KIJANA MZALENDO AWAVAA WABUNGE CCM "KUMPELEKA MPINA NEC NIKUVUNJA KATIBA YAO WALIFAA WAFUKUZWE"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ก.ค. 2024
- KIJANA MZALENDO AWAVAA WABUNGE CCM "KUMPELEKA MPINA NEC NIKUVUNJA KATIBA YAO WALIFAA WAFUKUZWE"
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 767 400402)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com
Kijana upo vizuri.Mpina. Atetewe .Tupo pamoja. kulitetea Taifa.
Kiufupi wtz Bado hatuna akili Bado hatujawa pamoja katika mambo yanayotuhusu
Tutakutana 2025 tumechoka!
Kabisa kaka
Jamani kwa swala hili la sukari mm acha niwe mmbaguzi,naomba bashe akae pembeni,tuhangaike kwanza na uraia wake(msomali).Tusitumie muda mwingi kubishana na raia wa nchi hii.
Utafika mbali nimekuelewa ngosha wangu,
@@HildegardMasawe
C wanasema Mnyarwanda
😢😮
Msukuma na uyo muuzakahawa wa zamani ni wanafiki wakubwa.
Mpina tunakuombea wewe ni mzalendo wa kweli unae simamia haki na misingi ya chama chetu.
Ndugu zangu tulisimamia nchi kwa nguvu zetu zote pamoja na chama mpaka Leo bila kujali tofauti zetu.Hebu fuateni maadili tulioachiwa na waa sisi waliotutangulia.Chama ni chetu na tunahaki ya kudai nyendo ya wanaotuongoza.
Huyo Rais Mwenyewe yupoyupo tuu hajui chochote hata hajui nini maana ya uongozi
Yani spika ametuonyesha kuwa hoja za mpina zipo sawa ispokuwa Mpina amemkosea Spika kwa kuongea na waandishi. 😂😂😂😂
Wabunge wetu wanaendaga bungeni na hoja za mama samia sio wananchi,ndio maana wanaokaa upande wa wananchi wanakuwa waasi.
Tunapenda vijana kama hawa. Tobowa kijana watekaji watakuteka.wao nikuteka . Ccm hawawezi kusema chochote. Sana sana kusifia watu.waliandaliwa kunogesha,
Msukuma na Lusinde wamedilika sana hawajielewi
Mpina upo sahihi
Ivi kweli Mpina anakosa gani ?
Shule hamna
@@willykomba8376Siyo kweli,shule siyo kipimo cha kuondoa ujinga
Tuwapuuze Mungu Atashughulika nao
Hiyo ilikua enzi hizo ccm ilikua zamani hivi ni waporaji siyo viongozi tena
Tena bila Makonda CCM watu waliichoka kama wakati wa Kikwete. Shida hakuna chama kingine cha maana. Kotę wamejaa mafisadi. Katiba ibadilishwe watu wawe huru kushiriki kwenye siasa bila ya vyama
Mpina alikuwa mtu wa jpm na ndiyo maana kuna makundi ndani ya ccm hawamtaki Luhanga mpina same kwa bashiru, polepole na wengine wengi
Hata Tulia alikuwa wa JPM tatizo la mpina siyo mnafiki anaipenda Tanganyika yake kuliko hao wengine
Musukuma na Lusinde walijuwa waterezi wa haki. Kwa hili kuna mawili. Pengine kwa elimu yawo ndogo hawakuelewa. Ama kwa woga wa kutengwa, wanejiunga na wapigaji. Unampelekaje mbunge NEC mutetezi wa mali za umma unamwacha mpigaji. Kweli CCM kuna kazi.
0
hapa Kwa ka msukuma ni elimu ndogo, katiba mpya kigezo elimu iwe kuanzia 4m4 na awe anajua vizuri English maana hapa msukuma alimwona bashe binge la msomi bila kutafakari malezo anayotoa Kwa vile tu bashe alikuwa akichanganya na English
@@piusmaduka ukisema kuwa mbunge wa Tanzania lazima ujuwe English. Huo utakuwa uonevu. English kutakuwa hakuna wabunge. Kujuwa kiingereza sio usomi. Ni kuelewa sheria na haki za nchi. Karibu wabunge wote hawajui kiingereza, sio Mąkosa yawo ni lugha hatuitumii. Kenya kiingereza ni lugha ya taifa. Wakaona wakubali Kiswahili pia kutumika. Kuna woga fulani kwa sasa. Kuna kundi limeiteka nchi. Hawa hawaguswi hata wakikosea. Rais amekuwa kama Mungu wa pili. Bungeni kwanza wanamuomba Mungu kisha Rais Samia. Maajabu haya. Tunaelekea pabaya. Tunazidi kupumbaa
@@Mima-cl2imumeongea vema sana,hongera sana.
