Mash Allah na Alhamdulilah Mtume wetu ni Professor wa maProfessor ni mjuzi wa wajuzi kwa uwezo wa Allah alie muwezesha kupitia Quran yetu takatifu Quran haijaacha kitu. Tusemeni Alhamdulilah kwa Neema hii ya Uislam.
@@ikabako2454 Mwenyezi Mungu atakulipa kwa hii kauli yako. Uchizi ukupate wewe kabla hujakufa. Namuomba Mwenyezi Mungu aitikie hii Dua yangu huku nimefunga leo saumu !! Hii kauli ikuridie wewe uwe chuzi kabla ya kufa kwako Amiin Rabbil Alaamin.
Allah Akbar allah akubariki Dr sule Mimi abubakr Mugeni Congo djimbo la Maniema kasongo nimekuombea Allah akupe umri mrefu usife MPa unifunze hata erufi modja inshaallah Allah anikubalie
Jini anaefungamana na binadamu hata kama atamtaka huyo binadamu awe anafanya ibada huyo ni jini mbaya, jini mzuri hawezi kufangamana na binadamu kwa namna yoyote ile
Mimi japo mkristo ila huyu sheikh namsikilizaga sana ana madini ya ukweli sana haswa ktk karne hii tuliyonayo ana mengi anayofundisha tena ya ukweli sana. Mwenyezi Mungu amuweke sana 🙏🙏🙏
Shehe mm nakukubali Sana ila naona biashara nyingi kuliko mawaidha unachanganya dini na biashara acha kufanya ivo watu wa mungu hawana tamaa ya utajiri
Assalaam alaikum waramatulah wabarakhatu...pongezi Suleh kwa mafunzo yenye manufaa hapa duniani na huko akheira....ila walinzi mahali kama hapa..si picha nzuri kiukweli...maana hata mtu hakuwa akisimamiwa na walinzi..tusiige sana wengine
Hayo ndio mahubiri mazuri ambayo kila mtu wa imani yoyote anasikiliza na anakuunga mkono siyo ile mipasho yako ya kukashifu ukiristo pamoja na sikukuu zake huko ni kupungukiwa kwa hekma ukitaka wakusikilize watu wa dini zote unapaswa kuhubiri mahubiri kama haya
Mimi nimemsikiliza ila kwa hili hapana. Majini wema watabakia kuwa wema kwa upande wao na si kwa mafungamano na binadamu eti wakupe utajiri utajiri huo unatoka wapi ? Huyu Sure mmmm
Tawheed na akeeda umefeli dr sule waelekeza makosa muislam wa kweli hana cha majini ,uchawi wala mizimu yeye utegemea mola wake tu ALLAH na yuamswalia mtume juu mwenye kuswalia mtume ,mtume u mswalia mara kumi na Allah kamuswalia mtume na malaik , Allah akamulisha waisilamu kumuswali mtu...so mambo na rizik Allah ashamuandikia mja hutopata ila alichokutayarishia.. karatasi zilifungwa kalamu kuinuliwa.... Allah pekee ndie anakupa pesa na kukunyima yote kwa mitihani yake subra ndio ufanikio kwa hali yeyote ile unaokubana nayo...
Huyu sheikh wetu ameanza kupotezwa na ibilisi hawa wa suti ni kina nani na mafuta na ya kufukuza majini hii haiko mbali na ukiristo. na majini kupeana utajiri ama kuizuia utajiri hii sio ukweli utajiri yote iko kwa Allah. Majini watoe utajiri wapi? Wajiadhari hivi ndio shetani hupoteza watu wa elimu
@@nahlahassan-fd6leKWAHIYO RUQYA NAYO NI BIASHARA.... AU UKAE NYUMANI USUBIRI WENYE HIYO SHIDA.. KWAHIYO KAMA DAWA NI HIYO RUQYA NA SIO HAYO MAFUTA, MSOMAJI WA RUQYA NI YEYE TU NDIYE SPECIALIST.. KAMA ANAKUSUDIA KHERI KWANINI ASIWAFUNDISHE NAMNA YAKUYASOMEA... NA AWAELEKEZE MAFUTA YANAKOPATIKANA WAPI.. WAISLAMU WASIOKUWA NA MIONGOZO HAWATOACHA KUFATA TARATBI ZA WATU MAYAHUDI NA MANASWARA KATIKA MAISHA YAO, NA MBAYA ZAIDI WAKIYAHUSIANISHA NA DINI..... MTUME WETU, SALA NA SALAMU ZIWE JUU YAKE KISHATUFINDISHA HIYO FITNA... YAKUFATAFATA KILA KITU KUTOKA KWA WATU HAO!
@@fridageorge2809MMESAHAU NINYI NDIO WENYE KAZI YA KUFUKUZA MAPEPO KILA SIKU MAKANISANI NA HAWAONDOKI AMA PROPAGANDA YA UISLAMU NA MAJINI, ENDELEENI KUMEZESHANA HUKO HUKO VIJIJINI.. HAKUNA KITABU KILICHOPINGA USHIRIKINA KWA NGUVU KAMA QUR AN, NA HAKUNA DINI INAYOPINGA USHIRIKINA KAMA UISLAMU, NDIO MAANA HUUKUTI UTATU KWETU.. AMA WASHIRIKANA WAPO KATIKA WAISLAMU NA WAKRISTO ITATEGEMEA NA MAENEO... JE, NI ULAYA AU UARABUNI?! NI MIKOA YA PWANI AU BARA.. KWANINI WAGANGA WA MBEYA NA RUKWA NI WAISLAMU?!
