KIJANA ALIYEAMBIWA ATAONDOKA NA MKUU WA MKOA ASIMAMA BILA UOGA NA KUTOA HOJA KWA CHALAMILA"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 ส.ค. 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►TH-cam: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

ความคิดเห็น • 512

  • @Daudifm5800
    @Daudifm5800 หลายเดือนก่อน +186

    UYU KIJANA NDIO ANGEKUWA MKUU WA MKOA ,KWA SABABU ANA HEKIMA NA BUSARA TUNAOKUBALI GONGA LIKE❤❤

    • @GilbertObed
      @GilbertObed หลายเดือนก่อน

      Yupo vzr sana Hyu kaka

    • @juniorkamafa3391
      @juniorkamafa3391 หลายเดือนก่อน +1

      Huyu ndo Diamond

    • @gts5007
      @gts5007 24 วันที่ผ่านมา

      Hatuitwi wabongo burebure...kweli BONGO ipo...akili.

    • @HajiMasmenti
      @HajiMasmenti 9 วันที่ผ่านมา

      ​@@juniorkamafa3391hapana uyo ndo zuchu

    • @neamusic2601
      @neamusic2601 7 วันที่ผ่านมา

      Kabisaa

  • @msafirihaule9921
    @msafirihaule9921 หลายเดือนก่อน +123

    Tunahitaji kuwa na vijana wenye jeuri ya kujenga hoja, mithili ya huyu. Kudos...

    • @lulanjamd3886
      @lulanjamd3886 หลายเดือนก่อน +4

      Siyo jeuri ni muelewa

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme หลายเดือนก่อน +1

      Si jeuri huyo bali anajiamini, ujeuri maanayake ni ujinga ? mkemevu wa vitisho

    • @user-fx1er4rq3f
      @user-fx1er4rq3f หลายเดือนก่อน +1

      Tatizo haujui biashara chalamila alichokise Yule bwana ndio biashara sio ww huo ni ubabe

    • @AgnesEphraim-jw6dv
      @AgnesEphraim-jw6dv หลายเดือนก่อน +3

      ​Chalamia anajua kujibu jeuri tu lakini kakutana na kamanda mzoefu nayejua kuzungumza uyo kasoma lakini Tanzania yetu aina ajira kaamua ajiajiri mwenyewe

    • @justardzelphine6526
      @justardzelphine6526 หลายเดือนก่อน

      Waliharibu ule utaratibu JPM

  • @mkambamaulid447
    @mkambamaulid447 หลายเดือนก่อน +28

    One love Brother ulicho nifurahisha mpaka kikao kimekwisha sija sikia majibu yako
    Hiyo nondo umepiga kwenye kipanda uso Kaka ww ni Machinga number one💪🏽🙏🏼😜

  • @mwangosikennedy9643
    @mwangosikennedy9643 หลายเดือนก่อน +76

    Dah jamaa kaongea kijasiri sana japo Chalamila anamuuliza kwa hali ya utisho, safi sana kamanada umewakilisha jamaa

    • @thabitdaudi9815
      @thabitdaudi9815 หลายเดือนก่อน +1

      Lipumbavu hilo sijui lina jambo gan na rais hadi kulipa nafas kama hio kama ni uproffesor wapo wengi sana wenye PHD + hekima. Na uongozi sio elimu. Ni hekima chunguza makonda anavyoongoza kwa akil na busara. Sio hii takakata hapa. Especially kwa mkoa mkubwa kama dar

    • @BabaFarzan-ml4er
      @BabaFarzan-ml4er หลายเดือนก่อน +2

      Si ndio zao Kenge hao
      Mawazo yao ni WTZ wa Nyerere bado wapo
      This GenZ

  • @domymerinyo8165
    @domymerinyo8165 หลายเดือนก่อน +100

    Huyo kijana ni tajiri wa kesho anajitambua sana

  • @AlhajiIssa-jb9hr
    @AlhajiIssa-jb9hr หลายเดือนก่อน +20

    Huyu kijana ni zaidi ya mkuu wa mkoa.
    Hongera kwa hoja zenye mashiko na ujazo wakutosha🎉

  • @emazjassam2452
    @emazjassam2452 หลายเดือนก่อน +57

    Jamaa ni smart sana

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u หลายเดือนก่อน +20

    BRAVO KIJANA....UMEZUNGUMZA KWA WELEDI NA HESHIMA KUBWA....MH. MKUU WA MKOA UNATAKIWA UTAFAKARI SANA MANENO YA HAWA WAJASIRIAMALI....MH. RAIS SAMIA PELEKENI HIZO KARAKANA NJE KIDOGO YA KATIKATI YA JIJI....KWA MFANO NJIA YA KBAHA....NJIA YA KILWA....NJIA YA BAGAMOYO!

