JE KISHKI NDIO SULUHISHO KWENYE UKAFIRI WA HARMONIZE || MUHAMMAD BACHU || 19/4/2024

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 257

  • @maryamabdallah3140
    @maryamabdallah3140 4 หลายเดือนก่อน +5

    Wanamuziki mnajisahau sana, kumbukeni Allah yupo na mwisho baada ya maisha haya utaenda kuyajibu yote unayofanya!

  • @SirlemNasir
    @SirlemNasir 5 หลายเดือนก่อน +6

    Masha Allah.. umesema.kweli sheikh Muhammad Bachu.. tatizo kuu ni wapi mtoto wako unampeleka.kusoma.dini. wallahi kama ungelijua hata ule munakasha wa Barzanji, ungejua unaenda kufanya naye mjadala ni mpiga gita na vinanda..usingepoteza mdaa wako.

  • @KhalfanMassoud
    @KhalfanMassoud 5 หลายเดือนก่อน +10

    Maashallah, mwalimu wangu bachu, nakupenda kwa ajili ya allah.

  • @GoodluckPaul-wf9gn
    @GoodluckPaul-wf9gn 4 หลายเดือนก่อน +2

    Sheikh Muhammad Bachu Mwenyezi MUNGU azidi kukupa umri mrefu wenye kheri na akujaalie mwisho mwema Inshaallah

  • @SaudaSeleman
    @SaudaSeleman 4 หลายเดือนก่อน +3

    MashaAllah Allah akulipe kher shekh Bachu

  • @AllyJohn-u5c
    @AllyJohn-u5c 4 หลายเดือนก่อน +1

    Shekh wangu Allah hakuifazi haku zidishie neema na baraka tele

  • @YusraynatAlly-mo7sq
    @YusraynatAlly-mo7sq 5 หลายเดือนก่อน +16

    ALLAH(SW) atuhifadhi na atulinde na atuepushe na kufuru,,,,,,,,,,,,,,,mda upoo jamnani tutubuniii hakika Allah (sw) ni mwenye kusamehe,,,,,,,Allah (SW) atujaalie tupate mwisho mwema tuingie katika pepo ya firdaus amiiiin ya rabbi

  • @SalehKhatib-ey6ct
    @SalehKhatib-ey6ct 5 หลายเดือนก่อน +7

    Muhammed bachu nafatilia sana mawaidha yako upo vizur si wote watokupenda ila wew bainisha haki Allah atakupenda hongera sana napenda mawaidha yako unazungumz vitu kwa dalili

  • @SalehKhatib-ey6ct
    @SalehKhatib-ey6ct 5 หลายเดือนก่อน +5

    Hata sis tumetoka madrasa hizi za maulid na mambo mengi ila namshkuru Allah sw kwa kuijuwa haki pamoja na familia yangu namshkuru Mola kwakuniepusha na batwil na kuijuwa haki

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot 5 หลายเดือนก่อน +3

    Laahawl walaa quwwata illaa billaah!
    Kwakweli wazazi tunapaswa kua makini na kuchukua hatua stahiki kwa watoto wetu kupitia tukio hili.
    Pia Shekh Muhammaa kwakweli tunamuomba Allaah Azza Wajalla akupe umri mrefu wenye faida kwako na kwa ummah pia.
    Kwakweli umeongea vitu vya maana sana maashaa Allaah, wabaaraka Allaahu fiik.

  • @adamaliali2206
    @adamaliali2206 5 หลายเดือนก่อน +7

    Allah akulinde Mohammad bachu

  • @tz2014
    @tz2014 5 หลายเดือนก่อน +3

    Allah azidi kuwahifadhi masheikh wote wenye kusimama katika haki kufundisha dini kama alivyofanya mtume, maswahaba na wema waliotangulia amiin.

  • @SharafuAli
    @SharafuAli 4 หลายเดือนก่อน

    Allah akulinde Insh Allah uzidi kutuilimisha nakupenda kwa ajili ya Allah

  • @HussainMaula-tz8dh
    @HussainMaula-tz8dh 5 หลายเดือนก่อน +5

    Shekhe muhamani bachu twakuombea kwa Allha akuhifazi shekhe wetu na akupe umri mrefu ili watu wazidi kuifahamu haki na kuikataa batili.