Assalaam alaykum. Jamani, mtakaoangalia hii video huyu mtu anawapoteza. Hakuna jinni mzuri anayeshirikiana na binadamu, jinni yeyote anayeshirikiana na binadamu ni mbaya hata kama anakupa masharti ya kuswali. Hayo masharti ya kuswali ndiyo shirki yenyewe sasa kwa kuwa utakuwa unaswali kwa kumtii jinni na sio Allah! Ametoka kusema kuwa mtu akitibiwa na mganga akasema asingekuwa yeye nisingepona ni shirki, sasa hiyo ina tofauti gani na hizo pesa za majini badala ya kumuomba Allah. Jiepusheni na hawa wanaojiita mashehe kumbe sio! Huyo anawatapeli apige pesa ya dawa zake na kuwaingiza kwenye shirki ndugu zangu. Huo anaotangaza ni ushirikina ndugu zangu.
Walinzi lazima ila kama sehema kama hapo anapotowa mawaidha hapana fujo awaambie wakakae tuh chini pakiwa na fujo ndo waaoneshe kz yao ila walizi ni lazima kwa sababu mungu katuumba na kila mmoja na njia yake ya kupata ridhiki lisilokuwa la haramu wahadha asalaam aleykum waalaahmatullaah wabarakatuh 😊
Lakini nawasikia wakisema kuna majini wema na wabaya, hawa wema ndio wanaleta hela mbona mi najua hela zinatoka kwa Mungu, uislam gani huu wa kuletewa hela majini?? Mungu wa waislam hana hela ila mashetani ??? Jaman dini nyingine lakini....,
@@AM-rr3jr Hapana sio kwamba Allah hana hela, ni kweli wapo majin wa aina hzo mbili ulzosema Kitabu cha Mungu Quran tukufu imetuzuia ss waislam kushirikiana na majini na yenyew yamezuiwa hvo kwahyo hao masheikh unaowaona wanatamba mitandaoni wakidai wenyew ni mabingwa wa majin wao niwashirkina na wanachafua sura halisi ya uislam labda nkwambie ewe ndugu@AM uislam hauusiani kabsa na majin ukimkutauislam asema hvo basi huyo ni mshirkina
@@anwary_sultan Ahaa kumbe? Na hii kitu naona huyu Shehe kaanzisha mihadhara na naadae anatangaza kuuza mafuta kama wanavyofanya mitume na manabii wa uongo je katika Uislam mafuta hayo yanakubalika? Na hayo ni yale yale ya mitume au mengine?? Sorry kwa usumbufu
@@AM-rr3jr Bila samahan me kwa ss waislam ni vizur kuelewesh mtu Pale ambapo hajaelewa ikiwa ni halal. Kuhusu mafuta ss waislam Hatujapewa tiba wala dawa ya aina yyte inayohusiana na mafuta kwahyo hyo yote ni upotoshaji wa baadh ya masheikh wenye kuchezea dini. Labda kuna baadh ya mimea kama mizaituni mafuta yake ni tiba kwahyo tuneza tumia hyo kawaida kama mitishamb mingne ya kiafrika bila kuhusish iman ya dini au nguvu flan, waislam tumepewa dua yan sala za kuomba iwapo unashida mfano kusomea maji baadh ya aya za Quran na kunywa basi so vingnevo haya mengine uyaonayo ndugu ni ushirikina kiufupi waislam tupo na miongozo inayotwambia nn cha kufanya ktk kila jambo kupitia Quran na Sunna ukikuta tiba, dawa maelezo ytte hayapo umo ni upotoshaji na ushirkina..
إنا لله وإنا إليه راجعون. إن الله لا ينتزع العلم من الناس انتزاعا و لكن يقبض العلماء فيرفع معهم العلم و يبقي في الناس رؤوسا جهالا يفتونهم بغير علم فيضلون و يضلون
sikiza vizuru my friend na uelewe the Sh. is taking fact, kusema maruhani hajamaanisha hivyoo unfkiria anamaanaisha toa sadaaqa, saidia watu hapo ndio utajiri iko @@hamisijamvi5601
Watu wanajua kutafuta pesa anakuvuta huko mwsho anaelezea point yake ya biashara yake. Kama kuamua kusaidia watu wa hal ya chini ndio wanahitaj hiyo bidhaa leo elf 25 watanunua matajiri tu ambao hawahitaj utajir
Sheikh hapo kwenye kushirkiana na na majini nadhan uislam hauruhusu kushirkiana na majini... hapo sheikh kaongeze kisomo cha dini asee majini haturuhusiwi kushirikiana nao wawe wazur au wabaya hyo karma alipewa Nabil Suleiman pekee yake...
