ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

WAZIRI AWESO AMTUMBUA BOSI RUWASA - "HUFAI, CHUKUA MABEGI YAKO ONDOKA, MHANDISI AKAMATWE"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ค. 2021
  • WAZIRI AWESO AMTUMBUA BOSI RUWASA - "HUFAI, CHUKUA MABEGI YAKO ONDOKA, MHANDISI AKAMATWE"
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

ความคิดเห็น • 71

  • @mawazomichael4769
    @mawazomichael4769 3 ปีที่แล้ว +9

    Huyu Mh. anajituma Sana namuomba Mungu one day aje awe Rais wa JMT.

  • @issaidrisamusa8437
    @issaidrisamusa8437 3 ปีที่แล้ว +2

    Aweso ,, Uko vizuri No Discipline No Work . No obligation Out of work ,

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 3 ปีที่แล้ว +4

    "Ukishiba chezea kidevu chako sio kazi" hahahaaaààaaaaaaaaaaa halooooooo 😁😁😁 na ukizingua nakuzingua. 👍

  • @user-oc7uh9po8j
    @user-oc7uh9po8j 5 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe sana baba

  • @Damiannello
    @Damiannello 3 ปีที่แล้ว +1

    mhanidisi alieko ileje wilaya ya songwe,, hafai kabisa nimeenda kule na ndonyumbani yaaaani matenk ya maji yamejengwa chini ya kiwango na yametelekezea hamna kitu kabisaaaa Waziri kazi yako inaonekana...safi

  • @jumaaman6260
    @jumaaman6260 3 ปีที่แล้ว +2

    Duh huruma Sana wazee wanataabika. Pole Sana mzee wangu.

  • @africayetutv329
    @africayetutv329 3 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana unatupa matumaini kaka roho ya Jpm Mungu akutangulie

  • @user-cg9yd9dw5n
    @user-cg9yd9dw5n 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu aendeleekukupa ujasiri

  • @deodatangereza960
    @deodatangereza960 3 ปีที่แล้ว +1

    Unataka ajitetee nini na kwa nani endapo mtendewa ni mwananchi.hakuna kulea ujinga,kipimo cha kazi vigezo vinavyokidhi mahitaji ya mwananchi.
    Aweso kazi iendelee.

  • @user-oc7uh9po8j
    @user-oc7uh9po8j 5 หลายเดือนก่อน

    Mheshimiwa upo vizuri sana mungu akubariki sana

  • @aloycesamba998
    @aloycesamba998 3 ปีที่แล้ว

    Hongera sana mheshimiwa kwa kazi nzuri unayofanya,tena rombo kero ya maji ipo tangia miaka mingi sana

  • @melejilendakwi3698
    @melejilendakwi3698 3 ปีที่แล้ว

    Mh waziri wa maji unajituma sna na mungu akusaidie katika kazi yako tunaomba uje Tena ngorongoro Hasa kata ya kakesio kwani tunashida kubwa ya maji

  • @nestoemanuel2821
    @nestoemanuel2821 3 ปีที่แล้ว +1

    Bro ! Uko vzr hongera sana👍

  • @furahamwajeka7463
    @furahamwajeka7463 ปีที่แล้ว

    Hongera aweso

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 3 ปีที่แล้ว +2

    Huyu ndiye aliyebaki na Kalemani. Matendo mengi maneno kidogo...

  • @stevemwakisimba5986
    @stevemwakisimba5986 3 ปีที่แล้ว +1

    Kijana unabusara na uendelee hivyo wabane sana vijijin ndiko tatizo kubwa kwakua hao wazee wa vijijin wanaonewa sana

  • @magrethmeela154
    @magrethmeela154 ปีที่แล้ว

    Safi Sana waziri bado marangu rauya hatuna maji miaka yote baba

  • @user-bt7ki5pz9t
    @user-bt7ki5pz9t 5 หลายเดือนก่อน

    Anastairi kuwaa ata waziri

  • @miritonbikura5487
    @miritonbikura5487 3 ปีที่แล้ว +1

    Nakubar kaka

  • @suleimankhamis8298
    @suleimankhamis8298 3 ปีที่แล้ว

    good work

  • @stevemwakisimba5986
    @stevemwakisimba5986 3 ปีที่แล้ว +2

    Wananchi saivi hamuwawezi wameamua kujipambania hahahaha tumbua tu kijana wetu aweso!!