    • @MdNasr-jm8pj
      @MdNasr-jm8pj 5 หลายเดือนก่อน +1

      Amin

    • @AliSalim-dq4go
      @AliSalim-dq4go 5 หลายเดือนก่อน

      Wewe Diamond kwa maneno yako umeritadi ,piga shahada na ufanye na toba nasuha

    • @is-hakayussuf9981
      @is-hakayussuf9981 5 หลายเดือนก่อน

      Ameen

  • @kizitofarid9414
    @kizitofarid9414 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah Allah akuhifadhi sheikh wangu na akuzidishie Elimu na ufaham zaidi na zaidi uzidi kuwafahamisha watu dini ipoje na sivyo wanavyofikiria Allah azidi kukufungulia ufaham wallah wataelewatu

  • @shaabansheehabdallah8770
    @shaabansheehabdallah8770 5 หลายเดือนก่อน +3

    MAA SHAA ALLAH
    BarrakkAllah fiik. Ujumbe umetulia kabisa

  • @muhunzijunior5153
    @muhunzijunior5153 5 หลายเดือนก่อน +5

    Allah atunusur atuepushe na kufuru na atujaalie mwisho mwema in Shaa Allah

  • @amuribazira9350
    @amuribazira9350 5 หลายเดือนก่อน

    Shukran masheikh zetu kusimamia HAKI. Ila tusiumize vichwa vyetu,huyo msanii anasifa ya kuwa mfuasi wa sheitani. Anapo kufturu ndio naingia kwenye Ibada ya kisheitwani.
    Allah tunusurishe na huo upotevu.

  • @FreePalestineoneummah
    @FreePalestineoneummah 4 หลายเดือนก่อน

    Kukufuru kukubwa uliodhahiri, Subhanallah,hyo ni bangi

  • @nabiljumaothman5912
    @nabiljumaothman5912 5 หลายเดือนก่อน +6

    Mtihani wallai kijana Kaleft Group.. watu wanaomba mwisho mwema yeye Ndo anaharibu dakika za mwisho .. mungu amrejeshe kwenye akida .. maana wale wanaosema mungu ana mtoto mbingu zinatetemeka je kauli alotoa harmonize 😢

    • @OmanOma-xi3hm
      @OmanOma-xi3hm 4 หลายเดือนก่อน

      Kweli atubue asijibaba ishe

  • @allysalimu338
    @allysalimu338 5 หลายเดือนก่อน +1

    Allaah akuhifadhiii! Shekh bachu❤

  • @halimamohamed4842
    @halimamohamed4842 4 หลายเดือนก่อน

    Shukrn sanaa sheekh Allah akuhifadhi❤❤upo sahihi,,watching from kenya🇰🇪🇰🇪

  • @niffonlinetz7214
    @niffonlinetz7214 5 หลายเดือนก่อน +2

    BACHU KAMA BACHU ALLAH AKULIPE KILA LENYE KHERI SHEKHE WETU

  • @ShamuniShamun
    @ShamuniShamun 2 หลายเดือนก่อน

    Allah hakuifadh. Na kila baya

  • @TijosHaba-xi8vy
    @TijosHaba-xi8vy 5 หลายเดือนก่อน

    Waarabu hao wapiga gita eeehh Allah atupe mwisho mwema. Sheikh Muhamad Allah akuhifadh😊itikadi sahihi ni yamuhimu yaa Allah tuongoze

  • @JahyAlnadhir
    @JahyAlnadhir 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu akubadilishe pua ya tumbiri

  • @barakoibrahim
    @barakoibrahim 5 หลายเดือนก่อน +1

    Masha Allah Sheikh, nlikua natafuta mtu ka wewe wa kuwaambia Hawa watu was Lamu ukweli. Wallah kwa kweli nakushukuru kwa upande wangu ❤❤❤

