MWABUKUSI AMUANIKA MSIGWA KWA KUJIAMINI "SI KILA ANAYEKIMBIA NI MHALIFU/CCM WENGI WANAMAPENGO"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 ก.ค. 2024
- MWABUKUSI AMUANIKA MSIGWA KWA KUJIAMINI "SI KILA ANAYEKIMBIA NI MHALIFU/CCM WENGI WANAMAPENGO"
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 692 318213)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com
Mwabukusi you have spoken, nimekukubali kwamba wewe ni Msumeno kata huku na huku🎉
Msigwa yale alokua ameyatamka kwenye mikutano ya Lisu atayabadili?hata huko kanisani kwake akiwa mchungaji ajihoji.sana!?aangalie achunge ulimi .jana alipinga mikataba ya bandari leo ataiunga?!wa Tz!??
Sahihi kbs point nzuri sana
Hata kwa Yesu Kristo anaweza kuhama akaenda upande ule mwingine!
Mwabukusi ana akili sana anaamini ndani ya CCM kuna watu wazuri sana lakikini kimetekwa na majambazi. 🖐🖐🖐🖐🖐
Safi sana mwambukusi
Umeongea point sana, sio kila anaehama amenunuliwa. Good point kwasababu CHADEMA wakipokea watu kutoka ccm wanafurahia kwahiyo na wenyewe wananunua kutoka ccm??
Au unataka Msigwa atusomee meseji?
Mh CHADEMA kweli MSIGWA ame wa-touch sana.
Hana thamani Tena anaenda kutumika akili ndogo pole sana msigwa sawa na mtu anayo safari ya mbinguni Kisha akaanza kuelekea kuzimu
Kwani kwenda ccma nikuonyesha yupo upande wamafisadi na hayuko tayari kutetea maslahi ya wananchi
Kuhama it personal interest lakini unachokihubiri kuhusu ulikotoka kinatoa maswali mengi that why Msigwa ananaonekana kwenye hayo anayo waziwa nayo
Kuhama vyama siyo sifa njema. Hapo tusidanganyane.
Alichokifanya msigwa kinatia aibu. Alikuwa mpinzani njaa
#Adv Boniface Mwabukusi, mimi sina shida mtu kuhama lakini kuhamia CCM kweli?
Kwahiyo msukuma ni muongo aliye sema Msigwa anafadhiliwa na hela za ccm na akamwambia afungue mdomo kama haajachia message hewani na msigwa hajafungua mdomo hapo Mwabukusi kuna namna unataka kutuingiza chaka
muandishi unatia mpaka Aibu Msigwa Msigwa Msigwa hakuna mambo ya kujadili yanayoguza maisha ya watanzania walio wengi zaidi ya Msihwa.
@@hamisimuhunzi7916 Hukuelewa Mahojiano
Aa
Iko hivi sisi hatukatai mtuu kuhama chama lakini sauti yake itelendelea kuwa haki kwa watanzania tukagundua kuwa msigwA alikohamia kaenda kupangiwa maneno ya kusema Hilo ndilo kosa chama alichoenda hakiwezi mruhusu kukosoa yoyote yule atalamishwa kusifia hata km ni kibovu ndio kosa lake tufanye akili ndogo kuendesha akili kubwa Haina tena thamani kwakwe kuwa ccm Bora angeenda CT wazalendo hata km mtizamo wake ulikuwa tofouti na freeman mbowe asingeenda huko ccm ili uwezo wake wakisiasa ubaki pale pale angechukua tuu Jimbo lake la lranga na kuwa kiongozi na angesaidiwa na chadema vile vile sababu lngekuwa lile Jimbo ngumu wakaa chini wakubaliane lakini kwa Sasa chadema na ccm himo haliwezekani tena
Tumbo....🤑🤑
Huyu jamaa mimi simuelewagi kabisa
Kwahiyo na wewe Mwabukusi Unataka kutuaminishaje umma wa CHADEMA
Kuhama ni hiari yake tu
Sisi tungeweza kumwona msigwa kama msaliti pia kitendo Cha yeye kuhamia ccm mi kuonyesha yeye ni mtu mwenye tamaa ya madaraka
Sikia, Msigwa kahama kwa kukosa CHEO. Full stop. hayo mengine ni Blaah blaah tu
Uko sawa
Kwa maelezo hayo mbowe hawez kukupenda
Msigwa kahama Kwa Kukosa Cheo, Hana kingine ni hicho tu
Ungemsikiliza mpaka mwisho
@@TegemeaFutemakatifuYes