Wanajikwepisha kwepisha tu ukweli wanao yesu alisubiliwa Kwa ajili ya dhambi zetu na sio Kwa ajili laana yake na agekuwa na laana asigefukuka km Mohamed alivyolala moja Kwa moja . Yesu yu hai ata SS yu hai
Uislamu na Quran unajitetea wenyewe sio kama biblia kuanzia mwanzo mpaka ufunua hakuna ukristo ni dini ya Mungu Wala biblia ni kitabu Cha Mungu....na mazinge hajastaafu usijidanganye akili yako...mbona apo kina yohana pia hatuwaoni
@@SalmaAbdul-zz7dy wewe wacha nikusaidie kuelewa sababu ya kusema vile nimesema. Usitazame tu mijadala ya hapo peke yake. Kuna mijadala dunia nzima. Kama unajua kutafuta kwa social media, tafadhali zitazame na kusikia kwa makini. Vile tu waisilamu wanalemewa hapo ndivyo ilivyo kwengine kwote duniani. Kitabu cha Quran ndugu yangu kilibuniwa bila muelekeo wowote.jaribu kuona Kama muisilamu aliye kua mkristo akitetea uisilamu. Hana hoja yoyote ya maana. Na ujaribu kusikiza mkristo aliye kua muisilamu. Utamshukuru Mungu kusikia ukweli. Waisilamu wote sehemu nyingi duniani hushindwa na hoja na kukasirika pasipo sababu. Kwa Nini? Mbona wakristo hawakasiriki Katika mijadala?
@@SalmaAbdul-zz7dy unajua kweli idadi ya waisilamu wanao kimbia uisilamu na kua wakristo? Kulingana na utafiti wa Aljezeera ni takriban 6000 kila Siku. Hilo ni Jambo halingefanyika miaka ishirini iliopita. Kwa Nini? Waisilamu wengi hawakua wanajua ukweli mpaka vile Quran ilianza kuchambuliwa hadharani .
May God bless you ndacha ..
Ndacha bwana apewe sifa huyo sule hakuwezi kabisa hebu mkomalie ajibu hoja ndo utajua Umesha mzidi
Ameame ❤❤❤❤
Wanajikwepisha kwepisha tu ukweli wanao yesu alisubiliwa Kwa ajili ya dhambi zetu na sio Kwa ajili laana yake na agekuwa na laana asigefukuka km Mohamed alivyolala moja Kwa moja . Yesu yu hai ata SS yu hai
Hakika Yesu ndiye njia wala hakuna MWINGINE.
Sule unapoteza muda sana kwasababu ata uyo nyota unae msema sio mungu kasema ni wa nabi
Ndacha kiboko ya waislamu
Ndacha Chapa,,sure akuezi kitabu wakijua
apo ni neno tu hakuja kufundisha kiswahili
❤❤nikweli kabisa ndacha kiswahili hajui
Sio hajui kiswahili ,,,huyu ni mkenya lafudhi yao na yetu kidogo tofauti lakin kiswahili anajua
Hawa walishindwa na mada. Hoja za mwalimu ndacha hazipingwi wala hazikanushwi. Watu wanaona kasoro ilioko Katika imani ya kiisilamu.
Kumbuka kiswahi kimeanzia Kenya siyo Tanzania
Nonono.wakenya.kiswahili chenu kibovu
Nafatilia Sana mjadala huo mbona sule maneno megi jitahidi kujibu hoja usitupe mawaiza sisi jibu Kama ndacha Yuko vizur kabisa
Debate ni swali hadi lijjibike kabisa bt hapa swali halijakaa sawa swali lengine
25:01
Sasa kama hutaki kujibu maswali umeenda kufanya nini hapo?
Ameni
Aende shule ndacha
Shule ya wapi tena na wewe,,,, shule we unayo!!
Yaani maswali ya ndacha hayajibiwi lakini Yao ndacha anawajibu.
