Wewe umeshindwa kumuenzi baba yako CHACHA ZAKAYO WANGWE hata alipo analia! Ungebaki CHADEMA watu wa Tarime hawawezi kumuacha CHACHA ZAKAYO! Mdogo wako BOB WANGWE NI JEMBE aje Tarime achukue ubunge asubuhi wewe hufai
Tarime mjini na vijijini hiyo ni chadema ninyi majoka ya kijani mlipata hayo majimbo kwa bahati na michongo tu! 2024/2025 tunataka majimbo hayo yarudi Chadema. Bob Wangwe na John Heche wanatosha sana! Wana Tarime ikatae ccm kuanzia wenyeviti wa mitaa, vitongoji, vijiji, madiwani, wabunge na Rais msiwachague hao mafisadi ccm.
Broo upigaji ndani ya ccm ni haki yao kwani ripoti ya cag inajileza vzuri tu nani kachukuliwa hatua mama amesema kila mtu alee kwa urefu wa kamba yake hujasikia? Acha watu wale mema ya inchi
CSR, Itamtafuna sana ni haki ya waliyo karibu na mwekezaji, aendeee,, na CSR ITARUDI TU NI HAKI YETU SISI TUNAO UMIA NA SHUGHURI ZA UENDESHAJI WA MGODI WA.
BOB WANGWE NI MBUNGE POPOTE TANZANIA HUYU NI DHAHABU YA MARA KITAMBAA SAHIHI CHA KUTUFUTA MACHOZI YA CHACHA ZAKAYO WANGWE BOB WANGWE HATA HECHE HATOSHI MBELE YAKO! WEWE NI KIPENZI CHA WANA TARIME JARIBU MY SON
Binafsi hua naona waitara ni mwanasiasa mwenye hoja...lkn. Amekua kigeugeu sana KATIKA kuwatetea wananchi bungeni Kuna muda unaona huyu mwamba anatuteetea lkn kwa muda mwingine unaona anajipendekeza na kulamba miguu ya Samia.. Halafu Sasa amekua haonekani kwenye majimbo
Shida hakushinda 2020 Na haya ndio malipo yake Maana watu walipiga kura wakimtaka Mwl.John wegesa heche Ila jana jana yenu mkapola uchaguzi Sasa vumilieni Maana kura huwaamua maana Pauline ya wengi ni kauli ya mungu Sasa kura ni kama kauli
Sasa unamlalamikia nani? Wakati ccm woote ndio tabiya yenu. Kwani yule mama yenu marangapi anang'oa watu anaohisi wanampinga? Hiyo ni tabiya ya mzaziwenu mkuu kwaiyo waitara karithi kutoka kwa yuleee mama yake
Waitara ni Mbunge wa Magu & Ccm.huyo hajawai kushinda Tarime watu tunajua hata Waitara na watu wake wanajua kwamba "Heche ndie Mbunge wa Tarme vijijini ni swala la mda tu"
Hiyo tabia ya Waitara ndio aliyonayo huyo mwingine uliyemkaribisha hana sifa za uongozi kwa Sasa akiona Kuna mtu anaongelea nafasi yake ndie anakuwa adui yake
Fuatilia katika tiktok ya wiki moja iliyopita,,,,,nilisema tangu 2005 hakuna mbuge alie wahi kurudi mara mbili au awamu ya pili bungeni kufikia 2025 itakuwa miaka 20 sijui kama kaka yangu atavunja record
Wewe ni musaka tonge huna lolote la maana la kusaidia chama,kwa kashifa hii unayotoa ikiwezekana naomba chama kikufukuze uanachama hufai kuitwa mwana CCM.