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 3 ปีที่แล้ว

    Good job

  • @manasejohn9106
    @manasejohn9106 3 ปีที่แล้ว +1

    Hongera waziri Aweso nahitaji san namba yako waziri wetu upo vzr kiukweli

  • @chesconkwera2005
    @chesconkwera2005 ปีที่แล้ว

    Owesoo kamtumbua mhandisi then anamtaka aseme oyeeee

  • @ramlazuber6038
    @ramlazuber6038 3 ปีที่แล้ว

    Tanzania hiiiii mpaka UKWELIII uje usimamee masikini tutapata taaabu sanaaa. Na kupata viongozi kama hawa. Mmmmmmh. Mungu ASIMAMEEE KWA KWELIII

  • @rosemayunga4021
    @rosemayunga4021 ปีที่แล้ว

    Mh. Uje na kibondo kifura tunateseka babamaji hakuna wakutusaidia

  • @shadrackzablon5983
    @shadrackzablon5983 3 ปีที่แล้ว

    Mzee anaongea vizuri dah utadhani anasoma kweli wananchi sasahiv hawana uwoga

  • @salumukatumbi9460
    @salumukatumbi9460 ปีที่แล้ว

    kwa sekta ya maji uko powa

  • @malikidaudi2517
    @malikidaudi2517 หลายเดือนก่อน

    Waziri tunaomba uje huku krk mikoa mingine

  • @chesconkwera2005
    @chesconkwera2005 ปีที่แล้ว

    Hahaha Owesoooooooo shikamooo mdogo Wangu chapa kazi.

  • @mossyfimbo3577
    @mossyfimbo3577 6 หลายเดือนก่อน

    Sio ikibidi wafungwe

  • @eliyahrobert9340
    @eliyahrobert9340 3 ปีที่แล้ว +1

    Huyo nzee mnaa kinyama duuu

  • @mbotwambotwa2186
    @mbotwambotwa2186 3 ปีที่แล้ว

    Safi sana njoo songwe

    • @businessclassidmc970
      @businessclassidmc970 3 ปีที่แล้ว

      Mbotwa wa Wapi ndugu yangu, yamkini wewe ni ndugu yangu maana mimi ni mzaliwa wa Sumbalwela.

    • @mbotwambotwa2186
      @mbotwambotwa2186 3 ปีที่แล้ว

      @@businessclassidmc970 Mjukuu wa chilalika je ww ninani na unaishi wapi

    • @businessclassidmc970
      @businessclassidmc970 3 ปีที่แล้ว

      Kwa sasa nipo Dodoma, ila wiki iliyopita nilikuwepo kwenye Msiba wa Babu yetu Marko Mbotwa.

    • @mbotwambotwa2186
      @mbotwambotwa2186 3 ปีที่แล้ว

      @@businessclassidmc970 poleni nilipata talifa nikiwa sipo yule ni babu yangu baba mdogo tukonaye Tunduma poleni nijilani na akina kitaa toka Shuleni kwa mbele akinamsomba (marehemu Mngasalagha)

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 3 ปีที่แล้ว

    JPM PRODUCTS WALOBAKI

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 2 ปีที่แล้ว

    Njoo Matemanga Tundutu maji ni shida maji tunakunywa Mchororo ni hatari sana.Kwa mwezi maji ya bomba tunapata mara chache Mhe.

  • @jasminseleman-uw5oh
    @jasminseleman-uw5oh ปีที่แล้ว

    Waziri tunaomba ufike moshi vijijini maji hakuna kabisa

  • @abdullahrashid6297
    @abdullahrashid6297 3 ปีที่แล้ว +1

    Huyu mzee inaelekea alivyokuwa kijana alikuwa Mkuda Mbaya

  • @stephanogallet3461
    @stephanogallet3461 3 ปีที่แล้ว +1

    Waziri wa maji tunaomba ufike hapa Arusha kwani maji bado ni changamoto

  • @bbmediafirm
    @bbmediafirm 3 ปีที่แล้ว

    baba mzazi

  • @mossyfimbo3577
    @mossyfimbo3577 6 หลายเดือนก่อน

    Hawa watu kuanzi juu mpaka chini mikoani ni majizi wafukuzwe kazi na wafungwe majizi saana msiwaache wakamatwe wahojiwe ni wezi saana wamekula pesa zoote

  • @captenndunga6745
    @captenndunga6745 2 ปีที่แล้ว

    Nakupongeza muheshimwa ila hapo kwenye pesa ya mama samia umekosea pesa ni za wananchi sio za kwake za kwake anafanyia mambo yake.