  • @nelsonngemera9832
    @nelsonngemera9832 หลายเดือนก่อน +13

    Mungu ambariki huyu mfanyabiashara kaongea vizuri sana..

  • @mossessimon2493
    @mossessimon2493 หลายเดือนก่อน +16

    Kijana yupo very composed and calm kwa kweli.. smart guy!

  • @Topcentclassic
    @Topcentclassic หลายเดือนก่อน +10

    nikimsikiliza jamaa ni kama fred vunjabei kwa sauti hata mpangilio wa maongezi yake .....safi sanaaa

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g หลายเดือนก่อน +62

    Hongera sana kijana umeongea kwa busara. Kiukweli mkuu wa mkoa chalamila umekosea sana kuwatusi Wanabchi

    • @kaaakwakutuliaa5179
      @kaaakwakutuliaa5179 หลายเดือนก่อน +4

      ccm siku zote miaka 60 ni kandamizi mafala hawa

    • @emanuelnisetas7510
      @emanuelnisetas7510 หลายเดือนก่อน +1

      Hawa nasikia vibaya sana

  • @raphaelnambombi3709
    @raphaelnambombi3709 หลายเดือนก่อน +43

    Huyu kijana anaakili sana kusimama mbele ya watu wengi hivi tena mbele ya uongozi wa mkoa na kwenye mgogoro na kuweza kuongea pointi zilizonyooka siyo kazi ndogo

  • @AmanNdalu-m7q
    @AmanNdalu-m7q หลายเดือนก่อน +8

    Kuna muda viongozi huwa wanaongea kama maisha ya chini ni Jadi yetu but Mungu awape maisha marefu

  • @johnmaganga44
    @johnmaganga44 หลายเดือนก่อน +5

    Jama yupo vizuri kwenye kujenga hoja na ana hekima kwa sabubu ana taarifa za kutosha kuhusu eneo husika na anaonekana amesoma na pia Anajua kujielezea na ameongea kwa Tone Nzuri Sana
    Big up sana Bro👊👊👊👊👊

  • @user-ph8ln3vd6n
    @user-ph8ln3vd6n หลายเดือนก่อน +19

    Hongera ssaana kijana ,umeongea kimantiki sana, tathimin ifanyike kila mmoja apate stahiki zake za kufanya biashara na serikali ipate kodi yake

  • @josephfrank4446
    @josephfrank4446 หลายเดือนก่อน +13

    Huyu mwamba ameongea kitu kikubwa sana big up

  • @EliaoniTerry
    @EliaoniTerry หลายเดือนก่อน +84

    Huyu kijana kama ukimtizama na kusoma body language unaona aliumia sana kwa jeuri na vitisho vya mkuu wa mkoa, lakini mungu akamuwezesha kushusha hasira yake na kutoa maelezo ya kimantiki, kama serikali haitajifunza kuanzia mipango yake kwa kushirikisha watu wa ngazi za chini itakuwa inazusha tafrani isiyo na msingi na pengine kuhatarisha amani. Sikia maelezo ya kijana yalivyoonyoka. Serikali iache kutumia mabavu kila mara. Inaonekana eneo hilo viongozi wake na wengi wa wanao fanyia biashara hapo wameelimika vizuri sana anzia mwenye kiti wao.

    • @geofreychitamu366
      @geofreychitamu366 หลายเดือนก่อน +10

      Huyu kijana ndiye alipaswa kuwa mkuu wa mkoa na mkuu wa mkoa kwa jinsi alivyojaa jazba alipaswa kuwa huyu kijana.ila walio madarakani hujisahau kwa kuwa wanajivunia mamlaka,polisi,tss nk.