WAISLAM HATURUHUSIWI KUSHIRKIANA NA MAJINI KWA AINA YYTE YA USHIRKIANO, najua wengi mnaamini na mtapotea kwa kumsikiliza huyu Sule hlo analosema kwenye uislam hakuna...
@@yusufuheri6524 Assalaam aleykum Yusuf kama waitaka people ya Allah fuata Quran, sunna na mafunzo alotuachia Rasurullah S.a.w. kama huna haja na hlo kuna jehannam pia we endeleeni kumfuata sheikh na imamu wa mskitini kwako njia za sunna na Quran achana nazo. Ila narudia kukuhsia tena na kuihusia nafsi yangu Uislam na majini hamna uhusiano wa aina yoyote mtume hakung'orewa meno, kutukanwa, kubezwa, kudharauliwa ili ww hapo yusuph uwe muumini wa kuamini katka nguvu za majini wakati ALLAH AZZAWAJAL muumba wako aliekueko, aliyeko na atakaekuwako yupo naww.
Tumevamiwa kila pande na adui 😢 wakristo na mafuta na waislam na mafuta sasa baada ya kumuamini Mungu wa kweli tunaamini vitu hatuna tofauti na wahindi waabudu ng’ombe siku izi
Ww huna akili mbn mtume alikua na majesh Sasa mbn asi muambie mungu tu awapige makafir kama uislm unakuletea shida na ww nenda kwa yesu Cristo tuachie dini yetu
Bwana Yesu ndio njia kweli na uzima, mtu haji kwa Baba ila kwa njia ya mimi. Hakuna ushirikiano kati ya Nuru ya giza. Mashetani ni mashetani tu hakuna wazuri wala wabaya wewe sheikh acha utapeli utadaiwa na Mungu kwa upotoshaji wako. Waambie watu watubu dhambi zao ili wamgeukie Mungu na wapate rehema.
ww hujielewi, utapata utajir kwa kufanya kazi jitume na mambo yataenda mambo ya kuamini majini sijui utachelewa sana cha pili Mungu anakupa kadiri unavyojituma ss ww usijutume sema nasalii ooooh hatari utabaki kwenye hardship tuu wshauri vijana wako wajitume lasivyo watasubir sana
Ttzo la watu wengi hawajui kua Majin pia wapo waislm na wanfnya mmbo mengi mazur kwa waislm binadam Yani jini ni kiumbe anapo kua muovu ndo anakua shetan majini pia walosma kwa wanzuoni na kwa mtume pia wamesom dini jaribu kutafta elimu Broo Kuna kisa kimja miongon mwa maulamaa alikua na mwanfunz jini alikuja kujua badd miaka mingi kupta na mwsho Ali mwambia Baki katka umbile lako Hilo Hilo la kibndam had utakponmaliza masomo yako na uende zako kipnd hicho jini alimjibu imam Malik kua huku njini ilikua imepotea ya dini Bada ufuska kutokea na yy ni miongn walotumwa waje watafte elimu kwa bindam ili aka wsomeshe wenzake tukio hili limekuja Bada bilaal AmBAe ni bndm kumwabia Omar jini alojigeuza mtu afunge mlngon wa acomodation Yao Kwan yy Bilal alikua amechka an Omar pia alikua amechka Omar aka nyosha mkono mrefu akaufunga mlango hapo Bilal akalal na hofu huku akijizuiya ikfka asbuh itabd aripot kwa imam Malik ndo imam akamwta Omar aje ajieleze
Majini tena yana urafiki na binadamu???Da hapo shekhe umedanganya umma Majini ni mashetani tu hayapo mashetani mazuri na mashetani mabaya.Unafundisha ushirikana. Njoo kwa Yesu upone.
Mnatumia nguvu nyingi kulisha watu ujinga kwa sababu mnajua ni wavivu wa kufikiria mambo na hawataki kufatilia wala kusoma bali wanataka wawe wanaambiwa kama hivi....WAAFRIKA TUTATAWALIWA HADI MUNGU ATAKAPOONA DUNIA IFIKE MWISHO.....May be tunaweza kuishi hayo maisha huko PEPONI ambayo nasisi tutakuwa kama wao😢
Shame be upon you. By the way hatuwezi kuwa sambamba na nyie.. Sisi hatuamini mnachokiamini na nyie hamuamini tunacho kiamini. Shikilia apo ulipo na utafakari utakuja kujua kuwa wew ni kiazi ama binadam. Haters mnashida sana nyie 🙌
Sasa Sheikh we unataka watu waje uwafundishe kupata utajiri wa majini??? Sasa hapo Mungu yu wapi??? Msiwe ivo masheikh bhana. Inalillahi wa Ina Illeihi Rajiun
Mash Allah na Alhamdulilah Mtume wetu ni Professor wa maProfessor ni mjuzi wa wajuzi kwa uwezo wa Allah alie muwezesha kupitia Quran yetu takatifu Quran haijaacha kitu. Tusemeni Alhamdulilah kwa Neema hii ya Uislam.
