Part 4_USHUHUDA WA MWALIMU ALIYEKUWA FREEMASON NA BAADA YA KUJITOA AKAPEWA MASAA 72 YA KUISHI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ย. 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
    1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
    2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp....
    3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
    Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
    #ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

ความคิดเห็น • 147

  • @adelinaerrobee6615
    @adelinaerrobee6615 6 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera mtumishi kwakweli inahitajika Neema ya Mungu kuvuka kumbe ukitoka ila nimeenda ujasiri wako hongereni Promova Tv

  • @janegacheru9287
    @janegacheru9287 2 ปีที่แล้ว +9

    Started since part one,,and am realy amazed with what God works,He works greatly in this guy..watching from Kenya

  • @rajabhussein7794
    @rajabhussein7794 3 ปีที่แล้ว +4

    Pole Sana ndugu mwalimu mwenzangu,maisha yanatutesa sana

  • @mutabirwakashasha5428
    @mutabirwakashasha5428 3 ปีที่แล้ว +9

    Ushuhuda mzuri sana Mungu ni mwema sana aisee

  • @Joyjoy-ym6th
    @Joyjoy-ym6th ปีที่แล้ว +1

    Ameeeen Ameeeen and Ameeeen damu ya YESU Christo ina nguvu hakika ni ushuuda wa nguvu Mungu azidi kukutawala🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @penninahngau7399
    @penninahngau7399 3 ปีที่แล้ว +5

    Tumengundua mengi mungu akubariki sana hutaokoa wengi kweli😍

  • @kithia100
    @kithia100 3 ปีที่แล้ว +8

    Wanne leo twende kazi🇰🇪🙋

  • @lilianmugyabuso8908
    @lilianmugyabuso8908 2 ปีที่แล้ว

    Shetani hana huruma,Hana cha kupoteza hana cha bure kabisa pole na Hongera sana Mungu Akusaidie usimame na Mungu vizuri

  • @fatumanaliaka2210
    @fatumanaliaka2210 3 ปีที่แล้ว +4

    Pole sana kwa yote Mwenyezi Mungu aendelee kukupikania akushindie akuweseshe akulinde salama akutunze salama akutawale akupikanie akuongose vyema na azidi kukupa nguvu na afia njema na uzima tele pamoja na familia yako na pia jipe moyo kuwa na Imani endelea kumwamini Mwenyezi Mungu kwa anawesa na anachua yote na hakuna jambo lililo ngumu la kumshinda yeye maana yeye ndiye mwenye uweso na mamlaka kwetu na pila yeye hatuwesi chochote kweli na anastaili kila wakati maana yeye ndiye kimbilio tegemeo na msaada Pekee Kwetu kupidia Kwa Jina La mwanae YESU Kristo aliye Bwana na Mwokozi wetu amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @FerdinandNjau
    @FerdinandNjau 3 ปีที่แล้ว +3

    Huu ushuhuda umenigusa sana. Hakika Mungu wetu nimwanifu

  • @peninahkariuki4679
    @peninahkariuki4679 3 ปีที่แล้ว +9

    Watching from 🇰🇪,A blessed Testimony 🙏🙏

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael5509 3 ปีที่แล้ว +1

    Pole sana mwalimu kwa yote uliopitia ulingizwa pasipo wewe mwenyewe kujua Mungu aendelee akikupigania AMINA

  • @jeanbb1385
    @jeanbb1385 3 ปีที่แล้ว +2

    Shetani ahana cha bure asante kwa ushuuda mzuri Sana

  • @LOGOSNew
    @LOGOSNew 3 ปีที่แล้ว +10

    Psalm 46:1
    God is our present help in times of trouble.
    Romans 10:3
    Whoever calls upon the name of the Lord shall be saved.

  • @fatmawanjiko251
    @fatmawanjiko251 2 ปีที่แล้ว +2

    Am watching from Kenya and am amazed for that testimony thank you...

  • @LOGOSNew
    @LOGOSNew 3 ปีที่แล้ว +7

    Mtego wa Shetani huwa hivyo : anaanzia vishawishi vidogovidogo hadi unajikuta kwenye kina kirefu cha majaribu !

  • @hebronsdaughter1661
    @hebronsdaughter1661 3 ปีที่แล้ว +2

    Hakika huu ushuhuda ni mkubwa sana barikiwa na Mungu azidi kukuinua

  • @marthamaligo458
    @marthamaligo458 3 ปีที่แล้ว +4

    Mungu akubariki sana na akusimamie kwa yote

  • @josefomoises9521
    @josefomoises9521 ปีที่แล้ว +1

    Pole sana mtumichi, nilikuwa na nia ya kujiunga icho chama lakini basi nimekoma.

