SNURA ATANGAZA Kuacha MUZIKI/Amuomba SHILOLE MSAMAHA/Ahamia KWENYE KILIMO cha NYANYA/HAMISA na MAMA.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 20 ต.ค. 2024
- _________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe TH-cam channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
Mashahallah ongera cn Snura kwa kuacha mzingi mungu Akubariki cn
Yyt yule ambae Mwenyezi Mungu humpenda Bc humeelekeza katika dini ......Allah akulinde insha Allah❤
Aminy
Allah akufanyie wepesi inshaallah
Kwahyo kuna wat Mungu hawapend?
🥰🥰
Alhamdulillah, Allah azidi kutuongoa na atupe mwisho mwema,
umetugusa wengi ndio kwanza leo nicomment
Amiin amiin amiin
💕💕
Ushauri wangu Kwa da snura.... Usiruhusu interview nyengine fanya mambo yako baki na familia yako ,epuka mitandao na kuhusu nguo zako za Zamani usizitupe wala kuzichoma moto baki nazo vaa ukiwa ndani mwako (ukivaa ukiwa na shemela mambo yatakua ni fire) ukitoka piga baibui lako maisha yaendelee
Hongera sana
Hiyo ni fire kumbe ulikua unamaani ni faya, samahani nimeisoma vibaya
Masha Allah
Kweli izo interview sio nzuri ibilisi anapiga mule mule
✨✨
Hii ndio maana sahihi ya Mwenyezi Mungu humuongoa amtakae
Kabisa
Kabisa
Hakika
Hakika
Sawasawa habbty
MashaAllah umechaguwa njiya ya haki Allah kakupenda
Mashallah dada snura ❤❤hakika Aya za Allah zimebainisha kumuongoa amtakae , Allah akupe husnilhatima
Kumbe kuna wat Mungu hawatak?
💓💓
Sijambo Rahisi kwakweli Mashallah Allah akuzidishie Subra usirudi huko tena
mashaAllah tabarakaAllah Allah azidi kukuongoa na atuongoe wengi na Mimi pia nnae andika ujumbe huu InshaAllah 🤲🤲
Ukisikia hofu ya mungu ni hii sasa❤ hongera sana my dear sister allah azidi kukutangulia ktk maisha yako yote na akujaalie mwisho mwema inshaallah 😘🙏
Allahu Akbar, Allahu Akbar.....umefanya uamuzi sahihi ndugu yangu katika imani, Allah SWT akuongoze usimame katika imani yako na kumtegemea Allah..Takbiiiir
kweli umepata nafasi ya kipekee
Mbn unarejea rejea kumuliza vitu ambavo kashavitolea maelezo dada etu kaeleweka maashallah ❤❤❤
Tumuombe dua sana dada etu Allah amsibitishe kweli kwenye dini maana alikuwepo mzee yusufu na akaenda hadi hijjah baadae akamkimbia Mungu
Mume akiwa bora mara nyng humfany mke kuwa bora❤❤❤
Maa shaa Allah ❤
💖💖
Mungu akujalie maisha mema mapya ulioyaanzisha na mola akujalie mwisho mwema snura
Amiin
Aamiyn kwa sote waislamu
💞💞
Mashallah mungu wangu nakuomba niwe miongon mwa wtu wema Inshaallah
Alhamdulillah Allah azd kukuongoz da snura allah akupe kher na akupe pepo ukifika mbele yake inshaallah
Alhamdllah mashaallh hongera sana bihaloo nimefurahi sana ulipo jibu swali uliloulizwa kuhusu unahitaji mngeni ngani nyubani kwako
Mashallh dada angu, Allah akuongoze ktk njia sahihi
Snura ASA alaykum,,,Allah akuhifadh akudumishe katika njia uloichagua inshaallah nasi kwa Rehma zake atutie katika njia sahihi kwa Rehma zake inshaallah
Allahu Akbar mungu akupe Afiaa fi dunia wal khera Allahuma amee Kenya 🇰🇪
Alhamdulillah Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi wa rizki yako na akutilie barka,Wssalaam Warahmatullahi Wabarakatuh Barakallahu Fiiq.Mwenyezi Mungu atakusamehe Inshaallah na pepeni Firdaus makazi yako.
