KAULI TATA YA KIJANA ALIYECHOMA PICHA YA RAIS SAMIA BAADA YA AACHIWA HURU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ค. 2024

ความคิดเห็น • 352

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 11 วันที่ผ่านมา +39

    Sasa fain iyo kalipwa samia au nani 😢😢😢 picha tuu milion 5 shikamoo tanzania

    • @talibsaid8096
      @talibsaid8096 10 วันที่ผ่านมา +2

      Sheria ni sheria tu ingekuwa we we Mzee wako katukwanwa na mtu bila sababu ungesikiaje pia maisha magumu lakini kila usiku mko bar hamtaki kujishughulisha watanzania wacheni kuchezea amani waangalieni kenya ilivyo vurugu la muda mfupi lakini litawarudisha miaka kadhaa nyuma na Jawa mawakili hawana la kufanya

    • @rukiaiddyyahaya9506
      @rukiaiddyyahaya9506 10 วันที่ผ่านมา

      @@talibsaid8096 tusi gani alio tukanwa pengine kachora vibaya picha kaamua kuunguza,, kusema wa tanzania hatu ji shughulishi unatulidha weye,, ukome labda wewe una maisha magumu mwenzio nishajenga na maisha yangu tuu

    • @user-wi8og3sv4j
      @user-wi8og3sv4j 7 วันที่ผ่านมา

      Kwahio wakenya wote wameshindwa baa?

    • @user-wi8og3sv4j
      @user-wi8og3sv4j 7 วันที่ผ่านมา

      Alitukana tusi gani

    • @rukiaiddyyahaya9506
      @rukiaiddyyahaya9506 7 วันที่ผ่านมา

      @@user-wi8og3sv4j hapo sasa ana njaa huyu mkenya

  • @iddidandodando6063
    @iddidandodando6063 12 วันที่ผ่านมา +44

    Safi Sana mliosimamia kuhakikisha chaula yupo huru,Hali ya maisha ni mbaya Sana.

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa9936 12 วันที่ผ่านมา +32

    Kuna mijitu ipo serikalini mijizi ya pesa za umma lkn hawakamatwi wala hawashtakiwi, huyu mnyonge amechana picha tu na kusema ukweli kuwa maisha magumu amefungwa, yaani nyinyi mahakimu mtakwenda kujibu mbele ya Mwenyezi Mungu kwa kuwaonea wanyonge

    • @RechoMzava-gt7so
      @RechoMzava-gt7so 11 วันที่ผ่านมา +3

      Kabisaaa na watahukumiwa kama wanavohukumu wenzao

    • @user-wi8og3sv4j
      @user-wi8og3sv4j 7 วันที่ผ่านมา +1

      Anaetukana na mlarushwa nani mwenye madhara zaidi?

    • @SKY-fk3fz
      @SKY-fk3fz 5 วันที่ผ่านมา

      TRA ni moja ya wahalifu

  • @Amirimwashembe
    @Amirimwashembe 7 วันที่ผ่านมา +4

    P1 na koment zte nzur za kumpongeza kijana au kuwapongeza waliomsaidia ila mm namuombea dua ya maisha yke usalama wake kua Allah amhifadh aise

  • @user-lu8ny2gu7t
    @user-lu8ny2gu7t 12 วันที่ผ่านมา +34

    Wacheni ujinga kwani amechoma picha ya Mungu mnaacha kushughulika na mambo ya maana kuna mijizi huko serikalini mbona hamuishitaki

    • @KhadijakassimMwaipaya
      @KhadijakassimMwaipaya 10 วันที่ผ่านมา

      Iyo pesa ingeenda mojakwa Moja kusidia wananchi

    • @KASSIMMHILU-oh5ch
      @KASSIMMHILU-oh5ch 8 วันที่ผ่านมา

      Yani 😀😀 MIMI ndio mana Adi umeme nimeweka wangu tu mana serikali Hamna kitu

  • @dulaabdallarashid
    @dulaabdallarashid 11 วันที่ผ่านมา +20

    Kenya twachoma hadi bunge na hafungwi mtu nyie picha tu raisi amepanik

    • @denicegaspar9479
      @denicegaspar9479 9 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂

    • @RahimaMct-ik8mr
      @RahimaMct-ik8mr 8 วันที่ผ่านมา

      Yupo sahih ndoman wamemchangia😅😅

    • @johnbidya119
      @johnbidya119 8 วันที่ผ่านมา

      Democracy zero..

