🔴

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ค. 2024
  • 🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
    🔘WhatsApp (+255 767 400402)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com

ความคิดเห็น • 21

  • @desiderihugo5704
    @desiderihugo5704 5 วันที่ผ่านมา +8

    Pambaneni Makamanda na Mungu wa mbinguni awatangulie mapambano yenu yakazae matunda kwa jina la Yesu

  • @JeremiaholendikaMakeseni
    @JeremiaholendikaMakeseni 5 วันที่ผ่านมา +4

    Hogereni sana kiogozi tupo pamoja

  • @desiderihugo5704
    @desiderihugo5704 5 วันที่ผ่านมา +5

    Ccm lazima waondoke .

    • @AbdallaJuma-tx5ck
      @AbdallaJuma-tx5ck 5 วันที่ผ่านมา

      Sababu rais kutoka zanzibar acheni ujinga machogo

  • @edsonkahesi8603
    @edsonkahesi8603 5 วันที่ผ่านมา +3

    Hii nchi wengi wetu tumeridhika na shida zetu, ila tunatakiwa tuiondoe ccm madarakani maana hela ya kodi inayokusanywa, wanaigawana haohao wenye dhamana na mamlaka, na ndo maana wako radhi kumpoteza yeyote wanayeona anataka kuwaharibia ulaji wao ili waendelee kujinufaisha wenyewe na kuzidi kumfanya maskini awe maskini kabisa.

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 5 วันที่ผ่านมา +2

    Sio Chakula,wala bidhaa yoyote,Madawa,Huduma,hakuna kilichosalia Waziri wa fedha Mh.Mwigulu hajaweka kodi juu ya kodi ndio ubunifu wa kisomi wa vyanzo vipya vya kodi kwa maendeleo ya nchi! Wao wanajitosheleza,sisi wananchi tunabangaiza siku kwa siku sio bure wana jambo lao...

  • @user-xh8kd9ze7o
    @user-xh8kd9ze7o 5 วันที่ผ่านมา +1

    Lema uko vzr

  • @user-nn5oz4cn2g
    @user-nn5oz4cn2g 5 วันที่ผ่านมา +1

    Jamani hawajamaa wanaongea yaan mungu atusaidie

  • @user-hj3ky9zy6y
    @user-hj3ky9zy6y 2 วันที่ผ่านมา

    Pamoja sana

  • @kamalabuberwa2001
    @kamalabuberwa2001 3 วันที่ผ่านมา +1

    CCM ni kikundi cha majambazi, tutakipiga mapema tuu!

  • @halimachadai863
    @halimachadai863 3 วันที่ผ่านมา +1

    Mapambano yaendelee

  • @juliusmlula1658
    @juliusmlula1658 5 วันที่ผ่านมา +1

    LEma Si muhuni wewe ndiyo muhuni na mjinga ambayo haujui lolote

  • @user-tu2ne7so3b
    @user-tu2ne7so3b 5 วันที่ผ่านมา

    Hapo hapo

  • @IssaAlly-lp4uf
    @IssaAlly-lp4uf 3 วันที่ผ่านมา

    Apo nimekuerewa ndio mana maendereo uku mitaani akuna kilasiku tunaliatu izo pesa viasilimia ndio wanajenga mwendokasi basi imetoka

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur 5 วันที่ผ่านมา

    Hata sisi wakulima tukilima Kahawa hawohawo Ccm ndiyo madalali wakubwa hivyo tunajikuta tumelipwa fedha kidogo sana

  • @CostansiaKimaro
    @CostansiaKimaro วันที่ผ่านมา

    Muhuni ni wewe lema ni Kamanda mtetezi wa wanyonge

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 5 วันที่ผ่านมา

    Lema niungovi au unasema sera Huna lolote mhuni tu wewe

    • @pueblo148
      @pueblo148 5 วันที่ผ่านมา

      Kilaza

    • @elibarikimollel7149
      @elibarikimollel7149 5 วันที่ผ่านมา +2

      Mkondya wewe ni chawa wa kwanza kutoka mwisho nani hakujui?! Ndio mana wanyatu mnaongoza kwa umasikini nchi nzima

    • @shabanadam4476
      @shabanadam4476 5 วันที่ผ่านมา

      Stop your nonsense or go to hell lema his right why tanzanian were suffering katika nchi yenye rasilimali more than all countries in africa