TAZAMA MKUU wa MKOA wa Dar Es Salaam Alivyowatuliza MACHINGA wa SIMU 2000 walioanzisha MGOMO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024
- _________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe TH-cam channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
RC hongerasana munguakubariki namuomba ALLAAH akupeumrimrefu nahekmazaidi nakherinyingi
Machinga Wa Mawasiliano Mna Wasemaj Wazuri Hongereni Mkuu Wa Mkoa Heshima Kwako..🙏🙏🙏
Likes za kutoshaaaa kwa jamaa aliyeongea mwanzo. Ametisha sanaaa. Wananchi wana uelewa sana. Hakuna vurugu, ni hoja tu!
Yaani wanawazidi mpk walioajiriwa serikalini
@@dizzboss7526yupo vizuri hadi raha aiseee,huyo utakuta ana degree yake na yupo MITAANI,bora hata ndo angekuwa mkuu WA wilaya aise.🙏🙏🙏
kwa kweli
Mkuu wa mkoa mungu akuweke
Mkuu wa mkoa 🔥🔥🔥🔥
Love Tanzania, we don’t run around aimlessly destroying our own properties like Kenyans for weeks on end. We’ve got an issue, we convene a meeting immediately with the relevant authorities, air our grievances in public & have it resolved one way or the other. We are responsible & busy people!! Viva The MIGHTY Dar es salaam 🇹🇿
Poor eduacton you dont now where you from.nor you go
@@godfreymushi6966 could you repeat that, in English this time 🙄
Hiyo ni siasa TU lazima wataondolewa kinyemera nchi yetu bado sana siasa Bado
Umi sawa sana bro
Daaa kuna hao wanao itikia mkuu akiongea😂😂😂🙌
Ni zaidi ya GEN Z hao sema tu kuna siku kitalipuka
Mjiandae na janga la moto hapo figisu zishaanza😢
Umesema kweli kabisa RC
Hapa Mkuu wa Mkoa umenena!!! Kama mtawasaidia wafanya Biashara kwa jinsi hii waangaikaji! Ni vema!!!
Safi sana mkuu wamkoa
Hii ndiyo maana ya elimu
Mmmmmmm kwaherini
Serikali inaweza jenga soko km pale mbagara baada ya wiki akabomoa ikajenga standi . Hvyo srkl huwa haina hasara.
Shida tunawasomi wengi ambaao hawajaelimika, hawajui kabisa maisha halisi ya wanaowaongoza
Mkuu wa wilaya hana kosa kabisa, yeye alichofanya ni kutimiza alichoagizwa na mkuu wake na mkoa
Mussa huyu ni mwanaharakati Tangu akiwa IFM.
Yaani wananchi ni waelewa sana ni hoja kwa hoja hakuna vurugu wala kuchoma Mali za uma na za binafsi
Mwanzo mzuri , itafika wakat uwelewa itachanganya afu tutajua mbeleni
Hivi hilo ni shati la kitenge au silioni vizuri
Umeanza kuzingua😂
@@koladjulius9945😂😂😂 ni kanga basi
Moto utawaka apo soon tuu mpk muhame
Chalamila anajua sanaa sema viongozi wa chini ndo jauu sanaa
Uyo mkuu wa Mkoa mwenyewe simkubali
Wivu tyu
Yan alieongea mwanzo kanikosha ingekua makonda angekupandisha cheo🎉🎉
Kama hawezikuwatatulia matatizo Yao,ila hafai.
Mkuu wa mkoa nakukubali wa dar nakukubali
Viongozi wenu wanaweza kujielezea kweli nawapa bgp
Mama wakuu wa wilaya kama ao wanamualibia mama
Mh mr chalamila liangaliye
Na rakaliAa koo leo raiya
Wanakahaa juwani wametol
ewa miavulii yote lipanie
Naili chalamila
Jiji halina mipango. Kila mkuu ana mipango mfukoni ndiyo chanzo cha migongano
Siasa tu ubabe utatumika kuondolewa hii nchi bwana
Unapendwa kweli
alitaka kuwabadilikia mka wahi na kelele,alipoaanza kumsifia mkuu wa wilaya,hii ndio bongo bhana hapo mtaondoka tu,
Waende jangwani walipo iba fedha za benk ya dunia wakajenga njia ya. Maji waliwafukuza watu jangwani hii nchi yaajabu sana hawa sio viongozi wameuza standi ya mkoa. Sasa wana weweseka na ishu ya viwanja datt kuna mpango wa ruswa hii pran yao ni yao hakuwa kwenye fizibirite stad. Wao wana kurupuka. tu
huyo jmaa wa mwnzo an point mnooo
Wanaamixhwa aoo
h
Mwaka huu watawaacha ili mchague mwakani mnahama
Chalamila wee noma sanaaaa
❤❤❤😂❤
Mkuu wawilaya Bado nikijana lakni kachoka mbona au anaumwa
Atakuwa Mlev😂😂😂
Anajua haki ikowapi anatakiwa achukue maamuzi magumu malalamiko ya haki
Faken
fukuza hao wakalime 😂😂😂
Acha Uchoko Unawashwa?
Sasa kwann walimzomea mkuu wa wilaya?
Chalamila una busara kijana
Pale magufuli stand kuna eneo kubwa tu siwapeleke kule