    • @NuruJuma-zv3yz
      @NuruJuma-zv3yz 7 วันที่ผ่านมา +1

      Kenya hamjafungwa bali mliuwawa😊kufungwa na kuwawa vipi hapo

    • @user-wi8og3sv4j
      @user-wi8og3sv4j 7 วันที่ผ่านมา

      ​@@NuruJuma-zv3yzangekuwa angecomemti vip kakoment marehemu?

  • @fettiemaganza1484
    @fettiemaganza1484 12 วันที่ผ่านมา +23

    Huu ni ujumbe mwenye akili na aelewe watu wanaumia maisha magumu

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 11 วันที่ผ่านมา +2

      Ni kweli yy kasema kweli maisha magumu shida ni ipi hata huku ulaya maisha magumu juzi tumepiga kura tumechagua kiongozi mwengine muhindi tumempiga na chini juu maisha magumu 😢

  • @CeciliaShauri-vc7up
    @CeciliaShauri-vc7up 10 วันที่ผ่านมา +5

    Kweli maisha ni magumu mno. Kuna baadhi wanakimbiwa na waume zao, mama wanabaki na watoto kwa mateso makubwa. Mungu tusaidie hatujui kesho yetu.

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x 11 วันที่ผ่านมา +25

    Kuna wezi wa CAG mnawaacha mnaenda kufunga mtoto

  • @pyerinajilatu2884
    @pyerinajilatu2884 8 วันที่ผ่านมา +2

    Mbarikiwe sana mnaojitoa kusaidia watu Kwa moyo wa upendo
    Atawalipa Mungu

  • @floraflora5717
    @floraflora5717 11 วันที่ผ่านมา +25

    Uyo kwaza. Sio raisa alipigiwa kura lini uchanguzi ulifanyika lini mimi naamini tuu tazania akuna rais rais alikufa atujachagua bado

    • @jumahamadomar9124
      @jumahamadomar9124 10 วันที่ผ่านมา +2

      Kwa muujibu wa katiba ya Tanzania anapokufa raisi makamu wa raisi anachukuwa uraisi bila kupiga kura nyengine, kwani kawaida ya kura Tanzania mgombea wa urais na makamu wake wanachaguliwa pamoja kwa iyo ukisema hukumpigia kura unajidanganya,INSHA ALLAH mitano tena hata kwa shari maana kinachowauma ni asili ya huyo mama si jengine lolote wala hamukutarajia kuona raisi kutoka zanzibar lakini Mungu mkubwa ameficha tusivyovijuwa,kitawauma sanaaaaa na bado

    • @mariakabonga2
      @mariakabonga2 10 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂 yaani uko sawa kabisa

    • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
      @SmilingFlowerBouquet-hs2hv 9 วันที่ผ่านมา

      We ni mijnga sana hatakama ujui kusoma hata picha huni​@@jumahamadomar9124

    • @emanuelnisetas7510
      @emanuelnisetas7510 9 วันที่ผ่านมา +1

      @@jumahamadomar9124 huyo mama hafai

    • @DottoMussa-ro6rw
      @DottoMussa-ro6rw 8 วันที่ผ่านมา

      yes,,nakuunga mkono na ndio maana Hana uchungu na ardhi yetu ama nchi yetu

  • @harshkirit6780
    @harshkirit6780 12 วันที่ผ่านมา +17

    Safi sana. Hongereni watanzania wenzangu kwa kumsaidia ndugu yetu.. kuna mijitu serikalini wanatunyanyasa wananchi. Haya sasa wajiandae 2025 kama watapita hayamajitu PIPOZ PAWA...HAPO SAWA

