DAH HUWEZI AMINI! DKT SULLE AMUAIBISHA MNO MCHUNGAJI NDACHA | MAZINGE AMVURUGA KABISAAAAAA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ธ.ค. 2023
  • #riyadhTvZnz #zanzibar
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / riyadhtvznz
    FACEBOOK: / riyadhtvonlineznz
    TIKTOK: / riyadhtvonlineznz
    TH-cam: / @@riyadhtvonlineznz
    Dkt Sulle Mazinge wakata mzizi wa Fitna, Qur an Ndo kitabu cha kweli cha Mungu

ความคิดเห็น • 266

  • @DancanOsongo
    @DancanOsongo หลายเดือนก่อน +3

    Aya iko ❤🎉🎉wacha kuteta kwamana mano yari😢omo kwamane yamungu yariomo bibilia

  • @kriswanyanya256
    @kriswanyanya256 6 หลายเดือนก่อน +2

    The wisdom in Ndacha✌🏻 🔥 kiboko ya waislahamu

  • @MaggySimon-nr5if
    @MaggySimon-nr5if 3 หลายเดือนก่อน +1

    Allahumma inny mzidishie Dr.sule iman elmu na umri wenye faida kw waja wako wote dunian mpaka mbinguni na Aamiiiiin

  • @kitumainikubatu3182
    @kitumainikubatu3182 6 หลายเดือนก่อน +2

    Ndugu mchungaji ndacha wewe kweli ni Mwalimu wakuwanyoosha waislamu ; ili wamwamini yesu kristo. asante sana kwa huduma hiyo.

  • @deogratiusthobias4322
    @deogratiusthobias4322 7 หลายเดือนก่อน +4

    Nashukuru sana mungu kwa kuniumba mm kua mtu wa kristo,Hakika najiona utofaut wang,Maisha yang tupu ni xtor ndef,Ukiona mtu kahasi ukiristo karogwa uyo,Ndacha mmoja walimu wa kiislam 10 lakin umewapelekea moto

  • @barackamosi4116
    @barackamosi4116 3 หลายเดือนก่อน

    Mmmmmmh ili jamaaa ndacha AAAA sarut baba ndacha huna mfano Mimi Nina wasiwasi na wewe itakuwa YESU yupo ndani yako siyo bule duuuu baba baba wewe kiboko❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-wj2vd9jr7p
    @user-wj2vd9jr7p 2 หลายเดือนก่อน

    Wewe ndacha ubarikiwe mungu ariku jariya gipaji❤

  • @user-sh5ks5hg9r
    @user-sh5ks5hg9r 5 หลายเดือนก่อน +2

    Duhhhh Yani ndacha mungu kakupa kibali Yan umewasha moto Kwa wasilamu wapenda sifa badala ya ukwel

  • @user-hp6gz6ln4k
    @user-hp6gz6ln4k 7 หลายเดือนก่อน +14

    Ndacha Mungu akubariki,kumbe vitabu ivyo vinaijuwa Biblia Na wakristo 😮 Asante ndacha Mungu akubariki

    • @abediabdallah1547
      @abediabdallah1547 6 หลายเดือนก่อน

      Kampe tako mjomba

    • @jonathangithinji2652
      @jonathangithinji2652 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@abediabdallah1547kweli uisilamu dini ya amani bila matusi

    • @jumabuckary7698
      @jumabuckary7698 3 หลายเดือนก่อน +1

      Mungu ndiyo alijua kwamba kuna binadam watakuja kujiita wao ni mungu pia Kuna wengine watajifanya mitume na manabii na dini zao za uwongo ndo maana Quran ya mungu aijaacha kitu katika maisha ya baadae

    • @user-hp6gz6ln4k
      @user-hp6gz6ln4k 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@jumabuckary7698Mungu gani😅allah

  • @juliusjamanda7313
    @juliusjamanda7313 6 หลายเดือนก่อน +4

    Waislam taften YESU awaonyeshe njia ya Kweli...

