USIPIME! A - Z AMBUSHI la WAZIRI AWESO Baada ya KUSHTUKI UPIGAJI - ''HUU ni UHUNI TU'..'
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 2 มี.ค. 2021
- USIPIME! A - Z AMBUSHI la WAZIRI AWESO Baada ya KUSHTUKI UPIGAJI - ''HUU ni UHUNI TU'..'
WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso, ameendelea na ziara yake ambapo amekutana na Madudu baada ya kiongozi kumdanganya..
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Kauli mbiu ya waziri Awesu " UKIZUNGUA, UNAZINGULIWA. "
Omba yasikukute ndugu hii ndo serikali bwana no janjajanja
Uongo una mwisho wake jamani 🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️🇹🇿
The moment of truth , ila wafanyakazi wengine bana, ASA mpaka waziri anakuja si kwamba ako na data zote,?? Lakini bado akili za watendaji wanaona kama hajui chochote. ASA wakifukuzishwa kazi wanaona wameonewa kumbe siyo
Dah kweli MAGUFULI ni mkombozi wa watanzania si mnaona raisi anavyo tupenda vionekana kabisa kuna viongozi wana dhurumu haki za wananchi, utakuta pesa walizo pewa kutengeneza wamezitumia kwa uhuni wao hawo watumbuliwe.
Huyu sio makufuli ni samia hatutaki inazi
Nchi ngumu hii dah
Watu wanaishi kuipigaji tu
Saana ndiowanatuludisha nyuma saana
Sasa hivi hakuna janjajanja🤣🤣🤣
Twendeni store.
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀hapo mtunza stoo ukimuuliza anaitwa nani atakujibu mh,aweso
😂
asante rais wetu magufuri wewenimzarendo
Mh Waziri hongera sanaaaaa store haipo hapo duuuuuuh
Huyu ndiye Aweso ninae mjua ukimuudhii.... Akizingua unamzingua
Aweso hoyeee 🇹🇿🇹🇿🇹🇿✅✅✅
Maashallah kiongozi hivyo hivyo baazi WA TZ washazoea ubabaishaji hawamuhi ya Baba Magufuri Allhamdulillah
Hiki kipindi cha magufuli sio kikwete 😃😃
Hongera sana waziri kwakujitoa. Mawazili wengine wanaogopa kurogwa wakati uchawi sikuhizi wameishiwa nguvu
ila hii dunia ngumu nyie kuna siku tutaamka asubuhi tusiikute walahi
Hii nchi ina watu wa ajabu sana!
ongera sana waziri aweso nahamini umepikwa na umepikika mungu hakubali sana una mfanoe katika utendaji wako wa kutukuka upotayali kuwapigania watanzania haki zao za kimsingi
Pole sana Aweso. Watakuuwa kwa presha. Endelea na MBWA style ya usimamizi, huko chini ni uozo tu. ( MBWA = management by wondering around).
Ni Management By Working Around. Hii nchi bila Mafisadi kunyongwa HADHARANI haiwezi kwenda, kwamba RCs, DCs nk wapo lakini mpaka Rais au Waziri aje hii ni balaa!
@@hajihassan5433 I would agree with you if you corrected the misspelt “wandering”.
Hawa Watu wazinguaji sana
Sijawahi mfatilia kumbe upo good hongera naskia tu aweso aweso
Kama mawaziri wote wangekuwa wanafanya kazi hivi. Nchi hii tungekuwa mbali!
Eti ziko kwafundi,mh kwani kwafundi nimbali nako mwende ukazione maana siku zauhongo nifupi.
