MWABUKUSI AMVAA MWANASHERIA MKUU/ASEMA SIOGOPI, SIISHI KWA VYETI, AMTAJA CHONGOLO, HAMJUI MSANDO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 ส.ค. 2024
  • 🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
    🔘WhatsApp (+255 767 400402)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...

ความคิดเห็น • 145

  • @hollojuma9538
    @hollojuma9538 ปีที่แล้ว +15

    Mimi sichoki kumsikiliza mwambukus namuelewa saaana 💪👍🙏🤝

  • @ambitiousholyspirit395
    @ambitiousholyspirit395 ปีที่แล้ว +15

    safi sanaaa! Boniface Anyisile kajunjumele Mwabukusi.

  • @abdyissaabdi108
    @abdyissaabdi108 ปีที่แล้ว +14

    Ujengewe sanam wakili😂😂🎉🎉🎉

  • @florianakhweso5749
    @florianakhweso5749 ปีที่แล้ว +7

    Asanteeeee Mheshimiwa wewe ndo Mheshimiwa na sio hao vichaa walio logwa WA ccm

  • @aikandeshoo5354
    @aikandeshoo5354 ปีที่แล้ว +7

    Ubarikiwe mtumishi wa Bwana. Mungu hatakuacha, simamia hapohapo na taaluma yako inakulinda

  • @kasiankillo6949
    @kasiankillo6949 3 หลายเดือนก่อน +5

    Mwabukusi uko vzr sana ila kwakuwa watu wanaona wote ni mbulula watanza

  • @kamalabuberwa2001
    @kamalabuberwa2001 ปีที่แล้ว +15

    AG kachemka hapo, bora anyamaze maana watanzania tunaelewa kinacho endelea. Bandari zetu haziuzwi. Tutasimama na Mwambukusi hadi kieleweke

  • @kahemachowdry7346
    @kahemachowdry7346 ปีที่แล้ว +10

    Ukiona baba anauza nyumba alafu watoto Wanashangilia kununuliwa Mandazi,Hao watoto sio Bure ni Machizi na Mateja

  • @user-eq9lw9ju1l
    @user-eq9lw9ju1l ปีที่แล้ว +8

    Uko vizur bon mungu atakusimamia na wataanzania wote wanao jua haki zao na uzalendo wa nchi Yao.

  • @silverrichard1211
    @silverrichard1211 ปีที่แล้ว +15

    Safi huyu ndie mzarendo wa kweli

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 2 หลายเดือนก่อน +1

      Wazalendo wazuri katika nchi hii wanayosifa. ya kupuuza ushauri was watu ambao siyo viongozi CCM na serikalini wanajua familia zao tu na wale machawa wanaojipendeza kwao ambao ni wachahe sana hawafiki hats milioni mbili walipobaki wanaonekana ni mbumbumbi hwaskilizwi

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 ปีที่แล้ว +3

    Hongera ndugu kazi yako Mungu anaiona,umejitoa sadaka Kwa akili yetu sisi wanyonge Mungu akuinue ktk jina kuu la Bwana Yesu,

  • @IbuGang
    @IbuGang 19 วันที่ผ่านมา

    Mimi sichoki kumsikiliza Mwabukusi ni mkweli na yupo wazi Mungu amlinde na amtuze na kila roho ya upinzani inayomfatilia ishindwe Katika jina la Yesu kristo ameen

  • @MeshackMwangwale
    @MeshackMwangwale หลายเดือนก่อน +3

    Wewe songa mbele tunakuombea hatuna pakusemea MUNGU Akulinde.