  • @jacksonpatrick9814
    @jacksonpatrick9814 6 หลายเดือนก่อน +3

    Waislam kuelewa Mungu ni Ngumu

  • @jonathanharabandi2707
    @jonathanharabandi2707 6 หลายเดือนก่อน +5

    Ndacha ubalikiwe sana

  • @AmosNicas
    @AmosNicas 7 หลายเดือนก่อน +11

    Bwana yesu Apewe sifa waislamu wote waseme amina

  • @hirammbugua7593
    @hirammbugua7593 6 หลายเดือนก่อน +2

    Nani hao walio,WALIO iteremsha kaa alla ni mmoja,ama alisaidiwa kukibeba😂😂

  • @IsmailJuma-ke2wd
    @IsmailJuma-ke2wd 2 หลายเดือนก่อน

    Aslm alykm ww sheikh sule ,waelimishe inshallah

  • @jamesswai6583
    @jamesswai6583 7 หลายเดือนก่อน +3

    Mbona Sule abazunguka😂😂😂

  • @blessingmuyambo908
    @blessingmuyambo908 6 หลายเดือนก่อน +2

    Ndacha you’re the best

  • @alvinsafi2733
    @alvinsafi2733 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wote wapo vizuri safi sana kwa elimu wanayotupa

  • @husseinismail5972
    @husseinismail5972 6 หลายเดือนก่อน

    Asante Sana Doctor mungu akulipe

  • @user-kn8dj7rl1r
    @user-kn8dj7rl1r 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nimetokea kuiyamini na kuikubali sana uwaisalam

  • @mirengekahamwiti1260
    @mirengekahamwiti1260 6 หลายเดือนก่อน

    Ndasha una upako wa Mungu nu unyenyekufu ulio nao, Mungu akubariki zaidi na akupe maisha marefu

  • @kennedyeboso6820
    @kennedyeboso6820 6 หลายเดือนก่อน +4

    Hekima ya Ndacha iko juu sana ,

    • @abediabdallah1547
      @abediabdallah1547 6 หลายเดือนก่อน +1

      Kampe mjomba akupelekee

    • @OtundoJeremiah
      @OtundoJeremiah 4 หลายเดือนก่อน

      This is the only man of God we have from Kenya

  • @user-su3cx9qr8h
    @user-su3cx9qr8h 3 หลายเดือนก่อน

    Masha ALLAH

  • @akilyemily5788
    @akilyemily5788 7 หลายเดือนก่อน +3

    amina ndacha kwa elimu kubwa MUNGU akubaliki nauendelee ivo kufundisha ukweliii na ukweli uko wazi

  • @juliusmsangi6849
    @juliusmsangi6849 5 หลายเดือนก่อน +1

    Aliyeabishwa ni Sule kwa asilimia 1000!Acha kupotosha ukweli!

  • @kimelirono5084
    @kimelirono5084 7 หลายเดือนก่อน +2

    Ndacha alisema tu vizuri msikate hii vedio kwa vipande ndo watu waelewe ukweli.kiliwaramba waislamu sindano iliingia vizuri

    • @callennyabonyi5580
      @callennyabonyi5580 7 หลายเดือนก่อน +1

      Kawaida ya waislamu ni ushabiki tu,hawana lolote

    • @ezrommkambati1554
      @ezrommkambati1554 6 หลายเดือนก่อน

      Umenena vema ndugu

    • @jumarobertonyancha8605
      @jumarobertonyancha8605 6 หลายเดือนก่อน

      Hwa waganga wanaelimu ya majini😂😂😂😅

  • @AhmedSleman-fj9ry
    @AhmedSleman-fj9ry 5 หลายเดือนก่อน +1

    Nakukubali mwalim dk sule

  • @DancanOsongo
    @DancanOsongo หลายเดือนก่อน +1

    Amen dacha na frango onyango

  • @hghh6056
    @hghh6056 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kumbe waisalm munaabudu binadamu mm nilikuwa sijui huyu Muhammad si ni mtu jameni chooni kwa wa kristo ❤❤❤😂

    • @zulekhaa6817
      @zulekhaa6817 3 หลายเดือนก่อน

      Subhanallah
      Ww unamsikiliza ndacha hujamsikiliza sule, aau ni ubishi wako tu.
      Sisi tunamuabudu Allah tu, mtume Muhammad swalla llahu alyhi salaam, kaja kutufundisha nani Allah na vipi tumuabudu hakusema tumuabudu yeye kabisa.
      Funuka akili na usiwe mbishani.
      Ukimsikia muisiliamu kasema hivyo ulivyosema wewe basi huyo kakosea dini y uisilamu haijafundisha hivyo.
      Hayo n maneno y properganda tu, ili kuwapoteza watu km nyinyi, munaoburuzwa n wachungaji wenu.