  • @KhalidHashim-y4n
    @KhalidHashim-y4n 4 วันที่ผ่านมา

    Na Mungu siyo kiumbe hapo mwijaku katufunga Mungu kama ilivyo hajulikani kama hajulikani ni nani ila ni Mungu tunamuona Mungu kupitia ishara zangu na tunamjua kupitia ishara hizo

  • @youngtomuller-vh2pu
    @youngtomuller-vh2pu 4 หลายเดือนก่อน

    Allah ti abençoe irmao insha-Allah 🙏

  • @HarunaKhamisi
    @HarunaKhamisi 3 หลายเดือนก่อน

    Atakaefahamu atafahamu laa watu kama wapo kishabiki zaidi bac ila hao wsikuvunje nguvu fanya kazi allah atawajalia iposiku w atafahamu nn unamainisha

  • @safiaMsellem
    @safiaMsellem 3 หลายเดือนก่อน

    Mashallah shekh

  • @salehkhalfan7345
    @salehkhalfan7345 5 หลายเดือนก่อน +2

    Nikweli Sheikh wng lkn wkt mwngn tusiwalaumu tu Wazazi
    Kuna Familia Wazazi wao hufanya Bidii ya kila namna lkn mwsh wa sku mtt akakosa Elimu au akabadilika ukubwan
    Na kuna watt wengn hata hai Wazazi hawawajui-mfano mtt analelew na Mzazi 1 tu na mwsh wa sku mtt akawa mweye juhud ktk Dini....Wallahu Aa'alam

  • @DebalzacOmari
    @DebalzacOmari 5 หลายเดือนก่อน +1

    Allah umuongoze kijana wetu

  • @omarmwabege
    @omarmwabege 5 หลายเดือนก่อน +1

    Maa shaa Allah,أحبك في الله يا أخي

  • @KomboHussein
    @KomboHussein 5 หลายเดือนก่อน

    Allah akuhifadhi shekh Mohammad Bachu,

  • @JumaHamad-n4f
    @JumaHamad-n4f 5 หลายเดือนก่อน +2

    Alhaa Akubariki na Akuepush fitin za duniya

  • @leilakhamis983
    @leilakhamis983 5 หลายเดือนก่อน

    Muhammad bachu Allah akuhifaz aamin

  • @SalehKhatib-ey6ct
    @SalehKhatib-ey6ct 5 หลายเดือนก่อน

    Muhammed bachu unafiks ujumbe sana Allah akuhifadh ila kuns watu wanakukejeli ila siku zote ukizungumza ukwel utachukiwa madui watakuwa wengi ilw Allah sw atawaongo endelea kutubainishia haki

  • @MohamedMeja
    @MohamedMeja 3 หลายเดือนก่อน

    Amefanyaa makosa makubwa mungu ampea mazingatio atubiea AMEEN YA RABII

  • @slimdaszwagaza2202
    @slimdaszwagaza2202 5 หลายเดือนก่อน

    Watching from ethiopia kenya border mashAllah sheikh mungu akujazie kheir na akuongoze kwa njia kamili ya Tawhid

    • @SaidAli-f6c
      @SaidAli-f6c 5 หลายเดือนก่อน

      Sheikh huyo msaa nii jashakiri kama amemkosea Allah

  • @cityhuntermkali2468
    @cityhuntermkali2468 5 หลายเดือนก่อน

    Muhammad bachu Allah akupe uhai mrefu tuendelee kunufaika na madini yako

  • @abdulmwakubambanya9091
    @abdulmwakubambanya9091 5 หลายเดือนก่อน +1

    Barakh Allah Kher sheikh

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 5 หลายเดือนก่อน +5

    Naukiangalia. Wanamuziki wote wametokea madrasa za madufu. Mtiihani. Allah atuongoze hawamashehe ubwabwa mtuhani.madufuni muzikitu .. zambi zilezile

    • @mzalendohasa
      @mzalendohasa 5 หลายเดือนก่อน

      Kwa hiyo na wanaziki wanao imba nyimbo zinazo itwa nashidi wametoka kwenye madrasa za dufu tuache chuki zisizo za maana ndugu