  • @pillykimenyi846
    @pillykimenyi846 ปีที่แล้ว +5

    Mungu awe pamoja nawe nasi tunakuombea watanganyika tuko pamoja

  • @kahemachowdry7346
    @kahemachowdry7346 ปีที่แล้ว +5

    Wafundishe Bro Big Up

  • @JosephinaLuoga-lo9os
    @JosephinaLuoga-lo9os 9 หลายเดือนก่อน +2

    UmewAzidi wote bro hakika wewe ni mzalendo. Pamoja sana

  • @ezammwakisambwe-t8u
    @ezammwakisambwe-t8u 19 วันที่ผ่านมา

    Makini sana kiongozi wetu tunakukubali mzee unatemaga madini TU aisee!! May God protect you

  • @user-lu8ny2gu7t
    @user-lu8ny2gu7t หลายเดือนก่อน +1

    Barikiwa baba Mungu aendelee kukuinuwa tena viwango vya juu

  • @success-only
    @success-only ปีที่แล้ว +5

    Aisee, mwanaume na nusu
    Vyeti ni vithibitisho vya kwenda shule,
    Na siyo lazima uwe umesoma ndipo uishi na kuwa utashi kama Binadamu

  • @nelsonmwaipaja3727
    @nelsonmwaipaja3727 ปีที่แล้ว +5

    Daaaaah aibu imshukie huyo wakili mkuu Boniface hata mkimfungia vyeti haitowasaidia chochote tutasimama Na ukweli,nimeiona Tunduma iliposimama Na Boniface pale walipobomolewa nyumba Zai mpakani watu walilipwa fidia zao huyu kaka anamsimamo wenye manufaa makubwa ✍️

    • @balthazarkilasi9825
      @balthazarkilasi9825 ปีที่แล้ว

      Wakili wa Serkali amesema mkataba huo DP wamesema ktk. Kipengele kimoja ya kuwa TPA au WATANZANIA tukitaka kuendeleza Bandari yeyote nje ya tulizokubaliana. "LAZIMA TUWAARIFU" ....wao DP sikukuelewa,jee ni kweli tunatakiwa kufanya hivyo na ni utaratibu? tuelimisheni!

  • @violetn.finnvik373
    @violetn.finnvik373 ปีที่แล้ว +2

    🇹🇿🙏🙏😭.Mungu ibariki Tanzania. Kaka ubalikiwe🙏❤️

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 ปีที่แล้ว +3

    Mwambukusi kiboko Uko vizuri

  • @jumannesalumu8290
    @jumannesalumu8290 ปีที่แล้ว +3

    Hongera sana tupamoja towatamko

  • @elizabethringo7154
    @elizabethringo7154 ปีที่แล้ว +3

    Kwenye haki ya nchi sema ukweli mungu akutetee

  • @sadallahbataza1906
    @sadallahbataza1906 ปีที่แล้ว +5

    Ubarikiwe kakaa ulikuwa wapi ww miaka yote hii?!

  • @AmosRugaimukamu
    @AmosRugaimukamu 21 วันที่ผ่านมา

    Safi sana, nakukubali sana, uko viziri mwamba

  • @AbdalaKitangoma
    @AbdalaKitangoma 18 วันที่ผ่านมา

    Jamani mungu ametuletea mkombozi mwingine tumshike mkono namungu amlinde

  • @ClemoohPeter
    @ClemoohPeter 2 หลายเดือนก่อน

    Safi sana baba tutetee sisi ambao hatuna wa kutusemea hayo mana hawa viongozi sijui hili taifa wanataka kufilisi

  • @rithaurassa
    @rithaurassa 21 วันที่ผ่านมา +1

    Hakika ninhekuwa na ulinzi ningekuwekea .Ila nimekuwekea ulinzi wa MUNGU UNATOSHA KWA MAISHA YAKO YOTE.

