TUNDU LISSU AMUWEKEA VIGINGI HALIMA MDEE: UCHAGUZI 2025 'HAIWEZEKANI'
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 10 ก.ค. 2024
- 🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 692 318213)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com
Mimi nasema hatuhitaji kabisa lisu youk vizur san
Waende tu kwani walipoenda kuna wengine wazuli wameibuka ivyo wakilud wataziba nafac za wengine wazuli kuliko wao
Hii ni siasa wakirudi watafanya siasa wasiporudi pia wanafanya siasa. Watu 19 ni mtaji, wawaombe radhi wenzao wapokelewe. Ndio siasa hata wazee wetu wakubwa hurudi tena kule waliko kimbia na kupokelewa kwa vishindo ndio raha ya siasa!
Mdeee na wenzie wakilud chadema ninaludisha kadi yatosha kutuchezea.
Msimtaje Lissu personal, agenda iwe ni ya CHADEMA, siyo ya mtu binafsi.Mnataka COVID-19 wajue Lissu ndiye mbaya?
Lisu oyeeee waende ccm kwa muda huu hawana hata upako wanafiki tu
hao wabaki ccm kama wata rudi chadema inakufu kwamaana walitusaliti wakati tukiwa kwenye matatizo makumbwa ya kutekwa watu na wenginekuuwawa hii itakuwa nimaingizo bora wabaki hukohuko
SACCOS, ilimpeleka bungeni miaka 10 na mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa miaka 10 na pia Waziri kivuli wizara ya maliasili na utalii !? Watu wengine ni chenga sana yaani watu nje ya Chama waingilie maswaka ndani ya Chama "under our watch " hell No! Hivi yule Mzee wa mapesa yupo?
Mnyama wowote wa porini ktk tumbili au wenye kufugika mitaan ukimchukuwa mnyama ukamfuka badae akakukimbia akamuwa kurudi porini .huko porin hataminika tena na kawaida wanyama wenziwe humkìmbia au kumpiga
Haiwezekani hawa watu wakarudi chadema na kugombea labda warudi kuwa wanachama wa kawaida
Chadema mnajichanganya tena. Kwenda mbele na kurudi nyuma
Hakuna mh Lisu komaa hawa mkiwarudisha mnaua chama
Mh lissu waachani wale pesa isokuwa na KAZI hao wenzetu ila wasameheni warudi kupanga safu mpya 2025 ukweli licha ya kurud bungeni walikuwa wakitetea Wananchi tunaomba wasameheni
Tundu Lissu shikilia hapo hapo usiachie hawa wahuni
Halima mdee kumanina zake,
Uwanja WA fisi Kuna Raha zake maana mizoga haikosekani
Wasamehewe ni majembe hao,ingawa waliponyoka
huwezi kuwasamehe watu ambao hawajaomba msamaha na hawakubaliani na maamuzi ya chama
Hawa ndiyo wachawi hawatakiwi.
Wasirudi
Hawa wasirudi kamwe
Halima tunamhitaji chadema
Kwa lipi
Ww ndo unamhitaji
Chadema ipi?
Mchukue wewe
keshajiunga na adui hatufai tena
Hawa wanaoitwa wasaliti ndio wanakiwezesha chama chama chao kupata mgao wa razuku kumbe bariani mbaya kiatu chake dawa