    • @jaybajay9973
      @jaybajay9973 11 วันที่ผ่านมา

      Watapita maana wasanii wa sanaa totauti tofauti eanampigia Debe

    • @AmourAmour-ux3nm
      @AmourAmour-ux3nm 7 วันที่ผ่านมา +1

      Ingelikua Samia ni mama yako mzazi ungekuj kupongeza watu km unavyofanya juu ya mama w mwengin

  • @HappyBooks-dj6oy
    @HappyBooks-dj6oy 12 วันที่ผ่านมา +19

    Watu wananyea Mavi picha ya Samia kwenye kanga mbona hamuongei.Sio kila mtanzania muoga.Safi sana bro.Salute

    • @nancolower_8032
      @nancolower_8032 10 วันที่ผ่านมา

      Ujinga

    • @AmourAmour-ux3nm
      @AmourAmour-ux3nm 7 วันที่ผ่านมา

      Na ya mama Yako ikifanyiwa mbele yako utasemaje samia ana familia yake

    • @HappyBooks-dj6oy
      @HappyBooks-dj6oy 7 วันที่ผ่านมา +1

      Uyo sio Mama yako ukilala njaa hawezi kukuletea chakula ila Familia yake hawezi kuacha walale njaa.Sio Mama yangu ni raisi tu kama Marais wengine

    • @AmourAmour-ux3nm
      @AmourAmour-ux3nm 7 วันที่ผ่านมา

      @@HappyBooks-dj6oy nakuuliz ni rais Lkn n mzaz wa mwenzako je angekuwa ni mama yako mzazi ungefurahia

  • @user-do2id6pp4g
    @user-do2id6pp4g 8 วันที่ผ่านมา +2

    Mwinyi alipigwa Kofi lkn alisema mwacheni huyo mtu asifanywe chochote hivi jamani viongozi tuangalieni nafasi zetu no mitihani tu wala sio raha kuwa hapo

  • @user-ex4rk2yx4s
    @user-ex4rk2yx4s 12 วันที่ผ่านมา +23

    Musiwatukuze marais kama manabii

  • @EliaShirima-rh4wq
    @EliaShirima-rh4wq 5 วันที่ผ่านมา +1

    ❤❤tumechoka utawala wa kikoloni watupe katiba utawala huu ni wa utumwani

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 12 วันที่ผ่านมา +6

    Anayeona ni vurugu ana maisha mazuri. Tunaoshindia buku tunafurahi sana

  • @Mona-pn2pv
    @Mona-pn2pv วันที่ผ่านมา

    Pole watanzania kwaku kosa uhuru wenu mpaka picha piya 😢 Allah awasamehe na viongozi wenu

  • @barakanyanchama4297
    @barakanyanchama4297 6 วันที่ผ่านมา +1

    Msionee watanzania kwani hiyo picha ariyo choma niayamwenyez Mungu au niyamwanadam

  • @ayshasaid1547
    @ayshasaid1547 12 วันที่ผ่านมา +4

    Hakimu rudisha pesa za fain kwani kamchoma rais au picha wizi ulokithiri tanzania yetu

  • @BasiliClement-ql1yg
    @BasiliClement-ql1yg 6 วันที่ผ่านมา +1

    Napenda tu kutoa hongera kwa makanda wenye uchungu na nchi yao mawakili wameonyesha uzalendo juu ya nchi yao na wananchi kiujumla

  • @SalmaAthuman-hp3en
    @SalmaAthuman-hp3en 12 วันที่ผ่านมา +23

    Mama samia umeona nguvu ya watanzania ndo ujue tumekuchoka

    • @MnubiMm
      @MnubiMm 11 วันที่ผ่านมา

      @@SalmaAthuman-hp3en nguvu Ujinga huo wangechoma ya Mama yako na kukashifu ungeshabikia hivi umechoka na Nani? Kwa nini mnakuwa mnapenda kuwachanganya watu kwenye mambo yenu ya na fikra zenu wewe na wenzio saw usifikili wa msifikili Kila unachoona sawa wewena wengine ni hivyo hili mnalo sifu ni Jambo la hivyo kabisa subili wazazi wenu waanze kuzaliliswa ndio mtajua

