Huyu pastor hana tofauti na wanafunzi wa Yesu, hawakuamini kama. Ni yeye kafufuka mpaka Yesu akawaambia nishikeni viganja vyangu ndo muamini mimi ndiye
Kila nikiwaza kande tumekula chepe tumepiga na hata kama kafufuka shamba hatumpi😂😂😂sina mbavu mie mwingne hakumbuki kazikwa mwaka gan ila ni kama .....😂😂😂
@@Churchofecclesiayesu christo ni nabii wa mungu tu na sio mungu kwani mungu hana mama wla baba hakuzaa wala hakuzaliwa upo wacha kumsingizia yesu uongo nipe andiko la yesu alilosema yeye ni mungu 😂😂😂😂😂
Sasa Ninaanza kuamin,i kuna mtu ameishawai kuniambia 70,% ya vifo vingi Dunia sio mapenzi ya Mungu ni Hila za shetani, na 20% ni ujinga na uzembe wa watu wenyewe na 10% ndio mapenzi ya Mungu.. Bila kuwa na Mungu wa kweli ni mwendo wa kupigwa viini macho tu. Sterling hafi, mwamba karudi wabaya wake waombe ardhi ipasuke wamezwe, vinginevyo kitawahusu.
Ni jambo la kufikirisha, lakini masela wana uthibitisho mpaka wa mavazi ni yale yale na pastor anathibitisha, ndugu walioshiriki pia na hata kabla ya kufariki alipataja nyumban kwao.. so wahuni , ndugu , GPS 😂 na pastor watakuwa wanashuhudia uongo mmnh hapana, wazo la kujiridhisha ni muhimu pia… kuna mahali tutakuwa tumepigwa.. 😂,, wacha ije episode 2 tuone 🙌 # New Lazarus in Town 😂😂
😂😂😂😂wamuhoji kipindi hikihiki alichopanik ndio majibu yatakua sahihi akitulia atadanganya huyo mzee...Robertinyo umerud baba tupo pamoja mpk upate shamba lako 😅😅
Kwa hiyo kilichotokea hapo baada ya kuzika akachukuliwa kichawi ili aende kufanya kazi za kichawi! Lakini kwa Neema za MUNGU amemgomea yule mchawi ndio maana mnamuona! MUNGU ametaka muwajue adui zenu kwenye familia! Muhoji kwa upole atawaambia na waliyomchukuwa msukule!
Walizika mtu mwingine😂😂😂 mtu alie kufa hafufuki ng’o 😅wafunue tuone na wakapime DNA hiyo kumuangalia waliangalia kwa hofu 😂😂😂 Acheni imani za kishirikina
That family needs to be jailed they barried somebody not in their family , Tamaa ya pesa .wanjinga Hawa. Hilo kaburi lifukuliwe na hiyo familia izikwe hapo. Wote iwe funzo Kwa wengine .
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Huyu ajazikwa mtu akizikwa akifufuka anakuwa kama mental wewe niambie mnavyoambiwa mtu huyu amekufa na picha yake unayo machoni kila unavyomuangalia unamwona yeye mf wewe UNAOUWEZO wa kuvuta picha ya mtu yoyote ambaye umeshawahi kumwangalia Kwa mda mrefu na ukamweka mbele ya macho Yako na ukamwona ktk mwonekano tofauti tofauti uliyomwonaga uko nyuma
Iko hivi wapendwa:Inapotokea ndugu katika famili amekufa, ikawa mmemuhifadhi mochwari, na pengine amekaa siku zaidi ya siku 2 na kuendelea mwili na viungo vya marehemu yaani ,rangi ya ngozi , sura, na hata urefu nao kidogo huongezeeka.Ndiyo maana siku ya kukabidhiwa mwili wenu kwa ajili ya kuuzika,huwa ni vizuri kuwa makini na huwa tunashauriwa ndugu wa karibu sana wawepo,yaani kunzia mtoto,mama,baba au mke,mme.tupunguze ule u kimbele mbele.Kuweni makini.Lkn ndugu zangu wa Arusha punguzeni siku za kunywa pombe na mikutano ya kisiasa.
