Mbowe Azungumzia Waraka wa Maaskofu Juu ya Bandari. Ashusha Nondo Zingine, Apangua Hoja za Udini
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 25 ส.ค. 2023
- Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2023 © All Rights Reserved.
Kwa haya nisikiayo, kama huu mkataba hautapigwa chini ama kurekebishwa, basi kama nchi tutakuwa mahali pabaya sana
Sema mwamba Mbowe nakukubali kinomaa
😂😂😂😂😂 Mangi unasababisha nichukie mtumba😂😂😂
Hao tena wamekuwepo!!! Kila leo bandari bandari! Lkn mama ata habar hana !! Mtendaj haneni bali ni vitendo!!! Ahsante mama!!!
People's power
Sema baba wanataka mpaka sijui nyerere aamke huko aliko ndowaasikie Mimi siwaelew hawa watu watu waccm mungu ingilia kati hili swala LA bandar
Kama ndivyo mambo mazito haya🎉
Elimisha jamiii ielewe kinachojiri nchini kwetu Tanzania, CCM wameziba masikio yao kujifanya mabubu Kwa ajili ufisadi haramu wa bandari, wanatokea wanasheria wakubwa walioelimika kuhusu Sheria zetu wamejitolea kuielimisha jamiii ielewe kinachojiri nchini kwetu lkn CCM wameziba masikio, mababu,vipofu, kusema ukweli CCM hawataki kabisa, wameamua kutumia nguvu kubwa kuuutetea uovu huuuu haramu, wa bandari unaofanywa na CCM
Viongozi wa ccm Wana angamia kwa kukosa maarifa 👫👫👬
Ni mijizi
Huyu jamaa tungekuwa na Katiba alitakiwa kuwa Ikulu kabisa
😢
Akuna wakutugawanya na atatokea ila DP world atuwatakiiiiiiiiii
✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️
Tatizo la TZ uswahili mwingu
Tumwombe Mungu atusaidie
Wanaosain mikataba tunacheka nao hala Mungu aje atusaidie aisee sisi tunafanya nin
Dah kwa hapo wameyakanyaga
Nyie huwa hamridhiki hata mpewe Dunia hamna jema
Bando sana hata kama wamechukua bado hatjaridhia watanzania
Mbowe MWARABU .atakuchukuliiya mkeo 😂😂
Ataoa mwingine mwanaume kuoa mke zaidi ya mmoja ni kawaida tu
🤣🤣🤣🤣
Tunawashangaa CHADEMA kuwatetea watuhumiwa wa ubadhirifu na ukwepaji wa Kodi Bandalini , kwasababu zama za Mjomba magezeti yalilipoti kua KANISA KATOLIKI limeusika na wizi ,lakini Mjomba hakuchua dhidi Yao Bali yeye Alibaba tu,Sasa munawatetea vipi hamuoni Muna kichafua Chama chenu
Sikia waarabu mkataba na Tz hakuna kikomo na hatujui Taifa linapata kiasi gani, na wanachukua Bandar zote za Tanganyika kwa nini za Zanzibar hamna hata moja ?
Akina Hatibu Yusuph.Wapisheni wenye uelewa watupe elimu.Wewe Hata elimu wamekunyima.huna unachojua watu wanazungumzi BANDARI wewe unazungumzia BANDALI.Ndiyo uje we ndiyo mizigo ya ccm.
@@bahatidamiani561acha unafiki
Shida ni moja tu kwa wabongo tunaenda moja kwa moja kwenye udini. Ebu tuwe watu wa kupambanua vitu kwa upana wake.
Hoja vipi CHADEMA kuwatetea watuhumiwa wa ubadhirifu ambao ni KANISA KATOLIKI hii imekaaje?
Eeee Mungu inusuru nchi yangu na vipofu wenye macho na meno
Mungu afunike viongozi wetu hawa na awaangamize watawala ata kwa moto usiojulika amlinde mboweeee mileleeeeeeeeeeeeeeeeee
Hakuna muislam anapinga huo mkataba mnawaongopea wananchi waislam wanaupa dole❤ nanyinyi katafuteni mtu wavatkan mumpe Moshi mumuuzie
ACHA UJINGA 😂😂 wenzio wanaenda Shule ww unahangaika na Madrasa ona sasa ulivyo Mjinga hata hujui ulisemalo
Wataupingaje wakati hawauelewi mkataba wenyewe.. Hayo ndo madhara ya kutokusoma.Pelekeni watoto shule
Mwezangu halina dini hili suala
Tumeuza na serikali ya wezi ccm
Devide and rule
Sema ukweli baba
Mwamba story ya mitumba Haina afya wazungu ulaya wanavaa mitumba. Maduka kila Kona.
