WAZIRI AWESO Amtumbua MENEJA RUWASA, AKASIRIKA Kukuta MAJI HAYATOKI Kisa ELFU 50 - "TAFUTA KAZI"..

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 ส.ค. 2024
  • WAZIRI AWESO Amtumbua MENEJA RUWASA, AKASIRIKA Kukuta MAJI HAYATOKI Kisa ELFU 50 - "TAFUTA KAZI"..
    WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso, amefanya ziara ya kikazi katika wilaya ya Monduli mkoani Arusha na kukuta wananchi hawapati maji kutokana na changamoto mbali mbali hali iliyopelekea kuchukua hatu ya kumsimamisha kazi Meneja wa mradi wa maji wa RUWASA Nevill D.Msaki..
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

ความคิดเห็น • 169

  • @silverman6930
    @silverman6930 3 ปีที่แล้ว +11

    Watakoma when JPM is in Power , weldone Aweso 🇬🇧🇬🇧🇬🇧🙏🙏🙏

  • @aureliambawala8028
    @aureliambawala8028 3 ปีที่แล้ว +7

    God bless you my king,unaitendea haki kazi yako🙏🙏. May God bless TZA.

  • @ahmedazry3436
    @ahmedazry3436 3 ปีที่แล้ว +1

    Uko vizuri aweso mwenyezi mungu akuongoze katika kazi yako

  • @hawaally7974
    @hawaally7974 3 ปีที่แล้ว +5

    Allah akutunze kiongozi🙏🙏🙏🙏🙏

  • @mwinukafundibombanjombe
    @mwinukafundibombanjombe 3 ปีที่แล้ว +5

    Good job..Waziri

  • @user-tg8ct1nt5y
    @user-tg8ct1nt5y 3 ปีที่แล้ว +2

    Uwiiiiiii mungu wzngu pole kakaangu kipnz nevili daudi ndepachio msaki pole sana mwenyez mungu akutie nguvu kipind hiki kigumu

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 2 ปีที่แล้ว

    Asante sana Mh Aweso...wasi wasi wangu unaweza kuonekana hufai kwa Maamuzi yako maana wa tz hawana Dogo..but piga kazi yako

  • @kilonzokallage6159
    @kilonzokallage6159 ปีที่แล้ว

    Mh Aweso Mungu akubariki sana
    Fukuza hayo majinga jinga hayafanyi kazi wamejaza tu matumbo yao hapo pumbavu sana.

  • @eliarichard9218
    @eliarichard9218 3 ปีที่แล้ว +1

    Nice my brother Waziri wa Maji.

  • @mamaluusoap5834
    @mamaluusoap5834 ปีที่แล้ว

    Aweso mungu akujalie umri mrefu uwe raisi wa Nchi hii Iko vizurii

  • @user-px8fv8dc3o
    @user-px8fv8dc3o ปีที่แล้ว

    Uko vizuri kaka unasimamia vizuri wizara yako ya maji Mungu akubariki

  • @lambomayenga6151
    @lambomayenga6151 ปีที่แล้ว

    Waziri naKuombea Mungu akulinde. UNATENDA HAKI

  • @akidasalim3859
    @akidasalim3859 3 ปีที่แล้ว +1

    Kazi ipo Waziri Mungu akutie nguvu na akulindea

  • @ericklaura7511
    @ericklaura7511 3 ปีที่แล้ว +3

    Well done minister, your doing for your fellow Tanzanian and not otherwise, those with big stomach always like being selfish and feeding their hunger😎

  • @florakabadoelkana6764
    @florakabadoelkana6764 3 ปีที่แล้ว

    Hatari sana waziri kazi nzuri

  • @mebbukatibalo787
    @mebbukatibalo787 3 ปีที่แล้ว

    Jumaa Awesoo Umetisha kinomanoma!

  • @jumanesaidi7635
    @jumanesaidi7635 6 หลายเดือนก่อน

    Nimeliona jitu, ku u u bwa ! Jizi ! !
    Masikini mama Tz

  • @wilfredsahila8727
    @wilfredsahila8727 3 ปีที่แล้ว +1

    Waziri ni vizuri akiwa wa taaluma ya wizara hiyo hawezi kudanganywa; ikikosewa akawekwa waziri katika wizara ambayo siyo taaluma yake atadanganywa sana.