Tulimwambia ajengee 😂😂😂 hatakama amefufuka lazima ajengee bhana😂 Ila wanadamu Sasa muhuni anataka aze apate pesa ale Bata age Tena nyie mnamwambia marehu ajengee Kwa pesa gani anayo Toka kuzimu?😂😂
Yani hapa kunamkanganyiko wa mambo kiukweli huyo anae sema hakumbki alimzka lini af nimwenzi m1 tu hajawah kufa mtu akafufuka af bado akawa na hakili za kujitambua hapo kunakitu kilifanyik et nanguo hiz hiz jmn kwenye jeneza mtu huonekana upo tu na huvaliswa sana sasa huyo alieona nguo inakuwaj hapo igekuwa kunaushilikn asingeongea hivyo hawa walizk mtu sio wao inatokea sana hivyo vitu yani mtu nimemzk af nimuone rod tu nimkumbatie iv nikweli inakuja hii nivitu 6ta 6ta tofaut
Ila watu wanafufuka Shinyanga alifufuka mwanamke hadi mkuu wa mkoa akawaambia wananchi wapunguze ushilikina .mwanza akafufuka mtoto mambo haya yapo kabisa
Muulizeni amerudi kutafuta Nini duniani Hali ni ngumu arudi huko wake na yesu aliye sema kwamba nyumbani kwa baba yake Kuna makao mengi anarudi Tena kuuza ardhi ya kaka yake?
Yuko baba ni jirani yangu huku tunamwita bolo anaokotaga maganda mbona yupo tu sikunyingi hata juzi ijumaa nilimpa maganda hanaga shida na mtu jamani njooeni niwaonyeshe alipokua anakaa
He ayo ni matata kweli hivi kama mtu anadhikwa kidhukule na wachungaji wamemuombea itakujae kwani wachungaji awawesi ombea mtu aliefariki kidhukule wakafufua jamani ebu tuwe tunajaribu kuwaombea walio kufa kwa ukweli ili ata ikiwa amekufa kidhukule tone kama tutafufua kabila ajaingia kaburini jamani watu wa mungu
Neno lamungu linanena halie kufaa nahakafufuka hanajanganyikiwa kwa sababu huvile halivo kuwa kabila hajakufaa siyo huvile halivo nahawesi kujiliganyisha nawale hawajakufaa nawakafufuka kama yeye halie kufaa nahakafufuka hajakuwa nahakili yakujijuwa kwa kujuwa mahali halipo kwa kutano lakifo kwake nakuzikuwa nakufufuka kwa sababu neno lamungu linanena kifo nihujuku kimwilli nakiroho kimahumifu kwa hivo hahuwesi kufufuka kwa kifo nahufahamu mahali hulipo kwa kifo na mahli hulipo kuwa kabila hujakufaa neno kufufuka linatuhitaji kwa yule hatakaye jisikia sauti yamungu huvili halivo hishi mahishani mwetu hakitutafuta kwa kifo kwetu jakukufaa yule hatakaye sikia sauti yamungu kwa kifo jake hafufuliwe naneno lamungu kwa kutokufaa kwake tena hajifufuwe kwa neno lamungu kwa sauti yamungu kwake kumuhokosa kwa hufufuwo wawekinewo hilo nineno kwetu halie kufa nahakafufuka hawesi kujitafuta kwa via dunia via dunia die kifo kwetu
Pastor ulifanya Kazi yako Kwa uweledi mkubwa Sana...hata kama uliona hamna kitu ww haikuhusu coz ungeleta taharuki lakin haipaswi hivyo..congats
Kwani pasta aliona kuwa hakufa au
Ni Siri yake na mola wake coz hataangeona hapaswi kusema je ushahidi anai??? Means uwe na machi ya rohoni Bila hivyo utaona ni yy na maiti ipo
Yaam Robert kayashinda maut halafu ety kesi ya shamba imshinde 😂😂😂😂 Arusha ndiko niliko kulia mie 😊
Hakika upo sawa,hata kama walikosea,nikafufuka.Amina.