  • @user-sn2pl9kh9j
    @user-sn2pl9kh9j 5 หลายเดือนก่อน +1

    Burundi tunawasikiliza kila siku neema ya Mungu iwe juu yenu wapendwa

  • @maryamayitsa6181
    @maryamayitsa6181 3 ปีที่แล้ว +2

    Mungu alikua na kusudi na maisha yako mchungaji,ili uokoe nafsi zengine.mungu akuinue zaidi my brother

  • @fedhajoseph7687
    @fedhajoseph7687 3 ปีที่แล้ว +5

    Mungu akuwezeshe katika yote Damu ya Yesu ikufunike.

  • @egospeltz9486
    @egospeltz9486 3 ปีที่แล้ว +4

    Mateso ya mwenye haki ni mengi, lakini Mungu atamponya nayo yote.

  • @joannembaja6053
    @joannembaja6053 ปีที่แล้ว +1

    Damu ya Yesu inene uzima maishani mwako popote unapotajwa Emmanuel

  • @gideonwekesa4033
    @gideonwekesa4033 2 ปีที่แล้ว +1

    Jesus christ is the lord,, from kenya God bless you

  • @fedhajoseph7687
    @fedhajoseph7687 3 ปีที่แล้ว +1

    Nimeupenda sana huu ushuuda kwakweli nimebarikiwa mno.

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael5509 3 ปีที่แล้ว +1

    Pole sana mwalimu mandugu zangu yafaa tujue hakuna kitu chochote hupatikanana kwa Raisi lazima utoe jasho hata Neno linatuambia asiyefanya kazi naye asile? Mbona tukimbilie pesa ziko tiyari pasipojua kule zimetoka uzuri umemkimbilia Bwana Yesu ndio mwanzo na mwisho

  • @martinmaryogo3676
    @martinmaryogo3676 3 ปีที่แล้ว +1

    yan huyu jmaaa amshukur mungu sana, maan altoka hakuw na iman kabsa, yan kanisa shetan anakujavip kuliharibu? ndo ujue walimnusulu tu na kuamua kumtesa tu

  • @saraphinaSamweli-rv7bv
    @saraphinaSamweli-rv7bv 23 วันที่ผ่านมา

    Duh ama kwer mungu saidia family yang pamoja na watu wengine

  • @dokasa9176
    @dokasa9176 2 ปีที่แล้ว

    Eee Mungu wa Israel,nipe nguvu zaidi ya ufahamu wangu Baba yangu nikutumikie Kwa ukweli na Roho ijapo ni Kwa umaskini wa kiasi gani nibaki kuwa mwaminifu kwako milele na hata milele

  • @xiwuyan457
    @xiwuyan457 3 ปีที่แล้ว +3

    Kaka nisikufuche huu ushuhuda ni moja kati ya ushuhuda BIG 🙏

  • @anitamageni3487
    @anitamageni3487 3 ปีที่แล้ว +2

    Asante kaka jacktan kwa kutuletea ushuhuda mzuri mungu akubaliki

  • @happinessmwenda2773
    @happinessmwenda2773 3 ปีที่แล้ว +3

    TUMTAFUTE MUNGU KWA BIDII SANA

  • @kasakimba3547
    @kasakimba3547 3 ปีที่แล้ว +1

    Tena ndugu katika yesu,unaadisia vizuri kabisa

  • @JaneMsegu
    @JaneMsegu 8 หลายเดือนก่อน

    Mungu Akutunze Daima

  • @janegabriel78
    @janegabriel78 8 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli mungu akulinde. Na azidi kukuinua😢😢😢😅

  • @MaggieG276
    @MaggieG276 3 ปีที่แล้ว +2

    Thanking God for your salvation

  • @horemow9832
    @horemow9832 3 ปีที่แล้ว +2

    Jamani wapendwa tuelewane sio kila mtu amepewa huduma ya kufungua kanisa ukweli ni kwamba haukumjua huyu Bwana Yesu vizuri makanisa ni mengi ila niwachache mno wanaoingia mbinguni

  • @happynesskimt6249
    @happynesskimt6249 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana hii ni elimu tosha,

  • @fridamwikuka5402
    @fridamwikuka5402 3 ปีที่แล้ว +4

    Du dunia hii ina makubwa sn.bora nikae na umaskini wangu

  • @levismike16
    @levismike16 3 ปีที่แล้ว +3

    BWANA YESU ASIFIWE MILELE.JACKTAN ASANTE NA MUNGU AKUONGOZE SANA NA UJASIRI'