  • @irakozejclaude7869
    @irakozejclaude7869 3 ปีที่แล้ว +10

    Duh inawezekana Tanzania ya sasa ikawa ndio inchi ya ahadi iliokuwa ikisubiriwa.

    • @zefamange7281
      @zefamange7281 3 ปีที่แล้ว +1

      Sanaaaa

    • @mossyfimbo3577
      @mossyfimbo3577 3 ปีที่แล้ว

      Watu wachache hawataki mambo ya msutano utasikia haki za binaadamu wameshazoea ubabaishaji na wizi na wako watu watu kama hawa wakifichuliwa wachache wanawagombea na wanawatetea

    • @sebastianzongoro8915
      @sebastianzongoro8915 ปีที่แล้ว

      Asante sana waziri kwa uthubutu wako wamezoeya kufanya ubazilifu wa fetha za kodi za walala hoi safi sana.kwanza amezeeka sana huyo.

  • @isayachalo1845
    @isayachalo1845 3 ปีที่แล้ว

    Kazi kazi Mh Awesu safiii msaidieni Mh Jpm na co hapo karibu wilaya nyingi mambo ni hovyo

  • @jumaabdul5882
    @jumaabdul5882 3 ปีที่แล้ว +1

    You deserve to be a leader,congratulation bro

  • @kenethmwangoka4590
    @kenethmwangoka4590 ปีที่แล้ว

    namuona magufuri Kwa kimvuri Cha aweso barkiwa sana

  • @MohamediMchekwa-ou4dk
    @MohamediMchekwa-ou4dk ปีที่แล้ว

    Safi sanaa imeipenda iyo

  • @mbotwambotwa2186
    @mbotwambotwa2186 3 ปีที่แล้ว

    Karibu Tunduma

  • @leiratykisura6718
    @leiratykisura6718 3 ปีที่แล้ว

    Allah akurinde we waziri na madui wasio pesa tzd jmn watu wananepeana kwa pesa za wananchi

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri 11 วันที่ผ่านมา

    Hongera mhe Waziri lkn kubwa zaidi kama damage ni kubwa zaidi ni kwamba inapendeza watu wakilipa

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355 3 ปีที่แล้ว +1

    Siku zote tumbo likiwa kubwa Sana kuzidi Kichwa shida sana

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha2048 3 ปีที่แล้ว +2

    HAPA KAZI TU wanaochemka wakae pembeni Safi Sana waziri wa maji

  • @jumasaidi1093
    @jumasaidi1093 ปีที่แล้ว

    Safi sana

  • @rehemabukuku1008
    @rehemabukuku1008 2 ปีที่แล้ว

    Safi juma awesu Mungu akulinde tunakuombea

  • @cadeteengele3765
    @cadeteengele3765 10 หลายเดือนก่อน

    Good

  • @mathewungani9724
    @mathewungani9724 3 ปีที่แล้ว

    Aweso umetisha Bro.....

  • @rifatimuhidini145
    @rifatimuhidini145 3 ปีที่แล้ว

    Daaaah juztuu kufa kwamzee wakazi mzee magufur teali mshaanaza wizi

  • @immapoule3613
    @immapoule3613 3 ปีที่แล้ว

    Sawa viongozi nawapata vyema mungu awabaliki sana nakazinjema

  • @khairallacassianbyamkama5279
    @khairallacassianbyamkama5279 ปีที่แล้ว

    Safi sana wanazid mno

  • @flaviankimat5233
    @flaviankimat5233 ปีที่แล้ว

    hapo sawa sawa aweso na bili za maji arusha ni kubwa sana mheshimiwa angalia na hilo.pia

  • @EmmanuelLupoja
    @EmmanuelLupoja 6 หลายเดือนก่อน

    🎉

  • @burundirwanda1583
    @burundirwanda1583 3 ปีที่แล้ว

    A real leader 🇹🇿

  • @yahyamkone5601
    @yahyamkone5601 3 ปีที่แล้ว

    Safii sanaa mh jumaa mtoto wa awesso piga kazi

  • @user-vk5nb4uz6h
    @user-vk5nb4uz6h 5 หลายเดือนก่อน

    Kuna Wizara Ukijichanganya Imekula Kwako, Wizara Ya Bashe, Slaa, Awesu Na Zingine Chache

