Part 3_USHUHUDA WA MWALIMU ALIYEKUWA FREEMASON NA BAADA YA KUJITOA AKAPEWA MASAA 72 YA KUISHI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 ส.ค. 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
    1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
    2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp....
    3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
    Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
    #ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

ความคิดเห็น • 160

  • @semwandambaza2184
    @semwandambaza2184 3 ปีที่แล้ว +50

    Niwe hai au maiti,,,nipate au nikose,,nilale njaa au nishibe YESU wewe Ni BWANA na Ni mwokozi wa maisha yangu.Baraka zako YESU kamweeee hazifungamani na mateso👐.Kaa Nami BWANa🙏😭😭😭😭😭

  • @peninahkariuki4679
    @peninahkariuki4679 3 ปีที่แล้ว +14

    Waa ushuhuda mzuri wakufunza na kufungua mtu macho ya rohoni,be blessed too 🙏🙏

  • @maryamayitsa6181
    @maryamayitsa6181 3 ปีที่แล้ว +10

    Mungu anakusudi na maisha yako Baba, zidi kummtumikia mungu kwani wengi tuta kombolewa kupitia huu ushuhuda 🙏 Amen

  • @simonnsengiyumva1000
    @simonnsengiyumva1000 3 ปีที่แล้ว +10

    Pia nami niko fwatiliya ushuhuda huu kwamakini sana nikiwa 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮, eeeh Mungu wangu 🙏🙏🙏🙏🙏,unipe mwisho mzuri,kwajina la Yesu Kristo, Ameeeen

    • @jesusmyeverything9179
      @jesusmyeverything9179 3 ปีที่แล้ว

      Amen.

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  3 ปีที่แล้ว

      Amen

    • @kakawamashariki8978
      @kakawamashariki8978 3 ปีที่แล้ว

      Tuko pamoja 🇹🇿🇧🇮

    • @jesusmyeverything9179
      @jesusmyeverything9179 3 ปีที่แล้ว

      Mimi nimeshindwa kujizuia baada ya kuuona ushuhuda huu youtube nikaona nimpigie simu akanielekeza aliko.leo nimeenda kumtafuta mtumishi huyu wa Mungu tumeongea naye mengi.Ni mnyenyekevu na anampenda Yesu kweli kweli yeye pamoja na mke wake na familia yake kwa ujumla.

    • @FloraLemto
      @FloraLemto 7 หลายเดือนก่อน

      ​Yesu ni bwana

  • @fei3668
    @fei3668 3 ปีที่แล้ว +15

    Natamani watu wengii wasikie ushuhuda huu asante mtushi Mungu azidi kukutunza

  • @mutabirwakashasha5428
    @mutabirwakashasha5428 3 ปีที่แล้ว +12

    Huu ushuhuda ni mzito sana aisee tunajifunza mengi sana. Ni hatari sana aisee

  • @servantofalmightygoddranth2511
    @servantofalmightygoddranth2511 2 ปีที่แล้ว +1

    Mtumishi wa JEHOVAH MUNGU Emmanuel Joseph kulwa Barikiwa sana, unajieleza vizuri.

  • @Joyjoy-ym6th
    @Joyjoy-ym6th ปีที่แล้ว +2

    Ameeeen Ameeeen and Ameeeen very powerful testimony full of teaching for really nitazidi kutegemea Mungu Mtumishi wa Mungu Emmanuel Mungu akubariki popote ulipo na Mungu akupe maisha marefu waliyo ingia uko freemason waweze kutoka uko kupitia nguvu za roho mtakatifu 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🔥🔥🔥🔥🔥

  • @teresamokeira4042
    @teresamokeira4042 4 วันที่ผ่านมา

    Amen nimefuraishwa nawe mtumishi kwa kusaidia wengi wale wanayonuiya kuingia kwa hicho chama,na wale wanatamani kujinasua. Shida sasa ni madhabahu yepi ni ya Mungu. Eh Mwenyezi Mungu tupee roho ya kubainisha kanisa za ukweli na za kishetani.