    • @NuruJuma-zv3yz
      @NuruJuma-zv3yz 7 วันที่ผ่านมา

      Umemchaka wewe,

    • @AbdallaMpambika-bp6ub
      @AbdallaMpambika-bp6ub 7 วันที่ผ่านมา

      Acha ujinga wewe rais mwenyew hameifanya kesi iwe rahisi kama angeonesha amechukizwa uyo jamaa angekaa jera

    • @SalmaAthuman-hp3en
      @SalmaAthuman-hp3en 7 วันที่ผ่านมา

      @@AbdallaMpambika-bp6ub milembe iko wazi muda wote muhimbili sibishani na vichaa

    • @SalmaAthuman-hp3en
      @SalmaAthuman-hp3en 7 วันที่ผ่านมา

      @@NuruJuma-zv3yz tumemchoka ndiyo wewe anakusaidia nini 😂kichaa ww

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 12 วันที่ผ่านมา +14

    Uzuri amechangiwa na chenji imebaki amepata na kianzio

  • @TeleziaMwaipopo
    @TeleziaMwaipopo 4 วันที่ผ่านมา +1

    Safii Sana kijana Kwa kumchamba MTU xxxx😅😅😅

  • @danielkanso
    @danielkanso 11 วันที่ผ่านมา +9

    Hawa watu wameshindwa kutatua mahitaji ya wananchi kazi kufuatilia mambo ya picha si ichorwe tena kwa raisi au ndiyo tuseme raisi amechomwa short mind

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 11 วันที่ผ่านมา +2

    Ugumu wa maisha ni kweli jamani kadi kwenye umeme kodi kubwa sana

  • @karimmveyange2558
    @karimmveyange2558 12 วันที่ผ่านมา +9

    ASANTENI SANA WASHIRIKA. MBALI KIDOGO. LAKINI UMOJA NI NGUVU, NA MUNGU YUPO PAMOJA NA WENYE KUPAMBANA KWA HAKI

  • @MsJuniormjunyhandsomeboy
    @MsJuniormjunyhandsomeboy 10 วันที่ผ่านมา +1

    Mubarikiwe sana wapendw

  • @zulekhamohamed3431
    @zulekhamohamed3431 10 วันที่ผ่านมา +4

    Mume wangu amechoma picha yangu nimshitaki??

