NI KWELI!!!!BABALEVO AFUNGUKA KUVUNJIKA KWA NDOA YA SHILOLE/ ANA MPENZI MPYA / TALAKA MBILI TU!BADO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

ความคิดเห็น • 51

  • @Ms_iptyy_makeup_artist
    @Ms_iptyy_makeup_artist 3 หลายเดือนก่อน +3

    Talaka sio kitu cha masihara mwanamme akikutamkia tu nmekuacha tayar talaka

  • @mnyongeiddi2454
    @mnyongeiddi2454 3 หลายเดือนก่อน +11

    Wasanii wetu ni ATM machine kila card inaingia 😂

    • @cutehappy3984
      @cutehappy3984 3 หลายเดือนก่อน +2

      Hapana kwasababu wao ni vioo vya jamii ndo maana unaiona ivyo pengine pia wewe umeshakuwa na mahusiano mengi kuliko hata hao wasanii unaowaongelea sema tuu haujulikani ndo maana

    • @victaboy7273
      @victaboy7273 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@cutehappy3984unajua maana ya kioo cha Jamii?

  • @rajabkhamis2303
    @rajabkhamis2303 3 หลายเดือนก่อน +2

    Jamani eeeeh hebu tusomeni kwanza ndio tutoe fatua,hiyo talaka inaswihi

  • @vero57
    @vero57 3 หลายเดือนก่อน +2

    Wanawake mara nyingi wakiwa wanapesa kuliko mwanaume ndiyo inavyo kua , pole sana kaka ,

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 3 หลายเดือนก่อน

      Nikweli sii jui ni kwa nin nikutokujielew am duuh wameachan leo kesho ana mahusiano mengine duuh zinaa zimetawala san

    • @user-mi7cd8ch1b
      @user-mi7cd8ch1b 3 หลายเดือนก่อน

      Kabsaa ssi wanawake tukiwa na pesa majeuri na hatodumu na Kila Haina ya wanaume ujeuri unakuwa mwingi taraka inaswii mtu yupo marekani na kamuacha mkewe

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 3 หลายเดือนก่อน

      @@user-mi7cd8ch1b tunazitafuta kwa shida san pesa ndo maan yunakuw hiv lakin siyo wote baadhi yetu

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 3 หลายเดือนก่อน

    Ammy sura imezeeka daah

  • @amanisalum1638
    @amanisalum1638 3 หลายเดือนก่อน +2

    Midhali aliyeandika ni mume talaka itakuwa imetoka.
    Atakachofanya ni kuleta tu huo uthibitisho na kumkabidhi mbele ya shahidi

  • @abdulqadirjuma7495
    @abdulqadirjuma7495 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wapumbavu ninyi wasafi wote kama talaka ya kutamka tu inaswihi vipi talaka ya kuandika kwenyesimu na akatumiwa mlengwa isiswihi?Msiwe mnaongea vitu msivyo vijuwa.hiyo talaka aliyoandikiwa kwenye simu ni talaka sahihi kabisa na inaswihi

  • @harunazari5026
    @harunazari5026 3 หลายเดือนก่อน

    Uyo baba levo ajui talaka ya kweny cm inaswihii vizur km ajui aulize vizur

  • @mbanga6759
    @mbanga6759 3 หลายเดือนก่อน

    Jamani acheni mzaha toka lini jakhiri aongee Mambo ya dini kiislamu

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 3 หลายเดือนก่อน +1

    We baba levo wasema talaka ya kwenye cm haishwii nani kakwambia ? Hiyo imeshwii

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 3 หลายเดือนก่อน +1

    Pesa inaongea KWA SHISHI.. ,😂😂🤣🤣📌📌

  • @YasminYasmin-vj5ih
    @YasminYasmin-vj5ih 3 หลายเดือนก่อน +2

    Inaswhi

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 3 หลายเดือนก่อน +1

    Siku zote mwanamke akiwa na pesa kuliko mwanaume its big problem hata biblia imesema

  • @YasminYasmin-vj5ih
    @YasminYasmin-vj5ih 3 หลายเดือนก่อน +2

    Ninaswii

  • @mariyamgharib940
    @mariyamgharib940 3 หลายเดือนก่อน

    Kidini hiyo talaka inasihi coz mwanamme akitamka tu iyo ndo tayari si mkeo

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 3 หลายเดือนก่อน

    ahaaa kile kibwana mdog kimeachwa hahaaaaa tafuta pesa mzeee acha kupenda kitonga

