Hongera shekhe,hadithi zipo wazi kabisa hawataki hakki Hawa watu wamepotezwa kweli na mashekhe zao na usema wanampenda mtume lakini awataki alokuja nao sherwani amewaghuli xana watu Hawa wa bidaa
Jamani yataka sana tusome tena tusome sanaaaaa hiyo hadithi aliyo itoa hapo nihadith dhwaifu pia nihadith majhuul jamani jamani chonde chonde tusomeni.
Hivi huo ndio uislm? Kejeli zarau matusi n.k sio mwenyendo wa uislm Yaliobora niwewe kutetea hoja zako Kisha hakuna MWANAADAM anaeweza kumpa laana kiumbe wa Allah Hiyo ni swifa ya allah Muhammad ayubu hawana uwezo wa kumpa mtu laana Lete istighfari ndugu
Iwapo unapinga jambo pinga kwa huja za Sawa si kukata Aya ya Qur'an na kuipinda utakavyo. Mfano unaanza na وما اتاكم الرسول فخذوه وما نهاكم عنه فانتهوا kwani hukuisoma Aya tangu mwanzo hadi mwisho ili uieleze kama vile inavyowajibika na wasikizaji waelewe maana ya kweli. Hiyo iko katika Surat Al hashr Aya ya 7. Hebu isome tangu mwanzo uelewe mwenyewe inahusu nini Aya hiyo Acha tu kusikiza wanaojiita mashekhe
Mzee hizo pesa unazopewa na mayahudi pamoja na wamarekani kula pole pole maana zitakusonga bure, kama nihoja na dalili za kupeleka janaza kwa sauti tunazo nyingi.
huyu Mzee hafahamu kitu isiwe na mapenzi kandamizi lugha hajui mara naibu faili pahala pa faailu ndio lugha Gani mara musifuate jeneza na moto kamuona nani na moto akiliduata jeneza ujinga tu alonao huyu Mzee na kuwashakizia watu na kujitakasa yeye
Hata wakiambiwa hawasikii, na hawataki kusikia, wanaona wao wanajua zaidi yenye manufaa katika dini yao. Mimi tu zile ibada zilizo faradhi na sunna nikiwa natekeleza na nimemaliza kufunga, kusali, moyo una wasiwasi ukamilifu na kupokelewa kwake kwa ajili ya malipo mbele yake Allah. Sasa nyie watu wa bidaa hizi ibada za kutunga na mkijua uhakika Allah na Mtume hawajufundisha huwa mna matumaini yepi?
matumaini tuliyo nayo bibi Aysha anasema mtume alikua akichukua membari yake akimsifezea Hassan bin thabiti akisimama kwenye hiyo membari na akimsifu mtume hadithi kama hizi na ni nyingi ndizo zinazotupa matumaini
Bidaa zote zina kinyume chake ambayo ndio sunnah iliyotoka kwa dalili sahihi isiyona wasiwasi kutoka kwa Mtume wetu swala na salamu zi mfikie.... Sasa mbona huache sunnah hiyo ufuate uzushi ambao kupata malipo yake ni muhali... Bali bidaa imekemewa... Mbona usiache ufuate chenye uhakika wa kukata... Kwani unanguvu nyingi kwamba ibada za sunnah hazikutoshi... Au unaona hazitoshi kwako kwa kuwa wewe umcha Allah sana
mbona huyu bwana anaacha vitabu vya hukumu kama sherehe ya muhazabu al,ghunaa ya ibni qudama na al,umu n,k,huyu achupia vitabu ambazo yeye mwenyewe hata kuvinukuu hajui mara ngapi twazika usiku na ni lazima tuchukue taa ambao ndio huo moto halafu hicho kiarabu hajui huyu bwana kwatwambia naibu failu halafu anatutafsiria mahala pa faailu na makosa kama hayo kayafanya sahemu nyingi kwenye hiyo lugha yake apopoa popoa tu ilimradi aambiwe naye kasema tuwe na tahadhari na watu kama hawa
Hongera shekhe,hadithi zipo wazi kabisa hawataki hakki Hawa watu wamepotezwa kweli na mashekhe zao na usema wanampenda mtume lakini awataki alokuja nao sherwani amewaghuli xana watu Hawa wa bidaa
Mashallah
jazaakum Allah khayrah
Tunakupata from London
Mimi kupitia kwa huyu shekh nmeelewa ubidaa wa maulidi na Nyimbo za Qaswida na Barzanji
Ok
Mzee muogope mwenyezi mungu kwa haya unayo yasema jamani utakuja kuulizwa,hawa wanao kuunga mkono wawapoteza wala huwaongozi hebu njoo tukusaidie kama watatizika.