  • @MchungajiSilungwe
    @MchungajiSilungwe 7 หลายเดือนก่อน +7

    Asante sana mch ndacha

  • @Makevo08
    @Makevo08 7 หลายเดือนก่อน +2

    Mbona sure ajatwambia waandishi wa quran

  • @user-wr8fo9cc4t
    @user-wr8fo9cc4t 7 หลายเดือนก่อน +5

    Dr sulle kwakweli imeshindikana🙌🙌 Allah akupe maisha marefu

    • @temesjames8867
      @temesjames8867 7 หลายเดือนก่อน

      Mbona hajajibu hoja au kasahau

  • @maicoandrelilepe3728
    @maicoandrelilepe3728 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ndacha Mungu akulinde

  • @user-vb4ek9jd7x
    @user-vb4ek9jd7x 4 หลายเดือนก่อน

    Ndacha mungu akuongeze umri uzidi kuwaelimisha jamii ❤❤

  • @omanbarka1588
    @omanbarka1588 7 หลายเดือนก่อน +3

    Suller hujatujibu koluani ina sura 7 lakini ina sula zaidi ya hizo 7 sura zingine zilitoka wapi ? Suller hajatujibu

  • @HirabDigfer-iu3rs
    @HirabDigfer-iu3rs 6 หลายเดือนก่อน +2

    Sulle kageuka nyuki 👆

  • @HajraMohammed-vs9fn
    @HajraMohammed-vs9fn 4 หลายเดือนก่อน

    Allahu akbar☝️

  • @LukasKastiko
    @LukasKastiko 3 หลายเดือนก่อน

    Napenda wahadhir wa kiislam Allan awalipe kheri

  • @user-ys2gn1nd4q
    @user-ys2gn1nd4q 7 หลายเดือนก่อน +2

    sule hunaakili wangap wanamtukana mungu , adiafande sele pia alimtukana mungu namungu akumuazibu lkn nyny waslamu mlimuukumu lkn mungu akajifanya mpumbavu Sasa mungu Kwan nimpumbavu ,sule hunahoj Wala huna jibu naona wrkrktu

  • @ZeroBlen
    @ZeroBlen 7 หลายเดือนก่อน +7

    For those who watching this in 2044 plz make duwaa for Dr Sule bcz he was doing amazing work Masha Allah

  • @IddiZuberi-ef6oz
    @IddiZuberi-ef6oz 4 หลายเดือนก่อน

    Mashalla she

  • @kennethjunior6071
    @kennethjunior6071 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ndacha ubalikiwe sana kwa kutetea dini ya kweli

  • @temesjames8867
    @temesjames8867 7 หลายเดือนก่อน +9

    Nimesikiriza kwa makini kiukweli biblia iko wazi sana walioiandika lakini korani haiko wazi walioiandika hii yote tumshukuru mungu kwa kumleta NDACHA duniani hongera mtumishi mwema wa mungu.

    • @user-kb4dk7zo1l
      @user-kb4dk7zo1l 6 หลายเดือนก่อน

      Pole Sana Kaka c n Paul ndo aliandika ama kuna wengine?

    • @pharmkiksi7463
      @pharmkiksi7463 4 หลายเดือนก่อน

      Biblia iko wazi inamtukana Mungu, Inamwita Mungu MPUMBAVU na DHAIFU.... (1:15 wakurinto wa kwanza) Wewe ni kipofu huoni ayo maandishi basi hata husikii?
      Wewe moyo wako umekufa kabisa, tafuta ukweli usifuate upepo.....

