Watanzania tunamshukuru Mungu sana,Viva Mwabukusi, viva mawakili wasomi kwa namna mlivyoisimamia sheria iwape haki zenu,tunwaomba mumpe mwenzenu kura za kutosha huyu mwanaharakati nguli wa watu wadogo na Mungu awabariki na sisi wadogo tunazidi kumuomba Mungu amfunike kwa mbawa zake,awe salama asionwe na hawa wadhalimu wa taifa Amina.
Maw akılı ingawa kwa shida, hongera sana kwa kuungana kwa hili.Bila sheria safi, bila wanasheria kuwa pamoja na kuwa kitu kimoja, nchi nzima inayumba. Hongera sana mawakili wote. Tuko pamoja kinchi na kitaifa Tanzania itashinda kwa umoja kama huu. Wote tujipongeze.
Mwambukusi tunakuombea Mungu siku zote anafurahishwa na watu wanaojali mambo ya jamii. Mwambukusi unajali sana mambo ya jamii na watu wote kwa ujumla.Mungu akuepeshe na nia za hawa waovu
Mungu yupo pamoja nawe MH Boniface mwambukusi wakili msomi mwenye uelewa ktk shughuli za kuielimisha, kuifundisha jamiii iliyopo mbele yako ielewe kinachojiri nchini kwetu Tanganyika, spana zinawabana Kwa ajili ya manufaaa ya wananchi waliowengi wameanza kuyaelewa hayo unayoyasema 🙏🙏🙏🙏🙏
Wengi wa wasomi wetu wanaweka elimu wao kwy tumbo, uchawa kuitaji uongozi wakuteuliwa sifa tu lkn si kwa ajili ya nchi na wananchi, Mwambukusi ni wakili msomi na mtetea nchi.
Naomba upite Kwa kishindo Sababu uwezo unao na ninaamini unapenda haki utakuwa upande wa watu wanaoonewa na wenye nazo tapeli anakutapeli Kisha anaenda kukushitaki mwenye haki kweli!!
Mijitu kama hayo yanayo pindisha ukweli kukandamiza mawakili wetu washenzi hii ndiyo lugha inawafaa .sasa tuwaitaje tunasema njia ya kwenda mbinguni ni kuacha mabaya wanatokea watu wanasema hapana njia ya kwenda mbinguni tuzurumu sasa tuwaiteje wadhambi .
Naomba upite Kwa kishindo Sababu uwezo unao na ninaamini unapenda haki utakuwa upande wa watu wanaoonewa na wenye nazo tapeli anakutapeli Kisha anaenda kukushitaki mwenye haki kweli!!
Mijitu kama hayo yanayo pindisha ukweli kukandamiza mawakili wetu washenzi hii ndiyo lugha inawafaa .sasa tuwaitaje tunasema njia ya kwenda mbinguni ni kuacha mabaya wanatokea watu wanasema hapana njia ya kwenda mbinguni tuzurumu sasa tuwaiteje wadhambi .
Watanzania tunamshukuru Mungu sana,Viva Mwabukusi, viva mawakili wasomi kwa namna mlivyoisimamia sheria iwape haki zenu,tunwaomba mumpe mwenzenu kura za kutosha huyu mwanaharakati nguli wa watu wadogo na Mungu awabariki na sisi wadogo tunazidi kumuomba Mungu amfunike kwa mbawa zake,awe salama asionwe na hawa wadhalimu wa taifa Amina.
Hongera sana Mwabukusi, unatakiwa pia ugombee na usipika wa bunge la Tanzania
VIVA Mwambukusi endelea kupigania utawala wa sheria na si vinginevyo na Mungu akutangulie
Maw akılı ingawa kwa shida, hongera sana kwa kuungana kwa hili.Bila sheria safi, bila wanasheria kuwa pamoja na kuwa kitu kimoja, nchi nzima inayumba. Hongera sana mawakili wote. Tuko pamoja kinchi na kitaifa
Tanzania itashinda kwa umoja kama huu. Wote tujipongeze.