آمين يا رب العالمين
Alhamdulillah
Acha ujinga wewe. Mtume wako ni chizi. Si ndio alisema homa inatokana na joto la motoni 🤣😂😅 kasome Sahih Al Bukhari 3262
@@ikabako2454 Mwenyezi Mungu atakulipa kwa hii kauli yako. Uchizi ukupate wewe kabla hujakufa. Namuomba Mwenyezi Mungu aitikie hii Dua yangu huku nimefunga leo saumu !! Hii kauli ikuridie wewe uwe chuzi kabla ya kufa kwako Amiin Rabbil Alaamin.
@@ikabako2454 kauli hii ijurudie kwako labda In shaa Allah .
Mashallah Alhamudulillah Dr. Al-hajj mwenyezi mungu akuweke
Kweli kabisa Dr Sule athkari na swala za mtume zinamanufaa makubwa hiyo nimeishuhudia
Nimekuelewa Shekh upo sahihi kabisa japo mi ni mkirsito but unaongea point takatifu MUNGU akubariki ❤❤❤
Jitahidi mwenyezi mwenyezi mungu akuongeze uweze kuslim uweze kuingia kwenyee dini ya kweli ya Allah (s.w) naamin utanishukuru san ,Amiin 🙏
Allahumma swal'alaa Muhammadi,yah rabbi swalli alayhi wasalimu❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🌹
Allah Akbar allah akubariki Dr sule Mimi abubakr Mugeni Congo djimbo la Maniema kasongo nimekuombea Allah akupe umri mrefu usife MPa unifunze hata erufi modja inshaallah Allah anikubalie
Jini anaefungamana na binadamu hata kama atamtaka huyo binadamu awe anafanya ibada huyo ni jini mbaya, jini mzuri hawezi kufangamana na binadamu kwa namna yoyote ile
Wewe ujui kitu msikilize shee
Mungu ndio mwenye utajiri ila Sio majini shekha kumbuka Mungu Hana mshirika
Hakika jini ni kiumbe tu
Badili Ka uli shelhe zote shilki
Mimi japo mkristo ila huyu sheikh namsikilizaga sana ana madini ya ukweli sana haswa ktk karne hii tuliyonayo ana mengi anayofundisha tena ya ukweli sana. Mwenyezi Mungu amuweke sana 🙏🙏🙏
Mwenyezimungu akuweke na wew na akiongoze katika haki pia, ni wachache sna wanaoweza kukiri hata wakiona ukweli unazungumzwa wao wanakana tu
Jitahidi mwenyezi mwenyezi mungu akuongeze uweze kuslim uweze kuingia kwenyee dini ya kweli ya Allah (s.w) naamin utanishukuru san ,Amiin 🙏
Inshallah
Mwenyezimu akulipe mema
Nitaflai ukisilim
Dr.sulle Mimi nikupe 🌹💐🥀 mapema maana huwa huyumbishi maneno
Huy shekhe mungu ampe maisha marefu sana maana anafundisha mawaidha mazuri sana
Inno lillah wa inna ilayhi raj'uun..!!Waislam someni elim za kisheria ili kuepukana na matapeli kwenye vazi la Uislam..!! Allahu musta'aan
Sheikh anatoka katika njia ya sawa sababu ya pesa. Tunamuomba Allaah afya na salama. Elimu ya dini ndo ufunguo wa maisha
Acha ujaahil ww salafy mavi
Jaza KAllahu khayri.Allah atuongoze
Shehe mm nakukubali Sana ila naona biashara nyingi kuliko mawaidha unachanganya dini na biashara acha kufanya ivo watu wa mungu hawana tamaa ya utajiri
Assalaam alaikum waramatulah wabarakhatu...pongezi Suleh kwa mafunzo yenye manufaa hapa duniani na huko akheira....ila walinzi mahali kama hapa..si picha nzuri kiukweli...maana hata mtu hakuwa akisimamiwa na walinzi..tusiige sana wengine
Kwaajili ya Usalama sio wote wanaompenda,ata Masharifu wa Harram Makkah wanalindwa na polisi kulia na kushoto.
Kwanini waislamu msiwe wana anga acha unafiki
Mashaallah Shekh Yuko vizuri
MashaAllah ❤️ alhamdulillah kwa elimu
Subhanallah ya Allah 😢😢
Asante dr. Mungu aku zidishiye elimu Sana.
MASHALLAH SUBANALLAH ALLAH AKBAR ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Maa shaa allah
mungu akuweke shekhe mwenye bodyguard nakukubali sanaaaaa
Umenifurahish sheh mwenye bodygard
Namkubar sna dr sule
Shehe mungu akubariki san unahubiri vizuri san unaongea vizuri sana huna upande wakuegemeya unaongea ukwerisan
Subhaanallah eti kuna majini wazuri wanakupa utajiri wanakuambia utoe sadaka, sheikh anawapoteza watu na kuwaingiza kwenye shirk
Kweli...anaingiza watu KWENYE shirk
Wamefikiwa
Hayo ndio mahubiri mazuri ambayo kila mtu wa imani yoyote anasikiliza na anakuunga mkono siyo ile mipasho yako ya kukashifu ukiristo pamoja na sikukuu zake huko ni kupungukiwa kwa hekma ukitaka wakusikilize watu wa dini zote unapaswa kuhubiri mahubiri kama haya
MZEE SULEY... UNAKATAZA SHIRK MOJA YA KUTUMIA MAJINI MABAYA...UNATANGAZA SHIRK YA KUTEGEMEA RIZK YA MAJINI WEMA...ZOTE SHIRK TU...