Hongera kwa kuwambia wasisiemu wenzako kwamba Jimbo siyo lenu lakin pia inaonekana wewe ni mwanachadema uliyejificha ccm ili ufanye mambo yako yaende kua tu wazi jisalimishe uwe salama tatzo mkisema ukweli mnafukuzana na wewe jiandae ila karbu chadema
Huyu si kada wa CCM wala mwanaccm.CCM wana sehemu zao maalumu za kuzungumzia mambo yao sio kwenye mitandao! Zaidi ya hapo CCM wana sare zao zinazowatambulisha, ambazo ni rangi ya kijani, makada wanaoisoma katiba ya CCM wanafahamu. Kipindi hiki kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa mengi yatasemwa yakilenga kuchafuana.
Massao nyie ndio mliozoea kuandika mambo bila kufahamu sawa na kudandia gari kwa mbele sawa na huyo mwenzio. Nikuelekeze ndugu yangu kwenda kwa wakongwe wa chama hiki kuelimishwa. Kwa kukusaidia tuu ebu angalia picha za wana ccm wawapo kwenye shughuli zao maalumu za ama mikutano ya kichama, kisha unitajie idadi ya wajumbe wanaokuwa na vazi lenye rangi ya huyo jamaa yako. Usiandike tuu ulipaswa uelewe kilichoandikwa. Pale kilichoandikwa ni rangi wewe bila kuelewa ukaona nembo.Ebu tafiti kwanza
Hufai kuwa kiongozi wewe hayo ni mambo ya ndani ambayo mnatakiwa kuyaongelea kwenye vikao vyenu vya ndani utakuwa na lako jambo hapo husaidii chama bali unakiharibu
Nyie watu wa Tarime CCM,msijaribu kumuengua Waitara,na Mbunge makini ni Mbunge anajua kuzitetea hoja za mama Samia,lakini zaidi anajua kulia bungeni tafadhali kaa naye.Hoja zako peleka kwenye vikao vyenu.
Ilibhancha na Ubhoro 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tarime Vijijini Tunaenda na John Heche
Tarime Mjini Tunaenda na Bob Wange
Kama tupo Pamoja gonga like waone
Wanafaa Kwa asilimia 100
Kamanda umeongea point sana uko vizuri. Viva kijana vivaaa
Viva heche njia za MUNGU siyo za mwanadamu hapo sawa
Usijidanganye ccm hawezi sehemu kubwa kushinda uchaguzi wa huru na haki
Mmmh Ngoja tuone Mwishowe mtukuja kusema Samia hafai🤣🤣🥹🤣🧐
Hizo sasa ni fitina ambazo CCM inasema mwiko umejichanganya bro😅
Amna Cha fitina au kafitina naona jipu litatumbuka
Bado hamjasema, na mtasema tuuu!!
Wewe umeshindwa kumuenzi baba yako CHACHA ZAKAYO WANGWE hata alipo analia! Ungebaki CHADEMA watu wa Tarime hawawezi kumuacha CHACHA ZAKAYO! Mdogo wako BOB WANGWE NI JEMBE aje Tarime achukue ubunge asubuhi wewe hufai
Bora kama mmegundua
hechee arudishiwee jimboo lake😊
Kuna JITU litakufa kwa pressure 😂
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊🎉
Fukuzeni huyo waitara mlevi mkubwa toeni kabisa huyo mono mongugi
Tarime mjini na vijijini hiyo ni chadema ninyi majoka ya kijani mlipata hayo majimbo kwa bahati na michongo tu! 2024/2025 tunataka majimbo hayo yarudi Chadema. Bob Wangwe na John Heche wanatosha sana! Wana Tarime ikatae ccm kuanzia wenyeviti wa mitaa, vitongoji, vijiji, madiwani, wabunge na Rais msiwachague hao mafisadi ccm.
Broo upigaji ndani ya ccm ni haki yao kwani ripoti ya cag inajileza vzuri tu nani kachukuliwa hatua mama amesema kila mtu alee kwa urefu wa kamba yake hujasikia? Acha watu wale mema ya inchi
Heche njia nyeupeeeeee
Chuki binafsi hizo.wewe uogopi kufungwa??
