RC MAKONDA ACHUWANA NA MWANAJESHI ANAYE TEMBEYA NA SILAHA YA MOTO ARUSHA

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 31

  • @jalinachilala8465
    @jalinachilala8465 วันที่ผ่านมา +4

    Shikamooo kaka makonda ❤❤❤❤kazi njema

  • @luganokasongwa1677
    @luganokasongwa1677 11 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Hivi ndivyo viongozi wanavyo pasawa kuwajibika kwa wananchi wake mungu amuongoze ktk kazi zake

  • @StellaMwasha
    @StellaMwasha วันที่ผ่านมา +3

    Ubarikiwe mnoooo mtumishi wa haki

  • @bizimungumgassa4455
    @bizimungumgassa4455 วันที่ผ่านมา +9

    Kwa kweli mungu akutie nguvu mh Makonda unatatua matatizo ya wanyonge!

  • @user-mr8vl9cy8i
    @user-mr8vl9cy8i วันที่ผ่านมา +7

    Mungu akubariki sana kiongozi wetu shujaa wetu. Kaza buti songa mbele

  • @user-zi1gp6dc2q
    @user-zi1gp6dc2q วันที่ผ่านมา +7

    Mie nawambia uyo makonda ni mtume katumwa namungu tunakuomba mama samia makonda uyu umlete kila mkoa akae miez sitasita ili anyooshe Dunia mama

  • @user-fp9ei8gg8s
    @user-fp9ei8gg8s วันที่ผ่านมา +8

    Muheshimiwa makonda
    Nakuaminia ww nizaid ya kazikaz
    Ww ilitakiwa uwe rais wa tz tunakutaka sana watanzania
    Ujekua kiongoziwetu wa taifa❤

  • @AbdalahAlly-pw4dt
    @AbdalahAlly-pw4dt วันที่ผ่านมา +1

    Hongeramkuu nakuwaminikwaziyako

  • @user-bz5ti6op6z
    @user-bz5ti6op6z วันที่ผ่านมา +6

    Makonda MUNGU azidi kukulinda,

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 วันที่ผ่านมา +6

    SASA HUYO MENEJA WA BANK NAYE, . WATANZANIA YAANI UNAFHULUMU MPAKA MZEE? . MUNGU AWALAANI KWA KWELI.

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Mwandishi niboya Askal anae chuana na makonda yukwapi chanel zinashindwa kukua sababu ya uongo boya mwandishi

  • @femidayahaya9293
    @femidayahaya9293 14 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Hv mama samia uliwaza nini kuturudishia bro makonda..ukwel kabisa kupitia makonda umepata kupendwa hata ww mwenyewe ukituletea watu wenye hofu ya mungu hata taifa unaloliongoza litampendeza MUNGU kwakwel japo misukosuko ni mingi ila tutacmama tu imara

  • @maliyusiosika9457
    @maliyusiosika9457 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Uko vzr

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 วันที่ผ่านมา +1

    Huyo ni zaidi ya makufuli

  • @MauBonde
    @MauBonde วันที่ผ่านมา +2

    Huyu jamaa tunafanana misimamo kuhusu utamaduni wa mwafrika ila kuna kuna busara na uchunguzi kwa sababu hatuko utawala wa Nyerere,kila kitu kiko wazi kupitia technology uongozi ni wito,mimi nashangaa viongozi wengi wa taifa wanakimbilia fedha ,kuna kifo,namkubali huyu jamaa kupinga ushoga afrika ila mambo mengine anahitaji mafunzo ya kiutawala zaidi......

  • @user-mr8vl9cy8i
    @user-mr8vl9cy8i วันที่ผ่านมา +3

    Una wachapakazi wawili slaa na makonda tu wengine ni vichomi tu

  • @user-mr8vl9cy8i
    @user-mr8vl9cy8i วันที่ผ่านมา +3

    Mama samia fukuza wakuu wote wa mikioa hawana jipya

  • @paulmaganga9700
    @paulmaganga9700 วันที่ผ่านมา +5

    Jembe Makonda

  • @user-pz1qn7re3b
    @user-pz1qn7re3b 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mimi naomba ugombee Urais mwaka 2025 tumekufatilia sana mitandaoni upo vzr tupo nyuma yako makonda

  • @VeronicaMsenga
    @VeronicaMsenga 23 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Lazma nikaonane na MH Makonda walah

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g วันที่ผ่านมา +2

    Makonda jembe jeshi

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 วันที่ผ่านมา +2

    Bank haizulumu mtu. Tabia za wateja kupeana namba za siri wanaibiana wenyewe.

    • @GreysonMheni-ln9rm
      @GreysonMheni-ln9rm วันที่ผ่านมา +1

      Kwahyo hizo walizorudisha wao benki ndo walipewa namba za Siri au unamaanisha nn

    • @sarahpallangyo4076
      @sarahpallangyo4076 วันที่ผ่านมา

      Na alikua muajiriwa

    • @user-oy9wr2zc6x
      @user-oy9wr2zc6x 16 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

      Sasa kama wanapeana namba za Siri, hizo walizorudisha zimetoka wapi?na alivyosikia yupo kwa makonda amempigia simu asiongee kwa nini? Kama watu wanaibiana wenyewe?

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 วันที่ผ่านมา

    💔

  • @EnikoSanga
    @EnikoSanga 14 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Makonda nakuombea mpaka uwe rais

  • @ShaqharMagram
    @ShaqharMagram วันที่ผ่านมา +3

    Wakuu wamikoa wegine hawamuoni makonda kumaamaezao

    • @user-cw8zn2dn6m
      @user-cw8zn2dn6m วันที่ผ่านมา

      Hahahahahahahahahahaha

    • @YusuphMwangobola
      @YusuphMwangobola วันที่ผ่านมา +1

      Wanaona aibu kupiga na hapo ndio wanapo zidi kufeli