Mimi nimemsikiliza ila kwa hili hapana. Majini wema watabakia kuwa wema kwa upande wao na si kwa mafungamano na binadamu eti wakupe utajiri utajiri huo unatoka wapi ? Huyu Sure mmmm
Alhamdulilah
Nakukubali shehe.
MashaAllah
Allah akuongoze shekhee wanguu
Nafurahi sana ninavyosikia Mungu akiitwa "Nngu"😊
Mashaallah
Somo zuri...mimi ni mkristo lkn napenda sana kufuatilia mawaidha ya kiislam
Maashaallah Allah akuongoze kwauwezo wake uje kwenye Dini ya haki🤲ya uislam
@@hanifatanzania7258 inshaalah mwenyezi mungu anifanyie wepesi kwa ilo
Karimu kwenye nuru ya uislam
Dr zungumzie sakata la bandari umma haujui hi vita lakini wanatumia bandari kichaka hawa wagalatia haswa viongozi wa siasa ❤
Tawheed na akeeda umefeli dr sule waelekeza makosa muislam wa kweli hana cha majini ,uchawi wala mizimu yeye utegemea mola wake tu ALLAH na yuamswalia mtume juu mwenye kuswalia mtume ,mtume u mswalia mara kumi na Allah kamuswalia mtume na malaik , Allah akamulisha waisilamu kumuswali mtu...so mambo na rizik Allah ashamuandikia mja hutopata ila alichokutayarishia.. karatasi zilifungwa kalamu kuinuliwa.... Allah pekee ndie anakupa pesa na kukunyima yote kwa mitihani yake subra ndio ufanikio kwa hali yeyote ile unaokubana nayo...
Huyu sheikh wetu ameanza kupotezwa na ibilisi hawa wa suti ni kina nani na mafuta na ya kufukuza majini hii haiko mbali na ukiristo. na majini kupeana utajiri ama kuizuia utajiri hii sio ukweli utajiri yote iko kwa Allah. Majini watoe utajiri wapi? Wajiadhari hivi ndio shetani hupoteza watu wa elimu
hayo mafuta yana visomo vya ruqyah yamesomew quran hayana tatizo ni tiba
Majini na ukristo wapi na wapi!!? Unajisahaulisha!!?
@@nahlahassan-fd6leKWAHIYO RUQYA NAYO NI BIASHARA.... AU UKAE NYUMANI USUBIRI WENYE HIYO SHIDA..
KWAHIYO KAMA DAWA NI HIYO RUQYA NA SIO HAYO MAFUTA, MSOMAJI WA RUQYA NI YEYE TU NDIYE SPECIALIST..
KAMA ANAKUSUDIA KHERI KWANINI ASIWAFUNDISHE NAMNA YAKUYASOMEA... NA AWAELEKEZE MAFUTA YANAKOPATIKANA WAPI..
WAISLAMU WASIOKUWA NA MIONGOZO HAWATOACHA KUFATA TARATBI ZA WATU MAYAHUDI NA MANASWARA KATIKA MAISHA YAO, NA MBAYA ZAIDI WAKIYAHUSIANISHA NA DINI..... MTUME WETU, SALA NA SALAMU ZIWE JUU YAKE KISHATUFINDISHA HIYO FITNA... YAKUFATAFATA KILA KITU KUTOKA KWA WATU HAO!
@@fridageorge2809MMESAHAU NINYI NDIO WENYE KAZI YA KUFUKUZA MAPEPO KILA SIKU MAKANISANI NA HAWAONDOKI
AMA PROPAGANDA YA UISLAMU NA MAJINI, ENDELEENI KUMEZESHANA HUKO HUKO VIJIJINI..
HAKUNA KITABU KILICHOPINGA USHIRIKINA KWA NGUVU KAMA QUR AN, NA HAKUNA DINI INAYOPINGA USHIRIKINA KAMA UISLAMU, NDIO MAANA HUUKUTI UTATU KWETU..
AMA WASHIRIKANA WAPO KATIKA WAISLAMU NA WAKRISTO ITATEGEMEA NA MAENEO...
JE, NI ULAYA AU UARABUNI?!
NI MIKOA YA PWANI AU BARA..
KWANINI WAGANGA WA MBEYA NA RUKWA NI WAISLAMU?!
