MWABUKUSI AMVAA MWANASHERIA MKUU/ASEMA SIOGOPI, SIISHI KWA VYETI, AMTAJA CHONGOLO, HAMJUI MSANDO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 10 ก.พ. 2025
- 🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 767 400402)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...
Mimi sichoki kumsikiliza mwambukus namuelewa saaana 💪👍🙏🤝
safi sanaaa! Boniface Anyisile kajunjumele Mwabukusi.
Ubarikiwe mtumishi wa Bwana. Mungu hatakuacha, simamia hapohapo na taaluma yako inakulinda
Asanteeeee Mheshimiwa wewe ndo Mheshimiwa na sio hao vichaa walio logwa WA ccm
Uko vizur bon mungu atakusimamia na wataanzania wote wanao jua haki zao na uzalendo wa nchi Yao.
Hongera ndugu kazi yako Mungu anaiona,umejitoa sadaka Kwa akili yetu sisi wanyonge Mungu akuinue ktk jina kuu la Bwana Yesu,
Safi huyu ndie mzarendo wa kweli
Wazalendo wazuri katika nchi hii wanayosifa. ya kupuuza ushauri was watu ambao siyo viongozi CCM na serikalini wanajua familia zao tu na wale machawa wanaojipendeza kwao ambao ni wachahe sana hawafiki hats milioni mbili walipobaki wanaonekana ni mbumbumbi hwaskilizwi
Ujengewe sanam wakili😂😂🎉🎉🎉
AG kachemka hapo, bora anyamaze maana watanzania tunaelewa kinacho endelea. Bandari zetu haziuzwi. Tutasimama na Mwambukusi hadi kieleweke
Wafundishe Bro Big Up
Hongera sana tupamoja towatamko
Mungu awe pamoja nawe nasi tunakuombea watanganyika tuko pamoja
Mwabukusi uko vzr sana ila kwakuwa watu wanaona wote ni mbulula watanza
Ukiona baba anauza nyumba alafu watoto Wanashangilia kununuliwa Mandazi,Hao watoto sio Bure ni Machizi na Mateja
Barikiwa baba Mungu aendelee kukuinuwa tena viwango vya juu
UmewAzidi wote bro hakika wewe ni mzalendo. Pamoja sana
Aisee, mwanaume na nusu
Vyeti ni vithibitisho vya kwenda shule,
Na siyo lazima uwe umesoma ndipo uishi na kuwa utashi kama Binadamu
Mimi sichoki kumsikiliza Mwabukusi ni mkweli na yupo wazi Mungu amlinde na amtuze na kila roho ya upinzani inayomfatilia ishindwe Katika jina la Yesu kristo ameen
Ubarikiwe kakaa ulikuwa wapi ww miaka yote hii?!
Makini sana kiongozi wetu tunakukubali mzee unatemaga madini TU aisee!! May God protect you
Wewe songa mbele tunakuombea hatuna pakusemea MUNGU Akulinde.
🇹🇿🙏🙏😭.Mungu ibariki Tanzania. Kaka ubalikiwe🙏❤️
Kwenye haki ya nchi sema ukweli mungu akutetee
Mwambukusi kiboko Uko vizuri
Mwenyezungu akupenguzaidi kaka
Mi nakuelewa Sana mkuu tatizo wanajifanya wametusahau Ila mungu yupo mkiliwasha tunakiwasha😊
Safi sana baba tutetee sisi ambao hatuna wa kutusemea hayo mana hawa viongozi sijui hili taifa wanataka kufilisi
Yani naomba kabxa, thanks alot,kila mmoja ana haki
Safi sana, nakukubali sana, uko viziri mwamba
❤❤❤❤❤ san ww ni kichwa
Mwambukusi you are so intelligent.I Love you!
Tungepata hata watz 5 tu kama huyu, daaah tz ingenyoka
Mungu akulinde na maadui sema usiogope
Daaaaah aibu imshukie huyo wakili mkuu Boniface hata mkimfungia vyeti haitowasaidia chochote tutasimama Na ukweli,nimeiona Tunduma iliposimama Na Boniface pale walipobomolewa nyumba Zai mpakani watu walilipwa fidia zao huyu kaka anamsimamo wenye manufaa makubwa ✍️
Wakili wa Serkali amesema mkataba huo DP wamesema ktk. Kipengele kimoja ya kuwa TPA au WATANZANIA tukitaka kuendeleza Bandari yeyote nje ya tulizokubaliana. "LAZIMA TUWAARIFU" ....wao DP sikukuelewa,jee ni kweli tunatakiwa kufanya hivyo na ni utaratibu? tuelimisheni!
