SHILOLE AWASHIWA MOTO NA DK SURE, KWANINI UNAWACHEZEA WANAUME

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 66

  • @shersaid7988
    @shersaid7988 2 หลายเดือนก่อน +8

    Sheikh Sule ana elimu na anajiamini,hodari wa kujieleza huchoki kumsikiliza na unajifunza mengi.

  • @user-qx9nv8jo6p
    @user-qx9nv8jo6p 2 หลายเดือนก่อน +2

    Dr. Sure maneno yako sahihi Mungu akujalie uwe mwema na muadilifu

  • @elizabethmukeba2528
    @elizabethmukeba2528 2 หลายเดือนก่อน +5

    Shilole we ni mwanamke mwenye muzuri sana tena mpambanaji lakini pesa yako sio fimbo ya kuwachapa wanaume

  • @maxmiletz4563
    @maxmiletz4563 2 หลายเดือนก่อน +5

    Asante dokta nimejifunza kitu

    • @user-pu6pr5jt4n
      @user-pu6pr5jt4n 2 หลายเดือนก่อน

      Shekhe smart sana❤❤❤

  • @MartinaMsimbe-qk8ug
    @MartinaMsimbe-qk8ug 2 หลายเดือนก่อน +5

    Nimependa somo❤❤❤

  • @user-uf4xy4ms2m
    @user-uf4xy4ms2m 2 หลายเดือนก่อน

    Swadaqta doctor Sule.mashaallah Allah akuzidishie akili.

  • @ShukurMkan
    @ShukurMkan 2 หลายเดือนก่อน +3

    Upo sawa sana shekhe

  • @user-ne5cg4vv1h
    @user-ne5cg4vv1h 2 หลายเดือนก่อน +3

    Dr .nimekuelesa sana

  • @jacklinelyimo7407
    @jacklinelyimo7407 2 หลายเดือนก่อน +4

    Asante imenisaidia sikujua mambo mengi nimemjua sasa

  • @florakimaro-vw7qj
    @florakimaro-vw7qj 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂umenifanya nicheke jamani mwanamke anaweza kuongeza vitu juu ya kitu unaweka kucha juu yakucha nywele juu ya nywele jamani nimecheka

  • @CatySungula
    @CatySungula 2 หลายเดือนก่อน

    Hongera Sana shehe. Umesema kweli tupu, uko vzr Sana. Yani hapo pa wanaume ndo penyewe, hata mm naliaga na hapo pa elimu ya ndoa kwa wanaume pamesahaulika Sana.

  • @sudamohamed1439
    @sudamohamed1439 2 หลายเดือนก่อน

    Subhana Allah dunia imekwisha ajiitangaza ataka mume . Waschana Mbona hatuna Haya . Aibuuuuu

  • @jamilamasoud8544
    @jamilamasoud8544 2 หลายเดือนก่อน +2

    Jifundishe kutuma handkerchief sheikh, kimawaidha uko sawa.

  • @raimajimoto1122
    @raimajimoto1122 2 หลายเดือนก่อน +3

    Nimekuelewa sana mwamba

  • @scholarmawala1403
    @scholarmawala1403 2 หลายเดือนก่อน +1

    Dr eeeh,Hachezei wanaume,anachezea wavulana😂😂😂😂😂

  • @MuharamiNgasinda
    @MuharamiNgasinda 2 หลายเดือนก่อน +4

    Dr of drs

  • @user-hs1qg2nv4j
    @user-hs1qg2nv4j 2 หลายเดือนก่อน +1

    shilole upo sahii san

  • @Bahatiali781
    @Bahatiali781 15 วันที่ผ่านมา

    Ukweli uxtdhi ❤

  • @D1andonlysally
    @D1andonlysally 2 หลายเดือนก่อน +1

    Leo dk kakerwa na mmoja wa wake zake😂😂

    • @afianzele7571
      @afianzele7571 2 หลายเดือนก่อน

      nkadhani nimeona peke yangu😅

  • @user-qg3kf1ue7z
    @user-qg3kf1ue7z 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mie ni Mkristo....
    Ila Huyu MR DR Sheikh SURE ni brilliant sana....Awesome....AMESOMA.....BIG UP SIR...

    • @tonnyojambo1731
      @tonnyojambo1731 2 หลายเดือนก่อน

      Sasa ukristo hapo unakujaje?

    • @Brunn-mh2bq
      @Brunn-mh2bq 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@tonnyojambo1731Sasa wewe wataka jibu la aina gani? Kasema yeye ni mkristo lakini maelezo ya huyu sheikh yamemwingia. Ubishi tu wa kipuuzi hauna maana. Huyu ni mkristo anayeweza kuingia uislamu.

  • @Onlyforfun1992tube
    @Onlyforfun1992tube 2 หลายเดือนก่อน +1

    Shekh toa namba kuna mtu nimtengeneze 😂😂😂😂

    • @Annalisejg2ur
      @Annalisejg2ur 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-lu5vg9kc7y
    @user-lu5vg9kc7y 2 หลายเดือนก่อน +2

    ALLah mtukufu akupe mwesho mwema shehk wetu uko vizurr
    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤،،🌹🌹🌹💞💞💞💞💕💕💕💕🍀🍀🍀🍀🌱🌱🌱🌱🌷🌷🌷🌷☘️☘️☘️☘️🌷💓💓💓💓💖💖💖💖🇹🇿

  • @Onlyforfun1992tube
    @Onlyforfun1992tube 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂 janja janja dah hatari

  • @sallysafisanakijanakazibut1688
    @sallysafisanakijanakazibut1688 2 หลายเดือนก่อน

    Yaqni hilo la mwanaume kujitetea akiwa na kosa nakupa 100 kwa 100.

