Kwa kweli Promover na mim nakili hata Mungu aniona nimeokoka kupitia promover nikaponywa magonjwa yote japo kutoka ukatoliki kwenda kwa walokole huwa ni ngumu kidogo ila nilipoamua TU nimeona Miujiza mikubwa so Promover Mungu awabariki endeleeni hivo hivo Sina cha kusema
Shuhuda ninzuri. Ila hatujui tunaanzia wapi nakumalizia wapi. Tafadhali tieni shuhuda zakuenea, hapana kutudokeza katikati. Bora hâta kufanya fupi fupi lakini zianze mwanzo sio Katikati.Maana tunakua tumeshasikia kichwa cha shuhuda and we loose interest in following on with the rest.
Kwa kweli Promover na mim nakili hata Mungu aniona nimeokoka kupitia promover nikaponywa magonjwa yote japo kutoka ukatoliki kwenda kwa walokole huwa ni ngumu kidogo ila nilipoamua TU nimeona Miujiza mikubwa so Promover Mungu awabariki endeleeni hivo hivo Sina cha kusema
Halleluyah!! Hongera! Kwa kweli Promover ni channel ya baraka sana.
Promover please msiwe mnaeka vionjo tunachangnyikiw weken tu ushuhuda moja kwa moja
Yesu niBwana songa mbele mtumishi nakupenda sana
Ubarikiwe mtumishi,ni kama ninavyopitia mim
Mungu mkubwa God bless members of this media
Shuhuda ninzuri. Ila hatujui tunaanzia wapi nakumalizia wapi.
Tafadhali tieni shuhuda zakuenea, hapana kutudokeza katikati. Bora hâta kufanya fupi fupi lakini zianze mwanzo sio Katikati.Maana tunakua tumeshasikia kichwa cha shuhuda and we loose interest in following on with the rest.
Start where you are my love🎉
Amina
Thank you🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Mmmh! Rangi ya nguo yako na rangi za material ulizotumia kwenye kanisa lako mtumishi inaonekana unapendelea sana
Mbona hammaliz shuhuda zenu, mmeanzisha mpya
Pasto kapola,,prophet Malisa mtachagua wenyewe.
Mateso yalikua mengi Sana MTU anachanjwa live ana vuliwa nguo pia live hii nayo kali
Huu ushuhuda siuelewi hi part ngap mbona juzi mlipost
Nyamasa kama uelewi Wacha kusumbua ;ama vuatilia!
Hakuna dola ya elfu kumi
Umesikiliza vizuri??
Kasema "dola, na elfu kumi kumi na elfu tano tano"
Hao wapo wengi wanakurupuka tu 😂😂😂
TH-cam unatumia jina gani mtumishi
Amina