    • @fatmakhanii1676
      @fatmakhanii1676 วันที่ผ่านมา

      Fanya haraka iwezekanavo ila ujue asipochangia fain humpati tena 😂😂😂

  • @RajaaRajaa-id5wx
    @RajaaRajaa-id5wx 7 วันที่ผ่านมา +2

    Mm binafsi huyu rais cmpend

  • @LeloJonas
    @LeloJonas 4 วันที่ผ่านมา +1

    Hauna adabu kabisa una choma picha ya raisi

  • @user-os8qc7pl1g
    @user-os8qc7pl1g 11 วันที่ผ่านมา +3

    Mama umeshachokwa achiangazi

  • @zulekhamohamed3431
    @zulekhamohamed3431 10 วันที่ผ่านมา +1

    Watanzania Wana njaa

  • @user-it4uh7vu5c
    @user-it4uh7vu5c 6 วันที่ผ่านมา

    Picha Tanzania bunge Kenya

  • @MomyMomt
    @MomyMomt 3 วันที่ผ่านมา

    Kasema kweli bwana maisha magumu

  • @AmaniLukumay-wk6zm
    @AmaniLukumay-wk6zm 5 วันที่ผ่านมา

    Mungu awabariki sana

  • @ShaahenAbas
    @ShaahenAbas 12 วันที่ผ่านมา +2

    Mimi niulize kwamba kwanini aliamua kujirikodi kama picha kachora yeye na kaona hana haja nayo kwanini ajirikodi ? Kwanini aongee kwamfumo wa hasira kivile mbona hapo anaonesha mpole kama sio yeye au siku anajirikodi alilewa ? Mipaka ya wanasheria ikoje hata kutete ujinga nakooo ?
    Kwanini watu wamemtumia hela ili atoke kama hajafanya kosa kwa fikra zao ?
    Maneno ya atakaye taka kuelewa
    Jee wee uko tayari kuchorwa ama kupigwa picha na mtu kujitokeza na kuchoma picha yako hadharani na kuitupa hivo jee wanao ndugu jamaa watakuona wee picha yako iliyochomwa ni kama siiichochote wala lolote
    Jee rais wetu picha yake ya kuchora ama laa kuchomwa moto ni sawa na kwa kejeli ya maneno kama yale ?
    Akiiachiwa hamuon tatizo litakuwa kubwaa wengine wataiga ujinga zaidi ya huo
    Kuchomwa picha ya mtu ni sawa na kuchomwa mtu kweli ,kwakuwa picha ni nusu uhalisia wa mtu
    Kama anatumika kisiasa hatuwezi kuamini ?
    Jeee mtu akiiba kwako ukakuta picha imeanguka kwa kumfukuza mwizi jeee hatua ya kuanza kumtafuta mwiz utaanzia wapi ?
    DNA inaonesha damu na mtu husika kwanini isiwe picha pia inaonesha uhalisia wa mtu

    • @hamidamussa-sy4fm
      @hamidamussa-sy4fm 11 วันที่ผ่านมา

      Wao wanakosea wanaiba pesa za uma wanafanywa nini Hao viongozi mtu anachoma picha kesi mungu ndio mtoa hukumu

  • @DottoMussa-ro6rw
    @DottoMussa-ro6rw 8 วันที่ผ่านมา

    hongereni sana watanzania hongereni sana sheria wetu,hamjawah kufeli

  • @user-vc8cc2pt7n
    @user-vc8cc2pt7n 5 วันที่ผ่านมา

    Ndo wajue wananchi wanechoka maisha magum serikari imeka kimya tu watanzania sasa tumechoka

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 12 วันที่ผ่านมา +2

    Una bahati angelikuwa mwamba sa hz ingelikuwa historia

  • @AbdalahMtambuka-rh1dp
    @AbdalahMtambuka-rh1dp 23 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    nyinyi munao Pinga faini kweni yeye mtuumiwa kufanya vile lengo lake nini sikujiamin na kumzalilisha rais kweni cheo. Cha rais nikikubwa sana ata kama aumpendi. Aina aja umzalilishe kama ingekua Mimi u uyo mtoto ange potea kama walio potea wengine .uyo jeuli kweni nchi Ii yababayako .Mimi mbona magufuli nilikua simpendi ila sikusubutu kumzalilisha nilituza .ishima yake

  • @user-py9jj5yr9l
    @user-py9jj5yr9l 8 วันที่ผ่านมา

    Kwakweli mungu azidi kuwa barick sana

  • @CretusMwalongo
    @CretusMwalongo 9 วันที่ผ่านมา

    Safi sana,ni uchawa tupu wote huo unao sumbua,yaani achore yeye afu ahukumiwe,mahakama zetu ni shida sana

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pq 9 วันที่ผ่านมา

    Asante sana kwa kumsaidia huyu kijana.

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 12 วันที่ผ่านมา +10

    Mchanganyiko kiakili maisha magumu wachache wanakula maisha, maumivu ya ndani kwa ndani mpaka mtu anaona liwalo naliwe

  • @user-bx3kl4hn6j
    @user-bx3kl4hn6j 12 วันที่ผ่านมา +10

    Jamani jamani inamaana Samia anahadhi kubwa sana kuliko Muumba watu wanamtukana Muumba mchana kweupe hatujackia hata kufikishwa kwa mjumbe

  • @fotunatusiMsongole
    @fotunatusiMsongole 11 วันที่ผ่านมา

    Mungu mlindee na wasiojulikanaa. Mungu anasamehee na wewe samehe

  • @msemakweli243
    @msemakweli243 9 วันที่ผ่านมา

    Tanzania 🇹🇿 sheria zinawagusa masikini tu mijizi ilitajwa na CAG ipo tu CCM hatari sana kuchoma picha kesi inachukua siku moja na kifungo hapo hapo