Subuhanallah. Watu wanakufuru wanafufua maiti
Subhaanallah
Allah akupe maisha malefu
Tutabisha tuu ukwer ndo uwo shekh endelea kutupa elim
Shehe nakubali
Naaam Dr Sule
و هكذا أنت ساحر
اللهم صلي وسلم وبارك على سيدنا محمد وعلى آله 🌼❤
Allah akbar
Mashaallah mganga mkubwa ni MUNGU mtume wetu ni professional
Mathematics is science
Ikumbuke siku ambayo utabeba mizigo yako na ya wale ambao uliwapoteza lkwa ujinga, na ni mzigo mbaya utakao beba
Allah Akbar Mungu pekee ndo mjuzi tumuachie Mungu pekee ndo atahukumu ,Sule nae ni bin Adam hajakamilika mkamilifu ni Allah pekee
Docta unatisha sana
Hapa hatuna sheikh tena
Mashallah singida mmefikiwa na neema hii
MATANGAZO YA BIASHARA YA KITAALAAMU KWELI KWELI
😆😆😆
Doctor sulle nitawapataje hao majini wa kiislamu
Assalaam alaykum. Jamani, mtakaoangalia hii video huyu mtu anawapoteza. Hakuna jinni mzuri anayeshirikiana na binadamu, jinni yeyote anayeshirikiana na binadamu ni mbaya hata kama anakupa masharti ya kuswali. Hayo masharti ya kuswali ndiyo shirki yenyewe sasa kwa kuwa utakuwa unaswali kwa kumtii jinni na sio Allah! Ametoka kusema kuwa mtu akitibiwa na mganga akasema asingekuwa yeye nisingepona ni shirki, sasa hiyo ina tofauti gani na hizo pesa za majini badala ya kumuomba Allah. Jiepusheni na hawa wanaojiita mashehe kumbe sio! Huyo anawatapeli apige pesa ya dawa zake na kuwaingiza kwenye shirki ndugu zangu. Huo anaotangaza ni ushirikina ndugu zangu.
Kazi ipo
Walinzi lazima ila kama sehema kama hapo anapotowa mawaidha hapana fujo awaambie wakakae tuh chini pakiwa na fujo ndo waaoneshe kz yao ila walizi ni lazima kwa sababu mungu katuumba na kila mmoja na njia yake ya kupata ridhiki lisilokuwa la haramu wahadha asalaam aleykum waalaahmatullaah wabarakatuh 😊
Ndugu Dunia mda huu haiaminiki .
@@Mumewangu hakika 🤝🤝🤝🤝
Maashaallah
Pale sehemu ya dua je kama MTU akipanda jini na kutaka kumvamia sheh nani atamuokoa acheni ftna.
Utajuaje mda gani fujo zitatokea
Waislam ndugu zangu nawahusieni jman Haturuhusiwi kua na ushirikiano na majini wawe wazur au wabaya hairuhsiwi Allah amekataza hlo jmna Hawa masheikh sjui wetoa wapi hzo elim at majini watakupa utajiri...
Lakini nawasikia wakisema kuna majini wema na wabaya, hawa wema ndio wanaleta hela mbona mi najua hela zinatoka kwa Mungu, uislam gani huu wa kuletewa hela majini?? Mungu wa waislam hana hela ila mashetani ??? Jaman dini nyingine lakini....,
@@AM-rr3jr Hapana sio kwamba Allah hana hela, ni kweli wapo majin wa aina hzo mbili ulzosema Kitabu cha Mungu Quran tukufu imetuzuia ss waislam kushirikiana na majini na yenyew yamezuiwa hvo kwahyo hao masheikh unaowaona wanatamba mitandaoni wakidai wenyew ni mabingwa wa majin wao niwashirkina na wanachafua sura halisi ya uislam labda nkwambie ewe ndugu@AM uislam hauusiani kabsa na majin ukimkutauislam asema hvo basi huyo ni mshirkina
@@anwary_sultan Ahaa kumbe? Na hii kitu naona huyu Shehe kaanzisha mihadhara na naadae anatangaza kuuza mafuta kama wanavyofanya mitume na manabii wa uongo je katika Uislam mafuta hayo yanakubalika? Na hayo ni yale yale ya mitume au mengine?? Sorry kwa usumbufu
@@AM-rr3jr Bila samahan me kwa ss waislam ni vizur kuelewesh mtu Pale ambapo hajaelewa ikiwa ni halal. Kuhusu mafuta ss waislam Hatujapewa tiba wala dawa ya aina yyte inayohusiana na mafuta kwahyo hyo yote ni upotoshaji wa baadh ya masheikh wenye kuchezea dini. Labda kuna baadh ya mimea kama mizaituni mafuta yake ni tiba kwahyo tuneza tumia hyo kawaida kama mitishamb mingne ya kiafrika bila kuhusish iman ya dini au nguvu flan, waislam tumepewa dua yan sala za kuomba iwapo unashida mfano kusomea maji baadh ya aya za Quran na kunywa basi so vingnevo haya mengine uyaonayo ndugu ni ushirikina kiufupi waislam tupo na miongozo inayotwambia nn cha kufanya ktk kila jambo kupitia Quran na Sunna ukikuta tiba, dawa maelezo ytte hayapo umo ni upotoshaji na ushirkina..
@@anwary_sultan Asante kwa ufafanuzi
🤝👏👏👏
❤❤
Hakuna shelkh hapa ni shetanitu ametumwa kuharibu dini la waislam uyo, mtazameni vizuri hama madili ya mungu uyo
Tumuogope, Allah hakuna sheria ya kufuga majini, tumuombe Allah
Inasikitisha waislamu wengi wanazifuga ila mwisho ni majanga walai
jmb usilo na elim nalo nyamaza tu
Hakuna mtu anayeweza kufuga majini ndg acha kudanganywa.