Nami natamani kuhamia CCM, sijui nami nitapokelewa na Samia? Au kwa kuwa mie sijaandaliwa mazingira ya kupokelewa au labda mie kasisimizi mno😂😂😂
Toa sera
Naona huyu jamaa kaamua kumwombea John heche kura asubuhi sana sasa wewe jichanganye kumtoa waitara uone kama ccm tarime huko hautakufa!!!
Haaaaaahaaaaaaaa
Safi sana
We utakuwa ni mgeni huu ukanda,yaani umepotea kifikra
Jimbo la heche.
Hata wewe una matatizo jitafakar kada mwezangu
Sio tarime tu Kanda ya ziwa wanasiri kubwa
Kwani hamna vikao vya chama mkayaongelea huko
CSR, Itamtafuna sana ni haki ya waliyo karibu na mwekezaji, aendeee,, na CSR ITARUDI TU NI HAKI YETU SISI TUNAO UMIA NA SHUGHURI ZA UENDESHAJI WA MGODI WA.
Wewe sio ccm mbuz wwe ni mnafik sana
Hayo yapeleke kwenye chama kwani hamna vikao
Hiyo haijakaa vzr..
Safi Kabisa CCM sema kweli daima
Pumbavu ccm lini ikasema ukweli
Pumbavu zako wwe unatumiwa
BOB WANGWE NI MBUNGE POPOTE TANZANIA HUYU NI DHAHABU YA MARA KITAMBAA SAHIHI CHA KUTUFUTA MACHOZI YA CHACHA ZAKAYO WANGWE BOB WANGWE HATA HECHE HATOSHI MBELE YAKO! WEWE NI KIPENZI CHA WANA TARIME JARIBU MY SON
Ccm mtanyooka tu next election
Aheri huyo waitara kuliko huyo mliyemkaribisha juzi atawavuruga kwelikweli
Wew wetar hahuwezi kusida tarime
Chuki binafsi zina wasumbua sana ccm. Heche jimbo wamesha kupa.hilo asubuhi mapema.
Heche ni suala la muda tu kuchukua jimbo
Bob wangwe au heche hao ndo watu sahii
Binafsi hua naona waitara ni mwanasiasa mwenye hoja...lkn. Amekua kigeugeu sana KATIKA kuwatetea wananchi bungeni Kuna muda unaona huyu mwamba anatuteetea lkn kwa muda mwingine unaona anajipendekeza na kulamba miguu ya Samia..
Halafu Sasa amekua haonekani kwenye majimbo
Ndo siasa inataka hivyo
Haya yapo hata majimbo mengine pia na inawezekana kuna kozi maalumu wanayopitia kwani hakuna hata moja linalotofautiana.
Hii ndio siasa
😂😂
Huyu mpumbavu katumwa, hana lolote. CCM Vibaraka kama Mpuuzi huyu anayeongea wanapo achwa ndio chanzo cha migogoro..
Sasa na wewe mitandaoni ndio umeona pa kutolea malalamiko? Hakuna vikao vya Chama? Unaboa bwana!😢😢😢
Mwache aseme bhana😂😂
@@gidongailo7174 ndio keshasema tena!
Acha ujinga wewe nani akuamini wewe mchumia njaa tuache kumuamini mh mbunge mwakilishi wetu.
