TUNDU LISSU AMUWEKEA VIGINGI HALIMA MDEE: UCHAGUZI 2025 'HAIWEZEKANI'

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.ค. 2024
  • 🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
    🔘WhatsApp (+255 692 318213)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com

ความคิดเห็น • 29

  • @user-jx5ze9wz8e
    @user-jx5ze9wz8e 23 วันที่ผ่านมา +4

    Mimi nasema hatuhitaji kabisa lisu youk vizur san

  • @julianamwamgogwa
    @julianamwamgogwa 22 วันที่ผ่านมา +2

    Waende tu kwani walipoenda kuna wengine wazuli wameibuka ivyo wakilud wataziba nafac za wengine wazuli kuliko wao

  • @bezalelmbijima8182
    @bezalelmbijima8182 21 วันที่ผ่านมา +1

    Hii ni siasa wakirudi watafanya siasa wasiporudi pia wanafanya siasa. Watu 19 ni mtaji, wawaombe radhi wenzao wapokelewe. Ndio siasa hata wazee wetu wakubwa hurudi tena kule waliko kimbia na kupokelewa kwa vishindo ndio raha ya siasa!

  • @julianamwamgogwa
    @julianamwamgogwa 22 วันที่ผ่านมา +1

    Mdeee na wenzie wakilud chadema ninaludisha kadi yatosha kutuchezea.

  • @daudimaembe3360
    @daudimaembe3360 18 วันที่ผ่านมา

    Msimtaje Lissu personal, agenda iwe ni ya CHADEMA, siyo ya mtu binafsi.Mnataka COVID-19 wajue Lissu ndiye mbaya?

  • @user-cx1xz2is5d
    @user-cx1xz2is5d 17 วันที่ผ่านมา

    Lisu oyeeee waende ccm kwa muda huu hawana hata upako wanafiki tu

  • @abelmghana2843
    @abelmghana2843 23 วันที่ผ่านมา

    hao wabaki ccm kama wata rudi chadema inakufu kwamaana walitusaliti wakati tukiwa kwenye matatizo makumbwa ya kutekwa watu na wenginekuuwawa hii itakuwa nimaingizo bora wabaki hukohuko

  • @kelvinsanula-in2km
    @kelvinsanula-in2km 22 วันที่ผ่านมา

    SACCOS, ilimpeleka bungeni miaka 10 na mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa miaka 10 na pia Waziri kivuli wizara ya maliasili na utalii !? Watu wengine ni chenga sana yaani watu nje ya Chama waingilie maswaka ndani ya Chama "under our watch " hell No! Hivi yule Mzee wa mapesa yupo?

  • @user-lm3lt7xx6l
    @user-lm3lt7xx6l 21 วันที่ผ่านมา

    Mnyama wowote wa porini ktk tumbili au wenye kufugika mitaan ukimchukuwa mnyama ukamfuka badae akakukimbia akamuwa kurudi porini .huko porin hataminika tena na kawaida wanyama wenziwe humkìmbia au kumpiga

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 22 วันที่ผ่านมา

    Haiwezekani hawa watu wakarudi chadema na kugombea labda warudi kuwa wanachama wa kawaida

  • @filexkivuyo8383
    @filexkivuyo8383 21 วันที่ผ่านมา

    Chadema mnajichanganya tena. Kwenda mbele na kurudi nyuma

  • @josephmantago2837
    @josephmantago2837 23 วันที่ผ่านมา

    Hakuna mh Lisu komaa hawa mkiwarudisha mnaua chama

  • @SaidOmar-iw9kk
    @SaidOmar-iw9kk 22 วันที่ผ่านมา

    Mh lissu waachani wale pesa isokuwa na KAZI hao wenzetu ila wasameheni warudi kupanga safu mpya 2025 ukweli licha ya kurud bungeni walikuwa wakitetea Wananchi tunaomba wasameheni

  • @user-rn9og1rk3l
    @user-rn9og1rk3l 23 วันที่ผ่านมา

    Tundu Lissu shikilia hapo hapo usiachie hawa wahuni

  • @MwitaTv
    @MwitaTv 22 วันที่ผ่านมา

    Halima mdee kumanina zake,

  • @charlesphilipo3533
    @charlesphilipo3533 22 วันที่ผ่านมา

    Uwanja WA fisi Kuna Raha zake maana mizoga haikosekani

  • @CretusMwalongo
    @CretusMwalongo 23 วันที่ผ่านมา +1

    Wasamehewe ni majembe hao,ingawa waliponyoka

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 23 วันที่ผ่านมา

      huwezi kuwasamehe watu ambao hawajaomba msamaha na hawakubaliani na maamuzi ya chama

  • @user-rn9og1rk3l
    @user-rn9og1rk3l 23 วันที่ผ่านมา

    Hawa ndiyo wachawi hawatakiwi.

  • @fmleli.tz2004
    @fmleli.tz2004 23 วันที่ผ่านมา

    Wasirudi

  • @AllyMandunda-tj9jc
    @AllyMandunda-tj9jc 22 วันที่ผ่านมา

    Hawa wasirudi kamwe

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 23 วันที่ผ่านมา +1

    Halima tunamhitaji chadema

  • @GABRIELBAHANGARWA
    @GABRIELBAHANGARWA 22 วันที่ผ่านมา

    Hawa wanaoitwa wasaliti ndio wanakiwezesha chama chama chao kupata mgao wa razuku kumbe bariani mbaya kiatu chake dawa