SUGU AONGOZA MKUTANO WA HADHARA JIMBO LA RUNGWE MKOANI MBEYA SUGU AAPA KUMNG'OA TULIA MBEYA.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ค. 2024
  • IPINDA ONLINE TV........Asante kwa kuchagua Ipinda online tv.......Usisahau kusubscribe Channel yetu

ความคิดเห็น • 57

  • @ceciliamagalabajimmy4391
    @ceciliamagalabajimmy4391 15 วันที่ผ่านมา +8

    Asante muuguzi, jasiri mpenda haki. Wanawake ndio tunaopewa kanga tuamke tukashone madelaaa ❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u 15 วันที่ผ่านมา +6

    Kanda ya nyasa mmepata mwenyekiti wa kanda imara mheshimiwa Joseph mbilinyi sugu sio akina msigwa wanaoangalia vyeo

  • @ibrahimusanga1269
    @ibrahimusanga1269 4 วันที่ผ่านมา

    Asante sana kura zote zako chama.watu wanabomolewa nyumba zao alafu niendelee kuchagua chama cha mafisadi kweli?

  • @user-xe8xv6so6s
    @user-xe8xv6so6s 13 วันที่ผ่านมา +1

    Kiwila mmeamka. Safi saaana. Elim mmepata. Na mmeitendea haki nawasndishi wa Habari mko vizuri Leo saafi Sana

  • @jumakisailo8496
    @jumakisailo8496 2 วันที่ผ่านมา

    Ahsante sana CHADEMA...❤️❤️❤️.
    Pipooooooooooooz..🤣🤣❤️❤️❤️.

  • @IssaJohn-kk8pb
    @IssaJohn-kk8pb 14 วันที่ผ่านมา +2

    Mko vizuri kiwira nimewapenda sana na sisi musoma tupo nanyi

  • @HassanYellows
    @HassanYellows 15 วันที่ผ่านมา +5

    Mtaa kwa mtaa sugu,Bampa to bampa jongwe,paka kieleweke

  • @IsayaSosolo-nx8zk
    @IsayaSosolo-nx8zk 14 วันที่ผ่านมา +2

    Hilo Gwanda limekukaa kiongozi!

  • @fabianmahenge301
    @fabianmahenge301 14 วันที่ผ่านมา +2

    Mwambigija uje Geita uwashe full Light......Kuna vipofu wanahitaji upako wako.

  • @MathewsSikazwe-up4qd
    @MathewsSikazwe-up4qd 15 วันที่ผ่านมา +4

    kazi nzuri xana.

  • @daudibukuku6490
    @daudibukuku6490 15 วันที่ผ่านมา +2

    Ama kweli Kiwira mmetisha!!! Lakin hata kwenye matokeo ya wanafunzi nako mnaongoza hongera!! Sanaa!!

  • @user-cx1xz2is5d
    @user-cx1xz2is5d 4 วันที่ผ่านมา

    Hongera mbowe

  • @IssaAlly-lp4uf
    @IssaAlly-lp4uf 12 วันที่ผ่านมา +1

    Safiiiiiiii

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u 15 วันที่ผ่านมา +1

    Mwenyezi mungu akulinde sana sugu nakukubali sana tangia upo bungeni. Tunahitaji viongozi wa aina yako sio hao wa kuhongwahongwa wasio na msimamo akina msigwa

  • @FrankMwakatundu-cu6bd
    @FrankMwakatundu-cu6bd 15 วันที่ผ่านมา +4

    MATUNDA YA MH. FREEMAN MBOWE MWENYEKITI TAIFA AMEIJENGA CHADEMA KWA GHARAMA KUBWA KWA HALI NA MALI, NYOMI HIYO KIWIRA MWANKENJA, SIYO MOSHI MJINI. HUYO NDIYE MH. MBOWE ANAKATA KILIMI LIMI CHA WAPIGA PROPAGANDA OOH CHAMA CHA WACHAGA HAPO NI KILIMANJARO? NCHI NZIMA CHADEMA NI IMARA KABISA!!