Maashaa allah! Tabaaraka llah m'mungu azidi kukuongoza ktk maamuzi yako na ajaalie maamuzi hayo iwe ndo sababu ya wengine kukufatia
Amina Inshallah Allah atujaalie na awajaalie na wengine tumrudie M/Mungu tuogope hasira zake Inshallah
Nakupenda sana kwa ajili ya Allah,na namuomba Allah akuongoze kwenye njia iliyonyooka,lakini nakupatia wazo,baada ya maamuzi yako tafadhali itoshe mambo ya vyombo vya habari,umeshajieleza na tumeshakusikia na umekua jasiri sana kuioatia dunia mgongo,waandishi wa habari wakikuita achana nao usiende tena na ikiwezekana badilisha namba zako za simu tataly.
Nataman na mm swala zanguu niwe na mume Wang na watt wang kama Snuraa jmn ❤❤❤ Mashaallah 🙏
Inshallah utapata
InshaAllah zidi kumuomba Allah huwenda anakuchelewesha ili akupe mtuu Sahihi
Inshaallah ALLAH akutakaabalie DUA ZAKO
Kama umepangiwa utaolewa mama
@@AbdullahOmar-be4wy Aamiin 🤲🙏
Insha Allah Mw. Mungu akuongoze dada yetu
Nilikuwa sio shabiki yako, sasahivi mimi ni shabiki yako ❤❤❤🙏
Mashaallaah watabarakaallah allah akuzidishie Imani dadangu Allah atujalie mwisho mwema sisi waja Amiiiiiiiiin Amiiiiiiiiin
Mashaallah allah akulinde dada snura
Allah akusimamie ktk maisha yako yalobak na akulinde na vishawish zidi kuisoma dini ili usije kutetereka
Maasha llah Allah Azidi kukuhifadhi na machafu kipenz changu
Allah sw akufanyie wepesi hadi nimelia hongera dada Allah akusimamie naamini kweli umeamua kila siku tunaambiwa tuombe khusnilkhatma na wala usimkatie tamaa mtu yoyote yule Allah sw akitaka kumuongoza mtu anamuongoza alhamdulilah Allah sw atujaalie mwisho mwema
Mashaallah akuzishiye umri wakufaya❤❤❤ibada kuacha sio umasikini ni kutafuta radhi za allah❤❤❤
Umengusa moyo wangu na Mimi natamani kua Kama wewe mungu akulinde akusimamie kwa Jambo la hery❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤😢😢😢😢ALLAH ATAZIDI KUKULINDA SNURA WANGU
Mashallah Inshaallah uwe mfano kwa wengine😭kikwel ndo nakujua sasa Dada angu ata sina Nyimb nnayoijua Na wala ilikua sijui kama Kuna Snura msanii mwenzenu😭Alhamdulillah Alhamdulillah Mume akiwa mwema Ni rahis kumshawish Mke kuwa mwema na vile vike kwa uoande wa mke akiwa mwema Ni rahisi kumfanya Mume kuwa mwema Al3atufanyie wepes inshaallah Atuonyeshe hakk tuwez kuifata na bateil tuwez kuiepuka🤲🤲Mashallah Alf mabrook Allah akuvue hil na jengine😭🤲
Mashaallah allah akulinde dada snura 27:57
Ongera sana dada mungu akufanyie wepesi
Alhamdulillah Allah qareem ummat Muhammad
Mungu akuongoze❤❤❤🙏
Dada angu allah akufanyie wepes akukubali sana amefanya maamuz mazur kama nyimbo zako zinafutika kwenye utubu futa
Great decision .. May Allah SW continue to strengthen your iman and guide us all towards the right path. Allahu Akbar 🙏
Amiyn🤲🤲,🙏🙏
Mashaallah Allah akulinde dada jitahidi
Alhamdu lillaahi Allah Akuongoze kwa njia iliyonyooka wasanii wengine hamjachelewa hakika Allah Anamuongoza Amtakae Allah Akuhifadhi Akupe umri mrefu wenye baraka ni mfano mwema katika jamii
mwenyezi mungu akufanyie wepesi na akupe riziki ya halali na yenye kua na wepensi inshallah.
