Hakika Rabbi, watu ni wengi tunatamani kusikia habari njema za KRISTO YESU katika nyakati hizi za hatari na za mwisho za kurudi kwake MWOKOZI WETU. Jambo la msingi kwetu ni Maisha ya milele ya badaye baada ya hapa dunian.... AMEN, AMEN. Barikiwa Rabbi
Kwa kweli Mtu wa Mungu umetutendea haki Kuweka mahubiri yako na mafunzo ya neno la Mungu kwenye you tube , asante sana Mimi binafsi nilikuwa natafuta mafundisho yako kwenye mtandao, tuko pamoja Absalom Longani
BWANA YESU ASIFIWE,kwasasa MUNGU analiandaa kanisa lililokusudiwa kwenda mbinguni,wasaidieni hai wa awake wanaosuka,na wanaojipodoa,nawanaoingia katika nyumba za ibada vichwa wazi,hawataingia mbinguni,na wanaovaa mavazi yasiyokuwa yakujisitiri,yanayoonyesha mambo yao,kemeeni enyi wachungaji,kemeeni uovu,kanisa litakwaswe Ili linyakuliwe
Ndiyo huo wakat wa mwisho ndiyo huu na hicho kitabu kinafunguliwa sasa na huyo aliepewa kufunua Siri ya Mungu dunia yote tunatakiwa tujifunze chin yake ni kama kipindi cha nuhu tu alivokuwa akipewa mwongozo na kuwaambia watu nuhu wa sasa ni mmoja tu pia ambae ndiyo huyo John isaya igumi
@@user-gr9wc7bc2mPole naona umelishwa matangopari yakutosha, yawezekana hujielewi, kwa majibu yako haya napata shaka kama unamuishi kristo zaidi ya kulitumia jina la yesu ktk harakati za kuhadaa watu kwa manufaa ya matumbo yenu. unatofauti gani na waganga wa kienyeji?
Amen
Ubarikiwe nîme kufata Niko Rdc ubarikiwe tena
Mungu akubaliki kwa kulitangaza neno lililo hai
I try to follow your preaching about the end time.
NABARIKIWA SANA MTUMISHI .UBARIKIWE
Amen 🙌
Eh Rabbi hii ni heavy! Mungu atusaidie
Barikiwa mchungaji
Bwana Ani rehemu na watoto wangu na jamii yangu wasipotee hata mmoja
Amen
Amen mtumishi
Amina,mtumikie Mungu wetu ,Bwana Yesu akubariki sana,songa mbele,usijali vizingiti.Maana ninahakika vipo
Aminaaaaa aminaaaaa aminaaaaa aminaaaaa
ubarikiwe Mtumishi wa Mungu kwa kutulisha Neno la Mungu Amen
Amen napokea nimeokoka Leo pasta mungu akubariki sana kwakutupatia neno nzuri kutoka kwa mungu wetu
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊p😊😊p😊😊😊😊😊😊p😊😊p😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
Haleluyaaa Mt wa BWANA Ubalikiwe sana tu YESU ASIFIWE
Barikiwa mnoo mtumishi
Wewe ni Mwl wa kweli umetufundisha somo kubwa sana na YESU akubariki sana. Ni kweli tupu umezungumzia. 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Amepewa hekima yote ya Mungu na Mungu mwenyew
Tunakusikiliza Mtumishi wa Mungu aliye hai!
Hakika Rabbi, watu ni wengi tunatamani kusikia habari njema za KRISTO YESU katika nyakati hizi za hatari na za mwisho za kurudi kwake MWOKOZI WETU. Jambo la msingi kwetu ni Maisha ya milele ya badaye baada ya hapa dunian.... AMEN, AMEN. Barikiwa Rabbi
ubarikiwe saana mtumishi
Eeh mungu nikumbuke namimi na family yangu 😭😭
Mchungaji Mungu Akutiye nguvu baba tunaamini uko salama tunakuombea Mungu Akufunike kwa Mbawa zake tunakuombea.