  • @hanscmakerdm9943
    @hanscmakerdm9943 ปีที่แล้ว +7

    Respect 🙌

  • @gibsonsilungwe685
    @gibsonsilungwe685 ปีที่แล้ว +2

    People of Tanzania. I can assure you that ccm they are deeply devoted to God, but their devotion is not based on true knowledge. They have not known the way in which God puts people in right with himself, and instead, they have tried to set up their own way, and they did not submit themselves to God's way putting people right. Waroma 10vs1-4

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg307 ปีที่แล้ว +4

    Tungepata hata watz 5 tu kama huyu, daaah tz ingenyoka

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab 5 วันที่ผ่านมา

    Kiongozi Wa Bala Akienda Zanzibar Anaenda Kutalii Lakini Wa Zanzibari Akija Bala Anakuja Kupiga Kazi Acheni Wana Shelia Wacheze Ngoma Tuone Washindi Kuliko Kupiga Mazogo Vijiweni Kupitia Wasomi Bola Tutajua Wapi Kunavuja Lakini Raisi Wetu Anapiga Kazi Hela Anatoa Lakini Waliochini Yake Ndio Tatizo

  • @festoasanga5572
    @festoasanga5572 ปีที่แล้ว +4

    Nakupenda bure msemaji wawanyonge

  • @karushakamusa5525
    @karushakamusa5525 ปีที่แล้ว +2

    Safi sana msomi

  • @lunjeramadhani1295
    @lunjeramadhani1295 ปีที่แล้ว +1

    Mwenyezungu akupenguzaidi kaka

  • @HassanSaburi-ge6ej
    @HassanSaburi-ge6ej หลายเดือนก่อน +1

    Baba pambana tuko nyuma yako wameanza muda mrefu sana haya mambo Yao ya wizi

  • @olemnakitende7637
    @olemnakitende7637 ปีที่แล้ว

    Yani naomba kabxa, thanks alot,kila mmoja ana haki

  • @MartinSiimay-jj9jk
    @MartinSiimay-jj9jk ปีที่แล้ว +1

    Safi sana kamanda

  • @olemnakitende7637
    @olemnakitende7637 ปีที่แล้ว

    Mungu yupo nasi,ubarikiwe,sana

  • @thomasmmoka4884
    @thomasmmoka4884 ปีที่แล้ว +2

    Ingekuwa vema kama Mama Samia angemteua Mwambukusi kuwa AG badala ya Feleshi.Mwambukusi kawaumbua madalali wa DP World,sasa wanaona haya,kumchukia na kumfitini Mwambukusi!

  • @AkleyNziku-cv9lt
    @AkleyNziku-cv9lt ปีที่แล้ว +1

    Mwabukusi Mungu awe na Wewe Daima

  • @ofreyking5975
    @ofreyking5975 ปีที่แล้ว +3

    Hawa ndio wanatakiwa kua viongozi sio wapga dili miaka yote wawekezaji hawana msaada wowote kwnn maden yanaongezeka kila cku waache bandali kama wameshindwa watoto zetu watakuja kuiendesha

  • @Clement-px8eg
    @Clement-px8eg ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki sana

  • @kessydieselengineers3205
    @kessydieselengineers3205 20 วันที่ผ่านมา +1

    Wanategemea police ndiyo wanawapa jeuri

  • @swalehemusa4546
    @swalehemusa4546 7 วันที่ผ่านมา

    Wananchi pamoja na police badala ya kupambana na viongozi ambao wanaturudisha nyuma wao wanapambana na chadema

  • @AnnoyedBooks-kn5pm
    @AnnoyedBooks-kn5pm 2 วันที่ผ่านมา

    Bora

  • @VailettyShigerla-fw2sg
    @VailettyShigerla-fw2sg ปีที่แล้ว +1

    ❤❤❤❤❤ san ww ni kichwa

  • @amosbirusha952
    @amosbirusha952 ปีที่แล้ว

    Kiongozi mzuri sana ni yule anaesikiliza maono ya anaowaongoza,na si vinginevyo

  • @user-ji1mq4sk1n
    @user-ji1mq4sk1n หลายเดือนก่อน +1

    uwoga wetu haujawahi kutusaidia

  • @hamisiomari-k9z
    @hamisiomari-k9z 21 วันที่ผ่านมา

    sana boss

  • @michaelkimweri1074
    @michaelkimweri1074 ปีที่แล้ว +2

    Kaka uko viziri hatuna hamu na ccm,tupo nyuma yako kimaonbi,hii no haki yeti.