Asante mwamba
Pipoooooooo✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️🤣🤣🤣🤣🔥🔥🔥👌👌💪💪💪 ccm tumewachoka tokeni mapema
Na bado mmeanza kusinichiana wenyewe,, waachieni wenye Jimbo lao
Shida hakushinda 2020
Na haya ndio malipo yake
Maana watu walipiga kura wakimtaka
Mwl.John wegesa heche
Ila jana jana yenu mkapola uchaguzi
Sasa vumilieni
Maana kura huwaamua maana Pauline ya wengi ni kauli ya mungu
Sasa kura ni kama kauli
Sasa unamlalamikia nani? Wakati ccm woote ndio tabiya yenu. Kwani yule mama yenu marangapi anang'oa watu anaohisi wanampinga? Hiyo ni tabiya ya mzaziwenu mkuu kwaiyo waitara karithi kutoka kwa yuleee mama yake
Nilichogundua ww ndo mpinzani wa Chama Cha Mapinduzi na Waitara
Kumbe wewe ni mpuuzi tu unaongelea mambo ya uchaguzi leo mbona bado acha mbunge afanye kazi aliyo tumwa na wananchi
Waitara ni Mbunge wa Magu & Ccm.huyo hajawai kushinda Tarime watu tunajua hata Waitara na watu wake wanajua kwamba "Heche ndie Mbunge wa Tarme vijijini ni swala la mda tu"
kijana mwenzangu achana na siasa.unusuru uhai wako .ccm hawapend mkweli watakupina au kukustava/ kukutundulis.kukuben sanane n.k
Hongera saana kwakuwa muwazi CCM umewarahishia kupata mtu sahihi
Kumbe kuna ubaguzi wa ukoo huko kwenu!! Hamfai kabisa kuitwa Watanzania,mnatuletea tabia za Kikikuyu
Hiyo tabia ya Waitara ndio aliyonayo huyo mwingine uliyemkaribisha hana sifa za uongozi kwa Sasa akiona Kuna mtu anaongelea nafasi yake ndie anakuwa adui yake
Ww una hila zako kama ni hoja si upeleke kwenye Vikao vya Chama au na ww una mgombea?
Kanda ya ziwa mbona kitaeleweka tu majipu tutayatumbua mda ukifka
waitara hakubaliki huku tarime Ss tunangoja kipyenga kilie tuanze naye
Fuatilia katika tiktok ya wiki moja iliyopita,,,,,nilisema tangu 2005 hakuna mbuge alie wahi kurudi mara mbili au awamu ya pili bungeni kufikia 2025 itakuwa miaka 20 sijui kama kaka yangu atavunja record
Sasa kwanini usipeleke kwenye viongozi wa kanda ya juu. Hilo kosa kusemea kwenye mitandao, hiyo inaonekana vitina zenu wenyewe
Wewe ni musaka tonge huna lolote la maana la kusaidia chama,kwa kashifa hii unayotoa ikiwezekana naomba chama kikufukuze uanachama hufai kuitwa mwana CCM.
mkimfukuza ndo mtashinda uchaguzi? mlipewa ubunge kama ubani na mwenda zake --- sasa mtaisoma namba kama kauli ya chama chenu inavyosema.
Njia muliyo ipita je mutabadikisha? Hongera kutambua wema huzaa wema tenda utaweza
Sasa kimeumana ila chunga ulimi utafichwa msa c mrefu tata maana chama chenu kwa kuficha hahahaha
Naomba mbaki nae hata sisi akirudi chadema hatumtaki😂😂
Kiongozi umetukosea wanaccm kamati ya maadili na kamati ya siasa ya wilaya ipo mbona umkurupuka kwenda kuongea kwenye media
Waitara 2025 hana chochote tarime
Si mlimuona lulu 😂 kisa muibomoe Chadema wenyewe kwa wenyewe sasa mnanyukana kwisha habari yenu na msubiri ya Msigwa sasa😂
Mbona uwizi ni asili yenu unashangaa nn? Wakiwaambia nyingi ni wapigaji mnawaona wabaya, sasa mnasema wenyewe. Ni muda tu
Huyo waitera ni chawa,tu. Hafai kuwa hata kiongozi kwanza anatamaa sana
Kukataa wazee wa mila hapo ndipo unabugi viongozi wa dini wanaumhim wao na wazee wa mila wanaumhim wao usiangalie imani yako
Bila mwrnda zake hilo jimbo mnajuwa ni la CHADEMA huyo Waitara kawrkwa kama malaya wa magoti!
