WAKILI MWABUKUSI AKIWASHA TENA MKATABA WA BANDARI NA DP WORLD "SITISHWII NIMEKUBALI "
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ส.ค. 2023
- Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
TH-cam : www.youtube.com/@kusagatv6320...
Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...
Mzee endelea buruza hii mijizi sisi tuko pamoja nawe 👏👏👏👏🙌🙌🙌
Kweli
That is great, I'm sure God will always be with you.
Mungu ibariki Tanzania
UJASIRI WA KIFISADI.......WELL SAID ÒUŔ HERO
Asante safi sana tuko pamoja kabisaaa
Kudos Mwabulusi. You are great. Watanganyila tumwombee wote
Mkombozi wa nchi yetu Magufuli ajayeeee uyu apa
Mungu awasimamie nakuwatetea watu wa,Mungu simameni ktk haki
Wewe niwakir msomi bwana nakukubar sana kwa maneno yako ya hekima na busara. Mungu awe nawe daima
Ni vizuri kutetea bandari zetu hakuna cha DPWorld hapa Tanzania ila wapo watu wamejificha ndani ya DPW hapa
We are proud of you brother, tuko pamoja legend.
Safi sana.....kiongozi....
Hongera baba Mungu akusimamie mzalende wetu
Tumeruka mkojo ( bandari ya Bagamoyo) tumekanyaga mavi ( mkataba wa DPWorld)
Mungu Akulinde Mheshimiwa.
Asante mwabukusi tupo pamoja hadi mwisho wa mkataba huu ufike hakika nipo tayari kufa maana hakuna umihimu wa kuishi kama sita kuwa huru
Mungu akusimamie kwa hili hakika unatumbania saba watanzania ila watanzania tuliowengi hatujitambui tunakoelekea tupo bendera fuata upepo. Swala la.Bandari tunalihusisha na dini ya uislamu akili mbovu kabisa. Mungu humkomboa mwanadamu kupitia vinywa vya watu . Tuko nyuma yako mtumishi wa Mungu. Unaongea ukweli mtupu. Hii nchi ina wajinga wengi sana wenye kukosa uelewa wa kujua madhara ya mikataba isiyokuwa na mashiko kama.huu wa.bandari.. Mungu sikia kilio.chetu nchi inakwenda kuangamia.
💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 SONGA MBELE HADIKIELEWEKE ,MUNGU ALIMWAMBIA MUSA SONGA MBELEE, NASI TUNASEMA MWABUKUSI NA WATETEZI WETU WOTE SONGA MBELE MUNGU YUPO PAMOJA NANYI HADI UKAMILIFU WA DAHARI KWA JINA LA YESU KRISTO AMIN AMIN
@@brightergermanus2163kasomge nyuma na wewe, alipo kua mahabusu ulienda, nyie ndo manafiki
Mwabukus oyeeeeeee ❤❤❤❤❤❤❤
Sema brother uko sahihi Mungu akulinde
Nakupenda sana Mwabukusi unaongea point za msingi unasitaili kua Rais wa jamuhuli ya muungano naamini unaongea ukweli Niko tiari kukupigia kampeni asante.
Safi sana wacha Serikali ifanye uchunguzi wake ili ijiridhishe hata kama itachukua muda mrefu huna haki ya kuhoji
Hilo ni tatizo la polisi inawezekana mtu akakamatwa akalundikwa ndani bila kujua kosa lake na wala asiambiwe hili ni tatizo kubwa Sana tanzania
Mwamba huyu apa ndi ndiiiiii😂😂😂😂😂🙏🙏😩😩
Hamna mtu atakae waua Mungu yuko nanyi vitisho vimezidi tuko pamoja tunawaombea
Mungu akulinde siku zote za maisha yako
M/MUNGU akunusuru na mataikun enough respect 🙏
Tanzania ni yetu WOTE na sio ya watu wachache
Safi kabisa baba mungu ukutunze uenderee kupigania haki za wa toto wa taifa la kesho
Asanteni sana Wana mbeya,, najivunia kuzaliwa mkoa wangu wenye misimamo,, kajunjumele pambana tupo nawewe kwa kila hatua
Mh Mwabukusi ujumbe wako ni mzuri Sana. Tuko pamoja. Mungu atusimamie.
Tetea taifa lako mwambukusi big up brother
Pambana babaaaaa! Tuko nyuma yako!
Asante mwabukusi na mbatia kwa taarifa muhimu zinazotoa si mwanga na mwelekeo tu bali kufundisha ushujaa na ukakamavu kwa wananchi wote. Wengi wanajifunza toka kwenu
*_Hitaji kuu zaidi la ulimwengu ni hitaji la wanadamu - watu ambao hawatanunuliwa au kuuzwa, watu ambao ndani ya mioyo yao ni wa kweli na waaminifu, watu ambao hawaogopi kuita dhambi kwa jina lake sahihi, watu ambao dhamiri zao ni za kweli, waaminifu kwa wajibu kama ncha ya sindano, watu ambao watasimama kwa ajili ya haki ingawa mbingu zitaanguka._*
Kwa Heshima Wananchi wa Mbeya wanastahili kukupa Nafasi ya kuwatumikia Kama MBUNGE WAO
Wazo zuri halipigwi nyundo
....Uzalendo kwanza 💥
Viva 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 vivaa
Sawa kabisa.