    • @gasperymisungwi960
      @gasperymisungwi960 หลายเดือนก่อน +5

      Kijana kavaa busara ya kiwango cha juu sana, hata hivyo IQ yake ipo juu pia, utulivu ni kitu cha msingi sana. Viongozi wengi hawapend kuwa challenged wakiamini kwamba wao tu ndio wanauwezo, busara na hekima nyingi! The opposite is true

    • @KarumeKindamba-lk1px
      @KarumeKindamba-lk1px หลายเดือนก่อน +2

      Ongela kijana maelezoyako yametulia na umeonyesha wamachinga ni jamii inayoweza kutoa Kodi.

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 หลายเดือนก่อน +3

      Kweli Mkuu wa Mkoa anapayuka kama kachanganyikiwa, sidhani kama mtoto wake anaweza kuongea nae kwa style hiyo.

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 หลายเดือนก่อน +3

      ​@@gasperymisungwi960Mtu yeyote Mpumbavu huwa hapendi kuambiwa ukweli

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz หลายเดือนก่อน +23

    Kijana hongera sana.kwa pamoja tujenge Tanzania yetu kwa uzalendo mkuu.

  • @SarapiaMfoi
    @SarapiaMfoi หลายเดือนก่อน +29

    Hongera sana kijana wangu una ujasiri uliopitiliza sikuamini kama ungeweza kuongea point kwa ujasir hivyo ubarikiwe sana mond

  • @boazikibuyu7457
    @boazikibuyu7457 หลายเดือนก่อน +14

    Chalamila afai kua kiongozi wa wananchi labda kiongozi wajeshi Tena wakati wa vita 😂😮😮😮

    • @user-ek6on1rh9x
      @user-ek6on1rh9x 25 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂

    • @JohnJohn-gm7yb
      @JohnJohn-gm7yb 5 วันที่ผ่านมา

      Hahahaha
      Asubiri kipindi cha machafuko vita

  • @yapukahassan
    @yapukahassan หลายเดือนก่อน +28

    Huyu chalamila hata akipewa ualimu wa shule ya msingi anaweza ua watoto wetu kwani anahasira sana hvyo hafai kabsa kuongoza hata kuku

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 หลายเดือนก่อน +46

    Kijana anautulivu wa akili kuliko Mkuu wa Mkoa 😅

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 หลายเดือนก่อน

      Mkuu was mkoa no comedy😂

    • @PaulinaSemindu-ob3de
      @PaulinaSemindu-ob3de หลายเดือนก่อน

      Mku wa mkoa huyu angepelekwa Arusha😂 Makonda wetu mpole arud Dar😂😂😂

    • @DennisFandi
      @DennisFandi หลายเดือนก่อน

      Kabisa huyu mkuu mi namwonaga chenga anategemea vitisho

    • @eliathomas8446
      @eliathomas8446 หลายเดือนก่อน

      ​@@PaulinaSemindu-ob3de Arusha hatutaki vichaa coz tayar Arusha enyew Ina vichaa ni wengi...makonda wetu is the best...bakini na lichalamila lenu hatulitaki huku😂😂😂😂

    • @PaulinaSemindu-ob3de
      @PaulinaSemindu-ob3de หลายเดือนก่อน

      @@eliathomas8446 khaa 😂😂

  • @user-zg4yz7je8d
    @user-zg4yz7je8d หลายเดือนก่อน +23

    Uyu siyo mkuu wa mkoa hafai kuwa kiongozi unawakalipia kama watoto tumia hekima

  • @JumaAbdallah-gn5qu
    @JumaAbdallah-gn5qu หลายเดือนก่อน +19

    Mpe cheo huyu kijana Anakitu kichwani ila kukio😢na ni Fulsaa mpe kitengo 👍👍

    • @festokemibala5832
      @festokemibala5832 หลายเดือนก่อน +2

      Hawa ndo staili ya Madiwani tuanaowataka wenye maono na ushauri yakinifu na adili

    • @celinapeter9474
      @celinapeter9474 หลายเดือนก่อน

      Sanaaaaa mama angemuona tuuuu

    • @ednaJF1028
      @ednaJF1028 หลายเดือนก่อน

      Kweli

  • @user-xb6mb1by5l
    @user-xb6mb1by5l หลายเดือนก่อน +24

    Chalamila mkuu wa mkoa wa hovyo kutoa

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 หลายเดือนก่อน +20

    Kijana kaongea busara mno.