Hili Dili siyo la mtu mmoja,hii sukari +msamaha wa Kodi Ni mabilioni ya pesa,hata viwanda vya ndani vikifa wao wameshachukua Chao,hovyo kabisa!
Wasukuma. Mkisona Sheria mnasumbua sana
Inasemekana wakenya wanajitambua na kujua kutetea haki zao eti kwa sababu wamefanikiwa kielimu tofauti na sisi watanzania wengi ambao sio wasomi!
Kwa hoja kama hizo hutudumaza sana hazipaswi kutufanya kuridhika na kusubiri lini tuwe na idadi kubwa ya wasomi au wakina Mpina wengi kutufundisha kujitetea katika nchi yetu bali kuna wakati tuyatambue majira na nyakati. Tuwe na maamuzi ya kutenda na kusema kama nyeusi ni nyeusi kama ni nyeupe. Kwa kweli kama tutasubiri taifa lijae wasomi wengi basi majira na nyakati havitatusubiri.
Mbunge Msukuma na huyo mwenzake wanakosa confidence kujipambanua. Hoja zao inaonyesha wazi kabisa wao wanafuata upepo ili wawe kwenye kundi mamuluki na ili wapate huruma za kundi mamuluki. Ningependa kumshauri Mbunge Msukuma na yule mwenzake ni Bora na ikawa busara zaidi kwao mambo kama hayo ya kucheza na haki ya kura za watanzania ni Bora wawe wanapiga kimya ili wawaache wenye kupiga dili na maslahi yao binafsi wapambane na matokeo na laana ya haki za watanzania.
Nchi hii sijui tutafunguka lini tujifinze hata Kwa majilani Kenya tulipende nchi yetu anaye chezea nchi yetu awe adaui wetu
Nchi yetu sisi hatupendi kuambiwa ukweli na shangilia mambo ya hovyo ndo maana mmi nashangaa watanzania tume
Wasukuma wameanza kuchangamka😂😂😂😂😂😂
Upo vizuri
Professor Assad alishawahi kusema hili bunge ni dhaifu
Bila utaifa na si uchama bunge dhaifu litasitawi
Tupilia mbali CCM.
Katiba
Uko sawa kabisa.Some wabunge there not commited kutetea watanzania.Hii c sawa.Tuwe wakweli jamani.Mungu yupo anaona
Hakuna aliye juu ya Sheria
Mmmh lile Sukuma gang tuliambiwa naanza kuwaona watu wake kwa sisi tulio soma "cuba'
Hatuna viongozi tanzania 🇹🇿
hilo ndilo tatizo la kua na bunge la chama kimoja.😢
MPINA ni mbunge anaejielewa kati ya wabunge wa ccm.
Siku hizi hakuna mtu mnafki kama msukuma zama Hali kuwa mtu safi ila Sasa alishakewa sifa
Bora mnyang,anywe ng,ombe ikiwezekana mpaka wamalizwe wote ili muendelee kuikumbatia CCM huko kanda ya ziwa
Viongozi wa dini wengi ni na hawa.
Of coz
Watumishi feki wapo sana
Natamani kumfahamu Kidata. Tupo Vidata wenzie wengi sana
Msukuma ni mnafiki kama wale wabunge wanafiki wengine
Nalo neno kijana
Huku lake zone bwana ccm ifanye kazi ya ziada Kuna Siri kubwa mno wanawaficha tu kina msukuma wajanja,lkn mpina ni muwazi musukuma hataki mpina anaharaka ,
Tatizo la mpina alitangaza kwenye vyombo vya habari wakati suala lilikua linafanyiwa maamuzi.