  • @user-yp1lm5fb1v
    @user-yp1lm5fb1v 4 หลายเดือนก่อน

    Ndacha dar we noma umemdhalilisha doctor sule vibaya safi sana

  • @richardkiarie7445
    @richardkiarie7445 7 หลายเดือนก่อน +1

    The book of luke 4;15-16-17-18

  • @user-nw9ds9qe5i
    @user-nw9ds9qe5i 7 หลายเดือนก่อน +3

    Safi kabisa pastor ndacha ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU Alie hai. Asie kuelewa hilo ni sikio la kufa tu. Ndacha unaeleweka sana

  • @jumarobertonyancha8605
    @jumarobertonyancha8605 7 หลายเดือนก่อน +5

    Lile jiwe jeuzi la majini ndio mungu wa dr sulle na timu yake

    • @SumaAbduly
      @SumaAbduly 7 หลายเดือนก่อน

      Ujui ulisemalo pole

    • @atwowa6380
      @atwowa6380 7 หลายเดือนก่อน

      Hatuabudu jiwe tunaabudu Allah

    • @jumarobertonyancha8605
      @jumarobertonyancha8605 7 หลายเดือนก่อน

      Wapi hapa sulle kamwaibisha ndacha ,bila ushabik sulle bado kabisa😂😂😂😂😢😢😢

    • @jumarobertonyancha8605
      @jumarobertonyancha8605 6 หลายเดือนก่อน

      @@atwowa6380 Allah in nani sasa

    • @jumarobertonyancha8605
      @jumarobertonyancha8605 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@atwowa6380Allah ni nani

  • @MarcellinMitamo-jx6qu
    @MarcellinMitamo-jx6qu 4 หลายเดือนก่อน

    Ndacha akuwezeshe mwenyezi mungu

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 7 หลายเดือนก่อน +3

    Yaani mtu anafaulu mtihani anatangazwa mshindi aliyefeli !! Hivi kuna elimu hapo au vihoja tu !? Inahitaji kwa aliyefilisika kichwani kuona hapo aliyetangazwa mshindi kuwa mshindi !! Kuna elimu ? Kweli "..mwenye kusoma na afahamu" nami naona mwenye kusikia na asikilze apate ufahamu !

  • @AlphaBarageti-ru5xj
    @AlphaBarageti-ru5xj 7 หลายเดือนก่อน +1

    Hivi kusema "Hakika sisi ndio tulioiandika" "tukaishusha"Kama ni Mungu, ni miungu wangapi ?

  • @user-th2ks9et2m
    @user-th2ks9et2m 5 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani jamani ejamani wakristo na wasihi ingieni katika uislam uyo yesu ni mtume2 na sio mtoto wala sio mungu jaman mungu hana mwana yesu kaulbwa kwa kupitia miujiza2 jaman ili allah atupe mtihani maana alisha umba pepo na moto sasa asingali muumba kwa njia hiyo jahannam isingali pata watu wa kuingia jaman njon katika uislam ndio dini ya kweli na ya haki hivi hamuoni nyinyi !

  • @user-jf2gp7wb9i
    @user-jf2gp7wb9i 7 หลายเดือนก่อน +3

    ivi hii TV ni ya Sure ?kwanini mnaandika vichwa vya habari tofauti na yaliyomo waislam Mungu anawaona mnadanganya hata maneno tunayo yasikiliza
    mnaandika Ndacha kabanwa alafu ukisikiliza utakuta nyie ndio mmebanwa
    polepole mtampokea Yesu

  • @LwitikoKatule
    @LwitikoKatule 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mko vizuri sana

  • @barakafondo8090
    @barakafondo8090 7 หลายเดือนก่อน +7

    Ndacha may God bless you

    • @DancanOsongo
      @DancanOsongo หลายเดือนก่อน +1

      Amen❤bleess

    • @DancanOsongo
      @DancanOsongo หลายเดือนก่อน +1

      To get it done before the end of next life😅

    • @DancanOsongo
      @DancanOsongo หลายเดือนก่อน

      Amen

  • @user-wr5ce6lu8q
    @user-wr5ce6lu8q 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ndacha chiz kabisa

    • @juliusmsangi6849
      @juliusmsangi6849 5 หลายเดือนก่อน

      Kumbe mkiambiwa ukweli kwa hoja ni uchizi? Poleni waislamu kwa uelewa mdogo!