Umeua😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
😂akiwatishia kesho ataondoka nao wote kwenda kuzimu lazima wamwachie shamba
Hahaaaa hawaogopi
Huyu pastor hana tofauti na wanafunzi wa Yesu, hawakuamini kama. Ni yeye kafufuka mpaka Yesu akawaambia nishikeni viganja vyangu ndo muamini mimi ndiye
Only GOD
😂
Karudi master sasa sterling hauwawi, naona wanapaniki Hao kazi wanayo
Baraaaaaa
Welcome back mwamba tuendeleze kupambana huna baya mjomba 😂😂😂
😂😂😂
😅😅😅😅
🤣🤣
😂😅
😂😂😂
Kila nikiwaza kande tumekula chepe tumepiga na hata kama kafufuka shamba hatumpi😂😂😂sina mbavu mie mwingne hakumbuki kazikwa mwaka gan ila ni kama .....😂😂😂
😂😂😂ninecheja ai arusha my country
Nimecheka ni kama comedy 🤣 😂
😂😂😂😂 tuzaidizane kucheka yanayofurahisha ya ulimwengu huu kande tumekula na chepe kulipiga😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Hahaaaa
hv Arusha ni nchi nyingn et eeeh maana duu matukio kila siku
Yaani
Mtihani
Umeona huko ni kenya tanzania bahati mbaya manake watu wamepinda huko jamani
😂😂😂😂
Robati rombo rechorombo😅😅😅😅🎉🎉🎉nakupa maua ya uhai wale chuma hiko waliokula makande nachepe wakashindilia😅😅😅
Taarifa za arusha hususan za huyu muandishi ni zakiaina yake
Kabisa😂
Upo saii
Na Kuna yule wa Geita na Mwanza
Ni zakidudu bro😂 chuga ni ya wadudu
😂😂😂@@aminmohammed4249
HAPA NILIPO NATETEMEKA WANAGOMBANA NA MAREHEMU ALIERUDI.....
MAUZAUZA JAMANI😢😢😢😢😢
Mazinga ubwa ya uchawi hayo
Ukifa kifo cha ukwel chamu mungu huwez fufuka mpaka siku ya mwishoo
Na huyo marehemu akicheza atauliwa tena 🙌
@@mariasixmund7964😂😂😂😂muhimu akaze wakimuua arud tena mpk wachoke wnyw
@@awadhally1052
Wamemzika mtu mwingine, hakuna cha uchawi , ni kutokuwa na serikali makini katika kutambuwa waliokufa motuwari
Hizi ni zama za mwisho' allah atupe mwisho mwemaa 🤲
Allah hakupi mwisho mwema, Bali YESU KRISTO ndo anaekupa mwisho mwema
@@Churchofecclesia❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Endelea shikilia Hivyo hivyo,,huo ni umajinnun
@@Churchofecclesiayesu christo ni nabii wa mungu tu na sio mungu kwani mungu hana mama wla baba hakuzaa wala hakuzaliwa upo wacha kumsingizia yesu uongo nipe andiko la yesu alilosema yeye ni mungu 😂😂😂😂😂
Yesu ni mwana wa MUNGU kweli kweli,kama huamini tuache na imani yetu@@azizayassin3623
Mchungaji na yeye hana jicho la rohoni😅😅😅😅😅 ama kweli Arusha ni nchi ingine ndani ya Tanzania.
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Hahahahhsh😂😂😂😂 hii nchi mnachekexha! Jaman jicho la rohon likoje ko mchungaji nae n hamna k2!
hahahahaha
Duuuuu wachungaji wanazika vinyago kumbe
Kama umesikia tulimzika na nguo izo izo #like hapa
Gai yiani ifukuliwe tu mujue kaburi iko nin
😅🏃🤦🏿🏃😅
😂@@allahisone6386
Sasa Ninaanza kuamin,i kuna mtu ameishawai kuniambia 70,% ya vifo vingi Dunia sio mapenzi ya Mungu ni Hila za shetani, na 20% ni ujinga na uzembe wa watu wenyewe na 10% ndio mapenzi ya Mungu..
Bila kuwa na Mungu wa kweli ni mwendo wa kupigwa viini macho tu.
Sterling hafi, mwamba karudi wabaya wake waombe ardhi ipasuke wamezwe, vinginevyo kitawahusu.
Ndiyo maana yake!! Vingi siyo vifo vya MUNGU hata kidogoooo! Ni uchawiiiiiiii!!!