  • @dorcaskarago2876
    @dorcaskarago2876 3 ปีที่แล้ว +5

    Nafanya kazi nabidii na ninazopesa kwa kuwa Mungu amenipa uwezo wote

  • @semwandambaza2184
    @semwandambaza2184 3 ปีที่แล้ว +7

    Unasimulia vizuri mwalimu mwenzangu....ubarikiwe Sana baba🙏

  • @eminix2132
    @eminix2132 2 ปีที่แล้ว +5

    From Eldoret ,May God bless you and protect you brother Emmanuel

  • @DRIPPINGPAIN
    @DRIPPINGPAIN 3 ปีที่แล้ว +3

    WOKOVU KATIKA BWANA YESU NI MZURI NA MTAMU HALLELUIYAH 🙏😭😭...
    JAMANIII KAKA YETU UBARIKIWE SANA ....
    AMEN.

  • @crocodilemasala7956
    @crocodilemasala7956 2 ปีที่แล้ว +3

    Yesu ndiye mkombozi kamili na yote yalikwisha aliposulubiwa kwa msalaba.

  • @semwandambaza2184
    @semwandambaza2184 3 ปีที่แล้ว +2

    Nitasubiri baraka zako KRISTO....nitavumilia aibu,dhihaka na hata umasikini Ila kaaa Nani BWANA YESU🙏🙏🙏

  • @rmaryp6269
    @rmaryp6269 3 ปีที่แล้ว +4

    Barikiwa mtumishi wa Mungu Jacktan, pia barikiwa mtumishi Emmanuel kwa kutoa siri za shetani ili tupone kanisa.

  • @adelinaerrobee6615
    @adelinaerrobee6615 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera kwa ushuhuda nimejifunza jambo hapo kumbe unakuta mtu kabadili dini gafla ni kwasasabu za hizo pesa

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk 3 ปีที่แล้ว +6

    Shuhuda Safi Sana hii. Hopefully itawaokoa wengi

  • @paulmutua2769
    @paulmutua2769 2 ปีที่แล้ว +1

    Baraka za mungu wetu hazina masharti neema ya yesu christo na itutoshe AMiNA,,

  • @Joyjoy-ym6th
    @Joyjoy-ym6th ปีที่แล้ว +1

    Mungu yupo nanyi watumishi wa Mungu mumezingirwa na 🔥🔥🔥🔥🔥wa roho mtakatifu nabarikiwa sana na huu ushuuda

  • @fridachami396
    @fridachami396 3 ปีที่แล้ว +4

    Mungu nipe moyo wa kuridhika na ulichonijalia

  • @AnnaNgobola-pm7fz
    @AnnaNgobola-pm7fz หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe tunamshikuru mumgu kukutoa makuchani mwa shetani ashukuliwe mwokozi yesu

  • @egospeltz9486
    @egospeltz9486 3 ปีที่แล้ว +2

    Kafara ni lazima, mwanzoni unaingizwa mkenge ili umnase samaki unatia chambo lengo ni kumkamata samaki sio kumlisha. Shetani ni baba wa uongo.🔥

  • @remmymhalla9925
    @remmymhalla9925 3 ปีที่แล้ว +3

    Jactan tunashukuru kwa Shuhuda hizi. Zinatujenga sana Kiroho. Damu yangu hautadaiwa. Usitusahau ktk Vyumba 351 vya kuzimu cku nyingi zimepita no 9 bado. Ubarikiwe sana.

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  3 ปีที่แล้ว

      Amen,nimependa sana kauli hiyo.Mwendelezo unakuja,ngoja tumalize huu kwanza

    • @robertmaximilian3264
      @robertmaximilian3264 3 ปีที่แล้ว

      Kwel umetusau sana kwenye vyumba 351vya kuzimu muendelezo mtumishi

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael5509 3 ปีที่แล้ว +3

    Nivyema kuridhika nayale maisha Mungu amekupa? Ukitaka bingo ukiamini uombe Baba YETU alienda juu atakupa vyote..Santi kwa kujitoa kwa huo mtego nakukimbilia Yesu KRISTO mwana wa Mungu.