  • @chesconkwera2005
    @chesconkwera2005 ปีที่แล้ว

    Waziri hao watendaji wahuni

  • @sebastianzongoro8915
    @sebastianzongoro8915 ปีที่แล้ว

    Nchi hii raha sana

  • @jumaigoti8638
    @jumaigoti8638 3 ปีที่แล้ว

    Aweso uko sawa. Hata urais unafaa

  • @ludobudege1662
    @ludobudege1662 3 ปีที่แล้ว +2

    Mheshimiwa tafadhali nenda Mwanza wilaya ya ilemela kuna shida ya Maji haijawahi tokea kuna majipu uchungu

  • @miagirumas4123
    @miagirumas4123 3 ปีที่แล้ว +1

    Njoo wilaya ya monduli kijiji cha lashaine

  • @iddrashid7054
    @iddrashid7054 ปีที่แล้ว

    Yaani waziri kakonda kwa stress za maji,injinia yeye kitambi ndiii

  • @daffagunda-rm3hj
    @daffagunda-rm3hj 7 หลายเดือนก่อน

    TANGA BOY IS GOOD,

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 4 หลายเดือนก่อน +1

    KAMATA SUKUMA NDANI HAO NDIO WENYE KUMGOMBANISHA MHE RAIS DKT SAMIA, NA WANANCHI, PESA ZA SERIKALI WANAKULA PAMOJA NA FAMILIA ZAO WANANCHI HAWAPATI MAJI.

  • @shanelmbunga1301
    @shanelmbunga1301 ปีที่แล้ว

    Kijana aweso unatisha sana

  • @rajabulipongo4135
    @rajabulipongo4135 2 ปีที่แล้ว

    Waziri wew kwani mpaka uitwe au unakwenda kwaratiba ipi njoo mtwara uje uzunguke Halimashauli yamji Nanyamba ujionee madudu huku yanayofanywa nakamati hizi zamaji niia unayopita mungu aingazie na akutolee magumu yoote

  • @KabwikaIbrahim-ld8vf
    @KabwikaIbrahim-ld8vf 6 หลายเดือนก่อน

    Awesooo,Awesoo!!Kweli ninakukubali

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 ปีที่แล้ว +1

    Mpaka nimecheka huyo aliyenenepeana kwa kula pesa za wananchi anaondoka aibu imemjaa 😁😁

  • @mohamedlacha6515
    @mohamedlacha6515 3 ปีที่แล้ว +2

    Aweso Waziri namba mmoja wa Rais Samia Suluhu Hasssni.
    Huyu ni Mwanafunzi halisi wa Hayati shujaa wa Afrika Joseph Magufulu. Endelea

    • @sadickshabani2271
      @sadickshabani2271 2 ปีที่แล้ว

      Kabisa miaka yijayo akitoka laisi mama yetu madarakani gobea uraisi mayimani utapata ushidi 🙏

  • @kassimmuktarymurji4242
    @kassimmuktarymurji4242 6 หลายเดือนก่อน

    Aweso piga kazi, but usisahau chuo cha mipango wale mama ntilie uliokuwa unakula wakati unasoma maji yanasumbua sana

  • @sanarekumongishumollel6041
    @sanarekumongishumollel6041 3 ปีที่แล้ว +1

    Mheshimiwa ata monduli kunamgogoro wa maji kati ya Kijiji cha olarashi na mlimani na wananchi wa Kijiji cha olarashi baathi wamekamatwa wakiwemo wa mama tunaomba utusaidie mweshiwa waziri plz tunanyanyaswa na viongozi wa monduli

  • @deokafulu4332
    @deokafulu4332 ปีที่แล้ว

    Chapa kaz wazir

  • @rachellaiza7779
    @rachellaiza7779 ปีที่แล้ว

    Njoo arusha arumeru waziri pls

  • @costantinebahakaso3736
    @costantinebahakaso3736 ปีที่แล้ว

    Njoo na biharamulo

  • @user-cc4jk1ll5v
    @user-cc4jk1ll5v 9 หลายเดือนก่อน

    Uweaao nakuaminia hudanganywi hakikatungepata watukamahawanchiingeendambalisana hongerasana

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 3 ปีที่แล้ว

    yaani ela zinazotolewa kweny hii miradi,is unbelievable ,wanalea vitambi tu kudadeki...

  • @bonnyngowo7567
    @bonnyngowo7567 ปีที่แล้ว

    Mtu ana kitambi kuliko Waziri?