Arusha shikamoo dur noma sana huyu mzee anavyo babaika kuongea mbaka nimecheka et tulimkatazs ndio kuuza shamba jaman
Arusha,vijana mpaka wazee bangi tupu
😂😂😂😂
Ningekuwa Robert ningewapiga maigizo ya kutisha nikaokota dunia nzima kwa kwenda mbele. Mpaka hapo angejitangaza yeye nabii😂😂😂😂
😅😂😂😂😂😂😂😂
Qmmake umenichekesha sana 😂😂😂😂😂😂
chuga ya wenyewe babaangu ila nini wanagu wa chuga karibu muangalie masinema huku wazee
Kuna mzee apo kaongea fact sana huwenda waliomzika co
Hi familia bhn inamambo mengi SEMA mpokeeni jombaa bado anataka kula ugali😊😊
Huyo Mwamba aulizwe kama shetani yupo au wachungaji wanatupanga daadek 😅😊
😂😂😂
@@khambhai360 😅😅😅
Kwa matukio ya manji na msigwa ukiongezea na laufufuko tutasahau kuhoji jamaa alieokotwa katavi
kweli aisee
Kuna mubaba ameongea point kwamba kwenye boma wamemzika mtu ambae siyo, me nasubiri part two ya hiii stori mana lazima kaburi lifukuliwe .....
Ni jambo la kufikirisha, lakini masela wana uthibitisho mpaka wa mavazi ni yale yale na pastor anathibitisha, ndugu walioshiriki pia na hata kabla ya kufariki alipataja nyumban kwao.. so wahuni , ndugu , GPS 😂 na pastor watakuwa wanashuhudia uongo mmnh hapana, wazo la kujiridhisha ni muhimu pia… kuna mahali tutakuwa tumepigwa.. 😂,, wacha ije episode 2 tuone 🙌 # New Lazarus in Town 😂😂
Yeye kasema hakuwepo kwenye msiba Sasa angejuaje kama ndiye au siye!?
Kwan huyo robert ni nan mbona ni maajabu ya dunia
Hiyo boma walizika Mtu mwingine
Nasema hivi kila mtu afe na chake😂😂😂 hamna kufa kizembe uache mali kwa mtu hiyo hamnagaa manzeee😅😅😅
😂😂😂😂😂😂😂😂😂nacheko lakino naogopo...eti tutakaa nae lkn shamba hatumpi
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Karibu Tena uraiyani mwamba hakuna kufa 😂😂
😂😂😂😂
Mazinga mbwa ya msukule hayoo
😂😂😂😂😂Mzimu anataka shamba lake
😂😂😂
@@doublejmrutu8529kkkokkokooookkkllkokoklookkkkkkklķķķķķķķķķķķkklkkl
Mmezika mtu ambaye sio, atafutwe familia iliyopoteza ndugu yao waje watambue mwili
Uchawi sio lazima sumbawanga au kigoma
Huyo mzee aliehojiwa mwanzo ,,akitulia mmuhoji vizuri
Nakuunga mko..Mzee hayupo sawa
Umenena vyema yaweza kuwa huyo mzee ni chanzo cha Mambo....
Yaan akili yangu ishamuona sio mtu mzuri kabisa
😂😂😂😂wamuhoji kipindi hikihiki alichopanik ndio majibu yatakua sahihi akitulia atadanganya huyo mzee...Robertinyo umerud baba tupo pamoja mpk upate shamba lako 😅😅
Kwa stori hii tunazika migomba Kila kukicha
Af huyu jamaa n kama ukoo ulikuw umemchoka mana wanavyoviongea vinashangaza!
Wanataka kumdhulumu mali za Baba yake😢😢
Daaaaaah makubwa sanaa
Mwamba hafi hadi apate chake. Welcome back
😂
😂
Uchawi upo ..mngu atulinde waja wake 😢🙏
Hili ni picha la kihindi steling anakupiga hata kwenye ndoto😅😅😅
😂😂😂😂😂
Hahaaaa
Mch nae naona kama king'amz kinayumba!! Na yeye haelew k2 hapoo😂😂😂
ILA HII SAYANSI YA KIAFRIKA SIJUI WANAFANYA FANYAJE HAPO😂
😂😂😂
🤣🤣
😂😂😂
😂😂😂😂acha tu
Lakin haiondoi maradhi umasikin na ujinga hii ni sayansi isiyo na maendeleo
Kwa hiyo kilichotokea hapo baada ya kuzika akachukuliwa kichawi ili aende kufanya kazi za kichawi! Lakini kwa Neema za MUNGU amemgomea yule mchawi ndio maana mnamuona! MUNGU ametaka muwajue adui zenu kwenye familia! Muhoji kwa upole atawaambia na waliyomchukuwa msukule!