  • @racheldickson3236
    @racheldickson3236 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu asaidie na wale waliopotoshwa ubarikiwe mtumish

  • @happykajeli5453
    @happykajeli5453 3 ปีที่แล้ว +5

    Hii hatari tulizike na tulicho nacho ubarikiwe sana tunajifunza mengi

  • @brendawekesa1108
    @brendawekesa1108 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu niongoze kwa Kila jambo🙏, ndugu ubarikiwe sana... mungu akusaidie

  • @xiwuyan457
    @xiwuyan457 3 ปีที่แล้ว +5

    HUU USHUHUDA NI MOJA KATI YA USHUHUDA BIG SANA....PROMAX USHUHUDA

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  3 ปีที่แล้ว

      Kweli kabisa, asante kwa tathimini hiyo

    • @marrymarino5759
      @marrymarino5759 2 ปีที่แล้ว

      Naomba utuambie kanumba akifanyaje ad yy akafe

  • @hebronsdaughter1661
    @hebronsdaughter1661 3 ปีที่แล้ว +2

    Amen asante kwa ushuhuda wako barikiwa sana

  • @kibetmiteiezekiel916
    @kibetmiteiezekiel916 3 ปีที่แล้ว +7

    God bless you sir. Its been a strong testimony. Have learn a lot.

  • @norbertlilungulu5018
    @norbertlilungulu5018 2 ปีที่แล้ว +1

    Hatari sana, keep in Jesus' kristu

  • @rabilubinza7661
    @rabilubinza7661 3 ปีที่แล้ว +5

    Duuu hatari sana tamaa ni mbaya sana Mwenyezi Mungu atuepushe na hili.Haya uliekua unakataa ulipopatka kusikia umesikia?

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu ni mwema sana ndg yangu Mungu anakupenda

  • @nshimirimanaetienne3738
    @nshimirimanaetienne3738 2 ปีที่แล้ว +1

    mungu aendelee kukubariki mtumishi wa mungu ondoa hofu utaishi kwa neema ya mungu kabisa.

  • @pendojeremiah1023
    @pendojeremiah1023 2 ปีที่แล้ว +2

    Hii ilinitokea Kwa aliyekuwa mchumba wangu tena yeye alikubali kunitoa Mimi inshort asingekuwa Mungu Leo hii ningekuwa marehemu

  • @mercynyanchoka6283
    @mercynyanchoka6283 3 ปีที่แล้ว +2

    Nankuombea, kaka mungu akusaidid sana utoke kabisa na mungu akusaidie sana

  • @erianne494
    @erianne494 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana mtumishi wa mung birashaka najifunza mengi

  • @onlyfavorite5754
    @onlyfavorite5754 2 ปีที่แล้ว +1

    Amena sana na shukuru mungu kwasababu amebadirika na pokea mungu😍😍

  • @millicentayangokunting3728
    @millicentayangokunting3728 3 ปีที่แล้ว +3

    Mungu ziidi kutuongoza katika dunia yenye machafuko mengi

  • @kirshnaindia890
    @kirshnaindia890 3 ปีที่แล้ว +2

    Ubarikiwe sana Emmanuel mungu akutie nguvu..

  • @beatriceingabire6169
    @beatriceingabire6169 3 ปีที่แล้ว +2

    Part 4 please..mubarikiwe sana

  • @roseester5484
    @roseester5484 3 ปีที่แล้ว +1

    Mungu wetu mwaminifu atatenda kwa sawa Sawa hakuna mtu atapata mazara kwa jila la Yesu

  • @nancybungei9113
    @nancybungei9113 2 ปีที่แล้ว +1

    Upo jasiri kaka, asante kwa kututahadharisha....

