Kwa uchungu MAKONDA afichua ukweli wote, MAKONTENA yake yaliyokamatwa kipindi cha MAGUFULI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 76

  • @eradiusdezideri
    @eradiusdezideri 2 หลายเดือนก่อน +6

    Makonda safi sana piga kazi Mungu akutangulie

  • @FredrickKyando
    @FredrickKyando 2 หลายเดือนก่อน +18

    Hata saizi mh. Wanasema kuwa huyu anajitafutia jina. Lakini mungu akulinde nasi tunakuombea

  • @menelus911mene5
    @menelus911mene5 2 หลายเดือนก่อน +7

    Mhe Makonda mkuu wa Mkoa Wa Arusha wafundishe hao kazihawajui wamekalia yulee huyuuu hawatoshi mungu awaone haooo piga kazi wewe nikiongozi wawanyonge wateteeee mpaka mwisho ❤🎉🎉🎉

  • @kastorkidumu6579
    @kastorkidumu6579 2 หลายเดือนก่อน +6

    Nakuona mbali sana rais ajae

  • @fransismsaki303
    @fransismsaki303 2 หลายเดือนก่อน +6

    Piga Kaz mkuu mwenyezi mungu akulinde

  • @JacksonMbites
    @JacksonMbites 2 หลายเดือนก่อน +19

    Huyu Makonda namuona Akiwa Rais wa Tanzania

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy6336 2 หลายเดือนก่อน +6

    Amen mh hayo maombi kiboko watandikee sawasawa na sisi tunakuombea

  • @DottoMussa-ro6rw
    @DottoMussa-ro6rw 2 หลายเดือนก่อน +3

    pambana kama,, wazalendo wa kweli vita huwa ni Kali sana

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk 2 หลายเดือนก่อน +7

    Kiongozi wa kweli mungu akulinde

  • @eliyalaiza6768
    @eliyalaiza6768 2 หลายเดือนก่อน +8

    Tatizo tukiwapata watu kama hawa ambao mda wote wanamtukuza mungu huwa hawakaagi sana sjui kwanini

    • @geey7893
      @geey7893 2 หลายเดือนก่อน

      Wanalishwa sumu wanakufa

  • @stephenkilalacharles1981
    @stephenkilalacharles1981 2 หลายเดือนก่อน +13

    Fact man of God.

  • @ShekySwai
    @ShekySwai 2 หลายเดือนก่อน

    Makonda mungu akulinde uingiapo na utokapo

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 3 หลายเดือนก่อน +15

    makonda Nakuona mbali mno

  • @eliasthomas1547
    @eliasthomas1547 2 หลายเดือนก่อน +4

    Wewe piga kazi Mungu anakupigania.

  • @Micaelamerico8699
    @Micaelamerico8699 2 หลายเดือนก่อน +14

    Makonda ni president ujae kaza buti

  • @Teddy-k9o3v
    @Teddy-k9o3v 2 หลายเดือนก่อน +3

    Makonda mkoa wa Mara uko hovyo sanaaaaa hasa ktk huduma za Afya...watu wanakufa wakiwa wanasubiri huduma...madactari na wauguzi wamkoa huu wengi niwababe sanaaa..tunataman ungekuwa kwenye mkoa wetu utusaidie ktk hili
    Ndgu zetu wanapoteza maisha kwa uzembe kbs wa watoa huduma..yani inasikitisha sanaaa
    Tunaye mkuu wetu wa mkoa lkn nikama Simba aliyekufa ni afadhali ya mbwa aliye hai
    Watu niwazembe Sana mahospitalini..Juzi nilikuwa nyasho hospital nikasikia mama mmoja analia kwa uchungu akisema HIVI NININI KILICHOMUUWA MAGUFULII...INASIKITISHA SANA BAADHI YA WAUGUZI NA MADACTARI WA HOVYO HAWA KUENDELEA KUWEPO

    • @geey7893
      @geey7893 2 หลายเดือนก่อน

      Huo Mkoa wetu umeshindikana kaka. Sjui tulilaaniwa na Nyerere

    • @eng.lazarongoro
      @eng.lazarongoro 2 หลายเดือนก่อน

      Liandike kwenye page ya waziri wa afya na umtagi samia huku kwa makonda hakuna kitu mi nakaa nyakato nimesikitishwa sana