Walimfanyia uchawi kusudi wamdhurumu shamba.
Huenda ndo ivo na ndo maaana yule mzee naona kama kachukia sana ..sasa kama dili limebuma ishakula kwake
Na yeye akagoma 😂😂😂😂
Makande tulikula 😂😂😂dah Arusha 🙌
Sasa amefufukaje??mmmmh!!!mi nahitaji kujua zaidi
Ni kweli kufukuliwe tu tujue😮😮😮😮sababu weee
Walizika mtu mwingine😂😂😂 mtu alie kufa hafufuki ng’o 😅wafunue tuone na wakapime DNA hiyo kumuangalia waliangalia kwa hofu 😂😂😂 Acheni imani za kishirikina
Hii pia inaweza kua ushahidi wa time travel. Huyu mtu katoka from the past to the future lakin alipofika future akajikuta the future him ameshafariki.
Daaa hatariii
😂mambo ya Korea hayo
@@jenipheraron3566 dunia ina Siri kubwa sana na wanaojua siri nyingi za dunia hawajafikia kujua hata theluthi ya mambo yote
Hiyo topic ya physics inaitwaje
Mzee wa bomaaa😂 kaongea kabisaa, kazikwa mtu sieee
Kwel kabisa
Mzee mwenyewe hakuepo mazishini
HUYU MZEE NDIO ALIMPOTEZA KISHILIKINA KWA MAELEZO YAKE UYU MZEE ANAYOSEMA SHAMBA ATUMPI MNAWASIWASI NAE SANA😂😂😂
Huyo washamba hatumpi ndiye mchawi alimpeperusha kichawi huwezi kung'ang'nia shamba hata marehemu kafufuka bado unang'ania shamba hamuonei huruma huyo marehemu niwaajabu Sana
That family needs to be jailed they barried somebody not in their family , Tamaa ya pesa .wanjinga Hawa. Hilo kaburi lifukuliwe na hiyo familia izikwe hapo. Wote iwe funzo Kwa wengine .
Aleluyaaaaaaaaaa
MWAKATOBE AMEDATA NA TAMTHILIYA YANGU INAYOTAMBA KWA SASA - MJUKUU WA MZEE MCHAWI
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
@@amanmalima940 kweli lakin kaburi Kun nini nimekuelew
Mmepata yesu mwingine huyo kafufuka
𝕟𝕚 𝕟𝕪𝕒𝕜𝕒𝕥𝕚 𝕫𝕒 𝕞𝕨𝕚𝕤𝕙𝕠
Huyu ajazikwa mtu akizikwa akifufuka anakuwa kama mental wewe niambie mnavyoambiwa mtu huyu amekufa na picha yake unayo machoni kila unavyomuangalia unamwona yeye mf wewe UNAOUWEZO wa kuvuta picha ya mtu yoyote ambaye umeshawahi kumwangalia Kwa mda mrefu na ukamweka mbele ya macho Yako na ukamwona ktk mwonekano tofauti tofauti uliyomwonaga uko nyuma
Iko hivi wapendwa:Inapotokea ndugu katika famili amekufa, ikawa mmemuhifadhi mochwari, na pengine amekaa siku zaidi ya siku 2 na kuendelea mwili na viungo vya marehemu yaani ,rangi ya ngozi , sura, na hata urefu nao kidogo huongezeeka.Ndiyo maana siku ya kukabidhiwa mwili wenu kwa ajili ya kuuzika,huwa ni vizuri kuwa makini na huwa tunashauriwa ndugu wa karibu sana wawepo,yaani kunzia mtoto,mama,baba au mke,mme.tupunguze ule u kimbele mbele.Kuweni makini.Lkn ndugu zangu wa Arusha punguzeni siku za kunywa pombe na mikutano ya kisiasa.
Haya maelezo hayajaeleweka yaweke sawa, mtaalamu
Ni kweli
@@Bushman000kipi hujaelewa kwa mfano
Hahaha maswali mengine ya kizushi sana. Eti ni kweli ulizikwa? Ss angejuaje km amezikwa wakati kashazima?