  • @stevensoso7506
    @stevensoso7506 หลายเดือนก่อน +7

    Vijana wangesikilizwa Tanzania ingesonga kijana kaongea pointi tena kwa hekima tatua changamoto nchi yetu wote tuijenge kwa amani

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 5 วันที่ผ่านมา

    ONGERA SANA IDDI .M. RAMADHANI KWA UJASILI NA KUONGEA VITU VYA MSINGI NA VYA MAANA KWA HEKIMA NA WELEDI MZURI👏👏👏🏆💯👑, MUNGU HATA WABARIKI NA KUTATUA CHANGAMOTO ZENU🙏

  • @sylvestercharles3585
    @sylvestercharles3585 หลายเดือนก่อน +30

    Kiukweli Chalamila kuna namna hajui namna ya kuongea na hadhira kama Kiongozi.

    • @KattKangu
      @KattKangu หลายเดือนก่อน +1

      Mkoa waarusha tumebarikiwa poul makonda weuweeeee❤

    • @rabsonmichael9720
      @rabsonmichael9720 หลายเดือนก่อน +3

      Hii ndio wanaita madaraka ya kulevya,ni kiongozi wavitisho vitisho kila siku.

  • @mbachoclassic7818
    @mbachoclassic7818 หลายเดือนก่อน +9

    Excellent hapo mkuu umenyooka! Nimekuelewa sana

    • @peterpain5594
      @peterpain5594 หลายเดือนก่อน +4

      Duuuuuh ww utakuwa nduguyake

    • @user-kw3bq4mb2l
      @user-kw3bq4mb2l หลายเดือนก่อน +1

      😄

  • @liutapro
    @liutapro หลายเดือนก่อน +6

    Huyu mkuu sio moja kwa moja anamaneno flani ya kibabe pia anadharau wananchi sana kiufupi Hata akiomba kura kuwa kiongozi wa nchi aisee yangu hapati..

  • @user-my5nb9jn2d
    @user-my5nb9jn2d หลายเดือนก่อน +4

    Charamila alitaka kumtoa kwenye reli mwanzoni, Jamaa kameza mate kakaza shingo hajateteleka.. Good Job, Chalamila ikabidi akae kimya kijana akawa Anang'ata na kupuliza 😅Ilimradi Dawa Ingie Tanzania Tukiwa na vijana kama hawa 10000 tu.. Tanzania itaamka Hatutaki Machawa.😅😅

  • @user-yq1qy5mx4y
    @user-yq1qy5mx4y หลายเดือนก่อน +1

    Kweli kijana taifa la kesho 💪💪💪

  • @catherinemoses8775
    @catherinemoses8775 21 วันที่ผ่านมา

    Kudos!!!

  • @josephatmushi1140
    @josephatmushi1140 13 วันที่ผ่านมา

    Excellent 👍👍👍👍

  • @LumolaSteven
    @LumolaSteven หลายเดือนก่อน +5

    Dah! Inahitaji kuvumilia sana kumsikiliza CHA-LAMI-LA

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 หลายเดือนก่อน +3

    Mkuu wa mkoa anatufokea mwambieni atulie tumdikilize kijana aongee😂😂

  • @RamadhaniKitala-gx6wc
    @RamadhaniKitala-gx6wc วันที่ผ่านมา

    Yaan kaka ameongea pont sana maashallah kuliko huyo mkuu wa mkoa anafoka tu hafai hata kifuga kuku

  • @neamusic2601
    @neamusic2601 7 วันที่ผ่านมา

    Huyu kijana ana busara na sina shaka malezi yake mungu ambariki sana inshaallah.