Mwenyezi Mungu aendelee kuwasimamia, walimuua magufuli wakijua watakuwa huru kuuza urithi wetu sasa Mwenyezi Mungu anazidi kunyanyua watu wengi zaidi. ahsante mwambukusi maneno yako yataishi
Kumbe neno HAKI ni rahisi kulitamka lakini tafsiri na utekelezaji wake kumbe ni kama kupigana vita
Asante Hon Mwabukusi
Safi sana sasa tunauza mlima kilima njaro Wazanzibar oyeeeeee
Mungu ikumbuke Tanzania🙏
Ni kweli uncle Magufuli ulisema tutakukumbuka.
Ila bro ni mbabe hatari na nusu 😅😅
Sema usiogope nyinyi ndiyo waokozi wetu.
Afrika yetu inajitahidi watu wengi kama hawa kwa manufaa ya future ya bara letu.
Mungu awape2 nguvu ya kusimama na kuongea muhimu za nchi
Wazarendo tupo pamoja nanyi. Mungu awasimamie sana
Siijui sheria ila unanielimisha sana mr. Mwambukusi ningekuwa karibu nawe ningesema tuko tayari nami kwa lolote si wewe bali mungu yu ndani yenu kutusemea wanyonge Mungu akubariki na aendelee kukusimamia aamina Nasimama nanyi katika sala ili msirudi nyuma
Wewe ni mwanaume acha hao Wazanzibari waende kwao. Mungu awabariki na awape nguvu na uhai.
Hongera sana wakili uko vizuri Mu ngu asimame na wewe. Tuitetee bandari yetu kwani ni fahari yetu. Wajinga wachache wanataka kujinufaisha akiwamo Jakaya Kikwete na mashoga yake.
Yaani hiki kikampuni kidogo cha dpw ndicho kinatusunbua hivi kweli?
Are we okay? Really?
Please let’s think again and again. Tuwe makini wote
Zitapigwa kavu au na glove we are no longer fool.
Sawa kabisa.hakuna kukimbia wala mpaka ccm ife,tunaandamana sikugani
Mungu awe nawe
RIP Magu. Kama angekuwepo haya yasingekuwepo.
NAKUPENDA SANA WEWE KAKA.MUNGU AWE NANYI NYOTE MNAOSIMAMA KUTETEA MALI NA HAKI ZA WATANGANYIKA.MUNGU AWATIE NGUVU NA ULINZI
Vija kuweni makini vijana. Kikiwa wote hao watapanda ndege nafamilia zao. Njooni Bukavu muone. Taadhari chukuwa hatuwa
Atasis tutapanda ndege
Acheni woga unashindwa kutetea nchi yako kisa unaogopa kufa utaishi milele ni bora kufa kutetea vizazi vijacho.
Amina yarab
Amina baba
Wasikutishe hao nimependa sana wewe na mbalikiwa najivunia najua kitaeleweka tuu
Bandari zoote na corridors bila ukomo!!? Na reli tena!!? Madini yote yameuzwa!, gas tumegawa!,mbuga za wanyama tumegawa!, kifuatacho sasa ni bandari zote na Tanesco!!? Wananchi tukihoji tunakamatwa tuuawe kama Wahaini na serikali ya watawala wachache wenye uchu,ubinafsi,na roho mbaya! HAPANA! HAPANA! HAPANA!
Kaka hivi umesoma kidugala
Bado kuuzwa kuwa watumwa.
Tusemee wewe baba labda watasikia sisi tulio chini sauti zetu haziwezi kuwafikia walio juu piga kelele usiache Mungu yuko pamoja nawe hupambanii maslahi yako mwenyewe
💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻
Tunaomba namna ya kufanya TUNAHAM SANA NA UHURU WA TANGANYIKA tupotayar kuipambania TANGANYIKA yetu
ZANZIBAR OYEEEE
Waraka wa maaskofu umepigilia msumari. Umeongea mhuri wa moto. Mungu wetu asante kwa kutufungua macho kupitia waraka huo.
❤
Natamani kila mtu angeelewa sheria
Hii kipengele cha kutaka kubadili vipengele kwenye sheria ili kuendana na mkataba wenye utata na mashaka si kitendo cha hekima wala busara. Hiyo si afya kwa taifa na hakifundishi kutili wala Kulinda sheria za nchi in the future.
Number Maghu aliacha mizizi take endelea kuwaleta waking Maghu wengine. Maana unatengeneza Njia passport kua na Njia. Hakika wewe ni Jehovah Muumbaji Wetu.