Respect 🙌
Mungu yupo nasi,ubarikiwe,sana
Safi sana msomi
Mwabukusi Mungu awe na Wewe Daima
Hongera sana mkuu nchi inakwisha
Damu ya yesu ikufunike
Asante bro,kati ya Wasomi wachache Tanganyika wewe umo,Endelea na Mapambano tupo na wewe,Wameshazoea kutishana hao wachumia Tumbo,Wasomi wa Tanganyika wengi hawajitambui wanaendeshwa kwa tamaa sio Weledi cha ajabu wanajiita Maprofesa na Madokta
Hahaha babdari itauzwa tuu
Hahaha bandari itauzwa tuu...... na leo mnatambua km kuna Tanganyika?
@@yussuffadhil4522 Kichwa Maji we hujitambui,kati ya hao majuha niliyowaongelea
Tofauti ni kwamba we hujasoma,Failure
Nakupenda bure msemaji wawanyonge
Jamani mungu ametuletea mkombozi mwingine tumshike mkono namungu amlinde
Kiongozi mzuri sana ni yule anaesikiliza maono ya anaowaongoza,na si vinginevyo
People of Tanzania. I can assure you that ccm they are deeply devoted to God, but their devotion is not based on true knowledge. They have not known the way in which God puts people in right with himself, and instead, they have tried to set up their own way, and they did not submit themselves to God's way putting people right. Waroma 10vs1-4
Usimwogope mwanadamu
Mungu akubariki sana
Hili lijanaa ni very smart
Mimi kama mtanganyika nikopamoja nawewe wakili musomi
Mainzi kijani watanzania tunamweleea San wakili mtajua hamjui
Baba pambana tuko nyuma yako wameanza muda mrefu sana haya mambo Yao ya wizi
Hakika ninhekuwa na ulinzi ningekuwekea .Ila nimekuwekea ulinzi wa MUNGU UNATOSHA KWA MAISHA YAKO YOTE.
🔥🔥🔥🔥
Mungu akupe maixha malefu
bora mwanasheria mkuu wa serikali angekua mwabukusi anaeleweka kuliko.huyo swaza wa.mkatabata wakimagumashi, tunekuelewa mwabukushi❤
😢
Mungu yupo nawe kabxa,
Kaka uko viziri hatuna hamu na ccm,tupo nyuma yako kimaonbi,hii no haki yeti.
sana boss
Hawa ndio wanatakiwa kua viongozi sio wapga dili miaka yote wawekezaji hawana msaada wowote kwnn maden yanaongezeka kila cku waache bandali kama wameshindwa watoto zetu watakuja kuiendesha
Magu hakuuza bandari, elewa hilo
Wanategemea police ndiyo wanawapa jeuri
🎉🎉🎉
Gwajima,Yuko wapi mbona Yuko kimya
Kweli kabisa Hata MAMA amekubali kwamba wanasheria wake wanaogopa wazungu ndiyo maana wakienda kututetea kimataifa wanashindwa kesi. Inavyoonekana hata katika kusaini mikataba wanaogopa wazungu hawasomi kilichomo wanasaini tu ndiyo maana wamesaini bila kusoma na kusababisha TZ yetu kuingia kwenye taaluki. Mchague Bwabukusi awe AG ambaye hawaogopi wazungu tuweze kushinda hizo kesi zingine zilizoko kwenye mahakama za kimataifa. MWABUKUSI OYEEEEE.
Mungu yu pamoja nawe hao ccm hawana dini
God blass you baba
❤❤❤❤❤❤
Haki yetu haki yetu haki Mali zetu uzalendo na Katina mpya vyote viwe wazi tutetee kaka yetu hatutaki tena kuwa watumwa
Wahamisishe watanzania baba maana tunakosa haki zetu
Wananchi pamoja na police badala ya kupambana na viongozi ambao wanaturudisha nyuma wao wanapambana na chadema
Katika hii nchi tungekua namtu kama huyu tungekua mbali
I see new TANZANIA
Hilo neno
Hivi watanganyika nao wanahuziria kwenye vikao vya zanzabr loo soyati ?