    • @cityhuntermkali2468
      @cityhuntermkali2468 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@mzalendohasahuo ukweli wala hakuna mjadala

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 5 หลายเดือนก่อน

      @@mzalendohasa kwani anashidi ni halali zone ni bidaa sugu hizo hazitakiwi ni walewaletu

  • @AdamhassanSheikh
    @AdamhassanSheikh 5 หลายเดือนก่อน

    Asc ,,,Maa,SHaa,Allah,,Allahuma,Ahfith,,kullu Sheikh,,Allmusliiin☝️👍

  • @AndulHida-hs5py
    @AndulHida-hs5py 5 หลายเดือนก่อน

    Subbhanna Allah, mola amuongoze kijana huyo , arudi kuwa muislam safi , Hakika kakosea sana

  • @ibrahimjumaa538
    @ibrahimjumaa538 5 หลายเดือนก่อน +1

    Muombeeni Duah!!❤

  • @NaimaMm-d3k
    @NaimaMm-d3k 5 หลายเดือนก่อน +1

    Shekha Allah akulipe nimekuelewa

  • @ArunaDjumapili
    @ArunaDjumapili 4 หลายเดือนก่อน

    Mwenyezi Mungu asamehe na amuongoze

  • @JumaMdiesa
    @JumaMdiesa 4 หลายเดือนก่อน

    Ndo mana Allah kasema tusimfikirie san yupoje tutamkufuru ndo hivy sasa

  • @MteleShadia-lc6gi
    @MteleShadia-lc6gi 5 หลายเดือนก่อน +3

    Mashallah mashallah,,shekh,,,pia nurudin kishik Allah amlipe,,kwaa Kaz nzr yake,, anayoyafanya kwenye din hi Allah amlipe,,popote alpo