Bwana yesu awalinde wote mnaotetea nchi yetu tunawaombea
Umesema kweli,tunataka tanganyika tualikie maandamano,
Ubaguzi ubaguzi ubaguzi ata huu mkataba umebagua kwann tanganyika ??? Jamani tumechoka sana
Allh uakbar
Kama mawakili na watu wengine wangesimama imara kutetea sheria na maslahi ya taifa kwa uthubutu kama huyu wakili mwabukusi kweli nchi hii ingefika mbali sana. Tungeheshimika duniani na tungekuwa mfano kwa nchi nyingine barani afrika.
Hakika taifa linaitaji watu kama hawa mungu akulinde
Tuko pamoja baba.
kiukweri ingekuwa unaongea pumba ungeshugulikiwa ila nafsi zao zinawasuta
❤❤❤❤
Tunafunga na kuomba kwa ajili yako mwamba mwabukusi, kusudi la Mungu litasimama tu
Uko vzr kaka
Pongezi kubwa kwako mwabukusi
Kweli kutolewa kwenye umiliki wa duka la babako na kugeuzwa kuwa mfanyakazi hapo si ujanja bali uzuzu mtupu. Hiyo ni Kutokufikiria mbali
Mungu atasimama kututetea maskini wa nchi hii dhidi ya wanyonyaji na mafisadi waliotumaliza bila haya alafu wengine wanatudhiaki majukwaani kama cici wajinga.
Udin udin kuna udini hapa kwenye haya maonngezi mkome kuzua kwenye mambo sialaz
Watu wengine wanaegamia udini udini hawajui kwamba tutarudi kuwa watumwa wa waarabu. Hatutaki hatutakiiiiiiiii
Huyu baba anaeleweka asilimia 1000 nashangaaa sana watanzania hawashituki kuwatoa madalakani viongozi wachache hao wajiuzulu hawafai maana hawana maslahi mapana ya nchi kabisa sijui wamelogwa na nani
Mungu awe pamoja nanyi tunawaombea tupate wapi Mtu kama huyu.?
Tunaomba, kila utakapo zungumzia suala la DP world uweke na mkazo mbuga zetu zilizotolewa kwa wageni zirudishwe na wamasai walioondolewa huko warudishwe kwani walikuwa ni sehemu ya utalii. Binadamu Kukaa na wanyama wakali bila kudhuriana. Wamasai hawakuulizwa Bali waliburuzwa tu na kuondolewa Hulu wengine wakiuawa, na wengine kupewa majeraha makubwa.
Taifa letu mbele kwanza wengine badaye. Rasilimali zetu mbele kwanza mengine badaye
Wamepokea marushwa yakitapeli SASA wanahaha hawana jinsizaidi ya kugandamiza sauti zenyewatuwapigania haki, lakini hawanapakujificha tena
Wee kilaza misifa wee masilahi2
Hapa nimekuelewa kua Rasilimali za Tanganyika zishuhulikiwe na Tanganyika !! Suali kwani hakuna muungano????
Mchungaji Mtikila is back😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Uonevu wa viongozi wa polisi Mungu anawaona
Mikataba ndiyo ifuate sheria zilizopo na siyo sheria zibadilishwe kufuata mikataba. Zitabadilishwa sheria ngapi?
Lazima tuwe na misimamo na utii wa sheria zilizowekwa
WALIOTUFISADI KWENYE UMEME richmond na dowans NDIO HAO HAO WANAOVUNA GAS YETU NA SASA WANATAKA KUINGIA BANDARINI
Ogera baba wewe ndiye msomi tunayekutegeme
Kumbukeni juu ya butcher 2013 mtafaruku was uislaam na ukristo waislaam wakimlaumu Kikwete wakiwa kanisa la kwa mtoro wakisema uislaam ushike dola nchi nzima walijibiwa siyo haraka kwa namna hiyo iko sk itafika watanzania tanganyika litafakarini
Mwabukusi asiyeelewa basi ni kiburi tu cha Madawaska lakini unasema kweli
Wapo wajinga huku nnje wanatangaza udini Tu sijui inaingilianaje hii
Hawa wenye udini ninawaambia huu mkataba uende Zanzibar kwanza anapotoka kama kweli hili ni dili
wataodoka nae huyu ata onekana tena maana si kwa kichambo hiko anachotoa!
Loliondo ndio ishaondoka poleni WAMASAI
uripo 2po mh samia atakufa kabla ya 20025 tanganyika inakuja tunaitaka kwa lazima tu mh hana dini wala huruma kwa wa tanganyika yeye mzanzibar sio mtanganyika aje kuniua na mimi niende peponi duniani tz moto
Elimu ya uzalendo Mali na madini zetu ifundishwe mashuleni. Elimu mpya itolewe kwa jeshi la Polisi ili wakuu ni nini wajibu na sheria zipo Vipi. Watu mid sheria kutekeleza kazi zao. Na si amri ambayo haipo kisheria na kikatiba
Wewe be relax. Utapatwa na ugonjwa wa vidonda vya tumbo.