Mimi naona kama Kuna kitu sielewi hapa kumbwa kwa Adam na ulimwengu nani alifanya unabii huu wakati mungu alikuwa hajaumba mtu yeyote hapa ndipo tuone sana tulio Wana wa mungu maana tusije tukadanyana maana akija mungu tusije tukakosa majibu watu wa mungu
Chanzo cha ufunuo wote ambao hadi sasa tupo unatokana na kuumbwa kwa ulimwengu hadi adamu,hivyo mtumish hajakosea kuzungumza kuwa unabii wa kwanza ulitokan na kuumbwa kwa ulimwengu hadi adamu,kwan kwa tafsiri halisi ni huu kielelezo cha unabii wote unaotendeka hapa dunian unatokana na msingi wa siku saba ambazo ni kuumbwa kwa ulimwengu hadi adamu ambayo ndio miaka hiyo 7000 kibibilia ambayo imebeba siku saba hadi kupumzika kwa Mungu baadq ya kumaliza kila kazi.....nasi katika pumziko letu ni pale Yesu atakaporudi na kulichukua kanisa ambalo unabii unaonyesha tupo ndani ya hicho kipindi na dalili zote zimekwisha kuonekana dhahiri
Unachosema ni kweli. Maana hata wewe watu wote huwa hawakuelewa. Hata darasani wanafunzi huwa na uelewa tofauti. Hatimaye mwalimu akitoa mtihani huwa yupo mwenye zero na mwenye A,B,C,D na F
Mimi ndo sijakuelewa wewe unaisomaje injili kwani kuuliza uweza wa mungu hukusoma mungu alikua neno naye akafanyika mwili naye akaja akakaa kwetu soma basi mwanzo kwanza bwana
Alelluyah alelluyah blessed barikiwa sanaaaana wa Mungu Glory to God
Ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ❤❤❤
Nabarikiwa sana na mafundisho ya Neno la Kristo Mungu, akutumie Kwa viwango vya juu sana Ameen
Ubarikiwe mno kwa fundisho Muhimu sana kwetu sote.
Mungu aendelee kukutunza Rabbi wetu
Aminaaaaa aminaaaaa aminaaaaa
Amen men 🙏 Asante sana ubarikiwe mtumishi wa mungu
Ni Bahati sana kwa tanzania kukupata mtumishi wa KWELI ya MUNGUTanzania nisawa na machimbo ya Mema ktk Nchi YASIYO ISHA AMEN
Hakika wewe ni miongoni mwa watumishi wazuri na mhimu sana wa Mungu katika nyakati hizi za mwisho Mungu baba akupe afya njema.
Barikiwa na Bwana Yesu!
Bwana akubariki mchungaji
Mungu akubariki sana nabii wa Bwana kwa mafundisho yako
Sema baba, wasaidike, Mungu akutie nguvu sana, utukufu kwa Yesu
Ahsante masomo mazuri hakurudi kwa yesu matamani kuendelea kukua zaidi Mungu akubariki.
Vizuri sana mtumishi wa MUNGU nabarikiwa sana neno la MUNGU
EXACTLY 💯, YESU ANARUDI!!
Yes this is a knowledgeable pastor in line with the hebrew context of scripture
🙏🙏
Mungu akubariki baba kwa neno zuri
Amen Asante Mtumishi Mungu akutunze
onja radha ya fundisho bora
YESU KRISTO AKUPE NGUVU ZAIDI UZIDI SANA KUHUBIRI NENO LAKE
Bwana Yesu akubariki sana sana
Hizo nyingine ni story tu sio kweli
Amen Mungu akubariki
Amen ubarikiwe Rabbi
Shalom mchungaji
Mungu nisaidie kulielewa neno linijenge nikae sawasawa na utakavyo wewe
Amen Amen
Amen❤❤
Ee ROHO MTAKATIFU TUSAIDIYE KUELEWA NAKUKAA KTK HAYA
Bwana yesu akulinde na kukutunza mtumishi wetu mpendwa napenda sn kusikuliza ukiwa unafundisha neno la mungu nasikia laha sn kusikia neno la mungu
Àmina mchungaji
Àmina
Sharomu
Kweli tupu
Kweli kabisa udongo ni mtu mazao shambani yakisitawi na mwenye shamba Hana Roho mtakatifu,bado huyo yupo kwenye Asara
Amen 🙌
Mimi naona kama Kuna kitu sielewi hapa kumbwa kwa Adam na ulimwengu nani alifanya unabii huu wakati mungu alikuwa hajaumba mtu yeyote hapa ndipo tuone sana tulio Wana wa mungu maana tusije tukadanyana maana akija mungu tusije tukakosa majibu watu wa mungu
Chanzo cha ufunuo wote ambao hadi sasa tupo unatokana na kuumbwa kwa ulimwengu hadi adamu,hivyo mtumish hajakosea kuzungumza kuwa unabii wa kwanza ulitokan na kuumbwa kwa ulimwengu hadi adamu,kwan kwa tafsiri halisi ni huu kielelezo cha unabii wote unaotendeka hapa dunian unatokana na msingi wa siku saba ambazo ni kuumbwa kwa ulimwengu hadi adamu ambayo ndio miaka hiyo 7000 kibibilia ambayo imebeba siku saba hadi kupumzika kwa Mungu baadq ya kumaliza kila kazi.....nasi katika pumziko letu ni pale Yesu atakaporudi na kulichukua kanisa ambalo unabii unaonyesha tupo ndani ya hicho kipindi na dalili zote zimekwisha kuonekana dhahiri
Na Mungu ndiye aliyeweka unabii pekee yake baadae ukaja kuwa udhiirisho kwa manabii wake
Unachosema ni kweli. Maana hata wewe watu wote huwa hawakuelewa. Hata darasani wanafunzi huwa na uelewa tofauti. Hatimaye mwalimu akitoa mtihani huwa yupo mwenye zero na mwenye A,B,C,D na F
Mimi ndo sijakuelewa wewe unaisomaje injili kwani kuuliza uweza wa mungu hukusoma mungu alikua neno naye akafanyika mwili naye akaja akakaa kwetu soma basi mwanzo kwanza bwana