Hamna kitu kinauma kama kuwa na ndugu mwizi yan kila ukisikia haya matukio moyo hautulii, amani pekee unaipata pale akiwa gerezani tu ila akiwa mtaan yan unakaa umejiandaa kupokea maiti mda na wakati wowote!! Inasikitisha sana na huwa wanashauriwa lakn wapi yan huwa hawashauriki kabisaaaa cjui shida huwa ni nini jamn. Innalilahi Wainalilah rajighun
Kbs unaishi kwa magutu magutu tuyn una hamani kns unajjw muda wwte naoata hnr mbaya hy km uyu mma ake ana hl gn ila tuna kosea kuhukumu ivi bola kupeleka jela
Maisha ni magumu sana mtu anatafuta kwa jasho na damu apate walau hata hela ya kula halafu anakuja mtu mwingine ambae na yeye anatafuta apate ya kula na anauwawa na tunamuuwa kweli kweli lakini hamna mtu anaependa kuiba ila ni maisha magumu inamlazimu mtu atamani cha mwenzie akichukue na mimi ninaechukuliwa siwezi kukubali yote yote haya maisha mimi sielewi kwakweli mungu atusaidie sana
Kaa jmn so ivi mungu ajasema mfanye ibi jmn i ukumu si nafas yenu ni nafas ya allah jmn mnachoma binaadamu mwenzenu km mdudu ht km mwizi so kuukumu ivi
Poleni sana,Godbles Lema alipayuka kusema bodaboda ni kazi ya laana. Mimi nasema bodaboda na bajaji ni kazi hatari na visitumike kama vyombo vya usafiri wa abiria
UKIANDIKA KISWA CHA HABARI NAMNA HI BODABODA ALITEKWA AKIWA PIKIPIKI YAKE PORINI ALIPASA SAUTI WATU WAKAJA KUMPA USHIKIANO, YAANI MILLARD AYO UNAZINGUA
Hao wezi wapo sana kuna siku halinikosa kaja kijiweni akaniambia nimpeleke airport baada ya kupanda bila kupatana bei akaniambia ana safari kama tatu hivi akaniuliza utanifanyia bei gani nikamuuliza hiyo safari ni wapi na wapi akaniambia airport kamaka . Kinyerezi namwisho mbezi halafu namrudisha mpaka total veta nikamwambi a 50000 mpaka 40000 hakasema sawa tumefika mbezi njia panda ya makabe kuna ccm pale akashuka huku anatembea haraka haraka nipaki pikipiki nimfate nikamwambia we nenda kachue hiyo chek uliyosema hutanikuta hapa kwani alirudi nilimsubiri kuanzia saa 5:30 mpaka saa7 mchana kwani alirudi
Maisha ni magumu sana mtu anatafuta kwa jasho na damu apate walau hata hela ya kula halafu anakuja mtu mwingine ambae na yeye anatafuta apate ya kula na anauwawa na tunamuuwa kweli kweli lakini hamna mtu anaependa kuiba ila ni maisha magumu inamlazimu mtu atamani cha mwenzie akichukue na mimi ninaechukuliwa siwezi kukubali yote yote haya maisha mimi sielewi kwakweli mungu atusaidie sana
Safi sana.Hongereni sana wananchi,tena yanaiba mchana kweupee.
Wizi NI tatizo kubwa ila huu kumchoma MTU MOTO NI mtihani MKUBWA SANA
Ndio inavyotakiwa kichomwa hv unajua jinsi kaka zetu wa boda wanavyopata matatzo wanauawa
Hamna kitu kinauma kama kuwa na ndugu mwizi yan kila ukisikia haya matukio moyo hautulii, amani pekee unaipata pale akiwa gerezani tu ila akiwa mtaan yan unakaa umejiandaa kupokea maiti mda na wakati wowote!! Inasikitisha sana na huwa wanashauriwa lakn wapi yan huwa hawashauriki kabisaaaa cjui shida huwa ni nini jamn.
Innalilahi Wainalilah rajighun
Kbs unaishi kwa magutu magutu tuyn una hamani kns unajjw muda wwte naoata hnr mbaya hy km uyu mma ake ana hl gn ila tuna kosea kuhukumu ivi bola kupeleka jela
😂😂😂😂 ndugu mwizi sio
Kwel kabisa yan dah😢
Maisha ni magumu sana mtu anatafuta kwa jasho na damu apate walau hata hela ya kula halafu anakuja mtu mwingine ambae na yeye anatafuta apate ya kula na anauwawa na tunamuuwa kweli kweli lakini hamna mtu anaependa kuiba ila ni maisha magumu inamlazimu mtu atamani cha mwenzie akichukue na mimi ninaechukuliwa siwezi kukubali yote yote haya maisha mimi sielewi kwakweli mungu atusaidie sana
Kaa jmn so ivi mungu ajasema mfanye ibi jmn i ukumu si nafas yenu ni nafas ya allah jmn mnachoma binaadamu mwenzenu km mdudu ht km mwizi so kuukumu ivi
Siku hizi kuua mtu imekua sawa na kuchinja kuku jaman mnao shiriki hata kwa sauti tuu hiyo ni huku u umetoa tumwogope mungu jamani ndugu sangu🙏🙏🙏
Poleni sana,Godbles Lema alipayuka kusema bodaboda ni
kazi ya laana.