Kweli kabisa mwalim ndacha anajitahidi kujibu lkn hawaelewi
Anajitahidi ila hajibu
Sure umeurizwa swali hujibu unaleta ujanjaujanja ,,ninamashaka na u doctor wake huyo
Waislamu jibuni hoja acheni poyoyo na ngonjera viva ndacha
Ushabiki acha elimika
Ndacha Baba laoooo
@@user-qy7he6cl8w baba lako
Je? Mpaka anaomba msaada hakujua kateuliwa kwa ajili ya dhambi za waovu?
Sule hana elimu kabisa
sasa kama unaulizwa swali kujibu hutaki unataka nini wakati watu wanauliza maswali?? sio kila k2 lazima upinge
mnatakiwa mtofautishe mdaalo na mahubiri !!!!! sasa kama mnahubiri ya nn kusema mdahalo wa kielimu??
Ndacha anajikanyaga t
Kajikanyaga wap acha chuki,,,,
Sule baada ya kujibu swali analeta mahubiri
Sure peleka shule hao vipofu
Hamna lolote ubishi tuuu
😂 sule ndie anaefaa kwenda shule wala sio Ndacha.
Akina Mazinge wamestahafu. Walijaribu kutetea uisilamu wakashindwa. Ni kibarua kigumu kutetea kitabu kilicho jisaliti. Hakuna andiko la kujitetea nalo.
Uislamu na Quran unajitetea wenyewe sio kama biblia kuanzia mwanzo mpaka ufunua hakuna ukristo ni dini ya Mungu Wala biblia ni kitabu Cha Mungu....na mazinge hajastaafu usijidanganye akili yako...mbona apo kina yohana pia hatuwaoni
@@SalmaAbdul-zz7dy wewe wacha nikusaidie kuelewa sababu ya kusema vile nimesema. Usitazame tu mijadala ya hapo peke yake. Kuna mijadala dunia nzima. Kama unajua kutafuta kwa social media, tafadhali zitazame na kusikia kwa makini. Vile tu waisilamu wanalemewa hapo ndivyo ilivyo kwengine kwote duniani. Kitabu cha Quran ndugu yangu kilibuniwa bila muelekeo wowote.jaribu kuona Kama muisilamu aliye kua mkristo akitetea uisilamu. Hana hoja yoyote ya maana. Na ujaribu kusikiza mkristo aliye kua muisilamu. Utamshukuru Mungu kusikia ukweli. Waisilamu wote sehemu nyingi duniani hushindwa na hoja na kukasirika pasipo sababu. Kwa Nini? Mbona wakristo hawakasiriki Katika mijadala?
@@SalmaAbdul-zz7dy unajua kweli idadi ya waisilamu wanao kimbia uisilamu na kua wakristo? Kulingana na utafiti wa Aljezeera ni takriban 6000 kila Siku. Hilo ni Jambo halingefanyika miaka ishirini iliopita. Kwa Nini? Waisilamu wengi hawakua wanajua ukweli mpaka vile Quran ilianza kuchambuliwa hadharani .
@@mwoso kwa sababu Wana njaa sana...maana katika uislamu hupewi pesa... halafu sote tukiwa waislamu motoni ataingia nani?
Ailimu huyo kafiri
Sule swali bado haujajibu. Mtu ambaye amefungwa santa ni maiti au ni mtu aliye hai?
Maiti ndo anafungwa sanda
Uyu ndacha ni mpuuzi tu
Mtafute ujadiliane nae tujue mpuzi ni nani
Mtafute ujadiliane nae tujue mpuzi ni nani
Mpuuzi ni bb yako
Sule , umeshindwa hoja, hii hoja huiwezi !
Wewe peleka hoja zako tuone.
Ndacha bwana apewe sifa huyo sule hakuwezi kabisa hebu mkomalie ajibu hoja ndo utajua Umesha mzidi
Ndacha bwana apewe sifa huyo sule hakuwezi kabisa hebu mkomalie ajibu hoja ndo utajua Umesha mzidi