MWABUKUSI AMUANIKA MSIGWA KWA KUJIAMINI "SI KILA ANAYEKIMBIA NI MHALIFU/CCM WENGI WANAMAPENGO"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.ค. 2024
  • MWABUKUSI AMUANIKA MSIGWA KWA KUJIAMINI "SI KILA ANAYEKIMBIA NI MHALIFU/CCM WENGI WANAMAPENGO"
    🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
    🔘WhatsApp (+255 692 318213)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com

ความคิดเห็น • 32

  • @sskondopoleani9616
    @sskondopoleani9616 24 วันที่ผ่านมา +2

    Mwabukusi you have spoken, nimekukubali kwamba wewe ni Msumeno kata huku na huku🎉

  • @DittoSylvester
    @DittoSylvester 24 วันที่ผ่านมา +7

    Msigwa yale alokua ameyatamka kwenye mikutano ya Lisu atayabadili?hata huko kanisani kwake akiwa mchungaji ajihoji.sana!?aangalie achunge ulimi .jana alipinga mikataba ya bandari leo ataiunga?!wa Tz!??

    • @rogersiddy
      @rogersiddy 24 วันที่ผ่านมา +3

      Sahihi kbs point nzuri sana

    • @jacobletema3681
      @jacobletema3681 24 วันที่ผ่านมา

      Hata kwa Yesu Kristo anaweza kuhama akaenda upande ule mwingine!

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 24 วันที่ผ่านมา +1

    Mwabukusi ana akili sana anaamini ndani ya CCM kuna watu wazuri sana lakikini kimetekwa na majambazi. 🖐🖐🖐🖐🖐

  • @gifatmahundi8750
    @gifatmahundi8750 24 วันที่ผ่านมา

    Safi sana mwambukusi

  • @laninjeje8290
    @laninjeje8290 24 วันที่ผ่านมา +1

    Umeongea point sana, sio kila anaehama amenunuliwa. Good point kwasababu CHADEMA wakipokea watu kutoka ccm wanafurahia kwahiyo na wenyewe wananunua kutoka ccm??

    • @jesaminzo
      @jesaminzo 24 วันที่ผ่านมา

      Au unataka Msigwa atusomee meseji?

    • @sskondopoleani9616
      @sskondopoleani9616 24 วันที่ผ่านมา

      Mh CHADEMA kweli MSIGWA ame wa-touch sana.

  • @cristinaruka9293
    @cristinaruka9293 22 วันที่ผ่านมา

    Hana thamani Tena anaenda kutumika akili ndogo pole sana msigwa sawa na mtu anayo safari ya mbinguni Kisha akaanza kuelekea kuzimu

  • @EliaHiluka
    @EliaHiluka 23 วันที่ผ่านมา

    Kwani kwenda ccma nikuonyesha yupo upande wamafisadi na hayuko tayari kutetea maslahi ya wananchi

  • @eliphasmlengu6331
    @eliphasmlengu6331 23 วันที่ผ่านมา

    Kuhama it personal interest lakini unachokihubiri kuhusu ulikotoka kinatoa maswali mengi that why Msigwa ananaonekana kwenye hayo anayo waziwa nayo

  • @user-gk6ty7tt9o
    @user-gk6ty7tt9o 24 วันที่ผ่านมา

    Kuhama vyama siyo sifa njema. Hapo tusidanganyane.

  • @reginas1832
    @reginas1832 24 วันที่ผ่านมา

    Alichokifanya msigwa kinatia aibu. Alikuwa mpinzani njaa

  • @jesaminzo
    @jesaminzo 24 วันที่ผ่านมา

    #Adv Boniface Mwabukusi, mimi sina shida mtu kuhama lakini kuhamia CCM kweli?

  • @isackphilipo9870
    @isackphilipo9870 24 วันที่ผ่านมา

    Kwahiyo msukuma ni muongo aliye sema Msigwa anafadhiliwa na hela za ccm na akamwambia afungue mdomo kama haajachia message hewani na msigwa hajafungua mdomo hapo Mwabukusi kuna namna unataka kutuingiza chaka

  • @hamisimuhunzi7916
    @hamisimuhunzi7916 24 วันที่ผ่านมา

    muandishi unatia mpaka Aibu Msigwa Msigwa Msigwa hakuna mambo ya kujadili yanayoguza maisha ya watanzania walio wengi zaidi ya Msihwa.

    • @sskondopoleani9616
      @sskondopoleani9616 23 วันที่ผ่านมา

      @@hamisimuhunzi7916 Hukuelewa Mahojiano

  • @JafetGuzuye
    @JafetGuzuye 23 วันที่ผ่านมา

    Aa

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 24 วันที่ผ่านมา +1

    Iko hivi sisi hatukatai mtuu kuhama chama lakini sauti yake itelendelea kuwa haki kwa watanzania tukagundua kuwa msigwA alikohamia kaenda kupangiwa maneno ya kusema Hilo ndilo kosa chama alichoenda hakiwezi mruhusu kukosoa yoyote yule atalamishwa kusifia hata km ni kibovu ndio kosa lake tufanye akili ndogo kuendesha akili kubwa Haina tena thamani kwakwe kuwa ccm Bora angeenda CT wazalendo hata km mtizamo wake ulikuwa tofouti na freeman mbowe asingeenda huko ccm ili uwezo wake wakisiasa ubaki pale pale angechukua tuu Jimbo lake la lranga na kuwa kiongozi na angesaidiwa na chadema vile vile sababu lngekuwa lile Jimbo ngumu wakaa chini wakubaliane lakini kwa Sasa chadema na ccm himo haliwezekani tena

    • @knight6757
      @knight6757 24 วันที่ผ่านมา

      Tumbo....🤑🤑

  • @erickmsigala138
    @erickmsigala138 24 วันที่ผ่านมา

    Huyu jamaa mimi simuelewagi kabisa

  • @isackphilipo9870
    @isackphilipo9870 24 วันที่ผ่านมา

    Kwahiyo na wewe Mwabukusi Unataka kutuaminishaje umma wa CHADEMA

  • @SixbertDamo
    @SixbertDamo 24 วันที่ผ่านมา

    Kuhama ni hiari yake tu

  • @EliaHiluka
    @EliaHiluka 23 วันที่ผ่านมา

    Sisi tungeweza kumwona msigwa kama msaliti pia kitendo Cha yeye kuhamia ccm mi kuonyesha yeye ni mtu mwenye tamaa ya madaraka

  • @dentomedicalresourceslimit4602
    @dentomedicalresourceslimit4602 24 วันที่ผ่านมา

    Sikia, Msigwa kahama kwa kukosa CHEO. Full stop. hayo mengine ni Blaah blaah tu

  • @theophilmakumbuli
    @theophilmakumbuli 24 วันที่ผ่านมา

    Kwa maelezo hayo mbowe hawez kukupenda

    • @TegemeaFutemakatifu
      @TegemeaFutemakatifu 24 วันที่ผ่านมา

      Msigwa kahama Kwa Kukosa Cheo, Hana kingine ni hicho tu

    • @davidkawesa3594
      @davidkawesa3594 24 วันที่ผ่านมา

      Ungemsikiliza mpaka mwisho

    • @rashidissa5887
      @rashidissa5887 23 วันที่ผ่านมา

      ​@@TegemeaFutemakatifuYes