  • @YoakimMsuha
    @YoakimMsuha 21 วันที่ผ่านมา

    I see new TANZANIA

  • @JohnMagweiga-uu8fv
    @JohnMagweiga-uu8fv ปีที่แล้ว +1

    Usimwogope mwanadamu

  • @robinilomo2887
    @robinilomo2887 ปีที่แล้ว

    Asante bro,kati ya Wasomi wachache Tanganyika wewe umo,Endelea na Mapambano tupo na wewe,Wameshazoea kutishana hao wachumia Tumbo,Wasomi wa Tanganyika wengi hawajitambui wanaendeshwa kwa tamaa sio Weledi cha ajabu wanajiita Maprofesa na Madokta

    • @yussuffadhil4522
      @yussuffadhil4522 ปีที่แล้ว

      Hahaha babdari itauzwa tuu

    • @yussuffadhil4522
      @yussuffadhil4522 ปีที่แล้ว

      Hahaha bandari itauzwa tuu...... na leo mnatambua km kuna Tanganyika?

    • @robinilomo2887
      @robinilomo2887 ปีที่แล้ว

      @@yussuffadhil4522 Kichwa Maji we hujitambui,kati ya hao majuha niliyowaongelea

    • @robinilomo2887
      @robinilomo2887 ปีที่แล้ว

      Tofauti ni kwamba we hujasoma,Failure

  • @AbdulOthman-gy7nu
    @AbdulOthman-gy7nu 20 วันที่ผ่านมา

    Unafaa kuwa rais wa Tanzania

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 ปีที่แล้ว +1

    Mainzi kijani watanzania tunamweleea San wakili mtajua hamjui

  • @simonibonifasi3131
    @simonibonifasi3131 ปีที่แล้ว +1

    Mimi kama mtanganyika nikopamoja nawewe wakili musomi

  • @user-nt4lp9dy6i
    @user-nt4lp9dy6i ปีที่แล้ว +1

    Haki yetu haki yetu haki Mali zetu uzalendo na Katina mpya vyote viwe wazi tutetee kaka yetu hatutaki tena kuwa watumwa

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley6124 ปีที่แล้ว +2

    bora mwanasheria mkuu wa serikali angekua mwabukusi anaeleweka kuliko.huyo swaza wa.mkatabata wakimagumashi, tunekuelewa mwabukushi❤

  • @AshrafuMwalongo-km5fd
    @AshrafuMwalongo-km5fd 10 หลายเดือนก่อน

    Mungu akupe maixha malefu

  • @barakamusapolekidoti957
    @barakamusapolekidoti957 19 วันที่ผ่านมา

    Mkuu heshima kwako

  • @alfrediaugustino1026
    @alfrediaugustino1026 ปีที่แล้ว +1

    Mapambano ya haki huwa haiombwi bro uko fiti ,okoa bandari zidi ya genge la wahuni serekalini.

  • @SamweliHozza
    @SamweliHozza 22 วันที่ผ่านมา

    Hili lijanaa ni very smart

  • @HassanSaburi-ge6ej
    @HassanSaburi-ge6ej 23 วันที่ผ่านมา

    Hivi watanganyika nao wanahuziria kwenye vikao vya zanzabr loo soyati ?

  • @VailettyShigerla-fw2sg
    @VailettyShigerla-fw2sg ปีที่แล้ว +1

    Damu ya yesu ikufunike

  • @Nancy-z8h
    @Nancy-z8h ปีที่แล้ว +1

    Watuachie bandari yetu titatusiadia katika muungano wa one african na putin wetu

  • @rogattemba
    @rogattemba 17 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤❤❤