Mwambukusi tunakuombea Mungu siku zote anafurahishwa na watu wanaojali mambo ya jamii. Mwambukusi unajali sana mambo ya jamii na watu wote kwa ujumla.Mungu akuepeshe na nia za hawa waovu
VIVA MAWAKILI..VIVA MWABUKUSI ❤
Viva kiongozi wa wanyonge Viva Kajujumele Mwabukusi viva! MUNGU wetu akakuinue katika katika viwango vya juu zaidi.
Amen mawakili muache uchawa mupe mwabukusi afute uchawa kwenye chama chenu mungu akutangulie
Hongera na tunakuombea ushinde huo urais
Hawa ndo Mawakili sasa Hongereni sanaa 😊
Safi sana wazalendo
Hongera mwabukusi watanzania tupo nyuma yako tukikuombea
Safi sana kamanda wangu Mungu akutangulie
Bora wasingemfungia kbs kugombea hivi ndo kwanza wanampa kick ya kushinda asubuhi kweupeeeee ili akawakomeshe maccm😂😂😂😂😂
Nakukubali san kaka Adv Mwabukusi, haki yako ni lazima kuidai
Safi kabisa wewe ni mwanasheria anae jiamini
Ukamiliki na kutawala katika jina la Yesu
😮utapita mungu akubariki
Mungu akutangulie mwabukusi
Akutunze na kukulinda 😊
Nikikuona nafalijika sana baba yangu mpaka nyumbani kwenu hakika utafikambali
Mungu akulinde
Pamoja sana mwamba
Waoo wakili msomi well come
Hii imekaa vizuri Tunatakiwa tusome kwa Wasomi
Tunataka viongozi kama hawa ambao hawatetereki na kuongozwa ktk nafasi yake juu ya kuisimamia sheria viva mwabukusi
Hongera sana kaka kuitafuta haki yako
Anatuliza mpira kutumia kifua anaweka chini anaangalia pakupiga
Pasi inapenyezwa hatariii mwabukusiiiiiiiiiiiiiiiss. Goooooool
Wakili Mwambukusi uwanga sichoki kukusikiliza. Mungu akutangulie
Hayumbi na anasimamia anachokiamini
@@adelinelyaruu3036 ni kweli
Hakika nchi hii tukipuuza sheria zetu haki itatoweka
Mwabukus ni mwamba Sana viva mwabukusu
B Mwambukusi. ✊✊✊✊✊✊
Ni wakati wa wanasheria wetu kujipima kama kweli wao si watu wa kununuliwa kirahisi hivi.
Dah huu mtindo wangu wa kukonyeza gizani ngoja niuache,haya mambo ya kuvimba macho km mchina yasinikute😂😂😂
Mungu yupo pamoja nawe MH Boniface mwambukusi wakili msomi mwenye uelewa ktk shughuli za kuielimisha, kuifundisha jamiii iliyopo mbele yako ielewe kinachojiri nchini kwetu Tanganyika, spana zinawabana Kwa ajili ya manufaaa ya wananchi waliowengi wameanza kuyaelewa hayo unayoyasema 🙏🙏🙏🙏🙏
Wengi wa wasomi wetu wanaweka elimu wao kwy tumbo, uchawa kuitaji uongozi wakuteuliwa sifa tu lkn si kwa ajili ya nchi na wananchi, Mwambukusi ni wakili msomi na mtetea nchi.
Yaani Africa tutaendelea kuwa watumwa wa waarabu na wazungu .
Genius man of the peaple
Hii nchi haipendi kuwathamini wasomi wake.Wangekua wanawatumia kwa ushauri mbali mbali ungekuta tuko mbali sana.
Well done....