Kwaio unaunga mkono ujinga wa mitumba kisa ulaya wanavaa umefanya tathmini ukajua niwatu watabakagani
Mitumba ulaya ni kwaajili ya maskini waliopo ulaya
@@orestsanga6294 is not true bro.
Mitumba ni kama unavyonunua sim iliyotumika tandika. Just try to squeeze yo budget haimaanishi wwe ni masking.
Watu wanatengeneza zaidi ya usd $ 50, 000 a year na wanashop mitumba.
Mwambieni mwamba hii story ya mitumba na Ile ya bodaboda haina afya
BARICK
@all
HAWA HAWANA JAMBO LA MAANA TAYARI WASHAJIONESHA KUEGEMEA KTK UDINI UPANDE WA KANISA NDIO MAANA WAO NA KANISA KATOLIKI NA VIONGOZI WA KATOLIKI NI KITU KIMOJA:
Cha msingi kuna makundi mawili tu, Wanaokubali na wanaopinga mkataba, so kama Kanisa limeona haufai,kimantiki linakuwa upande mmoja na wengine wote wanaopinga Chukua hiyo!
Chadema wameona Watanganyika hawawapendi waarabu kwa kasumba ya biashara ya utumwa, wakati wakati wa biashara ya utumwa waarabu walikuwa chini ya Muingereza na ndiye aliyekuwa akiwatuma.
Hivyo wanabeba ajenda ya uarabu kama ni turufu ya kutafuta uungwaji mkono wa chama chao.
Kuhusu udini, Chadema ni chama cha Kanisa angalieni hao viongozi wao wote wakuu wa Tanzania bara Muislamu ni nani?
Na zanziba kiongozi gani ni mkiristo?
Waislam kuweni na hoja senye maashiko basi jaman
@@lilianchuwa4324 Kaangalie orodha ya waliokuwa wabunge wa Chadema 2015 - 2020 asilimia 98% walikuwa Wakristo, kulikoni?
MZEEE MPAKO KASEMA UKWELI CHADEMA CHAMA CHA WAKATOLIKI MAFIAS WALIOKUWA WANAINGIZA SILAHA KUPITIA BANDARI YETU NDIO MAANA MAASKOFU WANALIA KWA JINA LA PAPA 😂😂😂😂😂
@@omaryjumas6327maeneo waliyotokea wakristo ni wengi CCM ilishinda sehemu zenye waislam wengi kama Tanga Lindi mtwara pwani kondoa nk
Kamanda unafaa uwe ikulu huyo waikulu amemuweka nani makamanda yupo pamoja naamini kunasku hata mawe yataongea kuhusu bandar
Wasitulazimishe mkataba mubovu wakati ss hautufai
Kumbukeni alivyongea ndugai km tutauzwa ndo hy sasa
Katika hili, tutakuwa pamoja mpaka mwisho.
Kabisa ni kweli
Mareham haongelewag vibay mnafel xn
Nchi ya wababaishaji
CHADEMA CHAMA CHA WAKATOLIKI NA WANAFIKI NA WAHUNI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mnafiki huyo kuma alokuzaa unatetea usenge familia nzima nyie wote ni ma kufa fala wewe
@@officialkinghimself2637 ANDIKA WARAKA WACHA MATUSI 🥵🥵🥵🥵🥵
Mhhhh acha kuzungumza usichokijua
Tatizo Elimu haipo sio wewe
Haya Yako juu Ya uwezo wako
Ndomaana wenye kujua madhara washatoa waraka wao kuitahadharisha serikali
@@NgambilabalinziBaliguluk-os3ln CHADEMA NA TEC NI WAHUNI TU 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
hao akili zao matope wanauza ichi
Shida ya ccm imesha kufa Sasa wancho kitaka walitaka ife na Mali zataifa Sasa dili, imefichuka wanatapatapa sana ndo mana Wana tumia hata pesa kununuwa watu mashehe na kina mze waupako ilinwaseme ni mkataba halali, kumbe hawajui kama tumesha usoma na tumeuona vizuli Sasa watanzania hatunganyiki Tena na Wana ccm walasimu wezi wakubwa kabisa, mdawao wakuondoka umefika sasa
Kiufupi tu ww ndyo umekufa
Nyinyi niwadini tu hakuna lolote msiwazuge wananchi
Tatizo Elimu Kama huna shule utaona mkataba hauna shida Ila ukijua utagombana nawatu
Niko tyr kulipa gharama
Ninyi hamna chochote wala ajenda hamna kabisa mkataba nisafi sana wanainchi wanautaka ispokuwa wa dini wa kkiristo tu , hatuna mkataba na wakiristo wala tec hapana watanzania wanamkataba na serikali na civinginevyo
Umeamua kujitumbukiza kwenye ujinga?pole.