  • @user-po5hd9xi9x
    @user-po5hd9xi9x 2 หลายเดือนก่อน

    Roho inakuuma umekosewa eti unaenda kupika na kupakua kwa wakwe😂😂😂😂nijikute

  • @user-mi7cd8ch1b
    @user-mi7cd8ch1b 2 หลายเดือนก่อน

    Tz ndoa nyingi watu hawana herimu na ndoa sasaiv watu wameona mtandaoni ndio makama Yao

  • @sallysafisanakijanakazibut1688
    @sallysafisanakijanakazibut1688 2 หลายเดือนก่อน

    Mengine umesema sahihi km kuwa na hasira sana unapokuwa kwenye siku. Ila hili la kutosheka wanaume pia hawatoshiki haswa kwa kutaka wanawake hamtoshi na hicho kitu hata mkiowa wanee bado mnataka zaidi

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 2 หลายเดือนก่อน

    Kwani kuachika kwa shilole ni ajabu au kwa vile ni star hamna kitu cha kuzungumzi ktk news

  • @mwanaikaomar8628
    @mwanaikaomar8628 2 หลายเดือนก่อน

    Kiukweli ata na mimi nampenda huyu dada.sana

    • @salisali3738
      @salisali3738 2 หลายเดือนก่อน

      Sawa lini niende kuchumbia😂😂😂

  • @zayanazayana5518
    @zayanazayana5518 2 หลายเดือนก่อน

    Vipi sheikh anakunywa maji bila Bismilah wala Alhamdulillah

    • @jamilakhamisshaaban4752
      @jamilakhamisshaaban4752 2 หลายเดือนก่อน +1

      Bismillah kasema moyoni

    • @user-ur8cq1ye3b
      @user-ur8cq1ye3b 2 หลายเดือนก่อน +1

      Sio lazima aseme adi wewe usikie

    • @ashaabdalla924
      @ashaabdalla924 2 หลายเดือนก่อน

      Hio kila mtu anaisahau hata weye hupigi unaisahau

  • @faridseilan4400
    @faridseilan4400 2 หลายเดือนก่อน

    Assalamu alekum naomba Dr.Sule ani fasirie hii Ayaa wayata3allamunna ma yadhuruhum wala yanfa3ahum surrat Bagara Ayaa 101 to 102

    • @user-ur8cq1ye3b
      @user-ur8cq1ye3b 2 หลายเดือนก่อน

      Nawewe kunamaajabu gan usiposikiliza apa Kwan umeitwa au umekewa bando namtu usikilize

  • @maryammdoe5801
    @maryammdoe5801 2 หลายเดือนก่อน

    Saa mbona sidiria yangu iko wapi, 😂😂

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya 2 หลายเดือนก่อน

    Umbea tu

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi5004 2 หลายเดือนก่อน

    Haswaaa🎉😂😂😂😂

  • @abdulazizimashaka3275
    @abdulazizimashaka3275 2 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu shekh nae anapenda umaarufu jmn

    • @Brunotarimo10
      @Brunotarimo10 2 หลายเดือนก่อน

      Shekh yupo visuri . Anaelimisha jamii👏

    • @Brunotarimo10
      @Brunotarimo10 2 หลายเดือนก่อน

      Shekh yupo visuri . Anaelimisha jamii👏

    • @nakundwamkubwe7823
      @nakundwamkubwe7823 2 หลายเดือนก่อน +4

      @abdulazizimashaka3275 Dr Sulle ni maarufu kabla mimba yako haijatungwa. Sulle hana shida ya umaarufu labda wewe umemjua jana.

    • @hajiramadhanihaji355
      @hajiramadhanihaji355 2 หลายเดือนก่อน +1

      Dr sule Ni sheikh maarufu tangu zamani . Anaelimisha jamii vizuri . Jamii inahitaji watu Kama hawa.

    • @salisali3738
      @salisali3738 2 หลายเดือนก่อน +1

      Sana

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 2 หลายเดือนก่อน

    Hakuna uhusiano Kati ya dini na ndoa kwa sababu ndoa ipo daima na ni ni lazima.Dini ni hadithi nyingine

    • @hemedramadhani7946
      @hemedramadhani7946 2 หลายเดือนก่อน +2

      upo uhusiano wa ndoa na dini kaka.

    • @mataypanga5262
      @mataypanga5262 2 หลายเดือนก่อน

      Upo uhusiano?.
      Kivipi​@@hemedramadhani7946

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 2 หลายเดือนก่อน

      Kikristo imeandikwa ndoa ni mojawapo ya maisha matakatifu, ikaandikwa Mungu anachukia kuachana 😢

  • @khadijaa815
    @khadijaa815 2 หลายเดือนก่อน

    Aaa sh na wanaume pia wapo wanauliza masuali ya kijinga hayo unoyasema na wanaume wanayo pia wengine

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 2 หลายเดือนก่อน

    Sheghe sio wanawake wa siku hizi si kama wapenda kujaliwa no hawana habari wanapenda pesa tu hata asipokuona

  • @user-gi1vf3gh1e
    @user-gi1vf3gh1e 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z 2 หลายเดือนก่อน

    uyo sule hafai ata kwa chumvi...aachwe kama alivyo...na usipomuelewa hakuna kitu utaelewa mpaka kifo chako

  • @AbdulkareemNyongoro
    @AbdulkareemNyongoro 2 หลายเดือนก่อน

    Kumbe sule hata qur' an hajui kusoma