Ubarikiwe mtumishi kwa neno Niko Bukobs Kagera napenda mahubiri yako
Amen Mtumishi wa Mungu. Ubarikiwe sana
Thank you so much for beautiful message me from Zambia Amen and Amen
Barikiwa baba kwa kusema ukweli
Kwa kweli Mtu wa Mungu umetutendea haki
Kuweka mahubiri yako na mafunzo ya neno la Mungu kwenye you tube , asante sana
Mimi binafsi nilikuwa natafuta mafundisho yako kwenye mtandao, tuko pamoja Absalom Longani
Namtukuza Mungu kwa zifunua Siri hizi kwangu.
Ubarikiwe sana baba kwa ujumbe mzito huu
Be blessed pastor ….Mahubir yako yananitia moyo sana na nguvu
Haya mahubiri ni ya kulia kabisa sio ya kutoa macho maana tupo mwisho wa dunia sasa
Name pia nafuatilia mafundisho yako ya siku za mwisho, unyakuo was kalisa.
MUNGU akubariki sana mtumishi abshalom
Hizi ni habari njema ziletazo wokovu
MUNGU akulinde Sana Kuna siku nilisikiliza tu maombi nikapokea uponyaji hapo hapo nilikuwa nasumbuliwa na mgongo nina MIAKA 4
Amen yesu ni bwana
Àsante Mungu akubariki Sana
,ijnili ndiyo hii hawa ndiyo walioitwa na Mungu siyo kufundisha mafanikio tu
BWANA YESU ASIFIWE,kwasasa MUNGU analiandaa kanisa lililokusudiwa kwenda mbinguni,wasaidieni hai wa awake wanaosuka,na wanaojipodoa,nawanaoingia katika nyumba za ibada vichwa wazi,hawataingia mbinguni,na wanaovaa mavazi yasiyokuwa yakujisitiri,yanayoonyesha mambo yao,kemeeni enyi wachungaji,kemeeni uovu,kanisa litakwaswe Ili linyakuliwe
Dunia yaleo tunahitaji injili ya kweli unayohubiri nikweli kweli kweli walio ibebakweli malanyingi Huwa wanachukiwa mchungaji songa mbele songa mbele
Asante kwa ujumbe muhimu kwetu
Yaani mimi nakupenda baba
Ameni
Niko Oman nabarikiwa
NIPO MOC'AMBIQUE NINAKUSIKILIZA NA KUKUONA VIZURI NENO LA MUNGU KUPITI KINYWA CHAKO LINANIBARIKI SANA
Ndiyo huo wakat wa mwisho ndiyo huu na hicho kitabu kinafunguliwa sasa na huyo aliepewa kufunua Siri ya Mungu dunia yote tunatakiwa tujifunze chin yake ni kama kipindi cha nuhu tu alivokuwa akipewa mwongozo na kuwaambia watu nuhu wa sasa ni mmoja tu pia ambae ndiyo huyo John isaya igumi
Nikonakufuata kazini hapa marekani naweka Hedifon nasikiya kubarikiwa sana hiininqisambaza mahalipote itakavyo wrzekana ubarikiwe
Namanga nabarikiwa na wewe
Acheni injili za vitisho kwa watu maskini kwa manufaa ya matumbo Yenu. Mungu wetu hana upendeleo, niwaupendo kwa kila amwitaye.
Nenda zako huko
Amekugusa utumishi wenu wakuwadangsnya watu!! Vumiliya wacha Sindano iingie vizuri
Kwani mnataka wahubiri wasiwaambie watu mambo yatakayotokea yaliyoandikwa ktk biblia
@@user-gr9wc7bc2mPole naona umelishwa matangopari yakutosha, yawezekana hujielewi, kwa majibu yako haya napata shaka kama unamuishi kristo zaidi ya kulitumia jina la yesu ktk harakati za kuhadaa watu kwa manufaa ya matumbo yenu. unatofauti gani na waganga wa kienyeji?
Amen
Mungu akubark sana mtumishii wa bwanaa
Ubarikiwe mtumishi kwa neno Niko Bukobs Kagera napenda mahubiri yako
Amen
Amen
Amen
Amen