  • @user-io6yj9fs2h
    @user-io6yj9fs2h 15 วันที่ผ่านมา +3

    Mtu anae shabikia ccm ajauguza ndugu yake akampeleka hospital ya serikali hazina dawa shule za watoto wa masikini wanao nyonywa kodi na ccm dalasa moja watoto mia 50 watoto eluf moja mia 6 shule nzima matundu yavyoo kumi 5 alafu anae enda kuzindua matundu yavyoo anatembelea v8 milioni mia 5 gali inayo zidi galama zaujenzi washule nzima alafu mjinga anasimama anasema kidumu chama chamapinduzi tunalaana kwakweli

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m 14 วันที่ผ่านมา +2

    Ccm wakae vizuri uchaguzi huu si mchezo

  • @mwajemwafula5777
    @mwajemwafula5777 12 วันที่ผ่านมา

    Wanyakyusa ni hatari sana awayumbishwi na kitu😅❤❤

  • @kulwasalum3597
    @kulwasalum3597 12 วันที่ผ่านมา +1

    Paka mwenye malengo , hamtafuni panya mwenye mimba....!!
    Duuuh.......!!!!

  • @user-pf2qk8fz9o
    @user-pf2qk8fz9o 15 วันที่ผ่านมา +2

    Nguvu ya mwanamke ni hatari katika mabadiliko ya nchi...!! 😊😊

  • @desiderihugo5704
    @desiderihugo5704 15 วันที่ผ่านมา +4

    Wakajiandikishe kwenye daftari la wapiga kura .

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 12 วันที่ผ่านมา +1

    CCM INATUONA SISI WATUMWA WAO CCM WANACHUMIA MATUMBO YAO TU. HONGERENI KIWIRA WENGINE JOFUNZENI KUTOKA KIWIRA. MUNGU AWABARIKI SANA.

  • @pascarmwatosya5855
    @pascarmwatosya5855 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kazikazi mking ndani ya uwanaja

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 15 วันที่ผ่านมา +1

    fcm wame hemka wametumia Hela kumpata mmja lakini cdm hawatumii Hela wanapata wacuasi wengi

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u 15 วันที่ผ่านมา

    Safi sana mama yetu muuguzi kwa kazi nzuri

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m 14 วันที่ผ่านมา +2

    Msigwa rafiki yangu umepotea

  • @francissimwinga-gb2vd
    @francissimwinga-gb2vd 13 วันที่ผ่านมา

    Sisi mpaka bandari inauzwa tunacheka huu ni ujinga wa kiwango Cha juu

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 12 วันที่ผ่านมา

    Hongera lakini kwa nini hamongelei kuhusu muungano wa unafiki kuwa tumeungana Tanganyika na Zanzibar ni kweli? Kwa sababu Zanzibar ina serikali yake ina bunge lake, huwezi kuchukuwa kiwanja Zanzibar lakini wao wazanzibar wanachukuwa viwanja na mashamba. 0bado wanaleta wabunge zaidi ya 70. Kwenye bunge la Tanganyika. Na wanalipwa kwa nini unafiki wa aina hiyo? Mbona hamongerei KATIBA ni lazima tupate KATIBA MPYA.

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur 15 วันที่ผ่านมา

    Nawapongeza sana Makanda

  • @ecodreamafrica3060
    @ecodreamafrica3060 10 วันที่ผ่านมา

    Ipinda ni wapi huko jamani.

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo 14 วันที่ผ่านมา

    Big up chdm

  • @user-xe8xv6so6s
    @user-xe8xv6so6s 13 วันที่ผ่านมา

    Mhakikishe mmejiandikisha daftari la wapiga kura

  • @SadamuNjau
    @SadamuNjau วันที่ผ่านมา

    Kiukweli kwamaosipitali hakuna huduma unIshia kulipia failitu hakunadawa hakuna kaulinzuri

  • @sammykateregga6238
    @sammykateregga6238 15 วันที่ผ่านมา +1

    Mbeya naona kinaeleweka kweli siyo wakimbizi.

  • @JeremiahMwakanyamale
    @JeremiahMwakanyamale 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Et kisa wameajiliwa na serikali ndo hawawezi kufanya mapinduzi..wanageuzwa chawa wa serikali. Wafanyakazi niwasomi lakini akilizao hazina uhuru,wametekwa kifikra....waamsheni jamani.