    • @yusufathman2478
      @yusufathman2478 5 หลายเดือนก่อน

      Aaaamin..
      Nampenda sheikh kishki kwa ajili ya Allah

    • @habibasalim3092
      @habibasalim3092 5 หลายเดือนก่อน

      Aamiin

    • @amrikimbede
      @amrikimbede 5 หลายเดือนก่อน

      Na mimi pia nampenda Sheikh Nurdin Kishki kwa ajili ya ALLAH

  • @SbOm-b7k
    @SbOm-b7k 5 หลายเดือนก่อน

    Alhamdulillah, umetufunza na nimepata kitu kupitia video yako hii, Alhamdulillah

  • @HamisMtonnya
    @HamisMtonnya 4 หลายเดือนก่อน

    Maneno ya kweli kabisa ,mashaallah

  • @bakarihote
    @bakarihote 5 หลายเดือนก่อน

    Allah amlinde shekhe bachu 6:32

  • @jumasalum2677
    @jumasalum2677 5 หลายเดือนก่อน +2

    Masha Allah

  • @AshrafBunu
    @AshrafBunu 5 หลายเดือนก่อน

    Allah akuhifadhi sheikh wetu

  • @LivelLonger
    @LivelLonger 5 หลายเดือนก่อน

    Subhanallah! Hawo wenye wako kwenye makaburi na dufu ni wapi? Msiba

  • @YahyaYahya-vp2pp
    @YahyaYahya-vp2pp 5 หลายเดือนก่อน +1

    Muhammad bachu ❤❤❤

  • @SeaPower-pu1mq
    @SeaPower-pu1mq 5 หลายเดือนก่อน +1

    Upo Sahihi shekh langu

  • @babatidaawa6550
    @babatidaawa6550 5 หลายเดือนก่อน

    Shukran Sheikh wangu

  • @kheirjuma931
    @kheirjuma931 5 หลายเดือนก่อน

    Uko vyema sheh masha allah

  • @sofiaadamugi1650
    @sofiaadamugi1650 2 หลายเดือนก่อน

    Subhanaallah,porque tanto shirk😢

  • @MdNasr-jm8pj
    @MdNasr-jm8pj 5 หลายเดือนก่อน

    Mm ningefurah ungemwita ukammkanya 🤝

  • @mwaminianasi
    @mwaminianasi 5 หลายเดือนก่อน

    Allah akuhifadhi , akupe Umri mrefu wenye kheiri na Barka 🤲

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 5 หลายเดือนก่อน +1

    Alaaaa dj said bwana

  • @LivelLonger
    @LivelLonger 5 หลายเดือนก่อน

    Mashallah , mawaidha mazuri

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 5 หลายเดือนก่อน +2

    Masufi wapiga madufu mtihani. Allah atuongoze atujaalie mwishomwema atuepushe na shilki

    • @MWAMBAZanzibar
      @MWAMBAZanzibar 5 หลายเดือนก่อน

      Wao ndio wanao sema hivyo ?

    • @HarunaRugusha
      @HarunaRugusha 5 หลายเดือนก่อน

      Tatizo vijana kashfa nyingi kwa walimu wa mwanzo fanyeni subra kwani Wew unapata fursa ya kumjua bachu kuna wengine ata kanzu hawaijui acheni zalau kwa ndugu zenu

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 5 หลายเดือนก่อน

      @@HarunaRugusha kwani kanxu ndiyo kujia Dini. aundiyo. Kufata haki kanxu mavazitu

  • @sarahabdullatif8556
    @sarahabdullatif8556 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu hapiganiwi kwa Yesu Raha anajuwa sio mungu wa kweli ndio mana anafanya hivyo hebu hayo naayafanye kwa Yesu

    • @mohamedlali4229
      @mohamedlali4229 5 หลายเดือนก่อน

      1 Samweli. 15: 2-3 soma humo utaona kama Mungu wako anataka apiganiwe au vipi

  • @abdulkadirhaji3947
    @abdulkadirhaji3947 5 หลายเดือนก่อน +1

    Shk Mohamed bachu uko miskiti gani nataka kuja kusikiliza kudba zako wallahi kwajili ya allah

    • @habibasalim3092
      @habibasalim3092 5 หลายเดือนก่อน

      Hua yuko Migadini sana sana,

    • @tztanzania2262
      @tztanzania2262 5 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@habibasalim3092upo Kenya?

    • @habibasalim3092
      @habibasalim3092 5 หลายเดือนก่อน

      @@tztanzania2262 yes

    • @abuubakaramer7782
      @abuubakaramer7782 5 หลายเดือนก่อน

      kwani zanzibar hayupo tena au

    • @musakibindo6345
      @musakibindo6345 5 หลายเดือนก่อน

      Mmojawapo ya watu ambao haifai kuchukuliwa dini kwao ni wewe. Maana unatumia nguvu nyingi, siasa nyingi na propaganda tele kuwanasa, na kuwavuta watu upande wako. Hivi siku zote hamjawahi kuuona dharura ya kuwazungumzia wanamziki ambao ni waislamu waache kuimba mziki wa kishaitwan. Nyinyi Mashekhe mchongo bin propaganda Allah anawaona. Yaani siku zote Harmonize alikuwa mwema mpaka hivi majuzi ndio akaanza kufru hapo mbeleni hakuwa na kufru yoyote? Mungu anawaona.

  • @faisalmohamed727
    @faisalmohamed727 5 หลายเดือนก่อน +3

    Wanamiziki wa east Africa wanaodai kuwa ni waislamu wote ni wanafunzi wa masufi, masufi hufundishwa uimbaji kuanzia madrasa.

    • @Khalid-mf3iu
      @Khalid-mf3iu 5 หลายเดือนก่อน +1

      Ndio maana wengi masufi hupenda migoma

    • @mbarakomarmbarak5863
      @mbarakomarmbarak5863 5 หลายเดือนก่อน

      bachu alishindwa kwa elimu si kwa Gita

    • @jamilashabani8580
      @jamilashabani8580 5 หลายเดือนก่อน

      Acha zako Sikiliza yalio hapa uyafuate acha kusema watu bila ⁷bu et masufi kule madrsa hawafundishwi mzik bali kumsifu Allah na Mtume wake

    • @faisalmohamed727
      @faisalmohamed727 5 หลายเดือนก่อน

      @@jamilashabani8580 Ulionapi mtu wa sunnah muwaitao (mawahabi) kiwa mwanamziki au mpiga ramli mganga? Hao hupatikana kwa masufi tuu, waganga wapiga ramli waimbaji na wanaoabudu masharifu na makaburi yao.