Kiongozi Wa Bala Akienda Zanzibar Anaenda Kutalii Lakini Wa Zanzibari Akija Bala Anakuja Kupiga Kazi Acheni Wana Shelia Wacheze Ngoma Tuone Washindi Kuliko Kupiga Mazogo Vijiweni Kupitia Wasomi Bola Tutajua Wapi Kunavuja Lakini Raisi Wetu Anapiga Kazi Hela Anatoa Lakini Waliochini Yake Ndio Tatizo
Mapambano ya haki huwa haiombwi bro uko fiti ,okoa bandari zidi ya genge la wahuni serekalini.
Wenzio walikataa SGR,bwawa la mwalimu nyerere wakamkataa na magufuli , amekufa upepo umebadilika leo wanataka magufuli awepo?
Watuachie bandari yetu titatusiadia katika muungano wa one african na putin wetu
Mbona kila ukiongea siogopi ni mtanzania yupi uliomuona anaogopa unajiita msomi kweli umeenda shule lakini huna hekima na pia hujui kupanga maneno kuna watu wenye hekima wanakufatilia kukusikiliza ila tunahisi kuwa ww unaogopa sababu ajenda uliyopewa na wateja wako kimekuzidi uzito
We ni zero brain
Hakika tunaitaji kuamka izo nchi za kiarabu kipindi tunapata uhuru zilikuwa na Hali mbaya kuliko sisi na ukilinganisha rasilimali zao ,ila Leo sababu waneendelea tuendelee kuwategemea ili tuendelee kuwa watumwa wa fikra ukweli watanzania wenzangu hii haiko sawa hata Kwa mtu yeyote chini kule huu mkataba wa bandari na mikataba mingine kuhusu Mali asili ,nishati za umeme , jeshi ipitiwe waarabu wamepenya ndani wameweza Sasa wakichukua na bandari ...ni mfano wa mwizi kaingia ndani na kapata ufunguo wa mlango mkubwa wa sebureni ule wa kutoka nje ....watanzania wengi nimeongea nao wanasema tuache tu tunaathirika na nin mbona hiko ivyo toka zamani najisikia vibaya maan uchumi tulionao sio sawa na hata maendeleo ya sekta zetu zote Bado afya,elimu, miundo mbinu na nk na Bado mtu unasema sawa aloooho tuamke sio sababu ya chochote ila tuweze kutoka katika Giza hili na kujua haki zetu onene wenzetu uko mbele wanavyoishi we need to change our mind tuondoe hofu
Mbona wazungu wanamiliki migodi mingi ya dhahabu na kuendesha mashirika yanayosupport ushoga hao mawakili wapo kimya
uwoga wetu haujawahi kutusaidia
Mungu akulinde wewe na muheshimiwa bashe nyinyi ni wazalendo
Mweshimiwa mwabukusi usiwagope baba tetea watanganyika tuko nawewe
Wanatumia pesa zetu vibaya wanawapa alikiba na diamond ili watu tusahau kusikiliza vitu vya msingi
Nchi hii hivi ,Vihiyo na vipaza mpaka lini
Unafaa kuwa rais wa Tanzania
Yalipewa hela za mandazi yataongea nn mjengoni alafu kesho yanaomba kula
tukopamoja tumechoka kuongopa
Amen
Mnyakyusa hapelekwi pelekwi kipuuzi hana unafiki na woga
Bora
Umeongea kweli alutakontinua mapambano yaendelee
Tatizo njaa mnataka kitonga bandarini kuna wizi mkubwa ndio maana bandari kubwa maendeleo hakuna. Wacha waarabu wawanyooshe nyie wezi mawakili .hamtaki waarabu wawafundishe jinsi ya kuendesha bandari
Mwabukus saluti kwako mwamba wewe mtanzania wewe nakutukana wewe ni litanzania uliezaliwa Tanzania utakufa kwaajiri ya nchi Yako mtanzania mkubwa wewe
Tembelea upepo kaka, wenzio watakuacha upepo ukivuma upande mwingine
Kaka piga kazi hao wote ni majizi tupu kupitia ww rais wa tls na lissu na sisi pia tunapata ukombozi
MWABUKUSI UNAOTA AU VIPI WAZANI KUNAMTU AU WATU WANAKUOGOPA WAMEPITA WATUKAMAWEWE NAKUPITA WEWE WEWENANI NIMUGU
Huyu mwamba shikamooo
Mkuu heshima kwako
tupo nyuma yako mwambukus,
Hawa watu hawana aibu wala huruma hata kidogo.Kama wazee wetu waliilinda nchi yetu kwa gharama kubwa hadi uhai wao na ndio maana leo wanakula na kuendesha magari makubwa na wamejiona kuwa miungu isiyokosolewa! Daw ni kuwatoa madarakani kwa nguvu ya uma.