  • @levismike16
    @levismike16 3 ปีที่แล้ว +3

    ASANTE SANA KWA PART 3.BWANA YESU ASIOFIWE SANA,KAZI NZURI BWANA JAKTAN MSAFIRI

  • @kasakimba3547
    @kasakimba3547 3 ปีที่แล้ว +1

    Yesu atulinde sana tena sana, duniya inatisha

  • @gratianmugumya1952
    @gratianmugumya1952 3 ปีที่แล้ว

    Jackitani upo vizuri kazi nzuri Bwana akuongezee,na huyu mtumishi haogopi kwasababu mwenyezi MUNGU apendi mtu muoga

  • @mutabirwakashasha5428
    @mutabirwakashasha5428 3 ปีที่แล้ว +4

    Duh huu ni ushuhuda wa moto

  • @PastorJoshua_Njombe
    @PastorJoshua_Njombe 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu alinionyesha kanisa Fulani naliona watu wawili wakitolewa kafara niliwaona wakitolewa kwenye chumba Cha Siri Cha yule mchungaji wakiwa kama mazezeta...

  • @DRIPPINGPAIN
    @DRIPPINGPAIN 3 ปีที่แล้ว +2

    THE deVIL IS A LAIR MY BROTHER..
    DON'T EVER BOW JAMANII😒😪😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🚮🚮 MHHH POLE SAMAHANI KWA YALIYO KUPATA JAMANI MMMM OMBA SANA KWELI..
    KUJIUA NI DHAMBI SANA NA NDIYO WALITAKA KUKUCHUKUA KWA NJIA YA ROHO YA FIKRA HIZO... LAKINI WAKAKUAMBIA KUKUTISHA ETI WATAKUFATA
    BUT BWANA YESU KRISTO TUKIMTUMIA VIZURI KAMA TUNAVYOJITUMA KWENYE MAMBO YA KIDUNIA HATA ZAIDI YA HAPO.. TUTAOKOLEWA SANA KWA WINGI..
    AMEN...
    POLE SANA JAMANII.. NA USIRUDI NYUMA AMEN🔥🔥🔥💪🙏🙏..

  • @comboplatter389
    @comboplatter389 3 ปีที่แล้ว +3

    Husuda mzito sanaaa.

  • @failaprince9250
    @failaprince9250 7 หลายเดือนก่อน

    Pole sana nakupata Yamaha yapesa freemason achana naviumbe vya MUNGU mbona wame kufezeesha kila Siku tumeshukuru kwa ushu Ida MUNGU wambinguni akubariki

  • @joycewanjiku9774
    @joycewanjiku9774 ปีที่แล้ว

    God keep you safe.Kweli inawezekana

  • @kefasoneliakimumkeyembo1804
    @kefasoneliakimumkeyembo1804 3 ปีที่แล้ว +1

    Haaa! najasho limenitoka! YESU naomba endelea kunitunza mimi mtumishi wako.

  • @ananiamkasu8847
    @ananiamkasu8847 2 ปีที่แล้ว +1

    Ninachokuomba ni utajiri wa kujua madhabahi ya kweli ya Mungu.

  • @hakizimanaphilemon9968
    @hakizimanaphilemon9968 3 ปีที่แล้ว +1

    Tumebarikiwa sana na ushuhuda,kweli freemason washindwe kwa jina la kristo

  • @MaggieG276
    @MaggieG276 3 ปีที่แล้ว +1

    Yesu ndiye njia pekee.

  • @user-ew1nn6je1g
    @user-ew1nn6je1g 8 หลายเดือนก่อน

    Allahu akbar, allahu akbar, allahu akbar. Lailha illa llahu

  • @Sabriya-ms4ry
    @Sabriya-ms4ry 3 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubariki natunasubiri parti zingene

  • @joelking3692
    @joelking3692 10 หลายเดือนก่อน

    Daaaaaah Mungu anatupenda sana

  • @anthonkephasglobalmedia7406
    @anthonkephasglobalmedia7406 3 ปีที่แล้ว +2

    Pamoja sana

  • @loraumuhire4755
    @loraumuhire4755 3 ปีที่แล้ว +4

    Ndio turi wona ure bwana mwenye anaoza muguru, nae asema vire vire

  • @Kigalipodcast01
    @Kigalipodcast01 ปีที่แล้ว +1

    Yesu ni Bingwa don't worry, trust in him.

