Ndoa nyingi sanaaaa zinavunjika sanaaaa hawamalizi hata miaka 2 laana ni nyingi sana Natasha kama usemavyo madhindano ni mengi hakuna anaekubali kushuka kwa mwenzie
Yani hiki kichwa cha habari cha hii video ni very sad , Hiyo title ya hii video is BIG MISLEADING, terrible for broadcasting, hakuna credibility kabisa hii online tv is STUPID na haifai kwa jamii
Watu maarufu mnasikika kwa kua mnapo anzisha mahusiano yenu,mnayaweka mitandaoni then kila mfanyacho kwenye hizo ndoa zenu mnapost,na hata zikivunjika pia hivyo hivyo!Ukipendana na msanii wa kike wa bongo movie,jiandae kuaibika kama sio leo ni kesho!
Mama uko right ni laaana ya dunia kweli Ndoa zinVunjika sana 👌
Aisee Natasha uko vizuri sana, wajukuu wanazeeka Bibi anakuwa kijana. Leo ndo nimejua Kama ni Mrs.😂
Wew mtangazaji huyo ni bibi yako mjukuu wake wa kwanza mnalingana, ila big up Mama monalisa bdo you stil young Mungu akupe maisha marefu mno
Hiyo ni raha ya kuzaa mapema unaitwa bibi ukiwa mchnaga kabisaaa 😅😅😅
Hongera sana mama Yvonne, nakupenda sana
Hongera rafiki yangu Natasha(Suzzy)
Nimefurahi kukusikia na habari njema
😂😂😂Mtangazaji Sutwa kweli
Mama katunza mwili wake katunza ngozi yake mashaalah tangy Enzi hizo yupo vile vile
ndio uko sawa huyu mama yuko hivo hivo ngozi yake na mwili wake nampenda sana ❤
@@nadyasalim7956 hata mm nampenda jamani Mungu amtunze
Nikwel ngozi yke nzuri imeglow vizur mashallah sio wke wa mama wanaojichubuwa wanakuw wekunduu
Sasa malaumesema milaana kuwa mtu asiyekuwa sawayako vipi unampongezatena😂😂😂😂
Ndoa nyingi sanaaaa zinavunjika sanaaaa hawamalizi hata miaka 2 laana ni nyingi sana Natasha kama usemavyo madhindano ni mengi hakuna anaekubali kushuka kwa mwenzie
Baby madaha nimekuona,, your missed
Jiran apendi majungu❤❤
Aah kulalaaleki kumbe huyu ni msukuma?🤣
Bora ata ivo kaachika tena tulingane maana nilikua naogopa nikiona mimi ni meacha sana kuliko duuh tuko pamoja shishii
❤❤❤
Johari Kawa mwarabu kama hajataja jina nisingemjua😅😅😅
Age go, No children
afadhali zuchu wetu ataachwa kidogo atazungumziwa shilole
Nani km mama samia Akuna mama Samia oyeeeeeeeeee oyeeeeeeeee miaka mitano chukua tn mama samia suluhu ❤❤❤❤❤❤❤❤
Wee nae umetumwa
Shilole na Romy umri sawa. Ila Romy ni mwili tuu.
Mchungaji natasha amesema tumrejee Mungu.
😂😂😂😂kabisa nilahanaa
Mama monalisa❤❤❤
Shilole hakuwa mkubwa kwa Rommy3D Fuatilia vizuri mwandishi.
😂😂😂 masiharaaa
Vilaana vimejaa😂😂😂
Natasha
huyu dada nikimuona nakumbuka marehemu kanumba
kama laana kuoa mtu mzila mbona mtume muamadi alio mtu mzima inamaana anaalaana
Nimecheka eti katoka kuuza soko kaingia kwenye filamu😂😂😂😂
Yani hiki kichwa cha habari cha hii video ni very sad , Hiyo title ya hii video is BIG MISLEADING, terrible for broadcasting, hakuna credibility kabisa hii online tv is STUPID na haifai kwa jamii
Wanaandika tittle according to the issues trending ndio wapate viewers
Kwa nini mnaandika uongo 👎👎🤮🐖
Hehehehe muje na kwangu mnaisapoti
Watu maarufu mnasikika kwa kua mnapo anzisha mahusiano yenu,mnayaweka mitandaoni then kila mfanyacho kwenye hizo ndoa zenu mnapost,na hata zikivunjika pia hivyo hivyo!Ukipendana na msanii wa kike wa bongo movie,jiandae kuaibika kama sio leo ni kesho!