  • @legendmmari8094
    @legendmmari8094 ปีที่แล้ว +1

    Kudra anatumika vibaya kwenye lipi soma mkataba acha kuwa mbumbumbu

  • @jumarobert4929
    @jumarobert4929 11 หลายเดือนก่อน

    God blass you baba

  • @olemnakitende7637
    @olemnakitende7637 ปีที่แล้ว

    Mungu yupo nawe kabxa,

  • @janiafaomaa5120
    @janiafaomaa5120 20 วันที่ผ่านมา

    MWABUKUSI UNAOTA AU VIPI WAZANI KUNAMTU AU WATU WANAKUOGOPA WAMEPITA WATUKAMAWEWE NAKUPITA WEWE WEWENANI NIMUGU

  • @edithmwasulama7005
    @edithmwasulama7005 28 วันที่ผ่านมา

    Mnyakyusa hapelekwi pelekwi kipuuzi hana unafiki na woga

  • @lalosalamanca7131
    @lalosalamanca7131 ปีที่แล้ว +1

    🔥🔥🔥🔥

  • @danielchacha1305
    @danielchacha1305 ปีที่แล้ว +2

    Hawa watu hawana aibu wala huruma hata kidogo.Kama wazee wetu waliilinda nchi yetu kwa gharama kubwa hadi uhai wao na ndio maana leo wanakula na kuendesha magari makubwa na wamejiona kuwa miungu isiyokosolewa! Daw ni kuwatoa madarakani kwa nguvu ya uma.

  • @user-bx3em9jc6m
    @user-bx3em9jc6m 11 หลายเดือนก่อน

    Mungu yu pamoja nawe hao ccm hawana dini

  • @FloridaAdelinus
    @FloridaAdelinus ปีที่แล้ว +1

    Kweli kabisa Hata MAMA amekubali kwamba wanasheria wake wanaogopa wazungu ndiyo maana wakienda kututetea kimataifa wanashindwa kesi. Inavyoonekana hata katika kusaini mikataba wanaogopa wazungu hawasomi kilichomo wanasaini tu ndiyo maana wamesaini bila kusoma na kusababisha TZ yetu kuingia kwenye taaluki. Mchague Bwabukusi awe AG ambaye hawaogopi wazungu tuweze kushinda hizo kesi zingine zilizoko kwenye mahakama za kimataifa. MWABUKUSI OYEEEEE.

  • @evaemil856
    @evaemil856 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @jumannesalumu8290
    @jumannesalumu8290 ปีที่แล้ว +1

    tukopamoja tumechoka kuongopa

  • @user-rp1ys6pw9f
    @user-rp1ys6pw9f 11 หลายเดือนก่อน

    Mbona kila ukiongea siogopi ni mtanzania yupi uliomuona anaogopa unajiita msomi kweli umeenda shule lakini huna hekima na pia hujui kupanga maneno kuna watu wenye hekima wanakufatilia kukusikiliza ila tunahisi kuwa ww unaogopa sababu ajenda uliyopewa na wateja wako kimekuzidi uzito

  • @shalomchaula4420
    @shalomchaula4420 ปีที่แล้ว

    Hakika tunaitaji kuamka izo nchi za kiarabu kipindi tunapata uhuru zilikuwa na Hali mbaya kuliko sisi na ukilinganisha rasilimali zao ,ila Leo sababu waneendelea tuendelee kuwategemea ili tuendelee kuwa watumwa wa fikra ukweli watanzania wenzangu hii haiko sawa hata Kwa mtu yeyote chini kule huu mkataba wa bandari na mikataba mingine kuhusu Mali asili ,nishati za umeme , jeshi ipitiwe waarabu wamepenya ndani wameweza Sasa wakichukua na bandari ...ni mfano wa mwizi kaingia ndani na kapata ufunguo wa mlango mkubwa wa sebureni ule wa kutoka nje ....watanzania wengi nimeongea nao wanasema tuache tu tunaathirika na nin mbona hiko ivyo toka zamani najisikia vibaya maan uchumi tulionao sio sawa na hata maendeleo ya sekta zetu zote Bado afya,elimu, miundo mbinu na nk na Bado mtu unasema sawa aloooho tuamke sio sababu ya chochote ila tuweze kutoka katika Giza hili na kujua haki zetu onene wenzetu uko mbele wanavyoishi we need to change our mind tuondoe hofu