😂😂😂😂😂😂
Report za police na cheti Cha kifo kiko wapi Kama ni kweli hapo Kuna jambo limetegenezwa
ajenge nn n swala la neema ndg kapatkana lakini wanamkataa HAO NDIO WACHAWI WAKUBWA
Walijaribu kuchukua msukule wamemshindwa imebidi wamuachie hiyo ni shiriki kbs
Tatizo machalii wa chuga wanafanana fanana wamezika mtu ambaye siye bhana usiamini miujiza alifufuka mmoja tu ambaye ndiye aliyemfufua Lazarus
Tulimzika mtu na makande tulikulaaah yeah 🤲🤲🤲
Tulimwambia ajengee 😂😂😂 hatakama amefufuka lazima ajengee bhana😂
Ila wanadamu Sasa muhuni anataka aze apate pesa ale Bata age Tena nyie mnamwambia marehu ajengee Kwa pesa gani anayo Toka kuzimu?😂😂
Arusha kuna matukio ya aina yake hivi nadhani si Africa yaani kafufuka ila shamba hatumpi 😂😂😂 better nikasatle kenya
Haiwezekani mtu afe halafu urudi. Ni ujanja umetumika hapo 😅😅😅
Mzee mbona anaogopa sana 😂😂😂 anahojiwa huku atetemeka
Anajua kinacho endelea
Original kabisa
petro alienda kuhakikisha kaburi kama kweli likowazi,, kweli hakumkuta na huo ndio ulikua ushahidi wa kwanza,, naomba nao wakafufue kaburi kuhakikisha
Arusha msitufanyie hivyo, hebu tuacheni kidogo 😂
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂 Si ajabu mlizika mwili sio au ni nguvu za giza aliye lala kalala awezi nyanyuka tena isipokuwa yesu tu ndiye aliye mfufua Lazaro aliyenuka
Sasa hyo gar yapolisi inafanya nini hapo au imekuja kumchukua mtu aliyefufuka??
Yani hapa kunamkanganyiko wa mambo kiukweli huyo anae sema hakumbki alimzka lini af nimwenzi m1 tu hajawah kufa mtu akafufuka af bado akawa na hakili za kujitambua hapo kunakitu kilifanyik et nanguo hiz hiz jmn kwenye jeneza mtu huonekana upo tu na huvaliswa sana sasa huyo alieona nguo inakuwaj hapo igekuwa kunaushilikn asingeongea hivyo hawa walizk mtu sio wao inatokea sana hivyo vitu yani mtu nimemzk af nimuone rod tu nimkumbatie iv nikweli inakuja hii nivitu 6ta 6ta tofaut
Jamani hizi comments zenu zinanivunja mbavu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂wewe ndugu muandishi unachekehsa. Eti kwaiyo mgogoro ndo umefanya afufuke?
😂😂
😂😂😂😂 yaani nimecheka kwa nguvu
Tatizo huyo mtu aliye zikwa sio yeye watu wanafanana na pia wlio kwenda mochwari kumuandaa hawakumcheki kua ni yeye
Ila watu wanafufuka Shinyanga alifufuka mwanamke hadi mkuu wa mkoa akawaambia wananchi wapunguze ushilikina .mwanza akafufuka mtoto mambo haya yapo kabisa
Mwacheni auze,msitumie nguvu. Shamba la bake.
Muulizeni alikuwa wapi mnaseni namakofikama anajiuma Uma kunyoosha maneno😂😂
Makonda ana kazi kubwa, Arusha haiiishi vituko....
Muulizeni amerudi kutafuta Nini duniani Hali ni ngumu arudi huko wake na yesu aliye sema kwamba nyumbani kwa baba yake Kuna makao mengi anarudi Tena kuuza ardhi ya kaka yake?