  • @jeanmwamba7380
    @jeanmwamba7380 14 วันที่ผ่านมา

    Wa adventiste wana mungu

  • @user-nc4jh2gw2h
    @user-nc4jh2gw2h 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ndacha maneno mengi tu ajielewiii

  • @rodgersmae-rc2pn
    @rodgersmae-rc2pn 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hiyo haedline ni ushabiki tu bt ule ukweli ikiwa kuna majibu muafaka kutoka kw muislam yeyote anaeweza kunibu mm au Ndacha bx naezi Slimu mana kuslimu n bure hakuna ada yoyote lakn sisi tunaangalia ukwel uko wapi

  • @user-rg4qv3ey8k
    @user-rg4qv3ey8k 7 หลายเดือนก่อน +2

    kwani ukisema sule kashindwa utapata dhambi

  • @mohamedumri4176
    @mohamedumri4176 7 หลายเดือนก่อน

    DHARNII WALMUKADHDHIBU BIHAADHALHADITH SANASTAJRIBUHUM MIN HAITHU LAA TA LAMUUN.

  • @jumabuckary7698
    @jumabuckary7698 3 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂 Ndacha kachanganyikiwa 😢😢😢😢😢

  • @hirammbugua7593
    @hirammbugua7593 6 หลายเดือนก่อน

    Khai angetetea qurani

  • @user-dw9jl4lk7x
    @user-dw9jl4lk7x 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kumbe uislam ni dini ya haki kwel,Ndacha unajua ukwl uko wp lkn hautaki kuach sadaka

  • @amankimaryo1809
    @amankimaryo1809 4 หลายเดือนก่อน

    Mazinge anaanza mechi na woga, tulia mzee kijana master mind huyo.... Tukubaliane umezeeka

  • @lacksonmwakanema6799
    @lacksonmwakanema6799 7 หลายเดือนก่อน +11

    Wewe mwandishi muongo mno! Unasema Ndacha kaibishwa wakati tunamsikia akiongea Kwa pointi Sana kumshinda Sulle!

    • @johnnation4000
      @johnnation4000 6 หลายเดือนก่อน

      Hawa waongo tu,ndacha hutowa kweli sio peloronjo

    • @jumarobertonyancha8605
      @jumarobertonyancha8605 6 หลายเดือนก่อน

      Kabisa bro,hawa makafiri wa umma wa Mohammad ni watu wa kuchekesha mno,eti malaika wakahandika Qur'an kumbe ni ya muhitaji wa majini aliyopewa kwa pango pale macca

    • @pharmkiksi7463
      @pharmkiksi7463 4 หลายเดือนก่อน

      ​​@@jumarobertonyancha8605 nyinyi mioyo imekufa kweli, kwenye biblia Mungu anaambiwa yeye Mpumbavu na Dhaifu bado tu munasema NDACHA Hasemi porojo, Sikiliza Sule Anayasema ayo......

    • @pharmkiksi7463
      @pharmkiksi7463 4 หลายเดือนก่อน

      nyinyi mioyo imekufa kweli, kwenye biblia Mungu anaambiwa yeye Mpumbavu na Dhaifu (1:15wakurinto wa Kwanza) bado tu munasema NDACHA Hasemi porojo, Sikiliza Sule Anayasema ayo.....

  • @stanleycheroben4120
    @stanleycheroben4120 7 หลายเดือนก่อน +1

    My question is sijaiona mwislamu akianzisha mdahali kwani hawana hoja wanangojea ndacha kuanza

  • @user-ey4hj9jk1i
    @user-ey4hj9jk1i 7 หลายเดือนก่อน +1

    Sulle toa hoja zito bana nikama umeshindwa tena umeleta matatani gaki bible inafanya nn qoran😅😅 2:20:53 2:20:58

  • @user-ys2gn1nd4q
    @user-ys2gn1nd4q 7 หลายเดือนก่อน +2

    alafu makaratas yann mikonon mwenzenu yapo kichwan kishameza

  • @besteddynashanatukambale5163
    @besteddynashanatukambale5163 7 หลายเดือนก่อน +1

    Nimeona kweli waeslamu hawana majibu hata maneno ya kuongeya hawana.