  • @KihozaAthuman
    @KihozaAthuman หลายเดือนก่อน +1

    Umetisha kijana

  • @mcgabby
    @mcgabby หลายเดือนก่อน +5

    He sound like Fred Vunja bei😅

  • @Topcentclassic
    @Topcentclassic หลายเดือนก่อน +3

    kila muda nayarudia maneno ya huyo jamaa ...yaani hachoshi kusikilizwa .......dah mwamba apewe maua yake

  • @AbrahBuraheze
    @AbrahBuraheze หลายเดือนก่อน +1

    hi ni nzuri inatufanya tusijisahau na hivi ndivyo tutakuwa kiuchumi sis wafanya biashara wadogo tunajisahau snaaaaaaaana

  • @shukranitv2971
    @shukranitv2971 19 วันที่ผ่านมา

    Safi sna kijana

  • @JumaRamadhani-q6e
    @JumaRamadhani-q6e หลายเดือนก่อน +1

    Jamaa ameongea pwent sana na kwa hisia kali sana! 😂🎉🎉

  • @mustaphajuma2292
    @mustaphajuma2292 หลายเดือนก่อน +5

    Sijaelewa alicho ongea naona ni pointless hanasifa za uongozi kwa ni hio kalakana nilazima ikae hapo mbona kibaha maeneo yapo mengi...hii NI TANZANIA ila huenda hii nchi ni ya Watu flani flani Sisi wengine tunaonekana ni wakimbizi. yani machinga astaaf baada ya miaka miwili!!!!

  • @petermwijage9882
    @petermwijage9882 หลายเดือนก่อน +2

    very standard speech ,yani jamaa kaweka hoja kwa hoja hadi ukimya ukatawala.big up

  • @JudicaMboye
    @JudicaMboye 11 วันที่ผ่านมา

    Kamanda kijana yupo safi tena ar chuga maneno kidogo kazi kwa wingi

  • @Gamba177
    @Gamba177 หลายเดือนก่อน +8

    Serikali hamna plani ikiwa ni hivyo ya miaka 3 hapo umechemsha hamjui mnachofanya.

  • @Damian-tt8fv
    @Damian-tt8fv หลายเดือนก่อน

    Hongera kijana mwenzetu kutuwakilisha vzr

  • @solomondanny-1507
    @solomondanny-1507 28 วันที่ผ่านมา

    Hongera sana mwanangu. Una hekima sana kijana.

  • @shebbyelphonce8514
    @shebbyelphonce8514 หลายเดือนก่อน +1

    Kijana mwenzangu kwel unajua kujieleza mi mwenyewe nimekuelewa ase yan uko vizur sanaaaaa

  • @japhethcharles5791
    @japhethcharles5791 หลายเดือนก่อน

    Hongera kijana ,Mungu akulinde.

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku หลายเดือนก่อน +1

    Kijana yupo vizuri,nikumsikiliza,anaijua ramani na mazingira ya biashara.

  • @majaliwasanga1741
    @majaliwasanga1741 หลายเดือนก่อน +7

    Suala la machinga KUPEWA miaka halafu anapisha wengine,iwe Kwa viongozi na watumishi wote serekali kuwa ukikaa Ofisin miaka mitatu wapishe wengine nao waajiliwe ili kupungua uhaba wa ajira Nchini

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 หลายเดือนก่อน

      Wazo zuri sana umetoa. Tatizo bingwa hujibu kulingana na matazamo wake na anapitisha bila hata kusema kusema watafanyia kazi wataalamu kutatua kero hizo.

    • @othmanjumaa2480
      @othmanjumaa2480 หลายเดือนก่อน

      Amesahau Kama rizki anatoa M/ mungu.....Asimalize maneno ajue kwamba utafutaji ni mgumu Sana,mtu umpangie miaka ya utafutaji kweli!!? Amakweli mwenye shibe hamjui mwenye njaa.

    • @jeffhard5773
      @jeffhard5773 หลายเดือนก่อน

      Mkinga unaona mbali sana

  • @emmanuelShayo-dk6vf
    @emmanuelShayo-dk6vf หลายเดือนก่อน

    Safi sana hakuna kumwogopa binadamu kwan yy ni mungu .na kwani ww ni mwalifu tunatakiwa tuwe na uhuru na confidence ya kujiekeza ukisha kuwa na hivyo vitu kuburuzwa ni uongo