  • @jasirimjasirimedia7940
    @jasirimjasirimedia7940 2 หลายเดือนก่อน +4

    My leader

  • @JosephineAlex-d8f
    @JosephineAlex-d8f 2 หลายเดือนก่อน

    Pole sana

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 2 หลายเดือนก่อน +2

    Makonda uko sahihi

  • @brunotemu8069
    @brunotemu8069 2 หลายเดือนก่อน +2

    Good broo pambana na Jiji la East Africa ❤

  • @YusuphNdakama
    @YusuphNdakama 2 หลายเดือนก่อน

    Makonda Hongeraaa sanaaa kaka!hakika unajua pande mbili uongozi na maisha harisia ya mwananchi

  • @bitutuatemba2164
    @bitutuatemba2164 2 หลายเดือนก่อน +1

    Keep on my brother @ Hon Paul Makonda

  • @amourmunga8356
    @amourmunga8356 2 หลายเดือนก่อน +1

    Makonda nskupenda sana bro

  • @SaidKudavada
    @SaidKudavada 2 หลายเดือนก่อน

    Pole

  • @JOSEPHPETERMACHOTA
    @JOSEPHPETERMACHOTA 2 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana

  • @Optionxll_Playz1
    @Optionxll_Playz1 2 หลายเดือนก่อน +3

    Watu Wana Roho mbaya tu

  • @paulmaganga9700
    @paulmaganga9700 2 หลายเดือนก่อน

    Makonda soon unakuja kuwa Rais

  • @davidnyambuche352
    @davidnyambuche352 2 หลายเดือนก่อน +2

    Maombi ya kusambaratisha vikao vya sirini😅😅😅

  • @MilamboMarco
    @MilamboMarco 2 หลายเดือนก่อน +1

    Uko sahihi lakini sio la kukumbuka sababu aliokua waziri wa fedha ni boss wako😅

  • @salumjabir813
    @salumjabir813 2 หลายเดือนก่อน +3

    Siasa za bongoo😂😂

  • @BakariMapua-t9u
    @BakariMapua-t9u 2 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤kweli

  • @JamesSichimata-w1u
    @JamesSichimata-w1u 2 หลายเดือนก่อน

    Makonda MUNGU azidi kukulinda na kukuongezea ujasiri

  • @emmanuelaloyce932
    @emmanuelaloyce932 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa,awe president wa Tz,,🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 2 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 2 หลายเดือนก่อน +1

    Muongo wewe na nyumba uliyotaka kumtapeli GSM Nayo
    Utasemaje? Mshahara wa mkuu wa Mkoa amepata wapi hela ya kununua nyumba eneo hilo??

  • @nuhhumwakanyamale4771
    @nuhhumwakanyamale4771 2 หลายเดือนก่อน +1

    Go up📤
    God bless you bro

  • @IbrahimHajiDini
    @IbrahimHajiDini 2 หลายเดือนก่อน

    🎉

  • @ibrahimjoseph3221
    @ibrahimjoseph3221 2 หลายเดือนก่อน

    Kama makonda yule aliweza aliweza kufanyiwa yooote hayo vp mpinzani au mwananchi wa kawaida kuna watu wanarudishwa nyuma wanafilisiwa kwa mambo ambaya awajayatenda

  • @nimrodsigulu6249
    @nimrodsigulu6249 2 หลายเดือนก่อน

    Mtasema tu ..😂😂

  • @CharlesKalisa-p1g
    @CharlesKalisa-p1g 2 หลายเดือนก่อน

    Mr. Makonda mwanzoni sikukuelewa pindi uko Dar maana nilipenda kusikia habar za vijiweni na sikuwahi kukufuatlia ila kwa sasa nimekuelewa vzr , pepea kama iwekanavyo tunakuunga mkono

  • @silasmarandu1485
    @silasmarandu1485 2 หลายเดือนก่อน

    Makonda tunamuomba Kilimanjaro aje afanye jambo!

  • @karyori69
    @karyori69 2 หลายเดือนก่อน +1

    Transparency sio Transparent!