  • @jumaigoti8638
    @jumaigoti8638 3 ปีที่แล้ว

    Dogo uko sawa

  • @ernestlocken4500
    @ernestlocken4500 ปีที่แล้ว

    Waziri awesso wewe tunakuamini uswahilini arushA no water tafadhali

  • @jamesmpeter8710
    @jamesmpeter8710 3 ปีที่แล้ว

    Huyu mzee balaa

  • @madeestar5228
    @madeestar5228 3 ปีที่แล้ว

    Waziri Zanzibar kunakuhusu

  • @halimakihame1744
    @halimakihame1744 3 ปีที่แล้ว

    Kqcjukuwe soda kaka nakuja kulipa

  • @wilsonlusasu8069
    @wilsonlusasu8069 3 ปีที่แล้ว

    Waziri njoo na kwetu shinyanga vijijini kata ya mwantini kijiji Cha mishepo

  • @johnsonbagambi1908
    @johnsonbagambi1908 3 ปีที่แล้ว

    Maisha yanaendelea

  • @benderarulenge8898
    @benderarulenge8898 3 ปีที่แล้ว

    Sjaelewa mradi wa wafadhiri au serikali,

  • @afamefunaokeke6966
    @afamefunaokeke6966 3 ปีที่แล้ว

    kadanganya waziri haogopi kufinywa...😋

  • @user-ns3ee9xp9d
    @user-ns3ee9xp9d 3 ปีที่แล้ว

    muheshimiwa aweso nenda na mtwara kidogo kwenye wilaya ya Tandahimba hasa kwenye kata ya Nanyanga ukaangalie mavirigiza kama hayo usipofanya subra wewe mwenyewe waziri utalia.

  • @georgevalilanga7412
    @georgevalilanga7412 3 ปีที่แล้ว

    Duu cjawai sifi ila kwako aweso fanya kazi ivyoivyo utakuja kua kiongozi mkubwa sana uko mbere

  • @antonjohn8865
    @antonjohn8865 3 ปีที่แล้ว

    Pumbavu sana nyie

  • @ndulujilala9643
    @ndulujilala9643 3 ปีที่แล้ว

    Mzee punguza kuongea dah

    • @shadrackzablon5983
      @shadrackzablon5983 3 ปีที่แล้ว

      Apunguze kuongea kuna pumba umeona ameongea hapo jielewe

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 3 ปีที่แล้ว

    BADO MNAFUATA SIASA ZA DIKTETA MWENDAZAKE.

    • @saimonijonas4356
      @saimonijonas4356 3 ปีที่แล้ว

      Ulitakaje??

    • @texastexas2545
      @texastexas2545 3 ปีที่แล้ว +2

      Achakutombwa mbwa wewe🖕🖕

    • @shadrackzablon5983
      @shadrackzablon5983 3 ปีที่แล้ว

      We ndimi wanakufira

    • @athumanijuma3085
      @athumanijuma3085 3 ปีที่แล้ว

      Huna akili hata moja ww

    • @ramadhanchiiza9215
      @ramadhanchiiza9215 3 ปีที่แล้ว

      Hakuna kubembelezana kuna watu wengi wamesoma na waadilifu hawana kazi anaezingua timua weka mwingine hata huyo mhandisi wa mkoa na yeye alitakiwa kutimuliwa mh. Na huku temeke waires maji ni shida yanatoka kwa siku mara moja tena kwa masaa yakitoka saa 11 alfajir mpk tena alfajiri inayofuata njoo na huku utumbue hasa mtaa kitomomdo maji ni shida

  • @charlesnassary6689
    @charlesnassary6689 3 ปีที่แล้ว

    jembe la maguful

  • @user-cg9yd9dw5n
    @user-cg9yd9dw5n 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu aendeleekukupa ujasiri

  • @lawrencegwerino1656
    @lawrencegwerino1656 3 ปีที่แล้ว

    Tunaomba na pesa zetu waludishe