Maashaa Allah ww ulikua unasali kweli mana lengo la sala ni kukufanya uache maasi❤
Allah akufanyie wepes inshallah
Allah humuongoza amtakaye Mashaa'Allah Allah azidi kukusimamia na akuongoza katika kheri ❤
Amiin
Uliposema Insha Allah mungu akuepushe kurud kwenye mziki baaas Eeeewaaaa! Hapo umenkosha kabsa co kwa ajil yang ila nmependa vile umemueka M/mungu awe mwangalizi ktk hayo maamzi!,,Masha Allah, Masha Allah!!, mola akusimamie wew na familia yako,,atusimamie na sisi pia na familia zetu katk misingi ya dini Insha Allah. Amiiìin
Mungu akuongoze na atuongoze na sisi inshallah. Na mungu akutie nguvu Kwa uwamuzi uwo..
MashaALLAH ALLAH akufanyia wepesi akuhidi inshaALLAH❤
Maasha Allah da snura Mungu akuongoze usje ukabadilika ❤
Hatujapenda jinsi tangazo la ulevi likipita hapo wakati wa interview ya Dada yetu katika uislamu
Manshallah TABARK RAHMAN ALLAH ATAKUFANYIA WEPESI INSHALLAH KWA MAAMUZI YAKO ALLAH GHAFUR RAHIM 🤲ENDELEA NDUGU YANGU USI RUDI MYUMA ❤
Ujumbe wangu Kwa Wanaume wa kiislam wanawake wengi wapo loyal Sana wanahitaji sisi Wanaume tuwe na msimamo tuache kuwaghilibu wanawake na kuwaharibia maisha kwani na sisi Wanaume tupo na bint zetu utakavyo panda ndivyo utakavyo vuna Allah atufanyie wepesi
Mashaa llah 🌹 mashaa llah 🌹 mashaa llah 🌹 mashaa llah 🌹 mashaa llah 🌹
Habibty 🌹 ALLah mtukufu akulipe badal
Kwakufata njia iliyo myooka
ALLah akupe mwesho mwema
Maasha-Allah !!! Tabaarakallaah !!! Allah akuzidishie kukuongoza ww na si pia . Hongera sanah
Ni kwel dadangu alkua unasema unatafuta rizki kutumia kalio lako ila mashallah niljua una iman moyoni sema ubinadamu Allah atuogoze ktka njia sahihi
mashaallah dada yang nakupenda kwa ajil ya Allah
Alhamdhulilah in Sha Allah M😢Mungu atakusimamia in Sha Allah
Mashaallah. Allah azidi kukuongoa
Mashaalla Allah akuswameh akuongoze rudi kwa dht ya moyo wako
Dada sanura usiwasikilize wandishi wahabari. Wakuoji ili waludi kwenye upuuzi wawo
Ndio wanataka uwe kama wAwo
MashaAllah unajibu naswali vizuri saana. Allah akuongoze ktk hili
Maa shaa llaa snura natamani nikuone uso kwa macho
Nakupenda Sana kwajili ya allah..mungu nasisi atuongoze inshallah..namim nataman sana nibadilike...mungu atulinde na atuongoze na atuongoke..na mungu akuongoze na akusimamie sana inshallah..namim mungu atupe mwisho mwema sisi na familia nakizazi changu...amin amin amin mungu akuongoze
Allah ampe wepesi InshaAllah..... Alhamdullilah
mashaallah Allah akuongoe habbty nakuomba ujisitiri hivo hivo wewe ni muislamu ,ila habbty ubadilike kweli usiache kichwa wazi hata kidogo na usijali kuhusu watu hata wakasemaje kama wewe hujaacha na habbty Allah ashakusamehe il ukirejea tena ndy mthn,Allah akuongoe na sisi piaaa na atujaalie tuingie peponi inshallah, na ujue Allah anakupenda habbty kil kheri dada angu
Kwa nini afiche uso wake? Hata katika swala na Hijja kuficha uso ni haramu. Qur'an iko wazi hamuongezi ugumu kwa alichoamua Mungu.