Mbunge msukuma ni mnafiki sana, Hajitambui kabisa,
Msukuma shida sana
Chawa
Tumwombee msikuma aache unafiki na maneno mengi
Bashe ni msomali na wasomali Wana roho mbaya majizi na matapeli
Hapana bwan umeongea vizuri lakina viongozi wa makanisa wanaokopa wanambiwa watakuwa wameingilia serikali kumbuka sakata la bandari
Mambo yatabadilika mapema kuliko wanavyodhani
Ndivyo ilivyo m ccm ivyo unavyo ongea kamacho miccm inakutolea macho
Hii tabia ya kuongea kwa sauti kubwa ni kuonesha msisitizo au ni hasira
Msisitizo
Hapo tuna spika hatuna wabunge kwanza haua ndio madhala ya kuwapa nchi wanawake sasa vilio kila kona taifa liko hoi
Mpina hawezi kuungwa mkono na wabunge kwani hahongeki
Hatuna wabunge nchi hii
Huyo mama samia hana mpango, hata yule kijana kichoma moto picha ya rais samia ni sawa sawa tuuu samia hakuchaguliwa awe president so it wa just luck baada ya rais wa kweli kufariki
Mfumo wetu wa uchaguzi mgombea Urais anakuwa na mwenza hivyo ni kusema kuwa unachagua watu wawili yaani mgombea urais na mwenzi wake ambaye atakuwa Makamo wake wa Rais
Kwamba ccm wana wanachama milioni 34. Huyo ni Amos makala ila hii nchi
dar jamani
Mbona unasema wale walosema amekosea tu,
Sema na walosema Hakukosea kama wapo.> kama hawapo basi ni wabunge chawa tu!
Alooooo
Msukuma ni takataka
Mimi ni ccm tokea mwaka 1972.nilichukuliwa. ukonga magereza. Tuwe pamoja baya tukemee tusiwachiye wapinzani
Itafika mwishotuu
Wabunge wte waliomsema vibaya mpina ni wanafiki na hawajielewi
Nyerere alisema tuwashughulikie je tunawashughulikia sasa? Speaker anatushangaza sana kwa kweli hatuna bunge sisi bali tuna gereza la kuhukumu wanainchi. Sisi wanainchi tumefanya nini? Tunatakiwa kuenda mpaka bungeni kupika kelele kwa ajili ya Mbunge wetu Mpina.
Si mlikuwa hamumuelewi hayati JPM sasa ndio muone
.Musimulaum musukuma Tunalaumu WASUKUMA WALIOKOSA WASOMI WA KUPELEKA BUNGENI WAKANGUKIA DARASA LA SABA. WAILIMUONEA SANA.)
Kule korogwe, wananchi walichangia wasomi,baadae wakaona wasomi hawasadii, wakaona wachague mwezao mganga mpiga ramli. Mfumo wenye njaa ya kutengeneza unaweza kumleta kiongozi wa aina yoyote. Raia tukifikia kuwachambua wasaka uongozi kama tunavyochambua wachezaji wa mpira, hao wabunge vilaza hawezi kuchaguliwa.
Kaka kuporwa mifugo nikushauri tu wananchi waache kuingaza mifugo kwenye maaeneo yaliyo hifadhiawa vinginevyo tunatwngeza jangwa wenyewe na hatutakuwa na wakumlaumu
Seo
Ndg yangu bunge letu limeingiliwa na wachawi haiwezekani watu tulio wachagua wafanye comedian kwa Watanzania.
Viongozi wa dini wanaaminiwa na masikini tu nchi hii
Msukuma hua ni mnafki mm hua simuelewi mule hua amekaa kama zekomed ,na Wala haendan na ubunge, yaan hata kipind Cha magu alijifnya yupo vzr ,alafu Leo hii awam nyngne anakua kinyume na mwanzo ,ni mnafki mno ,aende tu afanye uigizaji wa zekomed Wala humo bungen hapamfai, maana amekaa kwa mfumo wakichawa
Sasa ivi wachungaji wanaogopa kuwaambia watu dhambi zao ndiomana hawahawa viongozi wasio waadilifu wanapeleka michango ya pesa wayoiba kwenye nyumba ya mungu na kuwafichia siri
Ukiona mbwa juu ya mti.
Hapa tuachane na vyama havitusaidii tuungane kama wakenya kudai haki zetu
Eti jimbo lipo serias kumuweka mtu darasa la saba msukuma ,lusinde mptupishe bhana not u're Time now
Kupata kura kwa wasukuma ni kazi wamrudishe tu Mpina huyu Msukuma na yule Mgogo kazi yao kubwa ni uchawa tu Nsukuma kwenye Bandari alikuwa mnafiki vilevile hana lolite
Kwenye uvuvi umeongea kweli.....uvuvi haramu umemaliza samaki.....wakati wa Mpina na JPM UVUVI HAULUWA NA HASARA....WAVUVI HALALI TULIPATA FAIDA KUBWA SANA....LEO...mmmhmm. ..... Wengi wamepaki boti zao...