  • @JamesDonat
    @JamesDonat 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu mmoja walioteremsha kitabu cha Quran ni akina nani??

  • @user-qn5ne3oz3d
    @user-qn5ne3oz3d 7 หลายเดือนก่อน +2

    Thanks for good combination but detail answer and good explanation should be there in answering the questions on both sides not as some as the questions are answered

  • @user-yp7nv3mg4b
    @user-yp7nv3mg4b 7 หลายเดือนก่อน +2

    sule kawa sele

  • @filisalkhah5832
    @filisalkhah5832 6 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @Leo-xc1nh
    @Leo-xc1nh 7 หลายเดือนก่อน +4

    Ndacha anajua anachokificha Shekhe shukulan

  • @FaithImani-qj1ci
    @FaithImani-qj1ci 7 หลายเดือนก่อน

    Ndacha huwa anajaribu ,mashehe wengii na pastor mmoja

  • @amankimaryo1809
    @amankimaryo1809 4 หลายเดือนก่อน

    Tukiwafundisha watoto biblia na Quran kwa usawa, alafu wakifikisha miaka 15, wachague kusilim au kubatizwa, Nina hakika uislamu utafutika katika uso wa dunia

  • @JamesDonat
    @JamesDonat 3 หลายเดือนก่อน +1

    Msomaji wa upande wa waislam anambwembwe mbaka anaboa baada asome anajilimbwasa tu!! Umetisha sana mch. Ndacha mungu akubariki amina

  • @MarkIranzi
    @MarkIranzi 5 หลายเดือนก่อน

    yesu nibwana

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 4 หลายเดือนก่อน

      Yusu ni mtu kama wewe alikuwa anakula ,anakunya anaoga kama kawaida .

  • @Shamim-hl1hf
    @Shamim-hl1hf 2 หลายเดือนก่อน

    Uislam forever

  • @user-ys2gn1nd4q
    @user-ys2gn1nd4q 7 หลายเดือนก่อน +1

    ndacha kiboko wafundishe wabishiawo kzyao ubishtu

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 7 หลายเดือนก่อน

    💖💖💖

  • @blessingmuyambo908
    @blessingmuyambo908 6 หลายเดือนก่อน

    Ndacha is the best

  • @besteddynashanatukambale5163
    @besteddynashanatukambale5163 6 หลายเดือนก่อน

    Ubatizo gani huwooo? Ubatizo ni katika jina La Yesu Kristo, nahiyo ndoo Ubatizo sahihii.

  • @bongelabwana7366
    @bongelabwana7366 6 หลายเดือนก่อน

    Ao walisema sisi tumekuletea au kukutelemshia kitabu maana yake ni zaid ya mmoja apo nanyie mnasema Yesu sio Mungu wala mwana wa Mungu

  • @AhmedSleman-fj9ry
    @AhmedSleman-fj9ry 5 หลายเดือนก่อน +1

    Ndacha hapo hutoboiii wajiaibisha ndachaa icho kichyaa

  • @user-th2ks9et2m
    @user-th2ks9et2m 5 หลายเดือนก่อน

    Mutajijua wakristo wakati sisi waislam tunauhakika dini yetu ni ya haki na yakweli na ndio din ya manabii hatuna hata wasi wasi juu ya dini. Mm kama yesu ndio mungu kweli basi mm namwambia yesu pepo yako siitaki siitaki kabisa pepo aliyoumba yesu

  • @richardmakweta8875
    @richardmakweta8875 7 หลายเดือนก่อน

    Midahalo Ni mizuri lakini kweli Ya Mungu inabaki palepale hata uc hambuzi uwe wahali yajuu namna gani hauna uhusiano wowote kumsamehe dhambi mtu yeyote .Nibora kuchunguza Kama maandiko unayoyatumia kumtafuta Muumba wako Kama yanauvuvio wa pumzi ya Mungu au la,kwakuwa Mungu nihai neno lake Ni hai.