  • @mwikalijoeephine1522
    @mwikalijoeephine1522 3 ปีที่แล้ว +3

    And mama kanumva keeps accusing lulu while his son was this own problem . May God have mercy .
    In any area of my an connected to satanism system I command the connection be broken and consumed by the fire of holy ghost in Jesus name Amen

  • @nakiwalahjulliet9208
    @nakiwalahjulliet9208 3 ปีที่แล้ว +1

    Doing great job promover TV.long live promover t.v

  • @trilionea_online_TV
    @trilionea_online_TV 10 หลายเดือนก่อน

    Ongea bro nakupata vema, mm nilikuwa na cheo cha Craft, ni cheo cha tatu kutoka vyeo vya Kanda na Africa mashariki ni daraja la 29,
    So mwalimu funguka watanzania wajue, hasa vijana ambao wanatamani kuingia huko, funguka

  • @Mbenja12
    @Mbenja12 3 ปีที่แล้ว +1

    MUNGU awabariki Sana na awapiganie..

  • @martinmaryogo3676
    @martinmaryogo3676 3 ปีที่แล้ว +1

    kumbe haukuw na nguvu ya mungu bali walikusamehe tu na kuchukua mali zao,ndo maan ulipofngua kanisa lakin yaliharbika kwa sababu alipo yesu wa kwel nguvu za giza haziwez kusogea, na wangetaka kukuuwa wangekuuwa tu

  • @failaprince9250
    @failaprince9250 8 หลายเดือนก่อน

    Pole sana ndugu

  • @flm1530
    @flm1530 3 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe mtumishi

  • @carolinewanjiku5727
    @carolinewanjiku5727 3 ปีที่แล้ว +5

    Kama hungeitishwa familia yako ungeendelea kupeana watoto wawenyewe surely people are heartless

  • @PeterNzinza
    @PeterNzinza 7 หลายเดือนก่อน

    Kole kazi yauwalimu uliacha

  • @lilianachiengministries3386
    @lilianachiengministries3386 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante kuendelea..

  • @anthonkephasglobalmedia7406
    @anthonkephasglobalmedia7406 3 ปีที่แล้ว +3

    Namba 2♦️♦️♦️ tunabarikiwa sana jaman

  • @sharondivine8994
    @sharondivine8994 3 ปีที่แล้ว

    Rehema ya Mungu yatosha

  • @fei3668
    @fei3668 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante yesu

  • @sevenmund
    @sevenmund 3 ปีที่แล้ว +2

    ujamalizia kuhusu inshu ya kanumba

  • @linuxlipawaga1696
    @linuxlipawaga1696 3 ปีที่แล้ว +2

    Oooh ila nimewahi twende kazi

  • @karrolleschon3986
    @karrolleschon3986 3 ปีที่แล้ว +4

    🇰🇪😧

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 3 ปีที่แล้ว +2

    Kwahyo hyo huduma ulikua unafanya biashara au

  • @lispamagu5810
    @lispamagu5810 3 ปีที่แล้ว +1

    Hatr

  • @DRIPPINGPAIN
    @DRIPPINGPAIN 3 ปีที่แล้ว +2

    HAMNA KULAZIMISHWA OBVIOUS KWA KUWA SIYO RUHUSA YA MUNGU ...

  • @lilianachiengministries3386
    @lilianachiengministries3386 3 ปีที่แล้ว +1

    Kiwango cha yule mtumishi wa kwanza kiliishia pale,kwa hivyo bado ni yesu alikusaidia,hadi akakupeleka kwa mtumishi mwingine

  • @user-ew1nn6je1g
    @user-ew1nn6je1g 8 หลายเดือนก่อน

    Cha ajabu ni kwamba wote wanaotoka hukumbilia kanisani na si msikitini why this ?!! Kuna siri zenu hapa na kwa nn hukueleza kwann uliambiwa uchague jina la othman ambl ni la kiisilam??!! Kuna siri gan napo hapa.?

  • @joycesikana4513
    @joycesikana4513 3 ปีที่แล้ว +1

    We ni mshindi

  • @Mbenja12
    @Mbenja12 3 ปีที่แล้ว +2

    Nimependa ujasiri wako..