Hahahahaha hahahahaha Tanzania hii raha sana wafanyakazi mbadilike huu sio muda wa upigaji jamani
Hakuna nyoka huko ndani lkn mwambieni waziri awe makini
Jamanii mbna aibuu, stoo kama chumba cha kuhifadhi mkaa
Watu wanapokea bonus kwa Kazi ya magumashi
🔥 🔥 waziri awesu
Sisi wenyewe atuko tayari kuajibika sio maguli wala nani ukipewa ajira ajibika hii mifumo mibovu
Jamani waacheni wafanye kazi maaana wanamtukana mama yetu
Piga kazi uko vizuri nakukubali sana
Hapa ufisadi ni wahali ya juu sana Hadi kuchoma ushahidi😂
Watendaji wa Wizara ya maji Mungu anaeaona.Owesoo nyooka nao hao
Mimi nadhani njia nzuri ni kama anayofanya Makonda. Mhusika anawajibika mwenyewe kwa wananchi
Hao watu wanaoharibu ili vyao vifanye kazi si hapo tu ni Tanzania nzima mpaka mabenk utasikia hela zimeisha bank kwa mawakala haziishi
Waziri aweso afanya vizuri mungu ambariki
Hao ni wengi . Ktk nchi hii
Mashallah waminyewaminye watapike
Uwessu baba hatuna cha kukupa zaidi ya hogera
Hawanahata aibuwanamdanganya waziri nchihiiii nishidaaaaaaaaa nchihiii shida umenikumbusha enziza sukumandani huko Tabora mmojaalianguka kwapresha nchihii wafanyakazi kwenyemiradi wanakwibasana
Weka ndani 😮
Si ulisema vikostoo,mbona unakataa kwenda.
Washenzi hao waongoo wanajazaa matumbo kwa pesa zetu acha wakauze matembele
Maongo, Majizi ,Shubaamit Kazi upigaji tu.
Haya mambo hayato acha kuwepo yataendeleatu coz miziziyake nimikubwa
Mtie makofii tuwee kama kenya wafanyakazi huwa na mnyapara hora waziri
Mazee ndo mapigaji kweli hayana huruma
Kazikazi🎉🎉
Had I huruma . Duh uwongo una kazi
Hii nchi ni shida kubwa kuwa kiongozi mbona viongozi kila mahala ni utopolo tu
Nchi ngumu hii
Hahaha Mavi debe
Ndo Tanzania yetu aweso
Jamani tz tuna mambo umaskini unasababishwa nawatu wachache kwakweli dah
😀😀😀
Fukuza kazi
Duhhhhhh
Bado Tanesco, Waziri wa Nishati unamuona Waziri mwenzako? Shirika lako la umeme linatutesa mno umeme unakata kila mara na mara nyingi tunalala giza na ukizingatia huku Horohoro ni mpakani na nchi jirani.
When will these guys learn ... I swear this is Magu Regime .. 🤣🇬🇧🇬🇧🇬🇧
Vip walienda kwa fundi
Hapana walienda police kujieleza vizuri
😂😂😂😂saf sana Aweso
Sukuma ndan
Hapo ni mkoa gan
China
Weka ndani wote mkuu
Hatari sana wallah!
Hii ni balaa kila mahali pameoza tutafika kweli
Mijizi mijizi mijizi hio inikamatwa
HII NCHI SASA HIVI WASOMI NDO WAMEKUWA WAJINGA KABISA, UNAPEWA MAMLAKA BADALA UFANYE KAZI MNAANZA WIZI JAMANI RIZIKENI NA MISHAHARA JAMANI
Mamiziki ya nn sasa chinchini.tunataka kusikia KAZI zinaendaje.hiyo miziki kasikilize nyumban kwako
Hiyo timu ya mama samia sio nyoka wa vibisa,kabla yakudanganya pigalamri kwa mganga,tunao wazendo vijana wakweli wanauchungu na nnchi yao,na wanaspeed ya 5G
pm
Mawazili wote wangekuwa Kama uyu tazaniya tugekuwa mbali sana kimendeleo rakini wapi tumebaki kumchukiya mkuu wa ichiii Kama vile raisi kumbe uzembe was watu wake
Yani nimempenda bure huyu waziri wakomeshe hao
Hahahaha Aweso kawa mbogo. Kudadeki
AFRIKA BARA LA GIZA NA USHETANI MTUPU,,,HAYO YNGEKUWA YANAFANYIKA TOKA MIAKA YA ZAMNI LEO HII TUNGEKUWA NDIO BARA TAJIRI KULIKO YOTE DUNIANI,,ILA UKIWA MTU WA HAKI NA LAZIMA WAKUROGE NA KUKUUA,,,,,TUPUNGUZE SHIRKI TUTAFIKA MBALI NA VIZAZI VYETU,,,HONGERA WAZIRI AWESO
Bravo Jumaa Aweso fahari ya wazalendo kijana makini sana.Magu hukukosea mahindi huzaa mahindi !!Hongera chuma
Tatizo lenu kazi mnapeana kwa kujuana ndio haya yote yanatokea munalindana sana ingekuwa nchi zingine raia washaingia barabarani na mawe juu kwa wezi kama hao munao walea
Tupo pamoja hillo hakika
Husema wao wewe asilimia 70 wezao wawe asilimia 30 kwawote lengo lao
Tunaimani na wewe magufuli alituachia kichwa. Utakuja kuichukua hii nchi
Sijui kwa nini watu hawapendi kuwa wa kweli nafikiri mfumo wa malezi wa watoto ubadilishwe wazazi wapewe semina jinsi ya kulea watoto ili wasiwe waongo hili ni tatizo kwa watanzania wengi kutokuwa wakweli
Aisee we umesema ukweli, tuanze kunyoosha mfumo wa malezi. Tunataka tuwe na nchi ambayo watu watafanya kazi kwa kujituma na bila kusimamiwa. 90% ya wafanyakazi wa serikali ni wababaishaji ndio maana viongozi wanapata tabu kuongoza. Usipowasimamia kazi hawafanyi na wanahujumu vilivyopo. Na hii tabia inatoka kwa wazazi inahamia kwa watoto.
