Salama Na Shilole Ep 5 | MAMA Part 1
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ก.พ. 2020
- #YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast #SalamaNaShilole
Listen our Podcast on
Boomplay Link boomplay.lnk.to/SalamaNa
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcasts Link apple.co/2Ou1bru
TH-cam Link bit.ly/TH-camSalamaNa
Mama
Zuwena Yusuf Mohammed ndo jina alopewa na wazazi wake na siko hapa kuwakosoa kwa chaguo lao hilo ila mi nadhani Shilole ndo limekaa mahala pake zaidi. Anaongea kama Shilole, anacheka kama Shilole, ni shujaa kama Shilole, REAL kama Shilole, anapenda kama Shilole na sisi tunampenda kama Shilole. Ally Rehmtullah alikua anaadhimisha miaka kumi ya kazi yake. So alifanya auditions kwa ajili ya kuchagua models kuelekea kwenye adhimisho lenyewe, Shilole aka Shishi alikua mmoja wa ma judge wa skuihiyo, picha likaanza hakuwepo popote pa kuweza kuonekana, shuguli ambayo ilichelewa kuanza kutokana na mambo mengine ilibidi pia iendelee bila yeye. Akatokea wakati tunakaribia kabisa kumaliza ila alipofika kila mtu alijua kama Shishi KAWASILI. Vicheko na matani vilitawala na kila mtu akasahau kama hata Shishi alichelewa kufika. Shishi ni ‘special’. Kuanzia muonekano mpaka tabia, jinsi anavyoishi maisha yake na jinsi anavyotafuta na kujiongeza kila siku ni mfano tosha kwetu sote ya kwamba ‘mwenda bure si mkaa bure’
Anaweza pia akawa kafanya yote ili kuweza kutumiza ndoto yake au zake. Kaigiza, kaimba, kaishi kwenye mahusiano ambayo hajivunii kama alishawahi kuishi hivyo, kafanya biashara, kapigana na mengine mengi kapitia ambayo yanaweza kumaliza kurasa, yote kwa yote... Ni mfano wa kuigwa kwa watafutaji na wanaoanza wengi.
Kwenye meza yetu pia alikuja kachelewa, huku akiwa kavurugwa na baadhi ya watu lakini tulipokaa tu kwenye viti yote yalisahaulika na tukajikita zaidi kwenye mazunguzo yetu ambayo yalijaa vicheko, masikitiko, simulizi za kuacha midomo wazi na faraja tele.
Tafadhali enjoy, na chukua mawili matatu ambayo yatakufunza jambo katika safari yako na kukufanya uwe bora zaidi.
Love,
Salama.
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown - บันเทิง
Kama unapenda kipindi hiki ngonga like twende sawa
My best loved people based in TZ, nawapenda from +254🇰🇪🇰🇪🥰
"it's okay I am a woman let me do it" words of the great shishi baby! what a strong woman
SITOCHOKA KUWA SHABIKI WA KIPINDI HIKI, NAENJOY
SALAMA mtafute Zuhura yunus kabla hajaenda London Basi!!!
Nice observation🤝🏽🤝🏽
Kabisa
Luhanya Mipawa Ntobi cc’d Es ccccfrfgtty
Salama hongera sna kwakutuandalia kipindi kizuri mambo yako huwa 🔥🔥💯 kila cku mwenyeze Mungu azidi kukuzidishia uombacho.mwambie shishi tunampenda pia
"Mtu mwenye shida unaeza mfanya unavotaka". Bonge la point, "Maskini haaminiki". Show moja nzuri Dada Sally.
Inaumiza sana kuona anavyoteswa na mume wake. I love you Shishi and wish you all the best! We need you and your kids need you more.
Strong woman you are Shishi,sipendi zalau ya wanaume!
Shishi....charming soul...nimependa ulivyojisifia na kukuhimiza wasanii wa kike upande wa mziki wajitunze.
Hii ni kwa wadada wote ,muhimu kujitunza na kuweka mipaka.Last but one...You are truly beautiful dadaa🤩
Mdada aliye real asiyefeki,mama ntilie wa Taifa👌💃❣
Beatrice Tenywa firigisi za kuku rosti th-cam.com/video/pjqOur9SMn4/w-d-xo.html naomba subscribe tafadhal
She has a big heart... hongera Shilole
Salama hepu naomba siku moja uwe na huyu Dada Sheri mwenye story nzuri kuhusu kazi za ndani Oman wataelemika wengi
Zuena nakupenda sana napenda nyenendo zako San nataman SKU moja tukutane tuongee jambo
Mi ni mshabiki mkubwa sana wa kipindi hiki from Rwanda...na sitachoka kamwe!
Shishi ni OG comedian.salama umecheka kulko interview zote.