  • @HBI-TV
    @HBI-TV 2 ปีที่แล้ว

    Mungu nimwema

  • @blessingmmbone6638
    @blessingmmbone6638 3 ปีที่แล้ว +1

    Jesus,jesus your christ

  • @kasakimba3547
    @kasakimba3547 3 ปีที่แล้ว +1

    Yesu asifiwe

  • @emmanuelmnyoro3560
    @emmanuelmnyoro3560 ปีที่แล้ว

    Naipataje namba ya huyu mchungaji

  • @edinambaga776
    @edinambaga776 3 ปีที่แล้ว +1

    Mke wako alijuwa anajuwa sababu ya hayo mpito au anajuwa ulikuwa freemaso

  • @vomalizavomaliza746
    @vomalizavomaliza746 2 ปีที่แล้ว +1

    Hawa wanaume wanashinda

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa8490 3 ปีที่แล้ว +1

    Zinaitwa pesa jamani doh

  • @jeffersonmontero3597
    @jeffersonmontero3597 8 หลายเดือนก่อน

    Subhanallah 😭😭

  • @HilarioAfonso-en1gv
    @HilarioAfonso-en1gv 6 หลายเดือนก่อน

    Maisha ni kupitia

  • @godsavethesociety1392
    @godsavethesociety1392 2 ปีที่แล้ว

    Sizani kama ni kweli

  • @JN-bq8dh
    @JN-bq8dh 3 ปีที่แล้ว +1

    kwa nini kuhuzuliya mikutano usiku??

  • @godsavethesociety1392
    @godsavethesociety1392 2 ปีที่แล้ว

    Muongo mkubwa sana huyo hakuna ukweli wowote ni muongo nani agent mkubwa wao,
    Biblia hata haijui bc MUNGU atusaidie tusijiunge na chama hicho hakika ni hatari sana

  • @neemaernest4167
    @neemaernest4167 3 ปีที่แล้ว +1

    Duuu

  • @graceshikulu7257
    @graceshikulu7257 2 ปีที่แล้ว

    Shuuuuuu

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 3 ปีที่แล้ว +1

    Kwani kitimoto dhambi? Nakula bila shaka

  • @DRIPPINGPAIN
    @DRIPPINGPAIN 3 ปีที่แล้ว +1

    2TIMOTHY CHAPTER 4 VERSE 7 GOING ON...
    I HAVE FIGHT A GOOD FIGHT.. I HAVE FINISHED MY COURSE... THE REST WE LEAVE FOR JESUS CHRIST THE RIGHTEOUS JUDGE TO JUDGE AMEN 🙌💞💞🔥🙏🙏..

  • @chuggapjt3782
    @chuggapjt3782 3 ปีที่แล้ว

    Yesu hakuwa na nguvu katika dini hiyo?

    • @tiamo726
      @tiamo726 3 ปีที่แล้ว

      Dini gani swali lako sielewi

  • @achsahcharles6728
    @achsahcharles6728 3 ปีที่แล้ว +1

    Mmhh huyu alikua kwenye kilinge tu cha waganga ila sio freemason 😃, lakini pia kisaikolojia mtu akiwa anasimulia kitu anapiga miayo fulani kama huyu jamaa anavyofanya, kunakua na kitu hakiko sawa, ila msiniulize ni nini

    • @leonardinabalenzi4005
      @leonardinabalenzi4005 3 ปีที่แล้ว

      Uganga, uchawi, freemason vyote ni vidhehebu kwenye ufalme wa giza. Freemason ni uchawi pia, ila ni wa viwango vya namna ile ambavyo unaouona. They are all wichcrafts. Tafuta vitabu vya Ike Nathan Uzorma mnigeria aliyekuwa mchawi utajifunza mengi

    • @piusmtwale7690
      @piusmtwale7690 3 ปีที่แล้ว +1

      Kweli kabisa hivyo vitabu ukivisoma vitakusaidia san

    • @achsahcharles6728
      @achsahcharles6728 3 ปีที่แล้ว

      @@leonardinabalenzi4005 nimeshawasikiliza wote nawajua vizuri, but still mganga na freemasons hata kama wote ni watumishi wa ufalme wa giza, wako tofauti

  • @sarahjacobs8814
    @sarahjacobs8814 3 ปีที่แล้ว +1

    Aligusua kuhusu kanumba LAKINI hueleza

  • @sarahjacobs8814
    @sarahjacobs8814 3 ปีที่แล้ว

    Je hao mapastors pia hutia wife zao.au watoto

    • @sarahjacobs8814
      @sarahjacobs8814 3 ปีที่แล้ว

      Hutoa wake zao kafara

    • @tiamo726
      @tiamo726 3 ปีที่แล้ว

      Machawi hana huruma ndio wanaweza

  • @evansmwathi6176
    @evansmwathi6176 ปีที่แล้ว

    😂

  • @DRIPPINGPAIN
    @DRIPPINGPAIN 3 ปีที่แล้ว

    ULIKUWA ZOBA KWELII ENZI HIZO..
    SIJUI TUKUPE POLE AU...
    ILA MUNGU ANAONA.. NA ANASAMEHE 😏😒🚮

  • @mariachannelke9769
    @mariachannelke9769 3 ปีที่แล้ว +1

    Mbona naona mwarudia jameni?