❤❤❤❤❤❤❤
إنا لله وإنا إليه راجعون. إن الله لا ينتزع العلم من الناس انتزاعا و لكن يقبض العلماء فيرفع معهم العلم و يبقي في الناس رؤوسا جهالا يفتونهم بغير علم فيضلون و يضلون
❤️
HUYU jamaa anawapoteza watu, maruhani WA Mungu ndiyo akina nani mjinga kabisa huyu
إنه أخطأ في قوله هناك بعض الجان قادرون على إعطاء الأرزاق ( الله يهده)
@@hamisijamvi5601 Sikuwa najuwa pia yeye Anafanya mambo hayo Allah amuongoze Ukiona hivo yani anajipigia debe.
sikiza vizuru my friend na uelewe the Sh. is taking fact, kusema maruhani hajamaanisha hivyoo unfkiria anamaanaisha toa sadaaqa, saidia watu hapo ndio utajiri iko
@@hamisijamvi5601
Watu wanajua kutafuta pesa anakuvuta huko mwsho anaelezea point yake ya biashara yake. Kama kuamua kusaidia watu wa hal ya chini ndio wanahitaj hiyo bidhaa leo elf 25 watanunua matajiri tu ambao hawahitaj utajir
🤣🤣🤣🤣🤣
Hapo kwa walinzi wa nn aisee
Sheikh hapo kwenye kushirkiana na na majini nadhan uislam hauruhusu kushirkiana na majini... hapo sheikh kaongeze kisomo cha dini asee majini haturuhusiwi kushirikiana nao wawe wazur au wabaya hyo karma alipewa Nabil Suleiman pekee yake...
WAISLAM HATURUHUSIWI KUSHIRKIANA NA MAJINI KWA AINA YYTE YA USHIRKIANO, najua wengi mnaamini na mtapotea kwa kumsikiliza huyu Sule hlo analosema kwenye uislam hakuna...
Kwaiyo nyie mnaotolewa majini na mwamposa ndo mnaelimu ya mbinguni et
@@yusufuheri6524 Assalaam aleykum Yusuf kama waitaka people ya Allah fuata Quran, sunna na mafunzo alotuachia Rasurullah S.a.w. kama huna haja na hlo kuna jehannam pia we endeleeni kumfuata sheikh na imamu wa mskitini kwako njia za sunna na Quran achana nazo. Ila narudia kukuhsia tena na kuihusia nafsi yangu Uislam na majini hamna uhusiano wa aina yoyote mtume hakung'orewa meno, kutukanwa, kubezwa, kudharauliwa ili ww hapo yusuph uwe muumini wa kuamini katka nguvu za majini wakati ALLAH AZZAWAJAL muumba wako aliekueko, aliyeko na atakaekuwako yupo naww.
Dunia na vyote viijavyo ni mali ya BWANA, Jini hatoi mali fanya kazi kwa bidii siku sita ya Saba fanya ibada ya mwenyezi Mungu wa kweli utabarikiwa
👏👏👏👏👏👏🙏🙏🙏🙏
Mpole kama mlokole... mmmh haya shekhe
Ila kweli waisilamu kwa kweli,aisee,ndo maana mudi aliwambia msome Qur'an kutokea Julia kwenda kusho.majini?
Unayeshangaa walinzi,jiulize mbona unafunga mlango kwa funguo na kufuli
Imani ndogo
Imani ndogo
@@KhadijaMkumbukwa Acha mlango waz halafu uibiwe uone kama utapata thawabu za iman😁
Saiv Kila mtu ana mabaunsa wake!
Huyu shekh mpotoshaji sana mjanja mjanja t
Tumevamiwa kila pande na adui 😢 wakristo na mafuta na waislam na mafuta sasa baada ya kumuamini Mungu wa kweli tunaamini vitu hatuna tofauti na wahindi waabudu ng’ombe siku izi
Acha kupotosha watu
Masheikh sikuiz na nyinyi mna mabodi gan...allahu akbr
subhanallah mie mwenyewe nimeshangaa . labda wasitokee watu wabaya wakamdhuru ndomana akaekewa ma bodyguard
Allah Akbar
tuachage roho mbaya kwani sule kuwa na walinzi kunaubayagani husuda tu
Sasa sheh si uwatoe hao walizi na utumie hayo mafuta kujilinda?
Ww huna akili mbn mtume alikua na majesh Sasa mbn asi muambie mungu tu awapige makafir kama uislm unakuletea shida na ww nenda kwa yesu Cristo tuachie dini yetu
@jumakatanje
Unaakili za kishamba
Waislamu Tuacha Unafiki.
Hakuna Dhambi Ya Kuwa na Bodyguard.
Basi kama Ni hivo Macca Na Madina Wavunje Vituo Vyote Vya Polisi Wawe wanaomba Dua tu.
Nawashangaa mm,Harram Makkah sharifu hawezi kushwalisha bila ulinzi,maana tumezungukwa na mahadui Kila corner Allah atuhifadhi.