  • @flm1530
    @flm1530 3 ปีที่แล้ว +3

    Sehemu ya nne mtumishi tunaisubiri

  • @heritier5119
    @heritier5119 3 ปีที่แล้ว +2

    Utajiri wa kweli ni kuwa na amani moyoni ukizungukwa na familia yako. Yafaa nn kumiliki utajiri wa mashaka

  • @rmaryp6269
    @rmaryp6269 3 ปีที่แล้ว +5

    Swali kwa Emmanuel, je huko mlikua mnatambuana wanachama wa Tz nzima? Na km ni ndiyo, unaweza kutujulisha waimbaji wa nyimbo za injiri walioko huko?

  • @joshuayunga4052
    @joshuayunga4052 3 ปีที่แล้ว +2

    Mtumishi, Ile ya Aston WA congo umeishia ya 8 bado ujatuletea mwendelezo

  • @agnes9875
    @agnes9875 2 ปีที่แล้ว +1

    Eeh mungu tuhurumie watoto wako

  • @PastorJoshua_Njombe
    @PastorJoshua_Njombe 2 ปีที่แล้ว

    Roho mtakatifu ndie anaeweza kukujulisha juu ya madhabahu sahihi

  • @PastorJoshua_Njombe
    @PastorJoshua_Njombe 2 ปีที่แล้ว

    Yohana 10:10.
    Mwivi haji ila aibe na kuchinja na kuharibu. Hizi ndizo kazi kubwa tatu za shetani kuua kunyonga kuharibu... Shetani Hana jema hata kidogo ana hasira na Mwanadamu ana ghadhabu nyingi akijua Muda wake ni mchache Ufunuo 12:12

  • @shanicemasai5589
    @shanicemasai5589 3 ปีที่แล้ว +1

    Kweli huu ushuhuda unanjenga. Aki kanisa zimejanganyika Eeeee mungu tusaidia

  • @iradukundamike5370
    @iradukundamike5370 2 ปีที่แล้ว

    Subhanallah mungu aturinde nahuwo utajiri bola nife maskini kuriko kupata mari zagiza

  • @emmanuelmnyoro3560
    @emmanuelmnyoro3560 ปีที่แล้ว +1

    Pole baba angu 😭

  • @charayohana1942
    @charayohana1942 2 ปีที่แล้ว

    hakika mtumishi umenifunza kitu japo ni jambo gumu kueleza ila jitahidi kutufungua na mungu akubariki

  • @mweshimiwaraisshikiliahapo8405
    @mweshimiwaraisshikiliahapo8405 3 ปีที่แล้ว +1

    Ee mungu tuepushe na laana hii ya free mason mungu kaa nasi

  • @fei3668
    @fei3668 3 ปีที่แล้ว +2

    Stor tamu uwii tunaomba usitucheleweshe muendelezo Jackatan

  • @fabricembaku849
    @fabricembaku849 2 ปีที่แล้ว +1

    Jina la bwana ibarikiwe

  • @nativeinfotv9620
    @nativeinfotv9620 3 ปีที่แล้ว +1

    Kweli ni ngumu sana kutambua kibinadam

  • @stellaphilimon6706
    @stellaphilimon6706 2 ปีที่แล้ว +1

    Ee mung tuepushe na dhambi hii tupe moyo wa subira ili tuweze kupata mali kwa njia iliyo sahih

  • @aminaally4163
    @aminaally4163 3 ปีที่แล้ว +2

    Tunatakiwa kuridhika na mia anayotubariki MUNGU WETU WA MBINGUNI ALIE HAI.

