tatizo Tanzania tunawatetea sana wanyang'anyi na kiwapamba ujinga sana akuna kiongozi mzawa wa tanganyika alieuza bandari na maeneo ya misitu kama uyu kiongozi wa nchi
Hii kitu demokrasia acha tu sisi africa imeleta tu matatizo sasa fikiria mtz na mtz wanakua maadui,Hivi unaamini kabisa hilo la ushoga ni kweli haujui kama ni propaganda tu ama mbinu za wasiomtakia jema.Hujawahi kumsikiliza kauli yake mwenyewe kasema kwa tz suala la ushoga halikubaliki kwenye maadili na tamaduni zetu?ila ndiyi siasa zilivyo kama huzielewi aisee ndiyo kama hawa viongozi wetu ambao tunawaita wasomi lakini pamoja na usomi wao wameshindwa kuelewa kabisa nchi za Magharibi na mashirika yao ya fedha na misaada ni kuwapumbaza tu,nchi kama tanzania toka ianze kukopa na kusaidiwa mpaka leo ipo nyuma tu imepitwa na iran na korea ya kaskazini ambazo zimo kwenye vikwzo miaka zaidi ya 30.Ila utamsikia boya anasema bila mkopo hutoboi,keshamezeshwa na akaamini kabisa aisee ukitaka kumtawala mtu anza kwenye akili yake kabisa ndicho walichofanikiwa leo wenzetu wametuteka kiakili kiasi ambacho vya kwetu tunaviona vibaya mtu anachukia lugha yake anajiona akiongea lugha ya kigeni kama kingereza ndiyo wa kisasa aisee.walituweza acha tupigane wenyewe kwa wenyewe tu Africa ona wakongo leo nenda somalia nenda libia mhh.ni aibu
Acha dharau mpumbavu wewe msikiti na mama samia na upuuzi wako wakujaza vifuwa watu unamaana gani kuingiza nembo ya msikiti na tamaa za nafsi laaanakum
miaka 50 sijajawawa huyu mwamba atakuwepo lakin ametimiza wajibu
Tupo pamoja sana Lissu
Lisu mungu akulinde
TZ kunanini jamani mbona watawala wanapendasana kubinafusisha malizetu kikatilikabisa leokunamakesi mahakama zakimataifa kwasabbu yamikataba yakulazimisha kitapeli tapeli
tatizo Tanzania tunawatetea sana wanyang'anyi na kiwapamba ujinga sana akuna kiongozi mzawa wa tanganyika alieuza bandari na maeneo ya misitu kama uyu kiongozi wa nchi
Nimeisikia iyo pamoja sana lisu
Kipindi kipi hicho,biashara gani hiyo mbona hii miujiza,bwawa la mwl Nyerere mbona huja dai mkataba
TZ tumeangukiwa nakitukizitokwelikweli eemungu tusaidiye uwalinde wapendahaki , mikataba yamiaka yatisini imegharimu taifahili leo kwenye mahakama zakimataifa , jamani wafrika tunalaana gani hii??? ebufikilia.miaka sitini serikali yamaccm imebinafusisha vituvingisana lakini bado sisiraia hatujawahi faidika isipokuwa. Watawala tu, 16:08
Hiyo ya ushonga tumeichoka tafuta tuhuma nyigine buro
Hii kitu demokrasia acha tu sisi africa imeleta tu matatizo sasa fikiria mtz na mtz wanakua maadui,Hivi unaamini kabisa hilo la ushoga ni kweli haujui kama ni propaganda tu ama mbinu za wasiomtakia jema.Hujawahi kumsikiliza kauli yake mwenyewe kasema kwa tz suala la ushoga halikubaliki kwenye maadili na tamaduni zetu?ila ndiyi siasa zilivyo kama huzielewi aisee ndiyo kama hawa viongozi wetu ambao tunawaita wasomi lakini pamoja na usomi wao wameshindwa kuelewa kabisa nchi za Magharibi na mashirika yao ya fedha na misaada ni kuwapumbaza tu,nchi kama tanzania toka ianze kukopa na kusaidiwa mpaka leo ipo nyuma tu imepitwa na iran na korea ya kaskazini ambazo zimo kwenye vikwzo miaka zaidi ya 30.Ila utamsikia boya anasema bila mkopo hutoboi,keshamezeshwa na akaamini kabisa aisee ukitaka kumtawala mtu anza kwenye akili yake kabisa ndicho walichofanikiwa leo wenzetu wametuteka kiakili kiasi ambacho vya kwetu tunaviona vibaya mtu anachukia lugha yake anajiona akiongea lugha ya kigeni kama kingereza ndiyo wa kisasa aisee.walituweza acha tupigane wenyewe kwa wenyewe tu Africa ona wakongo leo nenda somalia nenda libia mhh.ni aibu
Hata wabunge wametukosea sana
Acha dharau mpumbavu wewe msikiti na mama samia na upuuzi wako wakujaza vifuwa watu unamaana gani kuingiza nembo ya msikiti na tamaa za nafsi laaanakum
Sema ukweli tuko pamoja
Duuuuuh tutamkumbuka Sana magu
kiongozi wa nchi mbinafsi sana akuna anayemkubali kwetu
Kufa kunoga ukipewa nchi wewe si utajaza mashoga tanzania? Maana wewe ni kibaraka mtiifu wa waberigiji
Mbona unafirwa wewe pumbavu sana
@@niazonbukoke1964 Acha matusi jenga hoja