  • @AmaniLukumay-wk6zm
    @AmaniLukumay-wk6zm 5 วันที่ผ่านมา

    Amepewa nani

  • @NuhuOmar-wx2ym
    @NuhuOmar-wx2ym 12 วันที่ผ่านมา +2

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j 7 วันที่ผ่านมา

    Tupunguze kukata miti na kuchoma mkaa lakini umeme na ges vimeeeeee

  • @stephenwakunyala4004
    @stephenwakunyala4004 11 วันที่ผ่านมา

    Dogo yupo freshi mama hatumwelewi kabisha Maisha Magumu

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 6 วันที่ผ่านมา

    At least huyu sio mnafki

  • @RashidMohamed-j9p
    @RashidMohamed-j9p 10 วันที่ผ่านมา

    Mwenye inch kashaga kuf

  • @HasanooTozzy
    @HasanooTozzy 4 วันที่ผ่านมา

    Mbona kama bado amjamuachia awo jamaa sina imani nao

  • @fetyalmas698
    @fetyalmas698 10 วันที่ผ่านมา

    Na yeye alisema kbs anachoma kwa sababu Ana mungi, na kweli Mungu kamuona

  • @willymwaipaja6783
    @willymwaipaja6783 11 วันที่ผ่านมา

    Nchi hii naishangaa sana na kwa kweli inakwenda kubaya kwani imeacha maadili ya kwanza ya binadamu na kurukia madili ya kutetea viongozi na haki za binadamu zitokanazo na wazungu waliopotoka. Taasisi zinazoendesha mambo ya ushoga na upinzani dhidi ya maagizo ya Mungu hazichuliwi hatua kali. Ushoga na uinua juu wanawake dhidi ya wanaume ni uovu mkuu kuliko kuchoma picha ya Rais, japokuwa hilo nalo ni vyema. Miziki ya ovyo ipo huru kwenye mabasi na mitaani na kwenye TV; Wasichana na wanawake wanavaa mavazi ya uchi mitaani na maofisini lakini hakuna sheria au hatua zinazochukuliwa!!! Mfumo jike uko kazini duniani kwa matakwa ya shetani akiwatumia wazungu ambao nao hutumia wale wasiopenda kutawaliwa na Neno la Mungu.

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 11 วันที่ผ่านมา

    Huyu ndo ameukataa umsukule. Kila mtu awe huru kukataa kufanywa msukule na ccm

  • @marthakimia4075
    @marthakimia4075 6 วันที่ผ่านมา

    Mnamtania Mungu

  • @DormanDorman-jm3dz
    @DormanDorman-jm3dz 2 วันที่ผ่านมา

    WAMELIPIA KODI KUPITIA PICHA .😂😂

  • @stevenkatani3047
    @stevenkatani3047 11 วันที่ผ่านมา

    Ay mgeeni kichwa hiii serikali xo Kama mzaniavo

  • @fridagustaphmwenda6658
    @fridagustaphmwenda6658 9 วันที่ผ่านมา

    Funzo kwa wengine maana kama hali ngumu na hiyo milioni tano je ni ndogo? Tupatiwe Mikopo tufanye biashara tu inatosha.

  • @mmungajieanpirre4655
    @mmungajieanpirre4655 3 วันที่ผ่านมา

    🙏🙏🙏🙏❤️❤️❤️💯💯

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent9408 8 วันที่ผ่านมา

    Utashangaa anakua chizi kshachomwa sindano huyo

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936 10 วันที่ผ่านมา

    CCM wengi wezi tufanyeni tuitoe mdalakani maisha magumu kweli tena kweli

  • @joycefrances4516
    @joycefrances4516 7 วันที่ผ่านมา

    Tunaomba huyu kijana arudishiwe pesa zake,afanye mtaji,hali ni ngumu kweli,vitu vimepanda kila mahali

  • @KamiliLyimo
    @KamiliLyimo 12 วันที่ผ่านมา

    Hapo.sawa.