  • @franciscowilliam2575
    @franciscowilliam2575 14 วันที่ผ่านมา

    Hii mashine (mwambigija)ni noma

  • @AbnerKennedy
    @AbnerKennedy 15 วันที่ผ่านมา +2

    Mzee wa upako. ✌️

  • @GaradiGaradi-zq1wf
    @GaradiGaradi-zq1wf 13 วันที่ผ่านมา

    Democrasia ndio hii sio uhuni uhuni

  • @francissimwinga-gb2vd
    @francissimwinga-gb2vd 13 วันที่ผ่านมา

    Upambe ndio ajila ccm imeharibu nchi

  • @AthumanDauda
    @AthumanDauda 15 วันที่ผ่านมา

    Asante sana mama akili kubwa sana

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko 13 วันที่ผ่านมา

    Chadema juuuuu

  • @OswardMandikilo
    @OswardMandikilo 14 วันที่ผ่านมา

    Chadema ndio ukomboz

  • @desiderihugo5704
    @desiderihugo5704 15 วันที่ผ่านมา +1

    Ccm ni maboyaaa

  • @deodathsilayo3639
    @deodathsilayo3639 15 วันที่ผ่านมา

    Ila wanake wa huko mnakaza sana😂😂

  • @IssaAlly-lp4uf
    @IssaAlly-lp4uf 12 วันที่ผ่านมา +1

    Ccm wanawaogopa chadema ndio mana wanakimbilia kuwanunua chadema kwanini awanunui vyama vingine

    • @jumakisailo8496
      @jumakisailo8496 2 วันที่ผ่านมา

      Ni sahihi kabisa, kinachoumiza zaidi ni kuchota pesa zetu na kuongeza Kodi za ajabuajabu Ili wawanunue wanasiasa maarufu wa vyama shindani ili waendelee kushika Dola watunyanyase na kutunyonya sisi wananchi, hili halikubaliki hata kidogo, tumechoka...tumechoka...tumechokaaaaa...😭😭😭😭😭....Ewe mwenyeeziMungu wafanyie wepesi ndugu zetu wote wanaopambania nchi yetu tuondokane na ukoloni mamboleo. In-shaallah..❤️❤️❤️. Mungu hashindwi na jambo lolote.

  • @GaradiGaradi-zq1wf
    @GaradiGaradi-zq1wf 13 วันที่ผ่านมา

    Ulinzi shilikishi mwananchi kulipa police wameshindwa?

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 12 วันที่ผ่านมา

    I have been worching election in Tanzania from 1995 Antilles up to 2020 ccm win election by police force not bailot box vote no l disagree when cames to vote ccm use so much police force stick to leadership but now on this election caming on local gavment election will be toto war between ccm and opposition chadema but potability of ccm use military force and police force because of fear local gavment election by opposition ccm will use force but africa team worching in Africa election this time even world community they have to reject same of ccm gavment condition

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 15 วันที่ผ่านมา

    chadema waakili sana wamemuo doa mamluki msgw

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 15 วันที่ผ่านมา

    Nendeni mkahutubie mbarali na chunya

  • @desiderihugo5704
    @desiderihugo5704 15 วันที่ผ่านมา

    Tozoooooo

  • @francissimwinga-gb2vd
    @francissimwinga-gb2vd 14 วันที่ผ่านมา

    Hapo amna wasani kutadeki ccm haiwezi

  • @AbdulSwigo
    @AbdulSwigo 14 วันที่ผ่านมา

    Kiwila xhikamoo!!

  • @frankminga9307
    @frankminga9307 14 วันที่ผ่านมา

    Nyasa imekwishaiva nendeni mkaamshe mikoa mingine iliyolala

  • @tibbsminja2575
    @tibbsminja2575 14 วันที่ผ่านมา

    Bajeti ya wake wa wastaafu ni Bomu ifutwe haraka iwezekanavyo na manunuzi ya magari ya serikali yapunguzwe au kufutwa kabisa.!!

  • @pascarmwatosya5855
    @pascarmwatosya5855 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Duuuu kazikazi wanambwela mbwela,Acheni kumbwelambwela