  • @gennerjorgemariomendez5823
    @gennerjorgemariomendez5823 3 ปีที่แล้ว

    Aweso

  • @rahmahersi2116
    @rahmahersi2116 3 ปีที่แล้ว

    Hongera na speaker ndugu
    Tukusikie.

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema 3 ปีที่แล้ว +1

    Chapa kazi Waziri wa Maji, Hawana watu wenye matumbo makubwa sijui wana shida gani, Wana tamaa sana. Lowasa alikuwa Waziri Mkuu ila akashindwa kuweka maji kwao Monduli, Sumaye naye alikuwa Waziri Mkuu akishindwa kufanya maendeleo kwao Hanang. Raisi Magufuli endelea kujenga Chato ili uwe mfano bora kwa hawa Viongozi wengine wajifunze kupeleka maendeleo kwao badala ya kulemea Dar es Salaam tu.

  • @chrianseth6393
    @chrianseth6393 3 ปีที่แล้ว +6

    Meneja huyo anafanyia tumbo lake mwangalie alivyo

  • @wilfredsahila8727
    @wilfredsahila8727 3 ปีที่แล้ว +1

    RIP JPM ulitaka kutupeleka nchi yenye asali na maziwa.

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 3 ปีที่แล้ว +2

    Kazi kweli kweli! Jmn watanzania tubadilike

  • @mariamwakabuta1034
    @mariamwakabuta1034 3 ปีที่แล้ว +1

    Kila kata ya raiya wa Tanzania wanatakiwa watume malalamiko yao (maoni yao) kwa Raisi kata ambazo hazina maji , hospitali, shule barabara na n.k mkifa hivyo yatafanyiwa kazi siyo mnangojea mpaka viongozi waamuwe . Mari zote za Tanzania Madini,gesi,wanyama,milima,maziwa,mito na n.k ni mari ya waswahili wa Tanzania . Mungu ibariki Tanzania

  • @fatmaalwiy7651
    @fatmaalwiy7651 ปีที่แล้ว

    Kashiba na pesa za watu wanenepeana wananchi wanateseka

  • @allysaleh6551
    @allysaleh6551 3 ปีที่แล้ว +1

    Uje na morogoro tunaibiwa sana na watu wa maji matumizi ya nyumbani bili elf 60 na maji katika mwezi yanatoka siku 12 adi 15 tunaibiwa sana

  • @abiollashayo5698
    @abiollashayo5698 ปีที่แล้ว

    jamani mke wake kajifungua,msameheni

  • @alihu3752
    @alihu3752 3 ปีที่แล้ว +1

    Bongo wasimamizi wa miradi weziwezi sasa lazima itafutwe muafaka wa kuzibiti toka enzi ya nyerere.

  • @meddyzambetakis
    @meddyzambetakis 3 ปีที่แล้ว +3

    Magari ya kifahari lkn maji ya kunywa hamna, ushuzi mtupu

  • @titonkwabi7430
    @titonkwabi7430 ปีที่แล้ว

    Nauona moto wa JPM angalau 🔥👍

  • @petermboje5839
    @petermboje5839 ปีที่แล้ว

    Mzee mjinga ana mwanga unga kalale mzee

  • @user-sb1qy8gt7i
    @user-sb1qy8gt7i ปีที่แล้ว

    Waziri fanya mpango was kukutana na viongozi wa (W,U,A,) usikie cangamoto zao

  • @Qadar-vx4gj
    @Qadar-vx4gj 7 หลายเดือนก่อน

    Jambo La Kushangaza Tanzania Shida Ya Maji 😢

  • @amanafi1288
    @amanafi1288 3 ปีที่แล้ว +1

    Viongozi Vijana wangu, punguzeni usela, hasira binafsi huwa hazijengi Nchi...

    • @edwardmazuri1649
      @edwardmazuri1649 3 ปีที่แล้ว

      Sio hasira ila kudanganya ndo sababu.

    • @mossyfimbo3577
      @mossyfimbo3577 3 ปีที่แล้ว +1

      Watu kama nyie ni waajabu saana yaani mambo ya udanganyifu na wizi wewe unamuona Waziri anahasira si ndio pumbavu kabisa ndio nyie hamtaki safari yetu tufike

  • @francisgituti2494
    @francisgituti2494 7 หลายเดือนก่อน

    Ngumu kumeza hiyo , atafute kazi nyingne ya kufanya

  • @kassimmuktarymurji4242
    @kassimmuktarymurji4242 6 หลายเดือนก่อน

    Pambana watanzania wanakubali mchango wako nyinyi ni askari wa myavuli wachama cha mapinduzi, mama samia anawapiganaji wakutosha kumvusha 25_ 30

  • @barnabalushenshe5671
    @barnabalushenshe5671 3 ปีที่แล้ว

    Kijana safi wa JPM..