  • @anastaziuschrisant4725
    @anastaziuschrisant4725 2 ปีที่แล้ว +1

    Ee mungu tusaidie tupate yaliyo mema

  • @sirig9360
    @sirig9360 3 ปีที่แล้ว +2

    Asente tumesoma Mengi sana

  • @tantinemwemendi8790
    @tantinemwemendi8790 3 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe kk

  • @dadahmary1082
    @dadahmary1082 2 ปีที่แล้ว

    Jesus all the way

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa8490 3 ปีที่แล้ว +1

    Tueleze kweli coz madhabahu mengi ya mejichanganya hata hatuji twende wapi jamani ukiingia huku wasikia wako kuzimu Sasa kaka tueleze wewe huenda wapi

  • @user-lv4ju7jb4d
    @user-lv4ju7jb4d 8 หลายเดือนก่อน +1

    MUNGU NIPE MWISHO MWEMa

  • @lilianachiengministries3386
    @lilianachiengministries3386 3 ปีที่แล้ว +2

    Kwani huwa wanawaona vipi huo wakati.

  • @gaddafi_og1966
    @gaddafi_og1966 3 ปีที่แล้ว +1

    🙌

  • @ivonaevarista4654
    @ivonaevarista4654 3 ปีที่แล้ว

    Unapokua umeokolewa na Bwana Yesu hakikisha hujichanganyi shetan hana mchezo,yeye alipoikosa mbingu aliumia San HVO hawez kuruhus mwanadam aende mbinguni Ila Yesu ukikubal akutawale utamshnda adui shetan.

  • @Ccj77
    @Ccj77 3 ปีที่แล้ว +1

    Part 4 please

  • @jeffersonmontero3597
    @jeffersonmontero3597 7 หลายเดือนก่อน

    Subhanallah 😭😭

  • @emmyngoi2997
    @emmyngoi2997 3 ปีที่แล้ว

    Yes ni bwana nitajiri wamatajiri

  • @lispamagu5810
    @lispamagu5810 3 ปีที่แล้ว +1

    Duh

  • @tabiebinola3322
    @tabiebinola3322 3 ปีที่แล้ว +1

    😭😭😭😭😭😭 pole

  • @Ccj77
    @Ccj77 3 ปีที่แล้ว +2

    Michael Jackson alikibia msikitini aliuawa vilevile R. Kerry alikibia msikitini bado wana muhinda kumua. Ni Yesu tu pekeake anauezo wote bali nahilo utauliwa na uliwe nyama

    • @Ccj77
      @Ccj77 2 ปีที่แล้ว

      @@kautharsalat6449 Let my mouth curse you: you will never have peace.
      When you plant others will sow.
      You will run for ever.

    • @Ccj77
      @Ccj77 2 ปีที่แล้ว

      @@kautharsalat6449 Let my mouth curse you: you will never have peace.
      When you plant others will sow.
      You will run for ever.

    • @Ccj77
      @Ccj77 2 ปีที่แล้ว

      @@kautharsalat6449 Has Lord leaves

  • @Ccj77
    @Ccj77 3 ปีที่แล้ว

    Nisamehe kwa hili mwambie abie watu dini sote n za uongo kama hazina Yesu . Basi watu wengi uliwa msikitini na hata catholic. Mtu akijitoa akibie kwa Yesu pekee.
    Watu wajue Mungu wakweli ni Yesu.
    Tafathali abieni watu hapo tu diyo msaada ulipo

  • @hoseamwilapwa946
    @hoseamwilapwa946 ปีที่แล้ว

    Kuna story nyingine hata Freemason lazima wacheke, 😂😂😂

  • @nassimtwahir2665
    @nassimtwahir2665 7 หลายเดือนก่อน

    Je ulikua kanisani wakati huo

  • @ishipalemypasco2567
    @ishipalemypasco2567 2 ปีที่แล้ว

    Duuuu.😭😭😭😭

  • @godsavethesociety1392
    @godsavethesociety1392 2 ปีที่แล้ว

    Kubaini kanisa la kweli,
    1. Liko kwenye Biblia tu