Mwabukusi ungekuwa umeshika nafasi kubwa yoyote hapa Tanzania sijuwi ungekuwaje kila kitu Unajua .Tatizo la mpina sihoja zake au madai yake Bali nikuongea na vyombo vya habari juu ya kumpeleka ushaidi aliopeleka .Achakumdanganya mpina .
Wakina mwakabusi.Tanzania.inawategemea.kwanini usisimame kati.ya spika na mpina usipende kusimama.upande moja mwakabusi Mungu.alikuamini funguka saizi.kipindi.tulichonacho dunia imesaini ushoga tulipo.sipo.uangaliage na upande wa.kwanza.wa Mungu
Akili nyingi kiongoz wangu njoo mbea uchukue fomu lazima upite
Safi sana mh Mpina kaonewa kwa kweli
Tumesikia bunge LIVE kuna uonevu
Bunge la hovyo
Akili nyingi sana Boss Mwenyezi akuinue na amshindie Luhaga Jelson Mpina dhidi ya udhalimu
Asante mwabukusi. You are among the best few. Ukiongea i pay attention. Na unaeleweka clearly
Chuki binafsi, mpina yupo vizuri mungu atamlinda
Kenya, Uganda, Malawi, Zambia, Msumbiji, Kongo sukari iko chini…
Akili kubwa sana jembe Safi
Mungu Ni Mwema Wakati Wote
Mwabukusi ungekuwa umeshika nafasi kubwa yoyote hapa Tanzania sijuwi ungekuwaje kila kitu Unajua .Tatizo la mpina sihoja zake au madai yake Bali nikuongea na vyombo vya habari juu ya kumpeleka ushaidi aliopeleka .Achakumdanganya mpina .
Mpina kaonewa..
Wabunge wote ni machwa
Good 👍
KWENYE HILI TUKO PAMOJA
Kaka kunawatu wanarohoo ngumu mpka unashangaa nakujiuliza wanahisa namungu.Lakini ukiwakuta kanisani utasema hwa ndio wanapaa kwambawa zao mbinguni.Tuishi kwakuomba sana.
Hiki kichwa tunakihitaji bungeni haraka sana... atamsaidia Rais kufikiri (hata Rais akitoka chama tofauti na chake).
Wakina mwakabusi.Tanzania.inawategemea.kwanini usisimame kati.ya spika na mpina usipende kusimama.upande moja mwakabusi Mungu.alikuamini funguka saizi.kipindi.tulichonacho dunia imesaini ushoga tulipo.sipo.uangaliage na upande wa.kwanza.wa Mungu
Bunge dhaifu huzaa maamuzi yasiyofaa
Me naona shida ni katiba 2 ila Kama ww wakil msaidie kulud bungeni mpina
jamani tutasema Sana, lakini amna kitakacho fanyika, la mhimu nikuingia msituni.
Msitu gani Tanzania.
Safi sana
Mwamba
Tuko nyuma yake kweli kweli
Wew uligraduate vyema, na sio spika sijui ulipataje phd?
Spika msomi na ana akili sana huyu Mheshimiwa kwa usomi ni msomi tafuta hoja nyingine!
Mawakili kwa nini hamwendi Mahakamani kutafuta tafsiri?
Ujawi kuongea ujinga sema unao wambia
Mh
Bashe ni mpigaji tu..
Spika ni kichwa maji.
Uliwahi kuwa mbunge au spika .Acha kujimwambafai huna lolote
Ww zombie tulia kichwa kama papay
Hahahaha
Ukiwa mbunge na ukiwa spika inakuwaje? (Nategemea na wewe umewahi kuwa mbunge au spika , vinginevyo majibu yako na wewe yatakosa mantiki)
Chawa wa Tulia hebu tuliza kinyeo..
😂
Asante mwabukusi. You are among the best few. Ukiongea i pay attention. Na unaeleweka clearly