NILIFANYA UASHERATI WA KUPINDUKIA KAMA SADAKA YA KUMTUMIKIA SHETANI|USHUHUDA WA MCH.KAFUMU WA GEITA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น •

  • @alainmuhigirwa7026
    @alainmuhigirwa7026 9 หลายเดือนก่อน +1

    Asante Yesu Kristo.
    Hakuna aliye kama Wewe Bwana wa ma Bwana, Mufalme wa wafalme

  • @judithbett420
    @judithbett420 10 หลายเดือนก่อน +2

    Amen . Mungu aendelee kukupa nguvu ya kueneza injili.

  • @AzAz-sy6zp
    @AzAz-sy6zp 10 หลายเดือนก่อน +2

    Amen mungu akubarki san mtumishi na mungu atakuwezesha ili kufikia malengo ya uwanja na kujenga knisa

  • @BagumaCongolais
    @BagumaCongolais 10 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu tuurumiye wanadamu tunamukoseya MUNGU

  • @MaryMichaelMaryMichael-i7o
    @MaryMichaelMaryMichael-i7o 10 หลายเดือนก่อน +3

    Amen blessd. Promover tv❤.kaka jacktan na Audax❤

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai 9 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana mchungaji

  • @LeocardiaDaniel-sj3wl
    @LeocardiaDaniel-sj3wl 10 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu aendelee kukugusa Sana kuhusu wale watoto 2.

  • @Esthermordecai
    @Esthermordecai 10 หลายเดือนก่อน +2

    Barikiwa sana mchungaji

  • @josejosia3024
    @josejosia3024 10 หลายเดือนก่อน +2

    "Samahani kama nitawakwaza msiweke hilo biti si watu wote watapenda mziki au beat lakini nirahisi kwa watu wote kusikiliza mazungumzo asante kwa jitihada zenu kutufunulia mengine ambayo hatukuyajua ila kwajili yenu tumesikia promover niyetu sote nazani hivi nitakuw sawa piya nawapenda ninyi mko makini kwa watu mnao wahoji

  • @apostlezizi
    @apostlezizi 10 หลายเดือนก่อน +4

    Utukufu kwa kristo

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai 9 หลายเดือนก่อน

    barikiwa

  • @paxomnibus3598
    @paxomnibus3598 10 หลายเดือนก่อน +2

    Kweli ..msiweke mziki wowote ule,acheni tu watu wasikie sauti ya mtu badiii

  • @joymkenya2359
    @joymkenya2359 10 หลายเดือนก่อน +2

    Kenya tumekuskia,,, namba Yako ya TZ tuwekee

  • @mercykariithi7919
    @mercykariithi7919 10 หลายเดือนก่อน +2

    Lakini wachawi na wakanga wote wanashuhuda mmoja wote wanakuwa wachungaji badaa ya kuacha ushetani lakini wengine ukiwafuatilia unagundua bado wako na masalio ya uchawi au mganga lazima watu wajiathari sana

    • @annkim2690
      @annkim2690 10 หลายเดือนก่อน

      Humjui Yesu wewe Hana mchezo

  • @DorosterProspery
    @DorosterProspery 10 หลายเดือนก่อน

    Ninatamani kusikia kwamba umewarejesha wale watot uliowaficha kwa bibi yako kiuchawi kama kweli ww umempokea Yesu na kuacha kumtumikia shetani.

  • @LeocardiaDaniel-sj3wl
    @LeocardiaDaniel-sj3wl 10 หลายเดือนก่อน

    Mengine umeshuhudia vizuri nimekuelewa kwamba ulichoma Moto Yale matunguri yote na Mungu akubariki Sana na kukutia nguvu shikilia wito wake.Lakini je, kuhusu wale watoto wawili mwisho wake ulikuwa ni nini?

  • @juniorkalinge5861
    @juniorkalinge5861 10 หลายเดือนก่อน +2

    MUNGU YUPO KILA WAKATI NDANI YA MAISHA YETU

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 10 หลายเดือนก่อน +4

    ..mmmh dunia inatutesa sana aaaa MUNGU ANIHURUMIE MM NA KIZAZI CHANGU DHAMBI INATESA BILA YESU HATUWEZI LOLOTE NI KUZINI HATA KAMA HUPENDI

    • @JAPHETJOSEPH-b6e
      @JAPHETJOSEPH-b6e 10 หลายเดือนก่อน

      Daaaaa Ni hatar ,tatizo watu hawajaokoka wanataman Mungu ,lakin na uzinz nao wanataka, japo wanachoma MIOYO YAO lakin hawana nguvu kwa sababu ya tamaa

  • @musaondieki2493
    @musaondieki2493 10 หลายเดือนก่อน

    Swali langu ni hili wale watoto ulio wafanya misukule tangu uokoke ni hatua Gani umejukua kuwalejesha wote ulio wafanya misukule?

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 10 หลายเดือนก่อน

    Ungesimulia namna ulivyofanya huo uganga na uchawi kabla yakusmulia uokovu!

    • @MaryMichaelMaryMichael-i7o
      @MaryMichaelMaryMichael-i7o 10 หลายเดือนก่อน

      Unataka kuchukua kozi na wew uanze kufanya huo uganga???sikuliza habari za ufalme w mbinguni. Upate wokovu...habari za shetani nenda iluminati watakufundsha vzur