Nakupenda sana Shilole, mpambanaji superwoman
She is so real.. best interview so far ingekua hata siku nzima haichoshi
Halima Rk th-cam.com/video/FGhRyiorW1Y/w-d-xo.html
The story is so touchable😭😭😭
So touching.....sio touchable bro
Natamani kungekuwa na voice note ili niwaeleweshe nyie mnaosema shishi nae alimrekodi yule dada wa machungwa aliyemsaidia, ni kweli ndio alimrekodi sio uongo, lakini mnasahau kitu kimoja yule muuza machungwa hakwenda kwa shishi kuomba msaada, hapo ndo ilipo tofauti ya alichoongea shishi na alichofanya shishi kwa dada wa machungwa....! Shishi alimuinua yule Dada pale alipo na kwenda sehemu nyingine (kwa kumuongezea mtaji) Na alifanya kama kushawishi wengine ambao kiukweli wengi wetu tunawalalia sana wale wamama kwa kuomba punguzo wakati hatujui mikiki wanayopitia kupata hiyo 15000 ya beseni moja la matunda,......! hao anaosema shishi ni wale ambae anafatwa na mtu mwenye shida then anamsadia kwa kumrekodi uko ni kudhalilishwa, HIVI MNAELEWA?
Hv una bishana na mbongo haja sikiliza kitu akaki elewa kasha comments anavo jua hata uwa eleweshe vep hawaelew mwengine ndo kaamka hata mswak haja piga ana wenge la usingiz ata elewa wap mada yan me wanan kera kama nn sema ndo uswahili tena
Latriciah01 Augustino Asante kunielewesha
Yn bora umejitahidi kuelewesha, mana mi nilishindwa haa, big up
Waoooo bora umesem ww wengne hawaelew jmn
Haijalishi point ni kwamba unapotoa msaada hutangazi, ni siri yako na Mungu wako.
Katika interview zote ulizofanya hii bhana ni noma coz dada shishi kafunguka mpaka raha! i realy preciate that
Salama hongera kwa kazi nzr sana.Nakupenda Sana na Mungu akubariki mno
Kweli. Shishi. Mzuri. Sana. Mashaallah
🔥🔥🔥🔥salama na shishi😚😚😚👌👌👌👌bravoooo
Sikuwa najua historia yako kabla, pole na hongera sana kwa hatua uliyofikia shishi, nakupenda sana, Mungu ni mkubwa
You are amazing Salama😍😍😍😍
Shishi pole sana kwa tukio la kubakwa, miaka 14 ulikua bado mdogo sana, i can imagine maumivu uliyoyapata, ila nimefurahi kua ulisamehe na maisha yakaenda, inaonesha na wewe ulikua unamkubali, lol.
Au altoa ushrikiano cku hiyo
umekuwa legend sana mtu mzima.......
NEXT LEVEL
Toka mkasi nimemmic welcome back salama
una vipindi vya ki LEGEND SANA MTU MZIMA. NAKUFUATILIAGA SANA KITAMBO. una maswali ya kikubwa sana........ big up salama jabiri
Yaan shilole anajihoj mwenyewe😂😂😂
Sijapenda hiyo style ya mike kufunika vitambaa inaonekana kama mnatambika hivi kaah
Love u so much my Salama u so beautiful 💞😍💞💞😍really. and vry strong. Joo sauza one day💞💞💞 please Salama
Shishi hii interview imenichelesha kazin
What a strong woman,and 🙌👌
Bonge ya interview, plz tuletee idris,bigbrain pfunk na dj fetty plzplz
Nampenda huyu dada jamani💖
Salama ubana nywele umependeza kweli mashallah
Shishi nakupenda ukiongea staki. Ata umalize
U know what i love from u Salama? Unaishi wewe unatenda wewe haufake. Naamini una vitu vingi vikubwa mbeleni. Tuombe tuishi
Salama rudia kumuhoji shilole its a nice interview
Shishi naomba soma comet mm Niko kama ww nawachukia zaidi yako
Good job salama from 🇨🇦🇨🇦🇨🇦
leo ww haupo kesho upo😀😀😀
Shilole you are great! Great interview!
Interview za shishi aziishi hamu kusikilza
Nampenda shishiii kiukweli napenda mpk maisha yake afek life uyuuu Dada
Shishi is so priceless ❤
Shi shi nacheka ka mazur unanifurahish we we mchesh mashaallah
Salama leo umeishiwa pozi mana ata masuali yamekuishia chezea Shishi baby wewe ana story mpk bac unacheka unahizunika maisha yanaenda na maisha ni kupambana wanawake hakuna kukata tamaa
Yani sisi wanawake tuna akili sana.