  • @user-ey4hj9jk1i
    @user-ey4hj9jk1i 7 หลายเดือนก่อน

    Ndacha my God bless you abundantly kwa kazi unayofanya waisilamu patiswa kwa maji mengi kama mungu

  • @boscojohnny8980
    @boscojohnny8980 2 หลายเดือนก่อน

    Naanza kuelewa Uchristo ni dini ya Mungu

  • @user-ey4hj9jk1i
    @user-ey4hj9jk1i 7 หลายเดือนก่อน +1

    Sulle toa hoja zito bana nikama umeshindwa tena umeleta matatani gaki bible inafanya na qoran

  • @richardkiarie7445
    @richardkiarie7445 7 หลายเดือนก่อน

    Read from the book of LORD ISAIAH 34:16

  • @mamamtakatifu6465
    @mamamtakatifu6465 4 หลายเดือนก่อน

    Ndacha unaeleweka sana ivo vizeevilivovaa kanzu hoja vimeishiwa kazi yao nikubisha tu🤣

  • @AlphaBarageti-ru5xj
    @AlphaBarageti-ru5xj 7 หลายเดือนก่อน

    Ahaaa! Kumbe mdahalo umeandaliwa na taasisi ya kiislam. Utaratibu wa mdahalo wenyewe una nia potofu.

  • @abasingaruka1872
    @abasingaruka1872 4 หลายเดือนก่อน

    Muda mwingi Dr Sule anahubili injilli hafundishi elimu,

  • @user-tr8vy7gf4m
    @user-tr8vy7gf4m 7 หลายเดือนก่อน

    Doctor, at the times of ISHA, Was the quran available??. If not, why is it that HE is in the quran?.

  • @user-sv3em3hm8u
    @user-sv3em3hm8u 5 หลายเดือนก่อน

    Yann Hawa wezetu hawaelewe kama Hawa masikio kwel wasilamu tuwaombee dua

  • @user-hu4vy7vg9m
    @user-hu4vy7vg9m 7 หลายเดือนก่อน

    Ndacha ajichimbia kabuli

  • @elismadunsdon
    @elismadunsdon 7 หลายเดือนก่อน

    Ndacha noma

  • @mohamedumri4176
    @mohamedumri4176 7 หลายเดือนก่อน +2

    NIMEMSOMA NDACHA,TATIZO LAKE HAJUI ELIMU YA BALAGHA. ANAONGEA NA KICHWA CHAKE.

    • @janetmwende7280
      @janetmwende7280 7 หลายเดือนก่อน

      Wacha ushabiki, erevuka na uache kudanganywa ,waislamu mnamwamini Musa na mafudisho yake na hamna torati yake,mbona uislam imewaficha vitabu zingine,ulizeni mashehe wawaonyeshe vitabu zingine,

    • @janetmwende7280
      @janetmwende7280 7 หลายเดือนก่อน

      Wacha ushabiki, erevuka na uache kudanganywa ,waislamu mnamwamini Musa na mafudisho yake na hamna torati yake,mbona uislam imewaficha vitabu zingine,ulizeni mashehe wawaonyeshe vitabu zingine,

  • @jumarobertonyancha8605
    @jumarobertonyancha8605 7 หลายเดือนก่อน +7

    Kaibisha ndacha wapi hapa😅😅😅😅,ndacha ndiye anayemfunza sulle dini ya haki kwa ulimwengu huu

    • @Hussayn21
      @Hussayn21 7 หลายเดือนก่อน +2

      Sikiliza ufahamu sio ushabiki hufahamu?

    • @pharmkiksi7463
      @pharmkiksi7463 4 หลายเดือนก่อน +1

      Kaibishwa kitabu chao cha Biblia kinasema MUNGU ni mpumbavu na Dhaifu(1:15 wakurinto wa kwanza).... Bado tu mumekaa

    • @Theophile-xk2ym
      @Theophile-xk2ym 4 วันที่ผ่านมา

      @@pharmkiksi7463 umesikia wapi iyo andiko imetolewa. Wewe ni mshabiki tu