WAKILI MWABUKUSI AMPASUA TENA SPIKA TULIA KISA MBUNGE MPINA //AUKATAA UNYONGE LIVE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ก.ค. 2024

ความคิดเห็น • 37

  • @edsonmnego4030
    @edsonmnego4030 5 วันที่ผ่านมา +8

    Akili nyingi kiongoz wangu njoo mbea uchukue fomu lazima upite

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 วันที่ผ่านมา

    Safi sana mh Mpina kaonewa kwa kweli
    Tumesikia bunge LIVE kuna uonevu
    Bunge la hovyo

  • @nestor384
    @nestor384 2 วันที่ผ่านมา

    Akili nyingi sana Boss Mwenyezi akuinue na amshindie Luhaga Jelson Mpina dhidi ya udhalimu

  • @generosennko8343
    @generosennko8343 4 วันที่ผ่านมา +2

    Asante mwabukusi. You are among the best few. Ukiongea i pay attention. Na unaeleweka clearly

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza482 วันที่ผ่านมา

    Chuki binafsi, mpina yupo vizuri mungu atamlinda

  • @christianmwabukusi8132
    @christianmwabukusi8132 2 วันที่ผ่านมา

    Kenya, Uganda, Malawi, Zambia, Msumbiji, Kongo sukari iko chini…

  • @AmosRugaimukamu
    @AmosRugaimukamu วันที่ผ่านมา

    Akili kubwa sana jembe Safi

  • @davidchiduo219
    @davidchiduo219 5 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu Ni Mwema Wakati Wote

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 วันที่ผ่านมา

    Mwabukusi ungekuwa umeshika nafasi kubwa yoyote hapa Tanzania sijuwi ungekuwaje kila kitu Unajua .Tatizo la mpina sihoja zake au madai yake Bali nikuongea na vyombo vya habari juu ya kumpeleka ushaidi aliopeleka .Achakumdanganya mpina .

  • @jiwekichwa2857
    @jiwekichwa2857 4 วันที่ผ่านมา +2

    Mpina kaonewa..

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza482 วันที่ผ่านมา

    Wabunge wote ni machwa

  • @user-tn5ym5gd6s
    @user-tn5ym5gd6s 2 วันที่ผ่านมา

    Good 👍

  • @barakakevela245
    @barakakevela245 วันที่ผ่านมา

    KWENYE HILI TUKO PAMOJA

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 4 วันที่ผ่านมา

    Kaka kunawatu wanarohoo ngumu mpka unashangaa nakujiuliza wanahisa namungu.Lakini ukiwakuta kanisani utasema hwa ndio wanapaa kwambawa zao mbinguni.Tuishi kwakuomba sana.

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 3 วันที่ผ่านมา

    Hiki kichwa tunakihitaji bungeni haraka sana... atamsaidia Rais kufikiri (hata Rais akitoka chama tofauti na chake).

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 4 วันที่ผ่านมา

    Wakina mwakabusi.Tanzania.inawategemea.kwanini usisimame kati.ya spika na mpina usipende kusimama.upande moja mwakabusi Mungu.alikuamini funguka saizi.kipindi.tulichonacho dunia imesaini ushoga tulipo.sipo.uangaliage na upande wa.kwanza.wa Mungu

  • @OdiloMagungu-uf5is
    @OdiloMagungu-uf5is 2 วันที่ผ่านมา

    Bunge dhaifu huzaa maamuzi yasiyofaa

  • @timothymwalongo7028
    @timothymwalongo7028 4 วันที่ผ่านมา

    Me naona shida ni katiba 2 ila Kama ww wakil msaidie kulud bungeni mpina

  • @MathewsSikazwe-up4qd
    @MathewsSikazwe-up4qd 5 วันที่ผ่านมา +3

    jamani tutasema Sana, lakini amna kitakacho fanyika, la mhimu nikuingia msituni.

  • @MatesoMatanga-bs3bt
    @MatesoMatanga-bs3bt 3 วันที่ผ่านมา

    Safi sana

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 4 วันที่ผ่านมา +1

    Mwamba

  • @user-rh9bo3kh2g
    @user-rh9bo3kh2g 4 วันที่ผ่านมา

    Tuko nyuma yake kweli kweli

  • @victorkisenha5933
    @victorkisenha5933 2 วันที่ผ่านมา

    Wew uligraduate vyema, na sio spika sijui ulipataje phd?

    • @jayzeem14
      @jayzeem14 2 วันที่ผ่านมา

      Spika msomi na ana akili sana huyu Mheshimiwa kwa usomi ni msomi tafuta hoja nyingine!

  • @festokemibala5832
    @festokemibala5832 4 วันที่ผ่านมา

    Mawakili kwa nini hamwendi Mahakamani kutafuta tafsiri?

  • @YahayaKishakwi
    @YahayaKishakwi 4 วันที่ผ่านมา

    Ujawi kuongea ujinga sema unao wambia

  • @HashimYahaya-hd3zm
    @HashimYahaya-hd3zm 4 วันที่ผ่านมา

    Mh

  • @jiwekichwa2857
    @jiwekichwa2857 4 วันที่ผ่านมา

    Bashe ni mpigaji tu..

  • @jiwekichwa2857
    @jiwekichwa2857 4 วันที่ผ่านมา

    Spika ni kichwa maji.

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 4 วันที่ผ่านมา

    Uliwahi kuwa mbunge au spika .Acha kujimwambafai huna lolote

    • @rahimsadru-ct4ot
      @rahimsadru-ct4ot 4 วันที่ผ่านมา +1

      Ww zombie tulia kichwa kama papay

    • @user-bi7gk7im4f
      @user-bi7gk7im4f 3 วันที่ผ่านมา

      Hahahaha

    • @edustudiotz3879
      @edustudiotz3879 3 วันที่ผ่านมา

      Ukiwa mbunge na ukiwa spika inakuwaje? (Nategemea na wewe umewahi kuwa mbunge au spika , vinginevyo majibu yako na wewe yatakosa mantiki)

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 3 วันที่ผ่านมา +1

      Chawa wa Tulia hebu tuliza kinyeo..

    • @omaryyusuph7877
      @omaryyusuph7877 2 วันที่ผ่านมา

      😂

  • @generosennko8343
    @generosennko8343 4 วันที่ผ่านมา

    Asante mwabukusi. You are among the best few. Ukiongea i pay attention. Na unaeleweka clearly