Utashiriki ila hutagombea! Muda umepita ,
Mawakili siyo wanasiyasa wamesoma tofauti na tasisi nyingine kama walimu na ndiyo tasisi yenye watu wa shida kwa masilahi
Mwabukus ni mzarendo sana
Safi
Walarushwa wakubwa pili ni mandumila kuwili
MWAMBUKUSI TAFUTA CHAMA UJIUNGE ILI UPATE JIMBO LA KUGOMBEA URASI AU UBUNGE
Wanasheria wenyewe tu wanakiuka sheria ...kwa kwweli inatia aibu
😂😂😂 Hiyo ndio mbuzi kala mbuzi sasa.
Viva mwabukusi
Product ya Mbalizi Secondary School Mbeya
Tupo pamoja ,,Go,! Go! you fix it,,
Mwabukusi unamshauli nn mh mpina kwenye hili la bashe?? Mwabukusi, mii namwambia mpina ukipiga ya nyonga piga malizia na umber cat 😂😂😂😂😂
Mwabukusi Mungu awe upande wako
Mungu hajamwqcha mwenye haki
Mwaghanile mwebhakubhusokelo ugwankaja nu gwamunjini
Simamia haki Mwabukusi, wewe utairekebisha TLS. Ilishaoza upande mmoja, kakate palipooza kunusuru palipo safi
Naomba upite Kwa kishindo Sababu uwezo unao na ninaamini unapenda haki utakuwa upande wa watu wanaoonewa na wenye nazo tapeli anakutapeli Kisha anaenda kukushitaki mwenye haki kweli!!
Haha Wenzakò Hawakutaki Halafu Unataka Kushindana na TULIA ITISHA MAAN DAMANO JITADĤIMININÌ BABU
Dah!! Wasomi wote Tz wangekuwa km hawa jamaa Tz ingesimama imara
Mijitu kama hayo yanayo pindisha ukweli kukandamiza mawakili wetu washenzi hii ndiyo lugha inawafaa .sasa tuwaitaje tunasema njia ya kwenda mbinguni ni kuacha mabaya wanatokea watu wanasema hapana njia ya kwenda mbinguni tuzurumu sasa tuwaiteje wadhambi .
Kaka pole duh
❤❤😮xx
Ndugu yangu wameshakupiga kiufundi hapa
Kuutaka uraisi tuu ila kutetea bandara aaaah
Walimwengua Kwa utashi wa kisiasa aibu sana Kwa waliomwengua🎉😢😅😊😂
Nawe umeshiba😂😂😂😂
Intelligent people always face resistance from myopic minds. In remembrance of
Albert Einstein.
Utashunda kwa nyingi mafisadi hao
Mimi siyo mwanashariA LAKINI kweli CCM inharibu kila kiwanda, campany, groups hata bunge. Kilicho baki ni matokeo ya CCM tu.
Pull up your socks
TLS ni ka-taasisi kakisanii sana kama kale kanaitwa tume za haki za binadamu hutu ni tu-taasisi vichaka vya maovu ya serikali
Huna hata idea tls imeanzishwa under sheria gani na function yake ni nini, rudi ukasome kwanza
wote loyer mna babaishana sisi je?
Nchi hii imeharibika kila kona
Kukonyeza gizani
Mnatia aibu Mawakili
👇🏿
#katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿
Tuko pamoja wajinga wapo wa nao kumbatia ccm
Unajifanyaga unajuwa sheria Leo umepingwa chini huna lolote
Kanywee pombe tu
Yan ww n wa hovyo san
Ww endelea kutetea maccm wako mwisho utaangukia aibu
wefarani
We ni takataka
Naomba upite Kwa kishindo Sababu uwezo unao na ninaamini unapenda haki utakuwa upande wa watu wanaoonewa na wenye nazo tapeli anakutapeli Kisha anaenda kukushitaki mwenye haki kweli!!
Mijitu kama hayo yanayo pindisha ukweli kukandamiza mawakili wetu washenzi hii ndiyo lugha inawafaa .sasa tuwaitaje tunasema njia ya kwenda mbinguni ni kuacha mabaya wanatokea watu wanasema hapana njia ya kwenda mbinguni tuzurumu sasa tuwaiteje wadhambi .