Shishi, mimi ninakupenda sana. Unaniinsipire sana. Najua nmekuzidi elimu lakini maisha unayajua na sioni haya kujifunza kwako. Na leo.nmenote kitu kikubwa sanasana. Mungu azidi kubariki harakati zako
hi 👋 shishi baby 😘 shilole and hadija hata wenza kukuangusha because a na kutengemeya wewe shishi baby foods kikazi na kuwa watu wengine piya wana kuyengemeya wewe shishi baby shilole kuwa kazi yenu au nisema kuwa kazi yako pamoja na upendo wa kifamiliya kimaicha yenu kivivote vile au nisema kazi yenu wawili na muwingine piya because kazi ni kazi shishi baby shilole foods hongera au nisema hongereni kuwa ujuumula and yes yes shishi baby shilole be non 👎 non 👎non 👎non 👎non 👎 about language enlishing it is you just continuings tooling very very good 👍 it is non 👎 non 👎 non 👎 matter usione aimbu and me a i speakening suwahili a just little bit more language speaking much more a i french and english speaking language in world 🌎 also lam here home 🏡 swirtzenland conutiry world 🌎 💖
Hongera sana Dina Marios kwa kutupa mipango ya maendeleo.🙏
Hongera sana Mamy Shishi,umewasilisha vzr sn,kwa utulivu na kwa kujiamini na kubwa zaidi unaeleweka sn tu!
Asant kwahushahiri
Hongera Sana da Shishi nakukubali Sana Mungu azidi kukuinia katika kazi zako zote na uendelee na moyo wako huo huo. ♥️🙏🙏
Hongera dada leo nimejifunza ktu kutoka kwa shishi
Shishi, mimi ninakupenda sana. Unaniinsipire sana. Najua nmekuzidi elimu lakini maisha unayajua na sioni haya kujifunza kwako. Na leo.nmenote kitu kikubwa sanasana. Mungu azidi kubariki harakati zako
Ongera mwanangu shishi,nakupenda sana.
Clear madam shishi
Kweli kabisa wewe wa igunga mpka umepataja Ibologero ni kweli kabisa huo mnada upo kila wiki 👏👏👏
Nimekupenda shishi
Hongera my shishi nakupenda sana
Hongera ses
Hongera sana dada umenifunza kitu
Shishi nakupenda! Ila fanya mazowezi, ili upunguze unene kidogo, .....uko juu!
I love u shishi, natmn kuwa kama wewe.
Shiringi joyakwaza shams yeyekuropoka jamani good shirole
Ni kweli da shishi
Mama kijacho... Na hilo dera ukilikusanya kitumbo chaonekana na bado dogo..
Shishi ana akili saana
Shishi siku nikija tanzania nitakutafu nije kula maana ume nitamanisha sana
Najifunza mengi ...Kupitia Shilole, Mungu Akubariki sana
Mung azid kukuinunua dada
hi 👋 shishi baby 😘 shilole and hadija hata wenza kukuangusha because a na kutengemeya wewe shishi baby foods kikazi na kuwa watu wengine piya wana kuyengemeya wewe shishi baby shilole kuwa kazi yenu au nisema kuwa kazi yako pamoja na upendo wa kifamiliya kimaicha yenu kivivote vile au nisema kazi yenu wawili na muwingine piya because kazi ni kazi shishi baby shilole foods hongera au nisema hongereni kuwa ujuumula and yes yes shishi baby shilole be non 👎 non 👎non 👎non 👎non 👎 about language enlishing it is you just continuings tooling very very good 👍 it is non 👎 non 👎 non 👎 matter usione aimbu and me a i speakening suwahili a just little bit more language speaking much more a i french and english speaking language in world 🌎 also lam here home 🏡 swirtzenland conutiry world 🌎 💖
Naomba namba ya cm zuwena
ILA SHISHI ANAJIAMIN NAMPENDA HUYU DADA SIJUTII KUMSKILIZA MUNGU AKUBARIKI
Asante shishi nimejifunza ki2
Alaf io guo.ni zuri il inakutesa ivae tu cku hauna pilikapilika dadaa.
Nimekuelewa shishi
Nakipenda shilole ukeongea Vema kipenzi
Shilole hujawahi kuniangusha