  • @malimilandegemabunhi8528
    @malimilandegemabunhi8528 9 วันที่ผ่านมา

    Kweli hii nchi,usipokuwa makini unawezapelekeshwa Kama kuku,watu wanacheza na media siku hiz,huyo kijana ni askar,wanatuchezea filam tuu yaani ni maigizo tuu,

  • @JacksonThobias-wc6ml
    @JacksonThobias-wc6ml 7 วันที่ผ่านมา

    Nacho shindwa kuelewa unaelezea sana sisi tunataka tumsikie mtuhumiwa

  • @nathanpangjanda2734
    @nathanpangjanda2734 12 วันที่ผ่านมา +1

    Wanyakyusa hao

  • @molenicharles9107
    @molenicharles9107 11 วันที่ผ่านมา

    Mmemlopia 5mls...je yeye ana sh. ngapi mfukoni yakuanziaa maisha...hatari HAWA ndiyo wasomi wetu wa Sheria tz.☹️☹️

  • @officialisaiah3979
    @officialisaiah3979 8 วันที่ผ่านมา

    Af nikajua syo mtanzania😅 maana ii nchi mazee

  • @RechoMzava-gt7so
    @RechoMzava-gt7so 11 วันที่ผ่านมา

    Kwani afungwe amekosea nini kaongea kilicho moyoni mwake na ukweli mtupu maisha ya watanzania ni magumu

  • @BraveMajaliwa-gf7ru
    @BraveMajaliwa-gf7ru 9 วันที่ผ่านมา

    TANZANIA 🇹🇿 NDO ILITAKIWA KUANDAMANA KULIKO KENYA 🇰🇪 ILA WAPO KIMYA 😂😂😂

  • @user-lx2yc8tj5h
    @user-lx2yc8tj5h 12 วันที่ผ่านมา +2

    Mwamba

  • @user-do2id6pp4g
    @user-do2id6pp4g 8 วันที่ผ่านมา

    Ila hii nchi kuna sura ya mapinduzi huko mbele dalili hizi na coment hizi inaonekana watanzania wamechoka kwa kweli

  • @user-ec8zv7lq8y
    @user-ec8zv7lq8y 8 วันที่ผ่านมา

    Safi sana mawaziri wetu

  • @MedsonUlendo
    @MedsonUlendo 4 วันที่ผ่านมา

    Wakati fulani wanao haribu taswila ya Rais ni watendaji wake wanao chukulia kila jambo kisiasa ushauri wangu watendaji waserikali kuna jumbe nikuzifanyia kazi kwa kuhojiana nao ili wajue namna yakumshauri Rais kwa faida ya nchi yetu na utawala bora

  • @MohamedIbrahim-bn1gz
    @MohamedIbrahim-bn1gz 11 วันที่ผ่านมา

    Kama Raisi Samia hataingilia jambo hili na akaliwacha lifanikiwe maanayake Mama kweli kuleta mageuzi ya kidemokrasiya nchini na jakubali hukumu ya mahakama bila ya kujali lolote lile

  • @FIDELISMfugale
    @FIDELISMfugale 10 วันที่ผ่านมา

    Kwan kuchoma picha
    Kuna shida gan
    Hii nchi some inaendeshwa kidictetaa

  • @mosesmaduhutv7985
    @mosesmaduhutv7985 9 วันที่ผ่านมา

    Mtu wa Mungu Mungu huyoooo

  • @andrewkaswagula3367
    @andrewkaswagula3367 9 วันที่ผ่านมา

    Sasa ukarudie tena upuuzi wako uone kama hao watapata hata hiyo nafasi ya kukulipia faini.
    Ukirudia tena unapotezwa kabisa mazimaa.
    Wewe rudi nyumbani ukajidai shujaaa😅😅

  • @jamalkishangu
    @jamalkishangu 4 วันที่ผ่านมา

    Kwa hiyo mtamtuma akamtukane baba yake, mama yake au viongozi wake wa dini? Huyo dogo alikosea Watanzania hatujafika katika hali ya kuwadharau watu wazima achilia mbali kiongozi wa nje

  • @user-yw7ud9th2l
    @user-yw7ud9th2l 11 วันที่ผ่านมา

    Wanalazimisha etiserekari ya awamuyasita izokura. Kupiga nani wemarizia miakairiyobaki ya makufuri raisi. Wawanyonge

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 12 วันที่ผ่านมา +6

    Dogo wa Tz tumekuelewa na tumekupenda kwa udogo wako message imefika ila imegusa panapouma tuombe Mungu kwamba hawajakudhuru afya yako.