    • @muuminikidunda9214
      @muuminikidunda9214 ปีที่แล้ว

      Mbona wazungu wanamiliki migodi mingi ya dhahabu na kuendesha mashirika yanayosupport ushoga hao mawakili wapo kimya

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 ปีที่แล้ว

    Gwajima,Yuko wapi mbona Yuko kimya

  • @digostjafety6070
    @digostjafety6070 ปีที่แล้ว

    Wanatumia pesa zetu vibaya wanawapa alikiba na diamond ili watu tusahau kusikiliza vitu vya msingi

  • @muuminikidunda9214
    @muuminikidunda9214 ปีที่แล้ว

    Wenzio walikataa SGR,bwawa la mwalimu nyerere wakamkataa na magufuli , amekufa upepo umebadilika leo wanataka magufuli awepo?

  • @BoniventureMagina
    @BoniventureMagina หลายเดือนก่อน

    Huyu mwamba shikamooo

  • @kingngojea
    @kingngojea ปีที่แล้ว

    Mwabukus saluti kwako mwamba wewe mtanzania wewe nakutukana wewe ni litanzania uliezaliwa Tanzania utakufa kwaajiri ya nchi Yako mtanzania mkubwa wewe

  • @muuminikidunda9214
    @muuminikidunda9214 ปีที่แล้ว

    Tatizo njaa mnataka kitonga bandarini kuna wizi mkubwa ndio maana bandari kubwa maendeleo hakuna. Wacha waarabu wawanyooshe nyie wezi mawakili .hamtaki waarabu wawafundishe jinsi ya kuendesha bandari

  • @AbdalaKitangoma
    @AbdalaKitangoma 18 วันที่ผ่านมา

    Mwamvukusi nunua maik unawajua mtani tumepata jembe

  • @kahemachowdry7346
    @kahemachowdry7346 ปีที่แล้ว

    Nchi hii hivi ,Vihiyo na vipaza mpaka lini

  • @kinkybanjukome217
    @kinkybanjukome217 ปีที่แล้ว

    Umeongea kweli alutakontinua mapambano yaendelee

  • @muuminikidunda9214
    @muuminikidunda9214 ปีที่แล้ว

    Tembelea upepo kaka, wenzio watakuacha upepo ukivuma upande mwingine

  • @fatmaabdullah7516
    @fatmaabdullah7516 ปีที่แล้ว

    Mungu akulinde wewe na muheshimiwa bashe nyinyi ni wazalendo

  • @mimiraia2531
    @mimiraia2531 ปีที่แล้ว

    Watu wa Pwani watu wa hovyo sana. Kinachoisumbua nchi hii ni ushenzi wa watu wa Pwani…..wapuuzi wanaocheka cheka huku wakiuza nchi. Mbwa kabisa wale

  • @abiabi9353
    @abiabi9353 ปีที่แล้ว

    Sasa wewe mnafiki huu ushujaa wote ulionao ulikuwa wapi wakati magufuli anafungia watu kwenye viroba,ulikuwa wapi wakati magufuli akiamuru tundu lissu auliwe. Watu rabish kama huyu hawezi kunishawishi chochote

  • @malackedson7706
    @malackedson7706 9 วันที่ผ่านมา

    Mwamba huyuuu

  • @kingngojea
    @kingngojea ปีที่แล้ว

    Tungekua na watu 50kama awa daaa

  • @luckMwamwage
    @luckMwamwage ปีที่แล้ว

    Kyala aje nanungwe nkulumba.

  • @juliussilvestar8988
    @juliussilvestar8988 ปีที่แล้ว

    Huyu bwana ha ha ha ha ha ha

  • @EzekiaMtwale
    @EzekiaMtwale 20 วันที่ผ่านมา

    Hamasisha usichoke kuwaelimisha watanganyika baba tupo pa1 hatuogopi matisho!!!

  • @senyagwadickson9084
    @senyagwadickson9084 5 หลายเดือนก่อน

    Wakili msomi waambie hao wasomi wajinga tu