  • @roidayoab9918
    @roidayoab9918 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki sana nabii wa Bwana kwa mafundisho yako

  • @fidemikaeli8145
    @fidemikaeli8145 หลายเดือนก่อน

    Sema baba, wasaidike, Mungu akutie nguvu sana, utukufu kwa Yesu

  • @joanithagidion9796
    @joanithagidion9796 หลายเดือนก่อน

    Ahsante masomo mazuri hakurudi kwa yesu matamani kuendelea kukua zaidi Mungu akubariki.

  • @pascalselemani8132
    @pascalselemani8132 หลายเดือนก่อน

    Vizuri sana mtumishi wa MUNGU nabarikiwa sana neno la MUNGU

  • @ALEXLESERE
    @ALEXLESERE หลายเดือนก่อน +1

    EXACTLY 💯, YESU ANARUDI!!

  • @juliusmutinda440
    @juliusmutinda440 หลายเดือนก่อน

    Yes this is a knowledgeable pastor in line with the hebrew context of scripture

  • @Thinker338
    @Thinker338 18 วันที่ผ่านมา

    🙏🙏

  • @jacklineeliza6021
    @jacklineeliza6021 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki baba kwa neno zuri

  • @marykissiva7460
    @marykissiva7460 หลายเดือนก่อน

    Amen Asante Mtumishi Mungu akutunze

  • @lindakapongo8421
    @lindakapongo8421 7 วันที่ผ่านมา

    onja radha ya fundisho bora

  • @watchnew7648
    @watchnew7648 หลายเดือนก่อน +4

    YESU KRISTO AKUPE NGUVU ZAIDI UZIDI SANA KUHUBIRI NENO LAKE

  • @user-cf7ml2jm7w
    @user-cf7ml2jm7w หลายเดือนก่อน

    Bwana Yesu akubariki sana sana

  • @stanleyomary6247
    @stanleyomary6247 หลายเดือนก่อน

    Hizo nyingine ni story tu sio kweli

  • @StevenMutale-xt9yj
    @StevenMutale-xt9yj หลายเดือนก่อน

    Amen Mungu akubariki

  • @sadiqmwasegile4273
    @sadiqmwasegile4273 หลายเดือนก่อน

    Amen ubarikiwe Rabbi

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 หลายเดือนก่อน

    Shalom mchungaji

  • @user-pf5zs6nm4n
    @user-pf5zs6nm4n หลายเดือนก่อน

    Mungu nisaidie kulielewa neno linijenge nikae sawasawa na utakavyo wewe

  • @justinmulagala1296
    @justinmulagala1296 หลายเดือนก่อน

    Amen Amen

  • @eliyamakanika7282
    @eliyamakanika7282 หลายเดือนก่อน

    Amen❤❤

  • @helansakeyan5307
    @helansakeyan5307 หลายเดือนก่อน

    Ee ROHO MTAKATIFU TUSAIDIYE KUELEWA NAKUKAA KTK HAYA

  • @michaelpunduka8086
    @michaelpunduka8086 หลายเดือนก่อน

    Bwana yesu akulinde na kukutunza mtumishi wetu mpendwa napenda sn kusikuliza ukiwa unafundisha neno la mungu nasikia laha sn kusikia neno la mungu

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 หลายเดือนก่อน

    Àmina mchungaji

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 หลายเดือนก่อน

    Àmina

  • @michaelpunduka8086
    @michaelpunduka8086 หลายเดือนก่อน

    Sharomu

  • @edwardmadale8604
    @edwardmadale8604 หลายเดือนก่อน

    Kweli tupu

  • @elishampoki8751
    @elishampoki8751 หลายเดือนก่อน

    Kweli kabisa udongo ni mtu mazao shambani yakisitawi na mwenye shamba Hana Roho mtakatifu,bado huyo yupo kwenye Asara

  • @DieudonneMAHANGO-ws3do
    @DieudonneMAHANGO-ws3do หลายเดือนก่อน +1

    Amen 🙌

  • @EzekiaMyila
    @EzekiaMyila หลายเดือนก่อน +1

    Mimi naona kama Kuna kitu sielewi hapa kumbwa kwa Adam na ulimwengu nani alifanya unabii huu wakati mungu alikuwa hajaumba mtu yeyote hapa ndipo tuone sana tulio Wana wa mungu maana tusije tukadanyana maana akija mungu tusije tukakosa majibu watu wa mungu

    • @Mrfinancial-lh3jw
      @Mrfinancial-lh3jw หลายเดือนก่อน

      Chanzo cha ufunuo wote ambao hadi sasa tupo unatokana na kuumbwa kwa ulimwengu hadi adamu,hivyo mtumish hajakosea kuzungumza kuwa unabii wa kwanza ulitokan na kuumbwa kwa ulimwengu hadi adamu,kwan kwa tafsiri halisi ni huu kielelezo cha unabii wote unaotendeka hapa dunian unatokana na msingi wa siku saba ambazo ni kuumbwa kwa ulimwengu hadi adamu ambayo ndio miaka hiyo 7000 kibibilia ambayo imebeba siku saba hadi kupumzika kwa Mungu baadq ya kumaliza kila kazi.....nasi katika pumziko letu ni pale Yesu atakaporudi na kulichukua kanisa ambalo unabii unaonyesha tupo ndani ya hicho kipindi na dalili zote zimekwisha kuonekana dhahiri

    • @Mrfinancial-lh3jw
      @Mrfinancial-lh3jw หลายเดือนก่อน

      Na Mungu ndiye aliyeweka unabii pekee yake baadae ukaja kuwa udhiirisho kwa manabii wake

    • @donudonu2.r
      @donudonu2.r 28 วันที่ผ่านมา

      Unachosema ni kweli. Maana hata wewe watu wote huwa hawakuelewa. Hata darasani wanafunzi huwa na uelewa tofauti. Hatimaye mwalimu akitoa mtihani huwa yupo mwenye zero na mwenye A,B,C,D na F

    • @LoynesMalkusi-zx4yn
      @LoynesMalkusi-zx4yn 7 วันที่ผ่านมา

      Mimi ndo sijakuelewa wewe unaisomaje injili kwani kuuliza uweza wa mungu hukusoma mungu alikua neno naye akafanyika mwili naye akaja akakaa kwetu soma basi mwanzo kwanza bwana