    • @MnubiMm
      @MnubiMm 12 วันที่ผ่านมา

      Hebu usiwasemee watanzania semea wenzio na wewe Mliofurahi Mama kutukanwa na kuona ni Jambo lafahali na furaha Mama Samia KUTUKANWA mjiandae Mama zenu nao KUTUKANWA au kuzalishwa Kama huyu alivyomfanyia Mama nasi tutafurahi na kuchangia pesa kwa ajili ya sherehe

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 12 วันที่ผ่านมา

      Anajitambuà huyo kijani.

    • @lukomanomaliki5442
      @lukomanomaliki5442 11 วันที่ผ่านมา

      Uchawa unakusumbua wewe sio bure.

  • @user-uf7oh5eu4v
    @user-uf7oh5eu4v 11 วันที่ผ่านมา +3

    Umoja Ni NGUVU moja

  • @user-wh9zj7kf7h
    @user-wh9zj7kf7h 12 วันที่ผ่านมา +1

    Kachome tena

  • @user-do1ug7de3g
    @user-do1ug7de3g 9 วันที่ผ่านมา

    Mie ninashida nitampata wapi mwanasheria kuna mtu amenizurumu shamba

  • @JoshuakaruJoshu-pk3es
    @JoshuakaruJoshu-pk3es 9 วันที่ผ่านมา

    Ongera chaura umemshinda shetani ulikuasawa

  • @user-pv2jh5wb1o
    @user-pv2jh5wb1o 12 วันที่ผ่านมา +1

    Kwani alichoma mchoro au

  • @umranim5854
    @umranim5854 11 วันที่ผ่านมา

    Ina maana huyu kutumiwa na wana siasa na ndio maana wamekimbilia kumtoa kutetea ujinga na kesho atatokea mwingine hata ogopa kufanya hivyo anajua atatetewa

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 11 วันที่ผ่านมา

    Barikiwe

  • @isayamwashibanda5819
    @isayamwashibanda5819 12 วันที่ผ่านมา +4

    Umoja ninguvu

  • @DouglasMkude
    @DouglasMkude 9 วันที่ผ่านมา

    Itafika kipindi watajua awajui

  • @FIDELISMfugale
    @FIDELISMfugale 10 วันที่ผ่านมา

    Mbona msiwapeleke wa-MWIGULU NCHEMBA MAFISAD

  • @RANKMANTANZANIACOLTD
    @RANKMANTANZANIACOLTD 10 วันที่ผ่านมา

    Mawakili mmeshindwa kumtetea. Bwege huyo anajitafutia umaarufu

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 11 วันที่ผ่านมา

    Labda alikoseakuchora vizuri

  • @Oswaldpaulkimario
    @Oswaldpaulkimario 11 วันที่ผ่านมา

    Tunaomba wasio julikana sasa watamuwinda achungwe jamani

  • @aminitu3766
    @aminitu3766 9 วันที่ผ่านมา

    Duh! Maisha magum?? Ss ni wanafki xna anza Kumlaumu mtanguliz aliyebana ajira ndiposa umuhukumu mama! Mama anajitahid kufungua milango ya ajira lakin hamuoni ungejua kaz anayofany mama usingethubutu unajilaan mwenyewe kwa ujinga. Yan ww kaa ufkir vizur hom beywer msamaha kwa kejel zako hizo kwa MPakwa mafuta wa tanzani Samia Suluhu Hasan

  • @maftahmusa9513
    @maftahmusa9513 9 วันที่ผ่านมา

    hawa wapumbavu wanamtia ujinga huyo dogo mbona wawo hawachomi hawo mawakili kwani kunagharama gani wachome nao