    • @josephmussa0625
      @josephmussa0625 2 หลายเดือนก่อน +1

      Ila umeelewa😂

    • @gregory6165
      @gregory6165 2 หลายเดือนก่อน +1

      wajinga kama nyie mnaangaliaga spelling mnaacha content

    • @georgemhalla8853
      @georgemhalla8853 2 หลายเดือนก่อน

      Sawa mwalimu, ulichokiona ndo hicho tu??😢😢,

  • @dennisngonyani1795
    @dennisngonyani1795 2 หลายเดือนก่อน

    POLE MATATIZO HAYO YAPO SEHEMU NYINGI NCHINI

  • @bny3595
    @bny3595 2 หลายเดือนก่อน +8

    Wewe ndo ulizingua ....hukufata utaratibu wa kuleta vitu kutoka nje

    • @denisyohana8104
      @denisyohana8104 2 หลายเดือนก่อน +4

      au wewe naye ulikuwa mmoja wao🧐

    • @paulsibu5770
      @paulsibu5770 2 หลายเดือนก่อน +3

      Makonda ni kiongozi mzuri bro

    • @bny3595
      @bny3595 2 หลายเดือนก่อน

      Mimi sikatai kwamba anafanya vizurri....lakini kwenye hio issue yeye ndo alizingua ...hivo vitu alikua anahitaji apate msamaha wa kodi....na mwenye mamlaka hayo ni raisi....yeye hakufanya communication nzurri na raisi....sasaivi anazungumza...hata kama ni kweli Kuna hayo mambo yalitokea sijui kupigwa vita na watu....ila kwa upande mwengine alizingua alitakiwa amshirikishe raisi kuanzia mwanzo ....sasa anakuja mwishoni alafu anataka msamaha wa kodi....na mwenye mamlaka hayo ni raisi kwa mujibu wa katiba

    • @ndetitave466
      @ndetitave466 2 หลายเดือนก่อน

      Ndo wale wale

    • @JosephineDeus-tb5tr
      @JosephineDeus-tb5tr 2 หลายเดือนก่อน

      Muongo

  • @JosephineDeus-tb5tr
    @JosephineDeus-tb5tr 2 หลายเดือนก่อน +1

    Na magu alikupiga vita?Muongo

    • @kefamwakipesile275
      @kefamwakipesile275 2 หลายเดือนก่อน +2

      Hajasema magu!! Amesema watu walimpelekea Rais magu taarifa ambayo sio sahihi

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 2 หลายเดือนก่อน +2

      Daddy alimpenda mako da kwa kazi nzuri kushinda kiongozi yoyote Ila wale kwenye wivu ndio walimchanganya daddy

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 2 หลายเดือนก่อน +4

    unaagizaje vitu pasipo kuwasiliana na mamlaka ?

    • @nicasissa
      @nicasissa 2 หลายเดือนก่อน

      Shida ukishawasiliana nao, wanaanzisha choko, mara oooh ooh ooh

    • @Nijuzetzdigital
      @Nijuzetzdigital 2 หลายเดือนก่อน +1

      ofisi ya mkoa ni mamlaka vilevile halaf msaada ni siyo taarifa ni unaweza hakuna anayeukataa

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@Nijuzetzdigitalhakuna alie juu ya sheria ndugu yangu Mkuu wa mkoa anausikakaje Kwene ofc za TRA na Bandari tumia akili kidogo

    • @LameckZakaria-qg9vv
      @LameckZakaria-qg9vv 2 หลายเดือนก่อน +1

      Alichelewa kumwambia magu

  • @MjuniLaulian
    @MjuniLaulian 2 หลายเดือนก่อน

    We mwongo ilikua mpigaji magum ataperiwi

  • @DavidKagulu
    @DavidKagulu 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mccm bhana hayana hata akili, Sasa Hilo jambo mbona lilikuwa dogo tu

  • @hoseastephen4508
    @hoseastephen4508 2 หลายเดือนก่อน +1

    Tapeli

    • @BabaZuu-fq8zj
      @BabaZuu-fq8zj 2 หลายเดือนก่อน

      Taperi nani sasa kuma ww ungekua kenya ushakufa mbwa wew

    • @hoseastephen4508
      @hoseastephen4508 2 หลายเดือนก่อน

      @@BabaZuu-fq8zj Na atawapiga sana pumbu watu msokuwa na akili kama wewe

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 2 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤

  • @sujaiazicani9510
    @sujaiazicani9510 2 หลายเดือนก่อน

    🎉