Mwalabu atachukua tu nyinyi bwekeni Kama mabweha hamta ziwia Jambo lenye manufaa nawatanzani tafuteni Sela zakuzungumza Kama hamna Basi kaleni miguluwe yenu
Inawezekana mama ako anataka mchumba mwarabu
Huu mkataba haufai Na haupiti Nikopale Nimekaa
Mwenyekiti mzima unakuwa mzushi na uwongo .mnafiki mkubwa Mbowe .Mkataba ndiyo Sera yakuuingusha CCM kweli.Mbona hu semi kuwa we we umerithi chama chako kutoka kwa mkwe wako mzee Mtei.Hakuna lolote wewe Mganga njaa,tu.umeripwa pesa zaruzuku zawabunge umekaa,kimya.Mbowe nitapeli Sana.
Huyu mbowe ni wale wale wakatoliki tu!
Acha uwendawazimu wewe
Kazi iendelee
th-cam.com/video/R78Av_uiBxg/w-d-xo.html
Mwamba
Uwizi mtupu
Yaaaani bado kuuza CCM yenyewe wakimaliza watajiuza tuu🤣🤣🤣
Mwamba huyooo !!! Tantalaaa !!! Tantalaaa !!!
😂😂😅😅😅😂😂
Huo waraka Maaskofu wa kupinga mambo ya magu ulisomwa lini tar ngapi wakati huo wao ndio walikua wanamsifu mpaka kupitiliza wewe na wao mliku. Mabubu kama kweli shida ni huo mkataba tusomee vipengele vyote mwanzo mpaka mwisho tuone ni wapi pana mapungufu muugawe kila mtu asome siyo kupiga kelele zizokua maana. Mkataba mkataba mbona hatuoni
Kumbe mgeni sana ulikiwepo mpaka kuna maaskofu walinyang'anywa paspoti
Kasome ibaala ya 23,(1),(4) utaona shida simu yako unaangalia tu wa mondo picha za uchinfatili mambo ya navo enda, hata ccm hawatowinmkataba, ila kwabidizetu wenyewe nawenye uchungu na nchi tuliupata walificha sana lakini mungu so mwanadamu, tukaupata, Sasa wewe endelea tu kuangalia wakina alikiba, tu
Shetani mbowe. Kipofu MKUBWA. MSHENZI wewe la siasa. Mwarabu ashachuku BANDARI ZAMANI
Pumbavu sana. Mwislamu mshenzi wewe. Akili zako ni kama za panya.
ZANZIBAR intutegemeyaa. 😂😂
@@gosbertrwezahura3645
BANDARI tayari anayo MWARABU. Kwa hiyo kanisa halipitishi magendo yake tena. Mtakoma mara hii.
Halafu hiyo BANDARI ni mali ya MWARABU. Siyo yenu. 😂😂😂
Kwani huoni hiloi jina
HILO JAMAAA NI JAMBAZI KUBWA .JIZI MBOWEEE
ACHANA NA MAGUFULI WEWE, ALIKATAA KUKUFUNGA SABABU YA URAFIKI WENU, ULISWEKWA NDANI BAADA YA KUFARIKI. SASA HUO UBINADAMU GANI?
UTAWALA WA KIMAKUFULI
@user-ig4jy5mi4v. Mara baada ya Pombe kuapishwa alisema hakutakuwa na vyama Upinzani Tanzania (Tanganyika na Zanzibar).
Kwa hivyo, hakuwarukhusu kufanya mikutano miaka mitano isipokuwa Chama Cha Mapinduzi kilichouwa Waislam wa Zanzibar kumpinga Maalim Seif Shariff kwa Wazanzibari.