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  3 ปีที่แล้ว +1

      Tumerudia nini jamani

    • @mariachannelke9769
      @mariachannelke9769 3 ปีที่แล้ว +1

      @@PromovertvTzmnarudia hii testimony
      Nikienda kwa playlist ushuhuda nishauskiza hadi part 7

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  3 ปีที่แล้ว +1

      Barikiwa,hatujarudia bali wewe umefahamu kuupata kupitia playlists,wengine tulishawaelekeza hiyo njia lakini hawajafahamu.

    • @mariachannelke9769
      @mariachannelke9769 3 ปีที่แล้ว +1

      @@PromovertvTz nashukuru mbarikiwe
      Mimi nangoja mwendelezo wa vyumba 351)part 9 na kwendelea pls

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  3 ปีที่แล้ว

      Sawa

  • @allyawadh8492
    @allyawadh8492 3 ปีที่แล้ว +3

    Yaani wakristo ni waongo hizi shuhuda ni story ambazo hazina ukweli wowote na hawa watoa hizo shuhuda wanachofanya ni kuunganisha story za watu mbalimbali kisha wanazionganisha, kwasababu wakristo elimu zao ni ndogo basi moja kwa moja wanaamini tena wanamuona kama mtu wa mungu kwa kufata hizo hadithi zake, wakristo kila siku dini yenu inakosa thamani kwasababu ya watu kama hawa, tena cha kusikitisha hata hiyo biblia yenu haina thamani wala kufundishwa kila unae mskia badala ya kufundisha neno la mungu wao hufundisha hadithi za vijiweni.

    • @edinambaga776
      @edinambaga776 3 ปีที่แล้ว +2

      Atushangai kwa shutuma zako wewe ingia maana niwakwenu tuaachie ss tujifunze ili tukae na yesu wetu

    • @edinambaga776
      @edinambaga776 3 ปีที่แล้ว

      Na alama za ajari zimeundwa

    • @edinambaga776
      @edinambaga776 3 ปีที่แล้ว

      Mahakimu anaokutajia uongo tunakushahuli ndugu mtafute yesu sio utajiri was shetani mpendwa

    • @fundirangistallatitus3735
      @fundirangistallatitus3735 3 ปีที่แล้ว +3

      Mbona nyiny kutwa kutwa kuponda ukristo kwann msifundishe yenu mpaka mponde

    • @fundirangistallatitus3735
      @fundirangistallatitus3735 3 ปีที่แล้ว +1

      Mbona nyiny kutwa kutwa kuponda ukristo kwann msifundishe yenu mpaka mponde

  • @johnnjoroge2773
    @johnnjoroge2773 3 ปีที่แล้ว

    I've listened Pt1 and Pt2. And my Conculution is this is a very Big liar. Who wants publicity. You were Never Never Ever in Freemason. Wewe ni Mu ongo. And also to make money. Shame on you..

    • @johnnjoroge2773
      @johnnjoroge2773 3 ปีที่แล้ว

      You could have shown us the Freemasons Uniforms or even Diagrams. Freemasons don't meet in houses but in their Temples. Stop the lie.

    • @emmanuelmsukuma6099
      @emmanuelmsukuma6099 3 ปีที่แล้ว +1

      Barikiwa na mawazo yako

    • @eleonorandole9244
      @eleonorandole9244 3 ปีที่แล้ว +1

      Kwaio temple zenyewe ni nn? Kwamba hazina ukuta?? Temple ndo nyumba hizo hizo labda kwa sababu ww unaongea kingereza

    • @emmanuelmsukuma6099
      @emmanuelmsukuma6099 3 ปีที่แล้ว

      @@eleonorandole9244 Amina waache wangee huwa hawakos kama John njoroge

    • @stanleywaweru1714
      @stanleywaweru1714 2 ปีที่แล้ว +1

      It's good you have taken interest listen to both parts. He is saying the truth whether you believe it or not.
      Kuzema ni uongo haibadirishi jambo lolote.