@@tedymwandara5480 sanaa. Sisi jembe!!
am a big fan shishi love from canada yani nakupenda mnoo
Kwanza naweoenda nyote salama sana nakupenda shichi umeongea ukweli
Good interview
Wilson Maduhu firigisi tamu rosti th-cam.com/video/pjqOur9SMn4/w-d-xo.html naomba subscribe tafadhal
Nakupenda sana *shishibaby* adi naumwa 😘😍😍😍😍🌹💋
Vizuri sana
Salama uko juuuuuu unatuwakilisa wa Zanzibar yahstone Towan
Kaz nzuri da Salama
Very inspiring story.story imenigusa sana.hatufai kukata tamaa wakati Bado tunaishi.
Salamaa🔥
🤣🤣🤣🤣🤣🤣salama much love from 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🔥🔥🔥🔥🤣🤣🤣shilole ❤️❤️❤️❤️💕💕💕💕
Nakupenda Shishi😘😘😘
Breathe of fresh air💓
Hata Sasa Shishi Wa Pendeza 👍😘
Ni kweli mzuri bhn weee
Nanisingo mama,,, Story zinafafa nayakwangu kabisa,, by the way nampenda Sana shishi nataman nionane nae
She's so good mwanamke mpambanaj ❤️❤️❤️
Iyachiyeeee iyoooo... ujawai kosea
Badili Mgambo th-cam.com/video/FGhRyiorW1Y/w-d-xo.html
Nakukubali salama.my lv pia shish
Mungu azidi kukulinda na kukubariki dada zuwena
Waooo yani nmejifunzaa sana kupitia shishi good interview nakipenda hichi kipindii mnoo
Mhhhmhhhh da shishi nakupenda lkn kwa hilo hpn ,,heb kumbuk we yule muuza machungwa ulimrekodi ili iwe nn mxeeew kwel muongo hn kumb kumb..
Lily Juma Alafu tena yuko siliazi hapo kama cyeye wa machungwa
ahahaha bongo movie wanasahu harakaaa yan kakauka kama sio yeye alotoa elfu 50
@@veronicadaniel1122 hahahahah
@@veronicadaniel1122 jamn mbon yule dada wa machungwa hakutak msaada ila shilole alichokifanya ni kumuunga mkono tuu
Ndio wasanii baadhi yao hujiropokea tuu
We mwanamke badilisha neno lako la kusema Mungu alivo mbaya
Dah akili kubwa sana
Sema shishi chizi sana 😂😂😂 ndomana nakuelewq sana mama
She is right though.. Imagine you at the lowest point of your life.. And then someone comes to help u with a camera.. People keep ur cameras at home when helping the need....
Nice salama na shishi
😂😂😂😂😂😂😂😂😂shishi pole yani kama wanieleza mm yalinikuta
nyumba big brother 😁
Hapo kwenye kuota nimecheka San uwii
Nakupend buree dada yanguu zuwena
Dada ulimpa dada machungwa elfu hamsini tunakumbuka ukamrekodi
Woow Salama na Shishi pendaaa sana
Nilikuwa nataman sana interview Na huyu Dada Nakupenda Shishi mm nataman siku Moja nikutane Na ww
Shishi wengi tunampenda
Piko hotel ndo alifanya shangazi yangu
Alipata na kazi kabisa. Hata mimi nilisomea hotel walimu walikuwa wananipenda kwel kwasababu nilikuwa naelewa
Ndo mana anajuwa kupika vizur
Ya tulifundishwa hayo mambo ya wee ni mzur hata mimi nilisemaga
Salama jaribu kuwaambia wageni wako wasiongee huwa wanakula huwa wanatukirihisha.
Yani shishi nampenda
Shilole nakupenda😭😭😭😭😭😭
Love shish
Daah shilole ananipa raha sana anavitukoo hahahahaa
Nampenda sana huyu dada
Story ya shishi inafanana nayakwangu nampaka sasa mwanangu anamiaka 14 Yupo form one
Shi shi mtam we we nakupend sn ila pole kwa mitihani iyo sio yamoja mm pia imenikuta ila Allah atusaheh
Hii stoli imenigusa mm miezi 7 ndo najua km mjamzito na siku aliotoa bikra na mimba 😭
Ah stori hii ya mchezo hakuna lolte shishi kama uongo flani
Nakupenda shishi
Halafu huyu mdada ana miakili mashallah
Nice interview
Kweli Salama unampenda Shish😍co kwa kufurahi huko😂😂😂!!.....happy life
Bahaja Juma firigisi za kuku rosti th-cam.com/video/pjqOur9SMn4/w-d-xo.html naomba subscribe tafadhal
Nishasubscribe
Subscribe kwenye TH-cam channel yangu BONYEZA hiyo picha kushoto hapo dear
Kama unaamin salama alikuwa danger BCC like yako
Wallah hawa watu wawili minawapenda hahahahahaha
Quality of sound is dope...