  • @ramadhanimrungu5806
    @ramadhanimrungu5806 หลายเดือนก่อน +2

    Dogo hongera sana

  • @akilihabibu5326
    @akilihabibu5326 หลายเดือนก่อน

    Kijana ❤ unaweza sana na unaakili sana uwezo ulionao ni zaidi ya ---

  • @user-cx1xz2is5d
    @user-cx1xz2is5d หลายเดือนก่อน

    Hongera msomi

  • @simeonmazigo5918
    @simeonmazigo5918 หลายเดือนก่อน +3

    Hakuna mtu ambae hapendi kupanda kiuchumi machinga wengi mitaji cyo yao bht mby Hawa Viongoz wanaishi Kwa mishara huwa hawajui maumifu ya kukua kiuchumi 😢😢😢😢

  • @waltergodwin2529
    @waltergodwin2529 หลายเดือนก่อน

    Smart dude.✊️

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi หลายเดือนก่อน +3

    Uyu kijana agekuwa mkuu wa mkoa mambo yagekuwa safi❤❤

  • @gililwise
    @gililwise หลายเดือนก่อน +1

    UnA hekima sana kijana kuliko huyo mkuu wa mkoa Mungu azidi kukuinua.

  • @JacksonNgilu
    @JacksonNgilu 29 วันที่ผ่านมา

    Vizur

  • @user-ch8it5jr8m
    @user-ch8it5jr8m หลายเดือนก่อน

    Safi upo vizuri kaka sana

  • @khadijathani9064
    @khadijathani9064 12 วันที่ผ่านมา

    Ivi chalamila umewahi kufikiria ety miaka mitatu mfumo ukutene ebu wekeni sheria na uongozi ni miaka mitatu tu ila hiii selikal 🙌

  • @hajimsisi3095
    @hajimsisi3095 หลายเดือนก่อน

    Smart mind

  • @yahomeshopllc5950
    @yahomeshopllc5950 28 วันที่ผ่านมา

    AMBIENI RAÏS SAMIA AMLETE CHALAMILA CONGO DRC KWENYE MAPAMBANO GOMA,ACHE KUSUMBUWA WA BONGO.

  • @Topcentclassic
    @Topcentclassic หลายเดือนก่อน +2

    huyo mkuu wa wilaya asiejitambua anafanya nn hapo pembeni ....anaulizwaga maswali anatujibu kama nchi ya babaake

  • @hassanKaku-to7kd
    @hassanKaku-to7kd หลายเดือนก่อน

    Brilliant

  • @hawahussein137
    @hawahussein137 หลายเดือนก่อน

    Hongera kaka umeongea vizuri sana

  • @noahchepe8036
    @noahchepe8036 หลายเดือนก่อน +2

    😂😂ndio maana Mbeya ilimshinda huyu.. mgomo wa watu wa bajaji na dala dala tuu akaja kujibu shit za hivi hivi

  • @kurumwagodfrey7052
    @kurumwagodfrey7052 หลายเดือนก่อน

    Very smart

  • @FeisalDoctor-wr8ws
    @FeisalDoctor-wr8ws หลายเดือนก่อน

    🎉🎉🎉🎉🎉Big up

  • @AmiriIssa-np4hn
    @AmiriIssa-np4hn หลายเดือนก่อน

    Nice

  • @officialgrace1844
    @officialgrace1844 22 วันที่ผ่านมา

    Ndo mana Paul makonda alimchukua Yuko vizuri kijanaaa

  • @lukehaprimary2574
    @lukehaprimary2574 หลายเดือนก่อน

    Duuuu niatali sana

  • @hansmedia9767
    @hansmedia9767 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂😂Et Miaka 2 unaondoka Khaaaa....!!! Badili ya kuwaza Watu walipe Kodi Unaweza kutoa Na kuingiza wapya

  • @KulwaMkomba
    @KulwaMkomba 10 วันที่ผ่านมา

    Dah! Ni udhuni sana yule aliepewa nafasi ya kuwa kiongozi kumbe alipaswa kuwa mfuasi

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo วันที่ผ่านมา

    Sheria hiyo pelekea mamako.... Nani aweza kibadilika kibiashara within two years??
    Huyu mla utumbo wa mbwa kavimbiwa!!