  • @AbdurkarimMzeedone
    @AbdurkarimMzeedone 5 หลายเดือนก่อน

    Shekh nauwakika wengi wanachukia mawaidha yako2 lakin wengi wanapenda mawaidha yako ila mungu akipende zaid akulipe janna insha Allah

  • @IdrisaHamad-w1b
    @IdrisaHamad-w1b 3 หลายเดือนก่อน

    Dj said mwalim mkuu wa madrasa

    • @SuolFat
      @SuolFat 2 หลายเดือนก่อน

      Acha chuki

  • @kassimsalim6160
    @kassimsalim6160 5 หลายเดือนก่อน

    سبحان الله الله أكبر 😭😭😭😭💔💔💔 الله المستعان والله العظيم 🤲😭💔

  • @hajiamiri1658
    @hajiamiri1658 5 หลายเดือนก่อน

    Jazaakhallah kher

  • @idrismaalim2254
    @idrismaalim2254 5 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa Mpiga gitaa alikunyamazisha ukiletewa maUstadh si utahara.?

  • @adamaliali2206
    @adamaliali2206 5 หลายเดือนก่อน

    Allah akulinde

  • @Saidally-ih6jd
    @Saidally-ih6jd 4 หลายเดือนก่อน

    Allah amuongoze

  • @HashimOmaro-s3p
    @HashimOmaro-s3p หลายเดือนก่อน

    AsamuAlyim

  • @allysalimu338
    @allysalimu338 5 หลายเดือนก่อน

    Kwahaki ulionayonna unayo wapa watu sikilq mmoja atakupenda wako wenye husdaa ilaa toa haq sheikh wangu mpka itapokufika yakin😢

  • @anthonykariuki2438
    @anthonykariuki2438 4 หลายเดือนก่อน

    Ali iga hayo maneno kutoka kwa mwanamuziki mwenye asili ya kimarekani anayejulikana kama Shaggy katika ule wimbo wake strength of a woman.

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 4 หลายเดือนก่อน

    Kitu cha kwanza ninachompendea bachu simnafiki na haogopi kuchukiwa kwa ajili ya allahh

  • @UlamaaWaUlamaa
    @UlamaaWaUlamaa 5 หลายเดือนก่อน

    Mashallah huyu namfuatilia yeye na baba yake Shekh Nassoro Bachu

  • @ZulfahMuhammad
    @ZulfahMuhammad 5 หลายเดือนก่อน

    Bangi ni mbaya kwakweli 😢😢😢
    Allaah azidi kutuongoza kwa Neema zake sababu huyu ni msiba mkumbwa sana kufuru kama hiii Daah

  • @mzeemzee7503
    @mzeemzee7503 4 หลายเดือนก่อน

    TAFADHALINI MASHEKHE NAWAOMBA MUNATOKA KATIKA MALENGO YA DINI WAKATI TULIONAO SASA NIKUWAOKOWA UMMAH NA MOTO WA ALLAH AWE MUHUNI MCHAWI MZINZI MALAYA NAWENGINEO ZAMA ZILISEMWA ELIMU WASOMI KUTAKA UMARUFU NA SIFA SIO KULINGANIYA WATU WAIPENDE NAKUINGIA KWA DINI SHETANI AMEWAZIDI NGUVU DIAMOND KONDE BOY NA ALI KIBA SABABU YA MAISHA NA ANASA MASHEKHE HAMTUMII HEKMA YA QURAN NA HADITH ALLAH AWAPE TAWFIQ WARUDI KWA MUONGOZO KUMBUKA WANAMUZIKI WANAFILM WACHEZA MIPIRA WANATUMIYA KUANGAMIZA JAMII NA MWISHO WAKICHOKA WANAULIWA MFANO MINGI BOB MARLEY WHITENY HOUSTON CELINE DEON NAWENGI MAMBO YAKO WAZI SHUKRAN

  • @AbdillahHabib-c9z
    @AbdillahHabib-c9z 5 หลายเดือนก่อน

    Ni kosa mpiga gita kumwita sheikh.