  • @user-mi7cd8ch1b
    @user-mi7cd8ch1b 3 หลายเดือนก่อน

    Shishi anashida

  • @Ummuilltham
    @Ummuilltham 3 หลายเดือนก่อน

    Ata ukiandika ubaon tayali ni talakaa

  • @sharonyasin7521
    @sharonyasin7521 3 หลายเดือนก่อน +1

    Aliyepeleka nje ni shishi na picha yake na kijana mwingine,yule kakoment kufatana na picha

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 3 หลายเดือนก่อน

    Baba levo anamtetea Shishi kwa manufaa ya tumbo lake.Shishi kaanza kupeleka picha alikuwa na maana gani?

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 3 หลายเดือนก่อน

    Talaka ni talaka iwe kwenye simu au karatasi

  • @yahayaallytv2852
    @yahayaallytv2852 3 หลายเดือนก่อน

    Talaka inaswihi hata kwenye simu

    • @zahormohammed4476
      @zahormohammed4476 3 หลายเดือนก่อน

      Talaka inaswihi hata kwa kimemo wachilia mbali kwenye simu ikiwa mwanaume atathibitisha kimemo kimetoka kwake

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 3 หลายเดือนก่อน +3

    Shishi vivulana sasa achana navyo hivyo ni saiz ya watt wako wavulana wa sasa hv hawana adabu wanaweza kulala ww na mtt wako tafuta jibabu bilingita nalo

    • @ashurahatibu5069
      @ashurahatibu5069 3 หลายเดือนก่อน

      romy ni sawa yake ni mwili tu

  • @user-qd2tp2mb5l
    @user-qd2tp2mb5l 3 หลายเดือนก่อน

    Hahaha taften walimu talaka Haina mzaha ishatoka hyo Ina swiii

  • @teddymanswety9198
    @teddymanswety9198 3 หลายเดือนก่อน

    Inaswihi baba levo acha uongo

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 3 หลายเดือนก่อน

    Baba levo mkiristo ajuwe wap inaswii hiyo imeisha

  • @swaiseif2989
    @swaiseif2989 3 หลายเดือนก่อน

    Inaswihi bhna kwann isiswihi

  • @joycethomas3183
    @joycethomas3183 3 หลายเดือนก่อน

    Shilole naye kazidi kuolewa

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel 3 หลายเดือนก่อน

    Walio anza kusema kwamba wame achana ni juma lokole

  • @CharlesRehani
    @CharlesRehani 3 หลายเดือนก่อน

    Uyu dada mtangazanji namsahau jina nina mpendaka saaana kbsa❤

  • @khamoshmikidadi618
    @khamoshmikidadi618 3 หลายเดือนก่อน

    Kwaio na mimi sijaachika?mn pia nimepewa talaka kwenye simu?

    • @asmahassan5661
      @asmahassan5661 3 หลายเดือนก่อน +1

      Umeachika mmy hata kwa kutamkiwa tuu inakubalika

    • @user-hy9pp5rp9i
      @user-hy9pp5rp9i 3 หลายเดือนก่อน

      Kumbe tupo wengi

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 3 หลายเดือนก่อน

      Talaka mwanamme hata akitamka talaka si mke wangu kashakueacha kuna mtu akimwambia mkewe ukitoka si mke wangu kila kitu akitumia hivo mwishowe mwanamke akahisabiwa kaashaambiwa mara 3 kaachika na kashaolewa na mume mwengine

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 3 หลายเดือนก่อน

    Imekwisha hiyo et haiswi et ziwe tatu kuropokwa tuy hiyo moja inatosha hiyo ni talak hata zikngekuw 10 ni bure tuy huyo kaachwa kwa din yetu halas aolew tuy

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 3 หลายเดือนก่อน

    Ww baba Levi ayo mmbo wa hue waislam ok talaka kwenye sim haisih kakwambia Nani

  • @Dealson-w5l
    @Dealson-w5l 3 หลายเดือนก่อน

    Ahaha

  • @Shufaa-nf3sj
    @Shufaa-nf3sj 3 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 3 หลายเดือนก่อน

    Kachapwa talaka 2 mbwa huyu

  • @Lewinglovbi6699
    @Lewinglovbi6699 3 หลายเดือนก่อน

    Wavulana wa Dar wanapenda kulelewa sana na ndo tatizo kumbwa hiyo.😂😂😂😂