  • @ahmadmasunda9892
    @ahmadmasunda9892 6 หลายเดือนก่อน

    HAO WEZI WALIOPITILIZA WEKA NDANI TU HAKUNA DHAMBI

  • @abdularuffin9308
    @abdularuffin9308 2 ปีที่แล้ว

    Waziri moshi kijiji cha mabungo hakuna maji jua kali miti utaoteshaje hakuna maji upepo mkali kwa sababu hakuna miti tunakuomba uje hapa mlima wa mabungo kijiji cha kilindini hata umeme tu hakuna waliondoka na nguzo wakapita wanasema hatukusema tusaindie kumwambia waziri wa nishati tumeachwa tuanze kununua nguzo wenyewe

  • @felistapepi3715
    @felistapepi3715 3 ปีที่แล้ว

    Sauti pls

  • @idrisangugi8839
    @idrisangugi8839 3 ปีที่แล้ว

    mheshimiwa Aweso mbona hauji Mwanza Misungwi

  • @halimakihame1744
    @halimakihame1744 3 ปีที่แล้ว

    Kimeumana kimeumanaaa

  • @michaelsaimonmuhojamichael8430
    @michaelsaimonmuhojamichael8430 3 ปีที่แล้ว

    Hayo majizi,yamenenepa hela za wanachi.

  • @rehemabukuku1008
    @rehemabukuku1008 2 ปีที่แล้ว

    Uje na Morogoro baba mjin hapa maji ni mateso mala yatoke mala hamna shida tupu tunanunua maji dumu 500

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu2421 3 ปีที่แล้ว +1

    Du kumbe serikalini ukiingia cha kike hata kama anayekwambia ni mdogo badala yake mkubwa unageuka mdogo tena

  • @user-cc4jk1ll5v
    @user-cc4jk1ll5v 9 หลายเดือนก่อน

    Mheshimiwa haohakunakitu sukumandani

  • @ibrahimugoda7284
    @ibrahimugoda7284 3 ปีที่แล้ว +1

    Mh ufike na wilaya ya kilindi

  • @Manyohu.tv1
    @Manyohu.tv1 ปีที่แล้ว

    NAONA KAMA NYOTA YA UWAZIRI MKUU KWA AWESO INAKUJA KWA UHATARI SANA.

  • @masaikaren588
    @masaikaren588 3 ปีที่แล้ว

    Kweli kukula inakuwaga tamu...

  • @barnabalushenshe5671
    @barnabalushenshe5671 3 ปีที่แล้ว

    Kuna haja YA Kuwa Waziri kamali wa.maji.

  • @ibrahimmacharia5093
    @ibrahimmacharia5093 3 ปีที่แล้ว

    Mheshimiwa waziri pongezi xana, lakini naomba uje pia huku kata ya ilkiding'a tuna changamoto xana xana kijiji cha ilkisonko tumeanza kuambiwa tutalipia maji kila kaya na maji yenyewe hatuna tafadhali njoo

  • @bongobongo1755
    @bongobongo1755 3 ปีที่แล้ว +1

    Yani watu walewale mpaka lini badilikeni uyo amenenepa pesa ya wananchi

  • @seifmtambo3210
    @seifmtambo3210 ปีที่แล้ว

    Upo vizuli wazili

  • @rehemabukuku1008
    @rehemabukuku1008 2 ปีที่แล้ว

    Kwa Hali hiii unasema .j.p.m alikua simba wa yuda. ,,hzo kauli ndo zinawapa kiburi na ujasir wez kama hv

  • @abdulkihanza4431
    @abdulkihanza4431 3 ปีที่แล้ว

    Waziri njoo na kijiji cha Uvinza, uone madudu

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 หลายเดือนก่อน

    huyu wzairi wa maji hafanyi kazi...ni kutembelea tuu mikoa ili aonekane amefika lakini hakuna kitu...miaka yt hamna maji why? Aweso you need to go back tothe drawing board..do u understand???