Hakuna haki hapa tanzania wafanyakazi sekta binafisi hawapati mikopo kisa mikataba ya mwaka mmoja
Ila msukuma na tabasamu. Uchawa unawapunguzia heshima
Bashe nyuma yake kuna asiyesemwa MUNGU wa Tz
Yaan mnasema tu ukabila haufai lkn huko mbeleni mm naona utafaa tu
Mpina hajakosea chochote watanzania wanawaona kwa jicho la kuzumu
Bunge la mchongo tz wachumiya tumbo
Hata akienda mahamani hamuna mahaka Wala bunge ya mdee na wenzake yameisha yeye anajua aludi nyumbani kama amekata uchawa basi na ubunge kwisha
Spika aitishe mkutano wa waandishi wa habari ajibu hoja muhimu kwasasa. Amechukua hatua kwa mbunge ameacha tuhuma nzito na kuzifunika.
Wakatoliki hatujasema chochote hadi sasa! Mimi nivumilie hadi lini?
Viongozi kweli hatuna na hii serikali ni upuuzi mtupu
Ma mbumbu ndio yalikuwa yakimpinga mpina
Kunawatu ndani ya Sasa wanatumia fedha za umma kujenga Miradi yao mikubwa Wananchi wanakufa uvyo hawana Pesa za kunua dawa!
atari sana tz waziri asiekuwa raiya wa nchi usika lakini anawakimbiza mpaka basi, dah hii kari tz!.
Sio kweli, mwaka 1961, watu wote, wakuwemo ndani siku tarehe Tanganyika ilipo pata UHURU walihesabika kuwa ni raia. Tuwe tunarejea nyaraka na hotuba za viongozi wa nyakati hizo. Kizazi hiki hakijui historia hii. Bahati mbaya na kundi la vijana kwenye vyama vyetu ukiwasikiliza hawajui historia yetu. Ingawa tayari Mabega juu maana wao ni watawala wetu wa baadaye.
Mpina mbona alipima Zamani Kwa rula hukuongea wakati akiwa mifugo acha makasiriko wewe mbona Kama unapiga kampeni mapema Acho roho mbaya wewe huyo Umar mtetea ana Aya ya kwake
Kwa jumla wabunge wa CCM hawasomi kitu chochote wao nikiangalia upepo unaelekea wapi ni ushabiki wa kijinga hawaombewi mwongozo wala taarifa.lugha zao za kijinga na majigambo.wabunhe wanadai kudharauliwa hivi eakijitathimini wanastajili kuheshimiwa?
Je biblia na kurani ni ya viongozi wa dini tu? ???
Musukuma nilikuwa na muona wa maana kumbe zero kabisa [rushwa hupofusha]
Msukuma tatizo shule nasikia hajasoma
Ccmupigenikazi mbakatuse hizonikelelezaumbu
Hakuna atakaye fungwa wala kufukuzwa kazi wakiwajibishwa mimi nitaomba uraiya kwenda DRC nisiwepo.
Msukuma na lusinde hakuna wabunge hapo
Weweunayatafuta
Wabheja ngosha
Burundi mahakamani huyo spika
Wabunge tulio nao ni feki kabisa hatuwachagua
Achenikufokafo katuone
Hili nalo sukuma
Msukuma hana lolote, ni lijinga fulan tu.
katika watu wajinga nihiri jamaa nsona chamaana hapo nitai na shati sijawsi ona sukuma jinga kama hiri tumbo ra shiporo musukuma hapa
Jamani hili bunge mnalijuwa ni la imla hawakuchaguliwa waliteuliwa na Magu. Hawajui lolote ni machawa sio watetezi.
CCM ni janga kubwa sana la kitaifa, adui namba moja wa watanzania woote ni chama chakavu cha CCM na family zao, bola ukimwi kuliko CCM kuwepo Tanzania.
Dooooooh!
Mmm pale Kenya KANU ilionekana imechakaa, wakaipiga chini, lakini Juzi tumeona mengine kwamba KANU ilikuwa haikuchakaa, walikuwa wamechakaa viongozi. Shamba likiota magugu na vichaka hekima ni kupalilia ili shamba liwe wafi. Sio kukimbia shamba kwenda kulima pengine. Kwa sababu kanuni ya maumbile magugu yanaota kila pahali kama hali inaruhusu. Tuboreshe hivi vyama ili vifanye vizuri. Kuondoa ili mradi tumeondoa ni wendawazimu
Mpina ndio mbunge namba moja katika kutumikia wajibu wa kibunge kwa sasa. Hata iweje ataendelea kuwa bungeni hata akifukuzwa CCM.