Haya mambo ni kudhalilishana tuuu
Sasa ndio nn?umeshajua kuwa wameshajua ni waongo bado unawalazimisha watu waende store wakaonyeshe 😀😀😀sasa watonyesha nn matope au unataka wakupeleke mahenge au ...ila kazi nzur sana wazir nakuunga mkono sana tu japo nmeanza na utani kidogo hawa jamaa wanatuchezea na wanatuibia sana yan ona wanavyofuja majengo yetu na wizi wa vifaa sana na upotevu wa mali pia nmekukubal sana kwakuwa wewe wazir sio mnoko kbs hlf una lugha rafiki sana...viva mh. Aweso....viva serikali ya magu vivaaaaa...viva CCM VIVAAAAAA
Uongo utausibitishaje? ,achazako....
@@jamesmasome359 kubushana na simpleton hasiyejua nini maana ya ulimwengu mtandaoni huwa siwezi kama mental ability angalau ni ndogo bas soma mpk mwisho utaelewa na hautokua na argument yoyote ile but if you're always bound to be reluctant in every single worthy utaendelea kutoelewa ila kwa kifupi sipend mabishano mtandaoni sawa then vanish and get lox
@@jamesmasome359 unamuuliza mtu umekula anajibu ndio..unauliza tena wapi ili nikaulize mtu kimya na hakuonyeshi unategemea nini tena zaid ya mara moja...hapo ukilazimisha unataka akakuonyeshe kala wapi wakat kauri yake ya kwanza ya kukubali imeanza kupingana na kauri zake nyingine kama umeelimika si unajua tu mtu kanidanganya ndio maana hatak kuinyesha na anakataa kwa aibu kwahyo unapolazimisha muende akakuonyeshe alipokula unataka aumbuke zaid na weng wajue na kumuona mbaya au unatafuta sifa ambayo ni nje ya miiko ya kaz😀wewe hata std5 wanakuzid maarifa kwahyo stop mabishano
@@lirastanley390 zero brain. Ukitowa hiyo elimu yako unabakiwa na nini?
Uhakika lazima ssa asingeenda pia isngeleta maana ya huu uwongo
Hawa ndio watu kama Msigwa na Tundu Lissu wanawatetea, ovyo kabisa
Bila kuwataja hao hauendi choo,jinga kabisa
@@bockernyarusahi3655 lazima niwataje juu hao ndio wanatetea wafanyi kazi wakora Kama hao na wewe.
Thibitisha kauri yako na siyo kuongea kama upo kwenye kahawa
@@waluohopaulo2116 leta nukuu kati ya hao uliowataja akiwatetea Wafanyakazi wasiotimiza wajibu wao,unajua unapoongea ni vizuri ukachuja unayohitaji kuongea kwanza na siyo kukurupuka na kuleta utoto ilhali we ni Mtu mzima,unaongea uongo kwa faida gani? na il iweje,uongo,umbea na unafiki ni sifa za kike,sasa jitaathimini una hizo sifa.
@@bockernyarusahi3655 ati ni thibitishe kauli na Tundu Lissu na Msigwa wako kwenye record wakisema wafanyi kazi wanafanya kazi kwa hofu,iyo hofu ni ya nini kama unafanya kazi nzuri na bila makona mingi.
Awessooooooiooooooo utauwaaaaaaaa mguuu kwamguuuu nimekupenda sana mkuuu walishazoea kudandanya hao
Ujinga hauna kikomo, hata ukisoma bado unakuwa na ujinga tu