  • @mwaibolaiman2763
    @mwaibolaiman2763 19 วันที่ผ่านมา

    👍👍👍

  • @johnhery-wh4lq
    @johnhery-wh4lq หลายเดือนก่อน +1

    Huyu kijana ameongea vizuri sana kuliko kiongozi wake.....tena ameongea kwa hekima za hali ya juu kuliko huyoooooo

  • @dalaliipilinga4246
    @dalaliipilinga4246 หลายเดือนก่อน

    vunja bei jnr🎉🎉

  • @rogersiddy
    @rogersiddy หลายเดือนก่อน +3

    Tatizo la sisi watanzania hatujielewi leo tunaumizwa kesho tunawapa kula wanarudi tena kutuumiza huu ujinga ndo unaotumaliza tuamue kuwakataa wote kwa pamoja tusiwape kula kbs tuwape kula wapinzani wakizingua na wao tunawapa nafasi wengine

    • @abumuhammad9615
      @abumuhammad9615 หลายเดือนก่อน

      Kwa kauli za kina NAPE ni ngumu kuiondoa ccm katika box za kura

    • @ednaJF1028
      @ednaJF1028 หลายเดือนก่อน

      Umesema kweli

  • @elenzianjk5543
    @elenzianjk5543 หลายเดือนก่อน

    He is humble and yet smarter than the Haracee!😅

  • @user-ek6on1rh9x
    @user-ek6on1rh9x 25 วันที่ผ่านมา

    Bia hujawaizasahau mnyalukoli 🎉 hatari mno but kama vijana weneed to open our mouth

  • @ManyotaManyota-t8k
    @ManyotaManyota-t8k 27 วันที่ผ่านมา

    Hii ndio changamoto ya serikali yetu ya Tz haiwafikilii wananchi wala kufikili jambo kabla ya kulitenda

  • @nwntz
    @nwntz 24 วันที่ผ่านมา

    X uliemkataa hyu kijana umekataa madini mwenyewe😂😂

  • @Bilioneabichwa331
    @Bilioneabichwa331 หลายเดือนก่อน +6

    Miaka mitatu una graduate, Kafie mbele du!

    • @darajalakidatukilomgi2362
      @darajalakidatukilomgi2362 หลายเดือนก่อน

      Imeponza midomo yetu kujitanganza miaka ya kuwepo kwenye eneo, ohh Niko hapa toka Elfu mbili na mbili ohh Nina miaka nane hapa, tujifunze kuacha kuropoka Siri zetu mbele ya viongozi

  • @WizdomShehemba
    @WizdomShehemba หลายเดือนก่อน

    Umebonga vzr sana asee...

  • @colletatesha5265
    @colletatesha5265 หลายเดือนก่อน +1

    Well spoken kijana wakipatkana mia kama huyu kijana we chala watakungoa apo ulipo you are a disgrace to our presdent and Tz

  • @jimmyhabarugira4232
    @jimmyhabarugira4232 หลายเดือนก่อน +4

    Huy jamaa hastaili kuwa hata mjumbe wa nyumba 10

  • @melejijohnson3257
    @melejijohnson3257 หลายเดือนก่อน +5

    Huyu ni Kiongozi kweli bure kabisa

  • @sifawayesu7079
    @sifawayesu7079 23 วันที่ผ่านมา

    Viongozi wetu jamani
    Na sisi ni watu msituone kama NYANI TUUUU

  • @bibibomba9799
    @bibibomba9799 24 วันที่ผ่านมา

    Chalamila wewehufai kuwa kiongozi kabisa una majibu ya kijeurijeuri sana hufai hufai hufai

  • @cisselamerverille5286
    @cisselamerverille5286 หลายเดือนก่อน

    Ukweli unauma ...ila huo ndio ukweli anaosema muheshimiwa ....leo hivi kesho vile sera zinabadilika ..ingawa inatuumiza ila huo ndio ukweli 😢😢😢....

  • @haidarykufakunoga8869
    @haidarykufakunoga8869 หลายเดือนก่อน

    Mhehe ni MHEHE TU. NAMI NI MHEHE 🙏🙏🙏🙏 Huyu Mwachalamila ni NOUMAH😂😂

  • @MaluguZegu
    @MaluguZegu หลายเดือนก่อน

    Ila mungu si wako pekee

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md หลายเดือนก่อน

    Kijana mungu akuzidishie hekima umewakilisha kilio cha wengi nimeamini hekima haikai kwa wakuu au kwa wataalamu pekee hata kwa maskini kuna hekima