  • @habibasalim3092
    @habibasalim3092 5 หลายเดือนก่อน

    Walahawla walaquwwata illa-billaah, inakuwaje wazungu sasa hivi wanaukumbatia uislamu wakiwemo ma priests, khasara hii ya harmonize

  • @mariamhussein2737
    @mariamhussein2737 5 หลายเดือนก่อน

    Mashallah

  • @SwahibAjamy
    @SwahibAjamy 5 หลายเดือนก่อน

    Jivute kwa Allah upate radhi za Allah

  • @ali_ford
    @ali_ford 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu=miungu shirki
    Mwenyezimungu sahihi

  • @SalehKhatib-ey6ct
    @SalehKhatib-ey6ct 5 หลายเดือนก่อน

    Bachu endelea kusambaza dawa sisi tunakupenda kwa ajili ya Allah endelea kuwanyoshaa na waepukane na batili waje kwenye haki inshaallah Allah atawajalia kuijuwa haki

  • @badarbinthabit290
    @badarbinthabit290 4 หลายเดือนก่อน

    Allah Mustaan

  • @MuhammadRasuulllahi
    @MuhammadRasuulllahi 5 หลายเดือนก่อน

    Subhaanallah

  • @RichardLibuma
    @RichardLibuma 4 หลายเดือนก่อน

    Kwa maana hii basi ata kwenda hija maka pia ni upuuzi katika uislamu, kwa sababu wanokwenda kule ni kwenda kudhulu kaburi pale maka. Ndugu Zangu waislam tutafute ukweli sisi wenyewe tusipelekwe kama bendera inavyopelekwa na upepo.

  • @omarsirleem7105
    @omarsirleem7105 5 หลายเดือนก่อน

    MashaAllah

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 4 หลายเดือนก่อน

    Yarabi tunaomba utuongoze

  • @AbdalahAlly-nc8xs
    @AbdalahAlly-nc8xs 4 หลายเดือนก่อน

    Kijana wape hao alllaah anapenda watu kama hao

  • @issambamba9236
    @issambamba9236 5 หลายเดือนก่อน

    Kiukweli hakuna mwenye kumjua Allah kiuhakika ya dhati yake,kikubwatu tuamini uwepo wa Mungu muumbaji wetu.

  • @bashishimrisa
    @bashishimrisa 5 หลายเดือนก่อน

    man was created from the dust and in the dust you will return

  • @HusseinMussa-t7u
    @HusseinMussa-t7u 5 หลายเดือนก่อน +1

    Harmonize laanatullah

  • @AthmanAmina
    @AthmanAmina 5 หลายเดือนก่อน

    Hasbunallah

  • @khamisswalehe
    @khamisswalehe 5 หลายเดือนก่อน +2

    shekh bachu natka unipe dalili ya uharamu wa kuomba dua ya pamoja baada ya swala ya faradh

    • @amourshadhil2005
      @amourshadhil2005 5 หลายเดือนก่อน +1

      Suala zuri. Cku akikujibu na mm tafadhali nitumie hata inbox

    • @rafiimkufya1173
      @rafiimkufya1173 5 หลายเดือนก่อน +1

      Hakuna uharamu wowote sema mtume hajafundsha hvyo na mtume ndio kiigzo chetu kwenye kila jambo la dini

    • @niffonlinetz7214
      @niffonlinetz7214 5 หลายเดือนก่อน

      MTUME HAKUFANYA HILO JAMBO SHEKHE

    • @khamisswalehe
      @khamisswalehe 5 หลายเดือนก่อน

      @@niffonlinetz7214 sawa mwalimu