Haaaaaahaaaaaaaa
Mmeanza kusinichiana wenyewe na bado waachieni wenye Jimbo lao
Hongera kwa kuwambia wasisiemu wenzako kwamba Jimbo siyo lenu lakin pia inaonekana wewe ni mwanachadema uliyejificha ccm ili ufanye mambo yako yaende kua tu wazi jisalimishe uwe salama tatzo mkisema ukweli mnafukuzana na wewe jiandae ila karbu chadema
Kijana ww ni mwelewa sana una akili sana nakupongeza
Heche katapila limesafisha
njia, watumikie jamii !!
Mumuhoj na watara na nyabugeti tumjue
Unafiki tu wa kisiasa mbona 2020 mlikula hela zake na mkamnadi mpaka akapita ubunge we kijana lazima umekisa vijicent vya waitara
Alipita kwa kupigiwa kura na nani
Huyu si kada wa CCM wala mwanaccm.CCM wana sehemu zao maalumu za kuzungumzia mambo yao sio kwenye mitandao! Zaidi ya hapo CCM wana sare zao zinazowatambulisha, ambazo ni rangi ya kijani, makada wanaoisoma katiba ya CCM wanafahamu. Kipindi hiki kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa mengi yatasemwa yakilenga kuchafuana.
Ww ni bogus, huoni nembo ya ccm hapo kifuani? Au umeshiba maharage
Massao nyie ndio mliozoea kuandika mambo bila kufahamu sawa na kudandia gari kwa mbele sawa na huyo mwenzio. Nikuelekeze ndugu yangu kwenda kwa wakongwe wa chama hiki kuelimishwa. Kwa kukusaidia tuu ebu angalia picha za wana ccm wawapo kwenye shughuli zao maalumu za ama mikutano ya kichama, kisha unitajie idadi ya wajumbe wanaokuwa na vazi lenye rangi ya huyo jamaa yako. Usiandike tuu ulipaswa uelewe kilichoandikwa. Pale kilichoandikwa ni rangi wewe bila kuelewa ukaona nembo.Ebu tafiti kwanza
Huyu kijana hafai
Wenzako bungeni mpina aliyesema kweli katimuliwa.
Achaumbeaww mkuria anaumbea utafiriujaenda jandoya kisu
Hufai kuwa kiongozi wewe hayo ni mambo ya ndani ambayo mnatakiwa kuyaongelea kwenye vikao vyenu vya ndani utakuwa na lako jambo hapo husaidii chama bali unakiharibu
Ndani hakuna nafasi
Chama kilishaharibika hicho
Wewe ni mjinga kabisa. Mambo hayo ni ya vikao.
Wewe unataka jambo acha kumsumbua mheshimiwa
Waitara tupeni nje.
Weka Heche hapo
Kama hutoi huduma yeyote akiwekwa anapigwa tu
Huyu hana jipya nimusaka tonge
Waitara kwisha
Waitara ni mavi kabisa
Mimi nasema Waitara ni tapeli. Huyu ni jirani yangu ila kibaka
😂😂😂
Wewe na Waitara ni CCM ni WAONGO
waitara ni taira kama kichwa chake
Kumbe hata nyie wenyewe mnatoana uhai😢😢😢😢
HUYO HAFAI
tarime kwanza watu baadaya mkuu
Mungu wangu Waitara kimemsibu nini
😂😂😂😂 MaCCM yamevurugana Hatari
Nileteee uyu imeanza kutugeuka
Usogere watu
Wewe ni mpuuzi kama wapuuzi wengine
Mshikemshike Tarime....😂
Nyie watu wa Tarime CCM,msijaribu kumuengua Waitara,na Mbunge makini ni Mbunge anajua kuzitetea hoja za mama Samia,lakini zaidi anajua kulia bungeni tafadhali kaa naye.Hoja zako peleka kwenye vikao vyenu.
Pamoja na hizo sifa zako kwa Waitara,ni vyema umkaribishe jimboni mwako umpiganie apate kura ili awaongoze nyie huko
Nimependa ukamandani
Huyu si mwana ccm.
Hahahaaa
Waitara kwsiha