Mimi nasema bodaboda na bajaji ni kazi hatari na visitumike kama vyombo vya usafiri wa abiria
Mna ajira zakuwapa?
Hapo sasa mnaropoka tu
Umeongea pumba
Kwaiyo utawaajili
Kenge wewe unaongea utumbo
Bora mumemuua...safi sa sana
Kama ningekubali tu kumfata ningerudi pikipiki amna na yeye hayupo wale huwa wanakuwa wanaandaa watu ukijichanganya tu umeibiwa
Na wale walio mukata na kumuuwa mtoto albino akiwemo paroko na baba mtu mumewafanya nini???
Huyu Mwalimu fala sana hajui uchungu wa kuibiwa na hayajamkuta
That good job
Safi sana wamezidi kutuumizia waume wetu
Mmefanya vizur sana kumchoma
Safi sana ! Wamezidi hao ?
Achomwe kabisaa mbwa yeye anaiba mchana.
Iyo sauti nayo imechomwa moto
😂😂😂
😂😂😂
Mwehu wewe😂😂
Kazi nzuri sanaa
Daah Aseee Arusha kwa matât izo asee me Sipo
Safii sana
Mpaka naogopa
Kwann mtu usitafute Mali yako unashika za Watu...kaz nzuri boda hapo mmepunguza mwiz mtaan
Jamaa kaiba hadi sauti
Inalilaahi wainalilah rajighun
🎉
Mtihani
Duuhh
😮😮😮
UKIANDIKA KISWA CHA HABARI NAMNA HI
BODABODA ALITEKWA AKIWA PIKIPIKI YAKE PORINI ALIPASA SAUTI WATU WAKAJA KUMPA USHIKIANO, YAANI
MILLARD AYO UNAZINGUA
We mwalimu usiongee kimavi mavi acha achomwe.
Nilikuwa 2 babati Kuna matukio mengi sana
,mbona haina sauti
Je angeuliwa wa bodaboda ? Sibora kapata alichokitafta
Innalillahwainnalillahrajiuun
Hao wezi wapo sana kuna siku halinikosa kaja kijiweni akaniambia nimpeleke airport baada ya kupanda bila kupatana bei akaniambia ana safari kama tatu hivi akaniuliza utanifanyia bei gani nikamuuliza hiyo safari ni wapi na wapi akaniambia airport kamaka . Kinyerezi namwisho mbezi halafu namrudisha mpaka total veta nikamwambi a 50000 mpaka 40000 hakasema sawa tumefika mbezi njia panda ya makabe kuna ccm pale akashuka huku anatembea haraka haraka nipaki pikipiki nimfate nikamwambia we nenda kachue hiyo chek uliyosema hutanikuta hapa kwani alirudi nilimsubiri kuanzia saa 5:30 mpaka saa7 mchana kwani alirudi
Pole sana allah awalinde ktk utafutaji
yaani majizi pamoja na kuuawa kikatili lkn majizi hayaachi
Said mwanzo haina
Mm waliniibia pikipiki zangu mbil wauawe tu
Sauti sas
KIBERTI KIMEWAKA CHENYEWE.
Haya WaKENYA tumejibu sasa
HAYA BNA
Vip kama alikua ni mteja kweli na hausiani chochote na uo wizi
Kwanini ampeleke porini na wangine wakakimbia na boda na ndo walikuwa wote
Si unasikia kwamba na pikipiki wameondoka nayo
Tega sikio acha wenge
Wew kweri mjinga
Ndio mana darasani ulipata ziro😅
Mbona sauti amuna
Tafuteni jambaxi walikuwa yanachati.
Uchaguzi huoooooo
Punguzeni kumwanga dam
Ila waongeze kumwaga maji
Wachomwe kabisaaaaa
Waweza kuta sio mwizi wana bifu zao2
Ingekua bifu wasingeiba hiyo boda😂
Hakuna sauti
Mh
𝒂𝒔𝒂 𝒎𝒃𝒐𝒏 𝒉𝒂𝒎𝒖𝒐𝒏𝒆𝒔𝒉𝒊 𝒂𝒍𝒊𝒗𝒚𝒐 𝒖𝒏𝒈𝒖𝒂
😅
Mmh wewe nawe unaitakia nini maiti kwa Sheria gani waoneshe maiti ???
Safi Sana wamezidi mmefanya kaz nzur Sana na mungu awatie nguvu jaman
We mwenyewe comment yako umeificha ulichoogopa ww ndo walichoogopa wao pia 😂😂😂
Maisha ni magumu sana mtu anatafuta kwa jasho na damu apate walau hata hela ya kula halafu anakuja mtu mwingine ambae na yeye anatafuta apate ya kula na anauwawa na tunamuuwa kweli kweli lakini hamna mtu anaependa kuiba ila ni maisha magumu inamlazimu mtu atamani cha mwenzie akichukue na mimi ninaechukuliwa siwezi kukubali yote yote haya maisha mimi sielewi kwakweli mungu atusaidie sana