Uyo Mzee ameongea ukweli waende Kwa kabuli wa akikiche that good
Walizika mtu ambae sie huo ndio ukweli na kama sivo basi kuna mchezo alichezewa huyu mtu kiini macho labda sababu ya hiyo shamba
Welcome back brother tuendeleze mapambano 😅😅 uje utuadisie mambo ya heaven 😂 pakoje😂🙌
laivu aise atupe fununu za majuu😂
@@barakajpilly6900fununu 😅
😂😂haya uliechukua shamba lake mwenyew amerudi kama ulimuua uzulum utajua hujui
Mwamba huyu hapa,picha linaanza upya lazima apewe shamba lake😄😄😄😄😄
Kuna haja ya kuaga marehemu kwa kumwangalia kwenye jeneza waache tabia ya kuweka picha wanapoaga mwili
Yuko baba ni jirani yangu huku tunamwita bolo anaokotaga maganda mbona yupo tu sikunyingi hata juzi ijumaa nilimpa maganda hanaga shida na mtu jamani njooeni niwaonyeshe alipokua anakaa
Eti anasema hajambo. Huyo mzee mwingine naye analeta uswahili
He ayo ni matata kweli hivi kama mtu anadhikwa kidhukule na wachungaji wamemuombea itakujae kwani wachungaji awawesi ombea mtu aliefariki kidhukule wakafufua jamani ebu tuwe tunajaribu kuwaombea walio kufa kwa ukweli ili ata ikiwa amekufa kidhukule tone kama tutafufua kabila ajaingia kaburini jamani watu wa mungu
Neno lamungu linanena halie kufaa nahakafufuka hanajanganyikiwa kwa sababu huvile halivo kuwa kabila hajakufaa siyo huvile halivo nahawesi kujiliganyisha nawale hawajakufaa nawakafufuka kama yeye halie kufaa nahakafufuka hajakuwa nahakili yakujijuwa kwa kujuwa mahali halipo kwa kutano lakifo kwake nakuzikuwa nakufufuka kwa sababu neno lamungu linanena kifo nihujuku kimwilli nakiroho kimahumifu kwa hivo hahuwesi kufufuka kwa kifo nahufahamu mahali hulipo kwa kifo na mahli hulipo kuwa kabila hujakufaa neno kufufuka linatuhitaji kwa yule hatakaye jisikia sauti yamungu huvili halivo hishi mahishani mwetu hakitutafuta kwa kifo kwetu jakukufaa yule hatakaye sikia sauti yamungu kwa kifo jake hafufuliwe naneno lamungu kwa kutokufaa kwake tena hajifufuwe kwa neno lamungu kwa sauti yamungu kwake kumuhokosa kwa hufufuwo wawekinewo hilo nineno kwetu halie kufa nahakafufuka hawesi kujitafuta kwa via dunia via dunia die kifo kwetu
Hawo walikosea wamezika mtumwingine wakafukuwe kaburi ,
😂😂😂😂😂wataisoma namba arusha hafi mtu kizembe na shamba atauza😂😂😅
Aaa aaaa jamani mnanichekesha sana wapendwa kwa comment zenu.😂 Mungu yu mwema
Baba umesema ukweli ni ukweli mtupu ajafufuka mtu apo walimfananisha na kwa Nini watu wa 2 wa 2
ya leo kali pambania kombe mwamba wakubwa ndo wataelewa kwa 2 ni 2 kwa 2 ni moja chukua hiyoooooo
Mlitoa heshima za mwisho ikimanisha mliaga Kwa kuangalia sura , Sasa iweje mlizika asie?
sasa jmn akizaa mtt lin ila Arusha jmn😂😂😂😂😂
Arusha igawiwe kenya iwe mkoa uliopo ndani ya kenya hao wanaendana purukushani zao
Stealing auwawi shamba lipo palepale, kwanza mlimuua nyie na atawataja
Mzee amuache na shamba lake tu yaishe asimlazimishe mtu na shamba lake
shamba LA babake
baba mdogo mjanja Sana kachukua maiti ya mtu kazika kisa tu achukue shamba jaman nyie hii aridhi
Nimecheka kama mazuri wazee wamekomaa hata kama amefufuka hatauza shamba
TANZANIA NZIMA... ARUSHA NDIO INAONGOZA KWA MATUKIO YA AJABU.... REPORTER WA ARUSHA HONGERA
Wapo kama wakenya
@@latifamubba100 🤣😅😂😅😂😅😂
😂😂😂@@latifamubba100
Hilo shamba la bake mwacheni auze msitumie nguvu
Jombi anapambania kombe balaa...komaa hadi shamba irudi ankola.
😅😅😅ila shamba jamaa amegoma kufa weee aache ulisi 😂😂😂😂
Labda kwel alifariki na kufufuka ila hana kumbukumbu kama alifariki