Atembee peke yake auawe na makafiri
Fundisha kabisa hawo
Bwana Yesu ndio njia kweli na uzima, mtu haji kwa Baba ila kwa njia ya mimi. Hakuna ushirikiano kati ya Nuru ya giza. Mashetani ni mashetani tu hakuna wazuri wala wabaya wewe sheikh acha utapeli utadaiwa na Mungu kwa upotoshaji wako.
Waambie watu watubu dhambi zao ili wamgeukie Mungu na wapate rehema.
Ww huelew hujaambiwa mashetani umeambia jinni
😂😂😂bwana yesu ee😂😂😂 maskin mung awaongoe nyinyi makafir wakubwa
Yesu njia ya kwenda wapi
Allah akuongoze katika njia sahihi....
Acha,kudanganya watu eti yesu ni mjia😂😂😂sio mjia Bali nimetuma wa mungu basi
Sisi wa omani tunapataje hiyo mafuta
Ukosawa shekhe
Kuna tofaut gan kat ya sulle na mwamposa wote wauza mafuta wapigaji tu
Mbona hakina UNABII... biblia iko juu
ww hujielewi, utapata utajir kwa kufanya kazi jitume na mambo yataenda mambo ya kuamini majini sijui utachelewa sana cha pili Mungu anakupa kadiri unavyojituma ss ww usijutume sema nasalii ooooh hatari utabaki kwenye hardship tuu wshauri vijana wako wajitume lasivyo watasubir sana
Uli zungu mzalo liko sahii sheh
Majini yanyo mtii Mungu 😂😂😂nyie bwana wakaushi kweli kweli😂
Majini wanao mtii Mungu wapo. Na wasio mtii Mungu wapo. Kama Tulivyo wana adamu na majini ndiyo hivyohivyo. Kama hulijui hilo basi Uchache wa elimu.
S A W
Umeongea vizuri sasa Ila sasa hapo kwenye kipengere Cha majini inakuwaje Kuna Aina za majini na nini maana ya majini
Ttzo la watu wengi hawajui kua Majin pia wapo waislm na wanfnya mmbo mengi mazur kwa waislm binadam Yani jini ni kiumbe anapo kua muovu ndo anakua shetan majini pia walosma kwa wanzuoni na kwa mtume pia wamesom dini jaribu kutafta elimu Broo Kuna kisa kimja miongon mwa maulamaa alikua na mwanfunz jini alikuja kujua badd miaka mingi kupta na mwsho Ali mwambia Baki katka umbile lako Hilo Hilo la kibndam had utakponmaliza masomo yako na uende zako kipnd hicho jini alimjibu imam Malik kua huku njini ilikua imepotea ya dini Bada ufuska kutokea na yy ni miongn walotumwa waje watafte elimu kwa bindam ili aka wsomeshe wenzake tukio hili limekuja Bada bilaal AmBAe ni bndm kumwabia Omar jini alojigeuza mtu afunge mlngon wa acomodation Yao Kwan yy Bilal alikua amechka an Omar pia alikua amechka Omar aka nyosha mkono mrefu akaufunga mlango hapo Bilal akalal na hofu huku akijizuiya ikfka asbuh itabd aripot kwa imam Malik ndo imam akamwta Omar aje ajieleze
Majini tena yana urafiki na binadamu???Da hapo shekhe umedanganya umma
Majini ni mashetani tu hayapo mashetani mazuri na mashetani mabaya.Unafundisha ushirikana. Njoo kwa Yesu upone.
Mnatumia nguvu nyingi kulisha watu ujinga kwa sababu mnajua ni wavivu wa kufikiria mambo na hawataki kufatilia wala kusoma bali wanataka wawe wanaambiwa kama hivi....WAAFRIKA TUTATAWALIWA HADI MUNGU ATAKAPOONA DUNIA IFIKE MWISHO.....May be tunaweza kuishi hayo maisha huko PEPONI ambayo nasisi tutakuwa kama wao😢
Waambie wajue. Mtume wao alisema “homa inatokana na joto la motoni” Sahih Al Bukhari 3262. Hawasomi wanapelekwa pelekwa tu kama wehu
@@ikabako2454sio wale wanafunga na kukanyaga mafuta mpka wanakufa
Na wale wanaoambiwa watoe sadaka ya kujimaliza vp? Wale ambao wanahamin mwamposa nabii vp
Mashallah doctor nakupata vizuri mashallah
Shame be upon you. By the way hatuwezi kuwa sambamba na nyie.. Sisi hatuamini mnachokiamini na nyie hamuamini tunacho kiamini. Shikilia apo ulipo na utafakari utakuja kujua kuwa wew ni kiazi ama binadam.
Haters mnashida sana nyie 🙌
Watambue ukweli japo unauma
Dah,Dr.Sulle siku hizi ana ma bodyguards?
Sasa Sheikh we unataka watu waje uwafundishe kupata utajiri wa majini??? Sasa hapo Mungu yu wapi??? Msiwe ivo masheikh bhana.
Inalillahi wa Ina Illeihi Rajiun
Weweeee huyo Mpango angekua ni Mtaalamu wa Uchumi kama unavyosema Tanzania ingeendelea kua ktk hali mbaya ya Umasikini kiasi hiki???