Hakika mze yupo sahihi kwakuwa hatoi akilini mwake Bali anatembea na mashiko,
Jamani yataka sana tusome tena tusome sanaaaaa hiyo hadithi aliyo itoa hapo nihadith dhwaifu pia nihadith majhuul jamani jamani chonde chonde tusomeni.
Je nahii zko sampuli gan najee nahii hiyo iko kwenye kigawanyo gan
Unataka umfundishe nani hapo je umesoma au ?
Shee gni ww hata Nuru huna nenda Kanye kokoni huko kwanza unalaana ya shee Muhammad Ayubu
Hivi huo ndio uislm?
Kejeli zarau matusi n.k sio mwenyendo wa uislm
Yaliobora niwewe kutetea hoja zako
Kisha hakuna MWANAADAM anaeweza kumpa laana kiumbe wa Allah
Hiyo ni swifa ya allah Muhammad ayubu hawana uwezo wa kumpa mtu laana
Lete istighfari ndugu
Iwapo unapinga jambo pinga kwa huja za Sawa si kukata Aya ya Qur'an na kuipinda utakavyo.
Mfano unaanza na وما اتاكم الرسول فخذوه وما نهاكم عنه فانتهوا kwani hukuisoma Aya tangu mwanzo hadi mwisho ili uieleze kama vile inavyowajibika na wasikizaji waelewe maana ya kweli.
Hiyo iko katika Surat Al hashr Aya ya 7. Hebu isome tangu mwanzo uelewe mwenyewe inahusu nini Aya hiyo Acha tu kusikiza wanaojiita mashekhe
Wewe hau Tetei hoja Bali una tetea itikadi kwani Aya una zikatiza shida ni njaa imetoka tumboni ume ipeleka kichwani
Mzee hizo pesa unazopewa na mayahudi pamoja na wamarekani kula pole pole maana zitakusonga bure, kama nihoja na dalili za kupeleka janaza kwa sauti tunazo nyingi.
Unahakika na hayo unayo mtuhumu nayo ndugu Yako ktk Imani
Angalia usije ukawa muflisi siku ya kiama
Tena huyu bwana yuajifanya anajua fanni za lugha sanaaaaa ila hana lolote.
Ww mzee naomba upange munagashaa tukufundishe ww wajisemea tu
Hiyo elimu uliyonayo ya munaaqasha msome vizuri mtume swallallahu alaihi wasallamu ujue alichokifundiaha ukifuate na uache uzushi
huyu Mzee hafahamu kitu isiwe na mapenzi kandamizi lugha hajui mara naibu faili pahala pa faailu ndio lugha Gani mara musifuate jeneza na moto kamuona nani na moto akiliduata jeneza ujinga tu alonao huyu Mzee na kuwashakizia watu na kujitakasa yeye
Hata wakiambiwa hawasikii, na hawataki kusikia, wanaona wao wanajua zaidi yenye manufaa katika dini yao.
Mimi tu zile ibada zilizo faradhi na sunna nikiwa natekeleza na nimemaliza kufunga, kusali, moyo una wasiwasi ukamilifu na kupokelewa kwake kwa ajili ya malipo mbele yake Allah. Sasa nyie watu wa bidaa hizi ibada za kutunga na mkijua uhakika Allah na Mtume hawajufundisha huwa mna matumaini yepi?
matumaini tuliyo nayo bibi Aysha anasema mtume alikua akichukua membari yake akimsifezea Hassan bin thabiti akisimama kwenye hiyo membari na akimsifu mtume hadithi kama hizi na ni nyingi ndizo zinazotupa matumaini
Bidaa zote zina kinyume chake ambayo ndio sunnah iliyotoka kwa dalili sahihi isiyona wasiwasi kutoka kwa Mtume wetu swala na salamu zi mfikie.... Sasa mbona huache sunnah hiyo ufuate uzushi ambao kupata malipo yake ni muhali... Bali bidaa imekemewa... Mbona usiache ufuate chenye uhakika wa kukata... Kwani unanguvu nyingi kwamba ibada za sunnah hazikutoshi... Au unaona hazitoshi kwako kwa kuwa wewe umcha Allah sana
mbona huyu bwana anaacha vitabu vya hukumu kama sherehe ya muhazabu al,ghunaa ya ibni qudama na al,umu n,k,huyu achupia vitabu ambazo yeye mwenyewe hata kuvinukuu hajui mara ngapi twazika usiku na ni lazima tuchukue taa ambao ndio huo moto halafu hicho kiarabu hajui huyu bwana kwatwambia naibu failu halafu anatutafsiria mahala pa faailu na makosa kama hayo kayafanya sahemu nyingi kwenye hiyo lugha yake apopoa popoa tu ilimradi aambiwe naye kasema tuwe na tahadhari na watu kama hawa