Allah akufanyie wepec taupe mwisho mwema
Alhamdulillah ALLAH anaweza Alhamdulillah ALLAH akuzidishie san ndugu yang 🎉
Mungu akujaliye inshalla snula
Allah akuongolee ndoa yako na ss pia
Ma sha Allah
Mungu humwuongoza amtakaye
Ma sha Allah Allah atudumishe ktk dini
Hakika shaytwan huwapoteza watu jamani tumwuepuke Audi ambaye yeye anatuona SS atumwuoni
Mwenyezi mungu amekuongoza katika njia iliyo nyooka usije ukarudi nyuma kama mzee yusuph
Allah akurinde akusame makosa yako sister Sali sana dini ndo kila kitu dunia mapito atuwezi kuishi hapa duniani maisha yetu yote
Masha'allah mamy nakupenda kwa ajili ya allah allah kakuchaguwa sirahisi
Mashaalh mwenyezi mungu atuongoze sisi wote na atupe mwisho mwema
Manshallah mngu akusimamie inshaallah ❤
Mashaallha mwenyez Mung akuongoze inshallah
Allah kareem akuhifadhi na kurudia tena Aamin
Allah akulinde na atupe mwisho mwema
allahu akbar mola akutoe hapo na pengineqlhamdulillah snura jazakzllahul kheir
Mashallah,snura mungu akuo ngoze,usifa nye tena interview ss wape watu maneno ya kimaani na lengo letu ss binadamu wa kuwepov hapa dunian
Ongera sana. Utaepukana na majanga❤❤🎉🎉
Assalaam alaikum Warahmatullahi Wabarakaatuh, Dada angu ALLAH akuwafikishe kwenye Haqq si jambo jepesi mfano wa maamuzi yako
Allah akuhifadhi sana ndugu snura
🤲🤲🤲 ya Allah awaongoze na wengine wote
Mashallah Allah akufanyia wepesi dadangu endelea na msimamo huo huo
Na inshqllah iwe mifano kwa wengine Allah kishakupeda ❤mashallahu hongera namumewo mudumu kwa zaidi na ww mtangazji maswala mengine mpaka mtu anawaza vibaya endelea kuongoka tuko pamoja kw du
Ma Sha Allah, Allah atujarie mwisho mwema
Allah atuongoze sote ❤
Mashaallh mungu akufanyie wepesi
Tuombe mwisho mema masha Allah
Ongera sana dadangu mwenyezi mungu akupe afya njema na familia yako
Allah akuhifadhi na akutangulie snura umechukua maamuzi sahihi.
Maa shaa Allah hongera Sana nimekupend ❤❤Allah akuongoze
Masha Allah Mungu akupe mwisho mwema
Binafsi nilitaraji hilo Mungu azidi kukuongoza
Mungu nasisi atupe mwisho mwema innshaala inshallah inshallah
Mashaallaah Allah akupe pepo yake inshaallaah Alhamdulilahi dada umetoboa. Hakika Allah kakunusuru wallahi
Mashaa Allah
Inshaalah allah atupe mwisho mwema